.

.

Tuesday, 30 June 2015

Adventist Church Responds to U.S. Same-Sex Marriage Ruling

The church says it will still teach and promote its biblically based belief of marriage.

Editor’s note: The North American Division issued this statement about the U.S. Supreme Court ruling on same-sex marriage on Friday, June 26.

The U.S. Supreme Court on Friday, June 26, released its decision legalizing same-sex marriage across the United States.
Even with the Supreme Court’s decision, the Adventist Church maintains its fundamental belief that marriage was divinely established in Eden and affirmed by Jesus to be a lifelong union between a man and a woman.
While the church respects the opinions of those who may differ, it will continue to teach and promote its biblically based belief of marriage between a man and a woman.
The Seventh-day Adventist Church believes that all people, regardless of race, gender, and sexual orientation are God’s children and should be treated with civility, compassion, and Christ-like love.
More information on the Adventist Church’s belief on marriage can be found on the church’s official website.

Adventist Church Responds to U.S. Same-Sex Marriage Ruling

The church says it will still teach and promote its biblically based belief of marriage.

Editor’s note: The North American Division issued this statement about the U.S. Supreme Court ruling on same-sex marriage on Friday, June 26.

The U.S. Supreme Court on Friday, June 26, released its decision legalizing same-sex marriage across the United States.
Even with the Supreme Court’s decision, the Adventist Church maintains its fundamental belief that marriage was divinely established in Eden and affirmed by Jesus to be a lifelong union between a man and a woman.
While the church respects the opinions of those who may differ, it will continue to teach and promote its biblically based belief of marriage between a man and a woman.
The Seventh-day Adventist Church believes that all people, regardless of race, gender, and sexual orientation are God’s children and should be treated with civility, compassion, and Christ-like love.
More information on the Adventist Church’s belief on marriage can be found on the church’s official website.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), AbdulrahmaWIKI hii ni ya mwisho kwa watia nia ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kurejesha fomu baada ya kuzunguka nchi nzima kuomba wadhamini, hata hivyo jana mwanachama mwingine wa CCM alichukua fomu na hivyo kufanya idadi ya watia nia hao kufikia 42.
Kada huyo Banda Sonoko alijigamba kuwa ana uwezo wa kuipeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu unataotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kwani ana vigezo, sifa na uwezo wa kuvaa viatu vya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu kwenye makao makuu ya chama, alisema anajiamini kuwa ana uwezo wa kuongoza taifam jambo ambalo limemsukuma na kuamua kuchukua fomu.
Sonoko, ambaye kwa taaluma ni mwalimu, alisema ana uwezo wa kuvaa viatu vya Baba wa Taifa, ambavyo kwa sasa wengi wanavitamani. ‘‘Kwa sasa wengi wanatamani kuvivaa, lakini mtu pekee vinayemtosha ni mimi.” Alisema katika uongozi wake yeye ni muumini wa muda hivyo atahakikisha anafanya kazi ili kuiondoa nchi katika misukosuko ya kiuchumi.
Aidha aliahidi kuweka usimamizi madhubuti wa serikali yake katika uchumi wa kilimo na kufufua viwanda ili kuhakikisha nchi inarudi katika kilimo.
Pia alisema atahakikisha serikali yake inakusanya kodi ili nchi iweze kujiendesha kutokana na kodi inayokusanywa. Mwisho Alhamisi Ni siku nne zimebaki ili kufikia tamati ya kuchukua na kurudisha fomu.
Hata hivyo mgombea huyo urais hakueleza atatumia mbinu gani kwenda angalau mikoa 15 inayotakiwa na CCM kusaka wadhamini ili aweze kukidhi vigezo vya jina lake kujadiliwa na vikao husika.
Kila mwanachama aliyechukua fomu anatakiwa kuwa wadhamini 450 katika mikoa 15 ambapo mitatu iwe ya Zanzibar. Waliorudisha fomu ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, Makongoro Nyerere, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, Waziri wa Kilimo na Ushirika, Steven Wassira na Balozi Ally Karume.
Wengine ni aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, Balozi Amina Salum Ally, Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, Jaji Mkuu mstaafu wa Tanzania, Agustino Ramadhani, Leone Murenda, Profesa Mark Mwandosya na Boniface Ndembo.
Watia nia wazidi kujitapa Wakati hayo yakiendelea baadhi ya wagombea urais wamezidi kujitapa mikoani ambako wanatafuta wadhamini huku wakieleza yale ambayo wataenda kuyafanya mara watakapoteuliwa na chama chao kugombea urais na baadaye kuchaguliwa kushika wadhifa huo.
Fadhili Abdallah anaripoti kutoka Kigoma kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake, haviwezi kutishwa na mtu yeyote katika kutekeleza maamuzi yoyote kutokana na kuwa na historia ya kuwa na msimamo usioyumba na uongozi thabiti.
Membe, ambaye ni miongoni mwa wana CCM waliotangaza nia ya kuwania urais kupitia chama hicho, amesema yeye binafsi hatokuwa na kinyongo kwa maamuzi yoyote yatakayochukuliwa na chama hicho hata ikiwa yatakuwa maamuzi machungu kwake.
Akizungumza na wanachama wa CCM wa mkoa wa Kigoma waliofika kumdhamini juzi Jumamosi, Membe alisema Watanzania wakatae vitisho na ulaghai kutoka kwa mtu yeyote katika maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
“Watanzania tukatae aina yoyote ya vitisho wala ulaghai katika uchaguzi wetu. Sisi na wengine katika makundi yetu tutakaa kusubiri maamuzi sahihi ya chama chetu, ambacho hakikufanya makosa miaka yote ya nyuma… “Tutaheshimu maamuzi yatakayotoka Dodoma siku ile hata yangekuwa machungu kama pilipili.
Na ole wao ama ole wake mtu yeyote atakayejitia kuletaleta bughudha pale eti kwa kisingizio kwamba eti chama hakikuchukua hatua sahihi, mtachukua hatua sahihi maana mna uzoefu wa kufanya hivyo.
“Ndugu zangu Watanzania kataeni upuuzi wa aina hiyo, angalieni vigezo mkiangalia familia zenu kwamba na kuhoji kama nikimpa huyu kesho nitakuwa salama!” Alisema Membe huku akishangiliwa na wana CCM waliokuwapo.
Alisema ni wajibu wa wana CCM kumpa uongozi ambaye wakiangalia watakuwa na imani kwamba nchi na familia zao zitakuwa salama na heshima na amani ya nchi itakuwa katika mikono salama na si vinginevyo.
Akizungumzia kuhusu maendeleo ya Kigoma alikomalizia mkoa wa 31, Membe alisema ataimarisha miundombinu ya reli na barabara na kuwasaidia kupata mwekezaji atakeyefanikisha mpango huo.
Alisema kampuni moja ya Kichina imeonesha nia ya kuboresha huduma ya reli ikiwa ni pamoja na kujenga reli ya kisasa kati ya Dar es Salaam na Kigoma ambayo itawezesha safari ya siku moja.
Membe, ambaye amekuwa akiahidi kusimamia uchumi wa viwanda unaotegemea kilimo, alisema viongozi waliotangulia akiwamo Rais Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na sasa Jakaya Kikwete, wameweka misingi imara katika maendeleo, na hivyo itakuwa ni rahisi kwake kuendeleza walipoishia.
Jana alipokuwa Sumbawanga na Mpanda, alimsifia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye alisema ni mmoja wa watangaza nia mwenye sifa za kuwa kiongozi wa nchi kutokana na historia yake ya uadilifu ndani na nje ya serikali na kwamba ingekuwa si mwanasiasa huyo angekwisha kujiona mteule ndani ya CCM.
Makamba Naye John Mhala anaripoti kuwa Mgombea urais kupitia CCM,Januari Makamba amesema anaamini kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitawaletea Watanzania mgombea urais atayekubalika mbele ya wananchi wote na sio vinginevyo.
Kauli hiyo alisema hayo katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Arusha mara baada ya kupata wadhamini 2,237 waliojitokeza kumdhamini nafasi hiyo ndani ya chama.
Makamba alisema CCM haiwezi kuteua mgombea ambaye hakubaliki na wananchi kamwe; bali itamteua mgombea wake ambaye anakubalika na wananchi na watamkubali kwa asilimia kubwa.
Alisema kwa sasa Watanzania wanataka mabadiliko ndani ya chama na mabadiliko hayo ni kumtaka mgombea mpya mwenye mtazamo mpya na malengo mapya kwa maslahi ya nchi sio wale wale wa miaka yote.
Makamba ambaye alikuwa akihutubia kwa umakini mkubwa, alinukuu hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ya mwaka 1995 katika mkutano mkuu wa chama ambapo alisema kuwa nanukuu, Alisema kutokana na hali hiyo chama kitafanya mabadiliko ndani ya chama kwa kumteua yeye kuwa mgombea urais kwani Watanzania wana imani naye kwa kuwa atakuwa na mambo mapya na mitazamo mipaya ya kuiongoza nchi hii.
Akizungumza ajira kwa vijana alisema Mkoa wa Arusha una vitu vingi kwa vijana kupata ajira akiwemo Utalii, madini, viwanda, kilimo na biashara ndogo ndogo na kusema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa mgombea urais ana uhakika wa kubuni mambo mapya kwa vijana kupata kupitia vitu hivyovitano.

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), AbdulrahmaWIKI hii ni ya mwisho kwa watia nia ya urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kurejesha fomu baada ya kuzunguka nchi nzima kuomba wadhamini, hata hivyo jana mwanachama mwingine wa CCM alichukua fomu na hivyo kufanya idadi ya watia nia hao kufikia 42.
Kada huyo Banda Sonoko alijigamba kuwa ana uwezo wa kuipeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi mkuu unataotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kwani ana vigezo, sifa na uwezo wa kuvaa viatu vya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere.
Wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu kwenye makao makuu ya chama, alisema anajiamini kuwa ana uwezo wa kuongoza taifam jambo ambalo limemsukuma na kuamua kuchukua fomu.
Sonoko, ambaye kwa taaluma ni mwalimu, alisema ana uwezo wa kuvaa viatu vya Baba wa Taifa, ambavyo kwa sasa wengi wanavitamani. ‘‘Kwa sasa wengi wanatamani kuvivaa, lakini mtu pekee vinayemtosha ni mimi.” Alisema katika uongozi wake yeye ni muumini wa muda hivyo atahakikisha anafanya kazi ili kuiondoa nchi katika misukosuko ya kiuchumi.
Aidha aliahidi kuweka usimamizi madhubuti wa serikali yake katika uchumi wa kilimo na kufufua viwanda ili kuhakikisha nchi inarudi katika kilimo.
Pia alisema atahakikisha serikali yake inakusanya kodi ili nchi iweze kujiendesha kutokana na kodi inayokusanywa. Mwisho Alhamisi Ni siku nne zimebaki ili kufikia tamati ya kuchukua na kurudisha fomu.
Hata hivyo mgombea huyo urais hakueleza atatumia mbinu gani kwenda angalau mikoa 15 inayotakiwa na CCM kusaka wadhamini ili aweze kukidhi vigezo vya jina lake kujadiliwa na vikao husika.
Kila mwanachama aliyechukua fomu anatakiwa kuwa wadhamini 450 katika mikoa 15 ambapo mitatu iwe ya Zanzibar. Waliorudisha fomu ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal, Makongoro Nyerere, Waziri wa Ujenzi, Dk John Magufuli, Waziri wa Kilimo na Ushirika, Steven Wassira na Balozi Ally Karume.
Wengine ni aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, Balozi Amina Salum Ally, Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe, Jaji Mkuu mstaafu wa Tanzania, Agustino Ramadhani, Leone Murenda, Profesa Mark Mwandosya na Boniface Ndembo.
Watia nia wazidi kujitapa Wakati hayo yakiendelea baadhi ya wagombea urais wamezidi kujitapa mikoani ambako wanatafuta wadhamini huku wakieleza yale ambayo wataenda kuyafanya mara watakapoteuliwa na chama chao kugombea urais na baadaye kuchaguliwa kushika wadhifa huo.
Fadhili Abdallah anaripoti kutoka Kigoma kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake, haviwezi kutishwa na mtu yeyote katika kutekeleza maamuzi yoyote kutokana na kuwa na historia ya kuwa na msimamo usioyumba na uongozi thabiti.
Membe, ambaye ni miongoni mwa wana CCM waliotangaza nia ya kuwania urais kupitia chama hicho, amesema yeye binafsi hatokuwa na kinyongo kwa maamuzi yoyote yatakayochukuliwa na chama hicho hata ikiwa yatakuwa maamuzi machungu kwake.
Akizungumza na wanachama wa CCM wa mkoa wa Kigoma waliofika kumdhamini juzi Jumamosi, Membe alisema Watanzania wakatae vitisho na ulaghai kutoka kwa mtu yeyote katika maandalizi ya uchaguzi Mkuu wa mwaka huu.
“Watanzania tukatae aina yoyote ya vitisho wala ulaghai katika uchaguzi wetu. Sisi na wengine katika makundi yetu tutakaa kusubiri maamuzi sahihi ya chama chetu, ambacho hakikufanya makosa miaka yote ya nyuma… “Tutaheshimu maamuzi yatakayotoka Dodoma siku ile hata yangekuwa machungu kama pilipili.
Na ole wao ama ole wake mtu yeyote atakayejitia kuletaleta bughudha pale eti kwa kisingizio kwamba eti chama hakikuchukua hatua sahihi, mtachukua hatua sahihi maana mna uzoefu wa kufanya hivyo.
“Ndugu zangu Watanzania kataeni upuuzi wa aina hiyo, angalieni vigezo mkiangalia familia zenu kwamba na kuhoji kama nikimpa huyu kesho nitakuwa salama!” Alisema Membe huku akishangiliwa na wana CCM waliokuwapo.
Alisema ni wajibu wa wana CCM kumpa uongozi ambaye wakiangalia watakuwa na imani kwamba nchi na familia zao zitakuwa salama na heshima na amani ya nchi itakuwa katika mikono salama na si vinginevyo.
Akizungumzia kuhusu maendeleo ya Kigoma alikomalizia mkoa wa 31, Membe alisema ataimarisha miundombinu ya reli na barabara na kuwasaidia kupata mwekezaji atakeyefanikisha mpango huo.
Alisema kampuni moja ya Kichina imeonesha nia ya kuboresha huduma ya reli ikiwa ni pamoja na kujenga reli ya kisasa kati ya Dar es Salaam na Kigoma ambayo itawezesha safari ya siku moja.
Membe, ambaye amekuwa akiahidi kusimamia uchumi wa viwanda unaotegemea kilimo, alisema viongozi waliotangulia akiwamo Rais Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa na sasa Jakaya Kikwete, wameweka misingi imara katika maendeleo, na hivyo itakuwa ni rahisi kwake kuendeleza walipoishia.
Jana alipokuwa Sumbawanga na Mpanda, alimsifia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye alisema ni mmoja wa watangaza nia mwenye sifa za kuwa kiongozi wa nchi kutokana na historia yake ya uadilifu ndani na nje ya serikali na kwamba ingekuwa si mwanasiasa huyo angekwisha kujiona mteule ndani ya CCM.
Makamba Naye John Mhala anaripoti kuwa Mgombea urais kupitia CCM,Januari Makamba amesema anaamini kwamba Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitawaletea Watanzania mgombea urais atayekubalika mbele ya wananchi wote na sio vinginevyo.
Kauli hiyo alisema hayo katika ukumbi wa CCM Mkoa wa Arusha mara baada ya kupata wadhamini 2,237 waliojitokeza kumdhamini nafasi hiyo ndani ya chama.
Makamba alisema CCM haiwezi kuteua mgombea ambaye hakubaliki na wananchi kamwe; bali itamteua mgombea wake ambaye anakubalika na wananchi na watamkubali kwa asilimia kubwa.
Alisema kwa sasa Watanzania wanataka mabadiliko ndani ya chama na mabadiliko hayo ni kumtaka mgombea mpya mwenye mtazamo mpya na malengo mapya kwa maslahi ya nchi sio wale wale wa miaka yote.
Makamba ambaye alikuwa akihutubia kwa umakini mkubwa, alinukuu hotuba ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere ya mwaka 1995 katika mkutano mkuu wa chama ambapo alisema kuwa nanukuu, Alisema kutokana na hali hiyo chama kitafanya mabadiliko ndani ya chama kwa kumteua yeye kuwa mgombea urais kwani Watanzania wana imani naye kwa kuwa atakuwa na mambo mapya na mitazamo mipaya ya kuiongoza nchi hii.
Akizungumza ajira kwa vijana alisema Mkoa wa Arusha una vitu vingi kwa vijana kupata ajira akiwemo Utalii, madini, viwanda, kilimo na biashara ndogo ndogo na kusema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa mgombea urais ana uhakika wa kubuni mambo mapya kwa vijana kupata kupitia vitu hivyovitano.

Angalia mauwaji yaliyofanyika uko Nigeria na wanamgambo wa BOKKO HARAM dhidi ya wakristo. Type neno amina kwa viumbe hawa wasio na hatia! Kumradhi kwa picha hii ya kutisha

Angalia mauwaji yaliyofanyika uko Nigeria na wanamgambo wa BOKKO HARAM dhidi ya wakristo. Type neno amina kwa viumbe hawa wasio na hatia! Kumradhi kwa picha hii ya kutisha

Waziri wa zamani wa Fedha, Basil MrambaWaziri wa zamani wa Fedha, Basil MrambHUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayowakabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Jopo la mahakimu watatu, John Utamwa, Sam Rumanyika na Saul Kinemela, linatarajia kutoa hukumu hiyo baada ya kupitia ushahidi pamoja na vielelezo vilivyowasilishwa na pande zote mbili katika kesi hiyo.
Katika kesi hiyo washitakiwa walikuwa wanakabiliwa na mashitaka mawili ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni 11.7.
Upande wa Jamhuri uliita mashahidi saba na mahakama iliwaona washitakiwa wana kesi ya kujibu, na katika utetezi wao washitakiwa walijitetea wenyewe na kuita mashahidi wawili. Baada ya upande wa utetezi kufunga ushahidi wao, mahakama imetoa nafasi kwa pande zote mbili kuwasilisha hoja za kuishawishi kuwaona washitakiwa hao wana hatia au hawana hatia.
Kwa mara ya kwanza washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo mwaka 2008 ikiwa ni miaka sita iliyopita, wakikabiliwa na mashitaka ya kuisababishia serikali hasara ya kiasi hicho cha fedha kutokana na kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya kukagua madini ya dhahabu ya M/S Alex Stewart ya Uingereza.
Katika utetezi wake, Mramba alikiri kuisamehe kodi kampuni hiyo kwa kuwa kulikuwa na mkataba uliosainiwa Juni 2003 kati ya kampuni hiyo na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambao ulikuwa unaonesha malipo yafanyike bila ya kukatwa kodi.
Mgonja alidai kuwa yeye ndiye aliyemshauri Mramba kuisamehe kodi kampuni hiyo kutokana na mkataba huo. Hata hivyo, inadaiwa msamaha wa kodi ulitolewa wakati tayari Wizara ilikuwa imepokea barua za kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambazo zilikuwa zinakataza kampuni hiyo isisamehewe kodi.
Wakati huo huo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana imeshindwa kutoa hukumu ya kesi ya wizi wa Sh mlioni 207 kutoka katika akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) iliyopo Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inayomkabili Kada wa CCM, Rajabu Maranda na wenzake wanne kwa kuwa mshitakiwa mmoja amelazwa.
Jopo la Mahakimu watatu linaloongozwa na Hakimu Mkazi, John Utamwa, Ignas Kitusi na Eva Nkya liliahirisha hukumu hiyo hadi Julai Mosi mwaka huu baada ya kuelezwa kuwa, aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Madeni ya Nje ( EPA), Iman Mwakosya amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Kitengo cha Watu wenye matatizo ya akili.
Kabla ya kuahirisha kesi hiyo, mahakama imesema itaandika barua kupeleka katika Hospitali Muhimbili, wafahamu hali ya kiakili aliyonayo Mwakosya kama ataweza kuelewa mwenendo wa mahakama , ili waweze kusoma hukumu hiyo.
Mbali na Maranda na Mwakosya washitakiwa wengine wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Farijala Hussein ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitatu jela, aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa EPA, Ester Komu na aliyekuwa Katibu wa BoT, Bosco Kimela.
Wanakabiliwa na kesi ya wizi wa Sh milioni 207 kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) iliyopo Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Washitakiwa hao wanadaiwa kuwasilisha nyaraka za uongo, kughushi na kuiba zaidi ya Sh milioni 207 kutoka BoT, aidha wanadaiwa kughushi nyaraka ikiwamo hati ya makubaliano ya kuhamisha deni kutoka kampuni ya General Marketing ya India kwenda kampuni ya Rashaz (T) ya Tanzania na kuiba fedha hizo .

Waziri wa zamani wa Fedha, Basil MrambaWaziri wa zamani wa Fedha, Basil MrambHUKUMU ya kesi ya kuisababishia Serikali hasara ya Sh bilioni 11.7 inayowakabili Waziri wa zamani wa Fedha, Basil Mramba, Waziri wa zamani wa Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Gray Mgonja inatarajiwa kutolewa leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Jopo la mahakimu watatu, John Utamwa, Sam Rumanyika na Saul Kinemela, linatarajia kutoa hukumu hiyo baada ya kupitia ushahidi pamoja na vielelezo vilivyowasilishwa na pande zote mbili katika kesi hiyo.
Katika kesi hiyo washitakiwa walikuwa wanakabiliwa na mashitaka mawili ya matumizi mabaya ya madaraka na kuisababishia serikali hasara ya Sh bilioni 11.7.
Upande wa Jamhuri uliita mashahidi saba na mahakama iliwaona washitakiwa wana kesi ya kujibu, na katika utetezi wao washitakiwa walijitetea wenyewe na kuita mashahidi wawili. Baada ya upande wa utetezi kufunga ushahidi wao, mahakama imetoa nafasi kwa pande zote mbili kuwasilisha hoja za kuishawishi kuwaona washitakiwa hao wana hatia au hawana hatia.
Kwa mara ya kwanza washitakiwa hao walifikishwa mahakamani hapo mwaka 2008 ikiwa ni miaka sita iliyopita, wakikabiliwa na mashitaka ya kuisababishia serikali hasara ya kiasi hicho cha fedha kutokana na kutoa msamaha wa kodi kwa Kampuni ya kukagua madini ya dhahabu ya M/S Alex Stewart ya Uingereza.
Katika utetezi wake, Mramba alikiri kuisamehe kodi kampuni hiyo kwa kuwa kulikuwa na mkataba uliosainiwa Juni 2003 kati ya kampuni hiyo na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ambao ulikuwa unaonesha malipo yafanyike bila ya kukatwa kodi.
Mgonja alidai kuwa yeye ndiye aliyemshauri Mramba kuisamehe kodi kampuni hiyo kutokana na mkataba huo. Hata hivyo, inadaiwa msamaha wa kodi ulitolewa wakati tayari Wizara ilikuwa imepokea barua za kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ambazo zilikuwa zinakataza kampuni hiyo isisamehewe kodi.
Wakati huo huo, Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jana imeshindwa kutoa hukumu ya kesi ya wizi wa Sh mlioni 207 kutoka katika akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) iliyopo Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inayomkabili Kada wa CCM, Rajabu Maranda na wenzake wanne kwa kuwa mshitakiwa mmoja amelazwa.
Jopo la Mahakimu watatu linaloongozwa na Hakimu Mkazi, John Utamwa, Ignas Kitusi na Eva Nkya liliahirisha hukumu hiyo hadi Julai Mosi mwaka huu baada ya kuelezwa kuwa, aliyekuwa Mkuu wa Idara ya Madeni ya Nje ( EPA), Iman Mwakosya amelazwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Kitengo cha Watu wenye matatizo ya akili.
Kabla ya kuahirisha kesi hiyo, mahakama imesema itaandika barua kupeleka katika Hospitali Muhimbili, wafahamu hali ya kiakili aliyonayo Mwakosya kama ataweza kuelewa mwenendo wa mahakama , ili waweze kusoma hukumu hiyo.
Mbali na Maranda na Mwakosya washitakiwa wengine wanaokabiliwa na kesi hiyo ni Farijala Hussein ambaye anatumikia kifungo cha miaka mitatu jela, aliyekuwa Kaimu Mkurugenzi wa EPA, Ester Komu na aliyekuwa Katibu wa BoT, Bosco Kimela.
Wanakabiliwa na kesi ya wizi wa Sh milioni 207 kutoka Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) iliyopo Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Washitakiwa hao wanadaiwa kuwasilisha nyaraka za uongo, kughushi na kuiba zaidi ya Sh milioni 207 kutoka BoT, aidha wanadaiwa kughushi nyaraka ikiwamo hati ya makubaliano ya kuhamisha deni kutoka kampuni ya General Marketing ya India kwenda kampuni ya Rashaz (T) ya Tanzania na kuiba fedha hizo .

Saturday, 20 June 2015

nabiielia 

Nabii Eliya

Wapendwa Shalom,

Ninaorodhesha machache ninayoyafahamu kuhusu Pool of Siloam Church ambalo lilianza mwaka 2003. (kwa maoni yangu walianza vizuri hadi ilipofika mwaka 2008 – ndipo U-Turn ilipotokea). Pia unaweza kusoma juu ya wanachokiamini kuhusiana na MWENENDO WA KANISA kwenye link hii; http://www.siloamgoshen.org/

MAMBO MACHACHE YA KANISA LA KIZAZI CHA NNE HAYA HAPA

1.   Pool of Siloam ilianzishwa rasmi 2003, na Mtumishi N. Munuo

2.   Mafunuo ya Nabii Eliya yanatambulika kuwa ni sahihi hutakiwi kuyahoji wala kuyaoanisha na Maandiko Matakatifu unapaswa kuyatii. Mojawapo ya ufunuo /maelezo ya ajabu ni hili Shetani aliuwawa na Nabii Eliya Novemba 2008. Hapa ndipo kwenye vile vitisho ya kuwa bubu, tasa kufa n.k.

3.   Imani yao imejengwa na kuongozwa katika ufunuo wa majira na nyakati na jambo hili ni muhimu sana. Hivi sasa wapo katika kizazi cha nne. Kizazi cha kwanza Adamu mpaka gharika, kizazi cha pili Nuhu hadi Yesu, kizazi cha tatu kutoka Yesu hadi Februari 2012. Kizazi cha nne kutoka Machi 2012 na kuendelea. Kwamba kwa kutumia Kalenda inayotumika sasa (Mwasisi wake akiwa ni Gregory – mwaka 1582) kanisa ilikuwa chini ya utumwa kwa miaka 430 kama Israel utumwani Misri. Kuanzia 2008 watu wa kizazi cha nne wana kalenda yao.

4.   Kanisa hivi sasa lipo katika kipindi cha miaka 1000 iliyoanza mwezi Machi 2012 (hii ni baada ya kupita kwa miaka 6000. Hesabu yao ni kuwa miezi yote (12) ina siku 28 na mwaka una siku 336). Yaani wenzetu tayari wamesha-spent mwaka mmoja katika ile miaka 1000 ya utawala wa Yesu hapa duniani, kama iliyoandikwa katika UFUNUO 20:1-5.

5.   Kwa kuwa Kristo anaishi na Kanisa hapa duniani hivyo hakuna magonjwa, dhiki, kudharauliwa na maonevu yote. Ni siku ya saba yaani miaka 1000 ya kustarehe na kutawala. Huenda hapa ndipo ile concept ya kutokufa inapokuja/ingia/ attach.

6.   Waumini wao hutakiwa kubadilisha hadi majina yao ya ukoo. Kwa sababu majina hayo yanabeba laana, kisha muumini hupewa familia nyingine (miongoni mwa washirika) na hutengwa na wazazi na ndugu wa kimwili.

7.   Maombi yao huomba kwa kushikamanisha na madhabahu ya Siloam /Mungu wa nabii Eliya.

8. Wanapomfanyia Deliverance mtu (mmoja wa wahudumu – huingiwa na pepo/mzimu ambao unamsumbua anayeombewa na kumweleza kilichokuwa kinamfunga). Biblically, mtu mwenye pepo/mizimu yeye ndiye hupagawa na kuongea, kisha huamuriwa kutoka ndani ya mtu.

Kila nilichokieleza hapo juu ina tafasiri yake ya ziada ambayo yeyote akipenda na akifunguka anaweza kutufafanulia.

–Mat

nabiielia 

Nabii Eliya

Wapendwa Shalom,

Ninaorodhesha machache ninayoyafahamu kuhusu Pool of Siloam Church ambalo lilianza mwaka 2003. (kwa maoni yangu walianza vizuri hadi ilipofika mwaka 2008 – ndipo U-Turn ilipotokea). Pia unaweza kusoma juu ya wanachokiamini kuhusiana na MWENENDO WA KANISA kwenye link hii; http://www.siloamgoshen.org/

MAMBO MACHACHE YA KANISA LA KIZAZI CHA NNE HAYA HAPA

1.   Pool of Siloam ilianzishwa rasmi 2003, na Mtumishi N. Munuo

2.   Mafunuo ya Nabii Eliya yanatambulika kuwa ni sahihi hutakiwi kuyahoji wala kuyaoanisha na Maandiko Matakatifu unapaswa kuyatii. Mojawapo ya ufunuo /maelezo ya ajabu ni hili Shetani aliuwawa na Nabii Eliya Novemba 2008. Hapa ndipo kwenye vile vitisho ya kuwa bubu, tasa kufa n.k.

3.   Imani yao imejengwa na kuongozwa katika ufunuo wa majira na nyakati na jambo hili ni muhimu sana. Hivi sasa wapo katika kizazi cha nne. Kizazi cha kwanza Adamu mpaka gharika, kizazi cha pili Nuhu hadi Yesu, kizazi cha tatu kutoka Yesu hadi Februari 2012. Kizazi cha nne kutoka Machi 2012 na kuendelea. Kwamba kwa kutumia Kalenda inayotumika sasa (Mwasisi wake akiwa ni Gregory – mwaka 1582) kanisa ilikuwa chini ya utumwa kwa miaka 430 kama Israel utumwani Misri. Kuanzia 2008 watu wa kizazi cha nne wana kalenda yao.

4.   Kanisa hivi sasa lipo katika kipindi cha miaka 1000 iliyoanza mwezi Machi 2012 (hii ni baada ya kupita kwa miaka 6000. Hesabu yao ni kuwa miezi yote (12) ina siku 28 na mwaka una siku 336). Yaani wenzetu tayari wamesha-spent mwaka mmoja katika ile miaka 1000 ya utawala wa Yesu hapa duniani, kama iliyoandikwa katika UFUNUO 20:1-5.

5.   Kwa kuwa Kristo anaishi na Kanisa hapa duniani hivyo hakuna magonjwa, dhiki, kudharauliwa na maonevu yote. Ni siku ya saba yaani miaka 1000 ya kustarehe na kutawala. Huenda hapa ndipo ile concept ya kutokufa inapokuja/ingia/ attach.

6.   Waumini wao hutakiwa kubadilisha hadi majina yao ya ukoo. Kwa sababu majina hayo yanabeba laana, kisha muumini hupewa familia nyingine (miongoni mwa washirika) na hutengwa na wazazi na ndugu wa kimwili.

7.   Maombi yao huomba kwa kushikamanisha na madhabahu ya Siloam /Mungu wa nabii Eliya.

8. Wanapomfanyia Deliverance mtu (mmoja wa wahudumu – huingiwa na pepo/mzimu ambao unamsumbua anayeombewa na kumweleza kilichokuwa kinamfunga). Biblically, mtu mwenye pepo/mizimu yeye ndiye hupagawa na kuongea, kisha huamuriwa kutoka ndani ya mtu.

Kila nilichokieleza hapo juu ina tafasiri yake ya ziada ambayo yeyote akipenda na akifunguka anaweza kutufafanulia.

–Mat

Friday, 19 June 2015

Best wishes for Adventist Family around the globe, for the gift of HOLLY day SABBATH!






Best wishes for Adventist Family around the globe, for the gift of HOLLY day SABBATH!






Thursday, 18 June 2015


Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991.
Mshambuliaji huyo wa klabu ya Barcelona alimpiga mpira Pablo Armero kimakusudi kabla ya mchezaji wa Colombia Carlos Bacca pia kupewa kadi nyekundu baada ya kulipiza kisasi kwa kumsukuma Neymar.
Beki Jeison Murillo alifunga bao la pekee baada ya dakka 36.Brazil ilijaribu sana kuimarisha mchezo wake lakini ilishindwa kutengeza nafasi za kufunga goli.http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/18/150618014140_sp_neymar_624x351_afp.jpg


Colombia itakabiliana na Peru katika fainali ya kundi cha,huku Brazil ikichuana na Venezuela.
Brazil,Colombia na Venezuela wako sawa katika kilele cha jedwali wakiwa na pointi tatu kila mmoja.null


Nyota wa timu ya Brazil Neymar alionyeshwa kadi nyekundu baada ya kipenga cha mwisho cha mechi ya kinyang'anyiro cha Copa America baada ya timu yake kufungwa na Colombia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1991.
Mshambuliaji huyo wa klabu ya Barcelona alimpiga mpira Pablo Armero kimakusudi kabla ya mchezaji wa Colombia Carlos Bacca pia kupewa kadi nyekundu baada ya kulipiza kisasi kwa kumsukuma Neymar.
Beki Jeison Murillo alifunga bao la pekee baada ya dakka 36.Brazil ilijaribu sana kuimarisha mchezo wake lakini ilishindwa kutengeza nafasi za kufunga goli.http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2015/06/18/150618014140_sp_neymar_624x351_afp.jpg


Colombia itakabiliana na Peru katika fainali ya kundi cha,huku Brazil ikichuana na Venezuela.
Brazil,Colombia na Venezuela wako sawa katika kilele cha jedwali wakiwa na pointi tatu kila mmoja.null



Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.MAHAKAMA ya wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, imemtia hatiani na kumhukumu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja, kutokana na kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Akisoma hukumu hiyo iliyohudhuriwa na wabunge wengi wa Chadema, Hakimu Mkazi Mfawidhi, Denis Mpelembwa, alisema mahakama imemkuta Mbowe na hatia, hivyo kutakiwa kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini kiasi cha Sh milioni moja.
Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Hai, katika kesi hiyo ya jinai namba 73 ya mwaka 2011, alidaiwa kumshambulia Nassir Yamin, katika Kijiji cha Nshara, kata ya Machame Kaskazini, Wilaya ya Hai, katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Mpelembwa alisema mahakamani hapo kuwa hukumu iliyotolewa mahakamani hapo imezingatia ushahidi uliotolewa kwa upande wa mlalamikaji Nassir Yamini.
Kwa upande wake, Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizungumza mahakamani hapo, alisema hukumu iliyosomwa mahakamani hapo haijamtendea haki.
Alisema kesi yake hiyo haikustahili kuchukua muda mrefu kama mahakama ilivyofanya kwa kuchukua zaidi ya miaka mitano bila kusomewa hukumu.
Hata hivyo, Mbowe amelipa kiasi cha fedha Sh milioni moja alichotakiwa kulipa kama hukumu ilivyoeleza, kwa kumtaka kulipa kiasi hicho cha fedha au kwenda jela mwaka mmoja.
Lema na Polisi
Wakati Mbowe akihukumiwa, Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema jana alishindwa kuzuia hasira zake na kutaka kupigana na mmoja wa askari polisi katika kituo cha kuandikisha wapigakura cha Mkombozi kata ya Sokoni One, Jimbo la Arusha.
Tafrani hii ilitokea baada ya kukuta polisi huyo akiandikisha wananchi wanaohitaji vitambulisho, kabla ya kuingia ndani ya chumba cha waandikishaji.
Vurugu hizo zilitokea saa 5:30 asubuhi, mara baada ya Lema kuingia eneo hilo akitembelea vituo vya kuandikisha wapiga kura kuangalia hali halisi.
Alipofika kwenye kituo hicho alikuta mmoja wa Polisi akiwa amevaa kiraia (Jina halikupatikana mara moja), akiwa na daftari dogo akiorodhesha majina ya wapiga kura kwa lengo la kupunguza foleni.
Akizungumza na wananchi huku Lema akiwa amezungukwa na askari polisi, alisema huo sio utaratibu wa kufanywa na polisi na hata Tume hairuhusu Polisi kufanya kazi hiyo bali kulinda amani tu.
Hata hivyo, Mkuu wa Kituo Kikuu cha Polisi cha Arusha, Thomas Maleko, akimtuliza hasira Lema akisema wao wanafanya kazi hiyo, ili kuwapunguzia adha wananchi ambao wanafika kituoni saa 9:00 usiku, hadi siku ya pili wanakaa kutwa nzima bila kupata fursa ya kuingia chumba cha kujiandikisha.
Alisema kutokana na hali hiyo, ndipo Polisi walipoamua kuandikisha watu kwa makubaliano na waandikishwaji wenyewe, ili waondoke nyumbani wakafanye kazi zingine na kesho yake wakirejea wanapata fursa hiyo.
“Hawa watu hata wakikaa hapa hawawezi kuingia ndani ya chumba husika, maana kuna kompyuta moja tu, hivyo wanapigwa na jua, hivyo utaratibu huu sisi tumeona ni mzuri, tunaandika jina la mtu kisha tunamruhusu aende nyumbani hadi kesho aje anaingia ili kupata kitambulisho,” alisema.
Hata hivyo, licha ya maelezo ya polisi, Lema hakukubaliana nayo na kuwasiliana na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Juma Idd ambaye alimtuma Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi, ambaye naye hakutaka kuzungumza chochote na waandishi wa habari na pia hakutaka kutaja jina lake.

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe.MAHAKAMA ya wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, imemtia hatiani na kumhukumu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, Freeman Mbowe kwenda jela mwaka mmoja au kulipa faini ya Sh milioni moja, kutokana na kesi iliyokuwa ikimkabili ya kumshambulia mwangalizi wa ndani wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Akisoma hukumu hiyo iliyohudhuriwa na wabunge wengi wa Chadema, Hakimu Mkazi Mfawidhi, Denis Mpelembwa, alisema mahakama imemkuta Mbowe na hatia, hivyo kutakiwa kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela au kulipa faini kiasi cha Sh milioni moja.
Mbowe ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Hai, katika kesi hiyo ya jinai namba 73 ya mwaka 2011, alidaiwa kumshambulia Nassir Yamin, katika Kijiji cha Nshara, kata ya Machame Kaskazini, Wilaya ya Hai, katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Mpelembwa alisema mahakamani hapo kuwa hukumu iliyotolewa mahakamani hapo imezingatia ushahidi uliotolewa kwa upande wa mlalamikaji Nassir Yamini.
Kwa upande wake, Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akizungumza mahakamani hapo, alisema hukumu iliyosomwa mahakamani hapo haijamtendea haki.
Alisema kesi yake hiyo haikustahili kuchukua muda mrefu kama mahakama ilivyofanya kwa kuchukua zaidi ya miaka mitano bila kusomewa hukumu.
Hata hivyo, Mbowe amelipa kiasi cha fedha Sh milioni moja alichotakiwa kulipa kama hukumu ilivyoeleza, kwa kumtaka kulipa kiasi hicho cha fedha au kwenda jela mwaka mmoja.
Lema na Polisi
Wakati Mbowe akihukumiwa, Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema jana alishindwa kuzuia hasira zake na kutaka kupigana na mmoja wa askari polisi katika kituo cha kuandikisha wapigakura cha Mkombozi kata ya Sokoni One, Jimbo la Arusha.
Tafrani hii ilitokea baada ya kukuta polisi huyo akiandikisha wananchi wanaohitaji vitambulisho, kabla ya kuingia ndani ya chumba cha waandikishaji.
Vurugu hizo zilitokea saa 5:30 asubuhi, mara baada ya Lema kuingia eneo hilo akitembelea vituo vya kuandikisha wapiga kura kuangalia hali halisi.
Alipofika kwenye kituo hicho alikuta mmoja wa Polisi akiwa amevaa kiraia (Jina halikupatikana mara moja), akiwa na daftari dogo akiorodhesha majina ya wapiga kura kwa lengo la kupunguza foleni.
Akizungumza na wananchi huku Lema akiwa amezungukwa na askari polisi, alisema huo sio utaratibu wa kufanywa na polisi na hata Tume hairuhusu Polisi kufanya kazi hiyo bali kulinda amani tu.
Hata hivyo, Mkuu wa Kituo Kikuu cha Polisi cha Arusha, Thomas Maleko, akimtuliza hasira Lema akisema wao wanafanya kazi hiyo, ili kuwapunguzia adha wananchi ambao wanafika kituoni saa 9:00 usiku, hadi siku ya pili wanakaa kutwa nzima bila kupata fursa ya kuingia chumba cha kujiandikisha.
Alisema kutokana na hali hiyo, ndipo Polisi walipoamua kuandikisha watu kwa makubaliano na waandikishwaji wenyewe, ili waondoke nyumbani wakafanye kazi zingine na kesho yake wakirejea wanapata fursa hiyo.
“Hawa watu hata wakikaa hapa hawawezi kuingia ndani ya chumba husika, maana kuna kompyuta moja tu, hivyo wanapigwa na jua, hivyo utaratibu huu sisi tumeona ni mzuri, tunaandika jina la mtu kisha tunamruhusu aende nyumbani hadi kesho aje anaingia ili kupata kitambulisho,” alisema.
Hata hivyo, licha ya maelezo ya polisi, Lema hakukubaliana nayo na kuwasiliana na Mkurugenzi wa Jiji la Arusha, Juma Idd ambaye alimtuma Mjumbe wa Tume ya Uchaguzi, ambaye naye hakutaka kuzungumza chochote na waandishi wa habari na pia hakutaka kutaja jina lake.

Tangu uondoke mengi yamejiri huku,naomba nikujuze kidogo angalau japo upate chochote
kuelekea UCHAGUZI mkuu 2015,
Tuna wasapika ki Richmond Richmond,
Tuna facebukika ki Escrow Escrow,
Tuna twitika ki Dowans Dowans,
Tuna instagramika ki Symbion symbion,
Tuna gugika ki meremeta meremeta,
Tuna extrimika kutangaza nia,
Tunafurushika kuomba ridhaa Ikulu
Mwalimu hivi si ulisema IKULU si pango la wanyan'ganyi???basi huku watangaza tamaa wanakaribia kuvuka hata idadi ya wabunge wa chama chako cha CCM,
Mwalimu nakumbuka sana uliagiza kila Waziri awe anasoma kitabu cha mchumi kilimo wa kifaransa Rene Dumont, cha Africa inakwenda pabaya (false start in Africa),ili kujua changamoto za kiuchumi na namna ya kuzitatua
Sasa hivi thubutu kila kitu ni watsapp,kila kitu ni Instagram, watu wanapiga picha kaburi lako wanapost tu watsapp,tweeter, Facebook eti wanakuenzi,wakitoka butiama eti wanatangaza nia umewapa baraka mwalimu ni kweli????kwa nini wasienzi Azimio la Arusha
Mwalimu uadilifu uliotufunza leo haupo tena
Mwalimu kumbuka uteuzi wa uwaziri mkuu mwaka 1984 baada ya kifo cha sokoine,Pamoja na hayati Paul Bomani,nafasi kubwa ilikua kwa John samwel malecela
Mwalimu ulifanya maamuzi magumu,yakumuengua Malecela kwa sababu ya kauli yake ya dharau kwa wananchi,waliolalamikia ufanisi duni wa shirika la Reli,chini ya wizara yake aliwaambia wananchi "waende Kuzimu"
Mwalimu huku Leo hii wanawasapika wa Escrow tukiwahoji tunatukanwa "ni pesa ya mboga" wengine "vijisenti tu"
halafu wengine wanafesibukika kirichmonde monde ukiwahoja wanajibu SAFARI YA MATUMAINI and of course natural justice,na wengi hatujasoma hatuelewi kama ni matusi au laah,
Mwalimu huku kwa sasa watu wana timu,na upinzani umeanzia CCM,kuna TIMU RICHIMONDEKA,kuna TIMU MAKUFURI YA POMBE,kuna TIMU MIEMBENI,kuna timu FEBRUARY MANYUZI,kuna TIMU MIHOGO,kuna TIMU MIZENGWE,kuna TIMU MAUGOKO NYENYERE,na zingine nyingi zinajisajili duuuuuh
Mwalimu wengine tunahisi Chama kimekosa meno,hakina taratibu sijui,hakina washauri sijui,hakina sheria na taratibu sijui,hakina kamati ya maadili sijui,yaani tuna SIJUI SIJUI milioni moja na ushehe
Mwalimu hivi si ulisema UTUMWA wa NCHI uliokomesha,tena na nyimbo tuliimba???
Mmmh sasa huku kuna utumwa mpya wa fikra watu wananua makundi ya ushawishi Mwalimu,watu wanauza utu wao Mwalimu,watu hawana rangi ya utaifa tena
Mwalimu, Mwalimu weeeeeh wenyewe wanamsemo wao wanasema ni shiiiiidaaaaaaah
Mwalimu kuna hawa ndugu zetu wa
UKIWA,bwana wanapiga hao,ungewapenda Sana,bungeni wanapiga mawe hao,ngumi jiwe hao,wanafanana na uzalendo hao,na ninahisi watashinda uchaguzi hao lakini je watapewa haoo?????
Mwalimu hawa vijana UKIWA bwana Mimi Nina amini ungewasapoti tu hivi Mwalimu kumbe ulikua mpinzani ndani ya chama uliyaona madudu etii eeeh????
Mwalimu au ndo mana ulikua HUVAI JEZI ZA YANGA kwanini??
OK nimeshaelewa tayari ulimaanisha chama ni itikadi za moyoni,uzalendo wa moyoni,harakati za moyoni,falsafa za moyoni,safi nimekupata
Mwalimu hawa watangaza tamaa,ooops sorry watangazania nimewashauri kabla ya kutangaza nia wakutane pale chamwino ikulu Dodoma,waweke CD za hotuba zako wakimaliza ndo watangaze nia
HIVI ni nani angetangaza nia????eti Mimi nahisi Kama DK SALIM A SALIM,MAUGOKO NYENYERE,NA WAHASIRA HASIRA STIVU,watu wanaangalia Sura eti Wahasira hasira anatisha,mmmmhhhhhhhh
HAYA MWALIMU MIMI NI HAYO TU,pumzika vizuri Mwalimu,
IJUE TANGANYIKA KWANZA KABLA TANZANIA HAIJAKUJUA
MUNGU IBARIKI TANZANIA

Tangu uondoke mengi yamejiri huku,naomba nikujuze kidogo angalau japo upate chochote
kuelekea UCHAGUZI mkuu 2015,
Tuna wasapika ki Richmond Richmond,
Tuna facebukika ki Escrow Escrow,
Tuna twitika ki Dowans Dowans,
Tuna instagramika ki Symbion symbion,
Tuna gugika ki meremeta meremeta,
Tuna extrimika kutangaza nia,
Tunafurushika kuomba ridhaa Ikulu
Mwalimu hivi si ulisema IKULU si pango la wanyan'ganyi???basi huku watangaza tamaa wanakaribia kuvuka hata idadi ya wabunge wa chama chako cha CCM,
Mwalimu nakumbuka sana uliagiza kila Waziri awe anasoma kitabu cha mchumi kilimo wa kifaransa Rene Dumont, cha Africa inakwenda pabaya (false start in Africa),ili kujua changamoto za kiuchumi na namna ya kuzitatua
Sasa hivi thubutu kila kitu ni watsapp,kila kitu ni Instagram, watu wanapiga picha kaburi lako wanapost tu watsapp,tweeter, Facebook eti wanakuenzi,wakitoka butiama eti wanatangaza nia umewapa baraka mwalimu ni kweli????kwa nini wasienzi Azimio la Arusha
Mwalimu uadilifu uliotufunza leo haupo tena
Mwalimu kumbuka uteuzi wa uwaziri mkuu mwaka 1984 baada ya kifo cha sokoine,Pamoja na hayati Paul Bomani,nafasi kubwa ilikua kwa John samwel malecela
Mwalimu ulifanya maamuzi magumu,yakumuengua Malecela kwa sababu ya kauli yake ya dharau kwa wananchi,waliolalamikia ufanisi duni wa shirika la Reli,chini ya wizara yake aliwaambia wananchi "waende Kuzimu"
Mwalimu huku Leo hii wanawasapika wa Escrow tukiwahoji tunatukanwa "ni pesa ya mboga" wengine "vijisenti tu"
halafu wengine wanafesibukika kirichmonde monde ukiwahoja wanajibu SAFARI YA MATUMAINI and of course natural justice,na wengi hatujasoma hatuelewi kama ni matusi au laah,
Mwalimu huku kwa sasa watu wana timu,na upinzani umeanzia CCM,kuna TIMU RICHIMONDEKA,kuna TIMU MAKUFURI YA POMBE,kuna TIMU MIEMBENI,kuna timu FEBRUARY MANYUZI,kuna TIMU MIHOGO,kuna TIMU MIZENGWE,kuna TIMU MAUGOKO NYENYERE,na zingine nyingi zinajisajili duuuuuh
Mwalimu wengine tunahisi Chama kimekosa meno,hakina taratibu sijui,hakina washauri sijui,hakina sheria na taratibu sijui,hakina kamati ya maadili sijui,yaani tuna SIJUI SIJUI milioni moja na ushehe
Mwalimu hivi si ulisema UTUMWA wa NCHI uliokomesha,tena na nyimbo tuliimba???
Mmmh sasa huku kuna utumwa mpya wa fikra watu wananua makundi ya ushawishi Mwalimu,watu wanauza utu wao Mwalimu,watu hawana rangi ya utaifa tena
Mwalimu, Mwalimu weeeeeh wenyewe wanamsemo wao wanasema ni shiiiiidaaaaaaah
Mwalimu kuna hawa ndugu zetu wa
UKIWA,bwana wanapiga hao,ungewapenda Sana,bungeni wanapiga mawe hao,ngumi jiwe hao,wanafanana na uzalendo hao,na ninahisi watashinda uchaguzi hao lakini je watapewa haoo?????
Mwalimu hawa vijana UKIWA bwana Mimi Nina amini ungewasapoti tu hivi Mwalimu kumbe ulikua mpinzani ndani ya chama uliyaona madudu etii eeeh????
Mwalimu au ndo mana ulikua HUVAI JEZI ZA YANGA kwanini??
OK nimeshaelewa tayari ulimaanisha chama ni itikadi za moyoni,uzalendo wa moyoni,harakati za moyoni,falsafa za moyoni,safi nimekupata
Mwalimu hawa watangaza tamaa,ooops sorry watangazania nimewashauri kabla ya kutangaza nia wakutane pale chamwino ikulu Dodoma,waweke CD za hotuba zako wakimaliza ndo watangaze nia
HIVI ni nani angetangaza nia????eti Mimi nahisi Kama DK SALIM A SALIM,MAUGOKO NYENYERE,NA WAHASIRA HASIRA STIVU,watu wanaangalia Sura eti Wahasira hasira anatisha,mmmmhhhhhhhh
HAYA MWALIMU MIMI NI HAYO TU,pumzika vizuri Mwalimu,
IJUE TANGANYIKA KWANZA KABLA TANZANIA HAIJAKUJUA
MUNGU IBARIKI TANZANIA

Hivi unapoona bendera hii unakumbuka nini au inakufikrisha nini?

Hivi unapoona bendera hii unakumbuka nini au inakufikrisha nini?

Sunday, 14 June 2015

Morning Devotional Reading
June 14, 2015
From Ye Shall Receive Power
Global Mission: The Spirit Opens Doors
And this gospel of the kingdom shall be preached in all the world for a witness unto all nations; and then shall the end come. Matthew 24:14. {YRP 174.1}
The whole world is a vast missionary field, and yet we who have long been established in the truth should be encouraged with the thought that fields which were once difficult of access are now easily entered. Every church in our land should seek for the revival of the missionary spirit. They should seek for steady growth in zeal and activity. All should pray that the indifference which has caused both men and means to be withheld from the work may be banished, and that Christ may abide in the soul. For our sake He became poor, that we through His poverty might be made rich. {YRP 174.2}
The office work of the Holy Spirit is to convince of sin, and I know that it is a sin for any one of us to be indifferent now. As we look around at the different fields that have been entered, we are led to inquire, "What hath God wrought?" What more could He have done for His vineyard than He has done? God has made provision to supply His rich grace, to give divine power for the performance of His work. Nothing is wanting on the part of God; the lack is on the part of the human agency, who refuses to cooperate with divine intelligences. Through the plan He has devised, nothing can be done for the salvation of man save through the cooperation of man. Sinners who have been blessed with light and evidence, who know that through grace that can be supplied to them, they may meet the conditions upon which salvation is promised, and yet who decline to make the attempt, have but themselves to blame for their own destruction. We feel that of such it may be said that Christ has died for them in vain. {YRP 174.3}
But who is to blame for the loss of souls who know not God, and who have had no opportunity for hearing the reasons of our faith? What obligation rests upon the church in reference to a world that is perishing without the gospel? Unless there is more decided self-denial on the part of those who claim to believe the truth, unless there is more decided faithfulness in bringing all the tithes and offerings into the treasury, unless broader plans are laid than have yet been carried into execution, we shall not fulfill the gospel commission to go into all the world, and preach Christ to every creature.--Home Missionary, Apr. 1, 1895. {YRP 174.4}



Morning Devotional Reading
June 14, 2015
From Ye Shall Receive Power
Global Mission: The Spirit Opens Doors
And this gospel of the kingdom shall be preached in all the world for a witness unto all nations; and then shall the end come. Matthew 24:14. {YRP 174.1}
The whole world is a vast missionary field, and yet we who have long been established in the truth should be encouraged with the thought that fields which were once difficult of access are now easily entered. Every church in our land should seek for the revival of the missionary spirit. They should seek for steady growth in zeal and activity. All should pray that the indifference which has caused both men and means to be withheld from the work may be banished, and that Christ may abide in the soul. For our sake He became poor, that we through His poverty might be made rich. {YRP 174.2}
The office work of the Holy Spirit is to convince of sin, and I know that it is a sin for any one of us to be indifferent now. As we look around at the different fields that have been entered, we are led to inquire, "What hath God wrought?" What more could He have done for His vineyard than He has done? God has made provision to supply His rich grace, to give divine power for the performance of His work. Nothing is wanting on the part of God; the lack is on the part of the human agency, who refuses to cooperate with divine intelligences. Through the plan He has devised, nothing can be done for the salvation of man save through the cooperation of man. Sinners who have been blessed with light and evidence, who know that through grace that can be supplied to them, they may meet the conditions upon which salvation is promised, and yet who decline to make the attempt, have but themselves to blame for their own destruction. We feel that of such it may be said that Christ has died for them in vain. {YRP 174.3}
But who is to blame for the loss of souls who know not God, and who have had no opportunity for hearing the reasons of our faith? What obligation rests upon the church in reference to a world that is perishing without the gospel? Unless there is more decided self-denial on the part of those who claim to believe the truth, unless there is more decided faithfulness in bringing all the tithes and offerings into the treasury, unless broader plans are laid than have yet been carried into execution, we shall not fulfill the gospel commission to go into all the world, and preach Christ to every creature.--Home Missionary, Apr. 1, 1895. {YRP 174.4}



Kikosi cha Taifa Stars.Kikosi cha Taifa Star TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars inaanza kampeni ya kufuta historia mbaya ya kufuzu kwa fainali moja tu za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon), itakapoivaa Misri kuwania kufuzu fainali za 2017 nchini Gabon.
Tanzania imefuzu kwa fainali za kwanza na za mwisho mwaka 1980 nchini Nigeria na hadi sasa haijawahi kutia tena mguu katika fainali hizo na leo itakuwa ugenini Alexandria kuanza kampeni ya kufuta historia hiyo isiyopendeza.
Taifa Stars na Misri pamoja na Nigeria na Chad wako katika Kundi G la michuano hiyo ya kwenda Gabon na jana mabingwa wa Afrika 2013, Nigeria walicheza na Chad katika mechi ya kwanza ya kundi.
Kikosi cha Mart Nooij kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kiliwasili salama katika eneo la Borg El Arab jijini Alexandria tayari kwa mchezo wa leo utakaoanza saa mbili usiku kwa saa za Tanzania.
Taifa Stars iliyokuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka juzi usiku Addis Ababa na kuwasili Cairo saa nane usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani saa tatu.
Akizungumzia mchezo huo, Nooij alisema anashukuru kikosi kimefika salama nchini Misri na kipo katika hali nzuri, vijana wana ari na morali ya hali ya juu, anaamini timu itafanya vizuri katika mchezo huo dhidi ya wenyeji Misri.
Nooij alisema mchezo huo ni muhimu kwake, na kikosi chake kitacheza mpira wa kasi na pasi za haraka haraka, huku safu ya ushambuliaji ikihakikisha inatumia vizuri nafasi itakazozipata.
Aidha, kiungo Amri Kiemba ameungana na wachezaji wengine waliokuwa kambini Addis Ababa kuchukua nafasi ya Mrisho Ngasa ambaye alishindwa kuungana na timu kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wake.
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia pia yuko Alexandria kwa ajili ya kuipa sapoti Taifa Stars katika mchezo huo muhimu utakaochezwa kwenye Uwanja wa Jeshi la Misri (Borg El Arab) uliopo takribani kilometa 70 kutoka jijini Alexandria na kilometa 200 kutoka jiji la Cairo.
Lakini katika siku za karibuni, Stars imekuwa haina matokeo mazuri chini ya Nooij aliyepewa kazi hiyo Aprili mwaka jana, na Watanzania wengi wamepaza sauti wakitaka kocha huyo Mholanzi atupiwe virago vyake.
Anaingia uwanjani akiwa anashika nafasi ya 127 kwa ubora wa soka duniani, na anakutana na timu ambayo ina usongo wa kutocheza fainali za Afrika kwa siku za karibuni kutokana na matatizo ya kisiasa na sasa hilo wameliweka pembeni na kuanza kujipanga upya ili kurejesha makali yao katika soka.

Kikosi cha Taifa Stars.Kikosi cha Taifa Star TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars inaanza kampeni ya kufuta historia mbaya ya kufuzu kwa fainali moja tu za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon), itakapoivaa Misri kuwania kufuzu fainali za 2017 nchini Gabon.
Tanzania imefuzu kwa fainali za kwanza na za mwisho mwaka 1980 nchini Nigeria na hadi sasa haijawahi kutia tena mguu katika fainali hizo na leo itakuwa ugenini Alexandria kuanza kampeni ya kufuta historia hiyo isiyopendeza.
Taifa Stars na Misri pamoja na Nigeria na Chad wako katika Kundi G la michuano hiyo ya kwenda Gabon na jana mabingwa wa Afrika 2013, Nigeria walicheza na Chad katika mechi ya kwanza ya kundi.
Kikosi cha Mart Nooij kinachodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager kiliwasili salama katika eneo la Borg El Arab jijini Alexandria tayari kwa mchezo wa leo utakaoanza saa mbili usiku kwa saa za Tanzania.
Taifa Stars iliyokuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka juzi usiku Addis Ababa na kuwasili Cairo saa nane usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani saa tatu.
Akizungumzia mchezo huo, Nooij alisema anashukuru kikosi kimefika salama nchini Misri na kipo katika hali nzuri, vijana wana ari na morali ya hali ya juu, anaamini timu itafanya vizuri katika mchezo huo dhidi ya wenyeji Misri.
Nooij alisema mchezo huo ni muhimu kwake, na kikosi chake kitacheza mpira wa kasi na pasi za haraka haraka, huku safu ya ushambuliaji ikihakikisha inatumia vizuri nafasi itakazozipata.
Aidha, kiungo Amri Kiemba ameungana na wachezaji wengine waliokuwa kambini Addis Ababa kuchukua nafasi ya Mrisho Ngasa ambaye alishindwa kuungana na timu kutokana na sababu zilizopo nje ya uwezo wake.
Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Juma Nkamia pia yuko Alexandria kwa ajili ya kuipa sapoti Taifa Stars katika mchezo huo muhimu utakaochezwa kwenye Uwanja wa Jeshi la Misri (Borg El Arab) uliopo takribani kilometa 70 kutoka jijini Alexandria na kilometa 200 kutoka jiji la Cairo.
Lakini katika siku za karibuni, Stars imekuwa haina matokeo mazuri chini ya Nooij aliyepewa kazi hiyo Aprili mwaka jana, na Watanzania wengi wamepaza sauti wakitaka kocha huyo Mholanzi atupiwe virago vyake.
Anaingia uwanjani akiwa anashika nafasi ya 127 kwa ubora wa soka duniani, na anakutana na timu ambayo ina usongo wa kutocheza fainali za Afrika kwa siku za karibuni kutokana na matatizo ya kisiasa na sasa hilo wameliweka pembeni na kuanza kujipanga upya ili kurejesha makali yao katika soka.



Thursday, 11 June 2015

11-117LOWASSA HABARI NYINGINE KANDA YA ZIWA
 WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameendelea kutesa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa anakopita kutafuta wadhamini akitafuta kuteuliwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa alianza kusaka wadhamini alipotua mkoani Mwanza wiki iliyopita ambako alipata mapokezi makubwa huku maelfu ya wana CCM wakijitokeza kumdhamini.
Hadi sasa Lowassa ametembelea mikoa ya Mwanza ambapo alidhaminiwa na wanachama 2676 , Geita, Mara, Mjini na Magharibi Zanzibar na Kaskazini na Kusini kisiwani Pemba.
Jana aliingia Mkoa Mara akitokea Mkoa wa Geita na kupata mapokezi makubwa katika uwanja wa ndege wa mjini Musoma saa 5.00 asubuhi.
Kabla hata Lowassa hajawasili Musoma, tayari watu wengi walikuwa wakimsubiri katika uwanja wa ndege, huku waendesha pikipiki (bodaboda) na magari mbalimbali yakiwa yamepangwa kwa ajili ya msafara wake.
Wanachama hao walimzuia Lowassa na msafara wake aliyekuwa akienda kwenye ofisi ya CCM mkoa huku wakitaka kwanza azungumze nao.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, aliwazuia akisema kanuni za chama kwa sasa haziruhusu Lowassa kuhutubia kwa vile muda wa kampeni bado.
Baada ya kutoka katika ofisi ya CCM mkoa, Lowassa alikwenda wilayani Butiama katika Kijiji cha Mwitongo nyumbani kwa hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Alipokewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Annarose Nyamubi na watoto wa Mwalimu Nyerere, Madaraka na Andrew na Chifu wa ukoo huo, Japhet Wanzagi.
Akiwa Mwitongo, mtoto wa Mwalimu Nyerere, Andrew, ndiye alizungumza kwa niaba ya familia kwa kumkaribisha Lowassa.
Hata hivyo Mama Maria Nyerere hakuwapo kwa kile kilichoelezwa na Madaraka Nyerere kuwa yuko Dar es Salaam kwa muda mrefu.
Lowassa na msafara wake walipata nafasi ya kuzuru kaburi la Mwalimu Nyerere kabla ya kutembelea msiba wa dada yake Mwalimu Nyerere, Tagaz na mpwa, John, waliofariki dunia juzi.
Msafara wazuiwa
Baada ya kutoka Butiama, msafara wa Lowassa ulielekea wilayani Bunda. Hata hivyo ilibidi usimame katika Kijiji cha Bitaraguru baada ya wana CCM na mashabiki kuusimamsha wakitaka azungumze nao.
Akizungumza na wana CCM hao, Lowassa aliwataka kumwombea katika safari yake ya matumaini.
“Asanteni kwa maokezi makubwa mliyonipa. Naomba mniombee mambo yangu yawe mazuri. Naenda na natamani kuwahutubia ila muda hautoshi, nitarudi mambo yatakapokuwa mazuri. Nawaomba wenye misalaba, rozari mpige magoti mniombee,” alisema Lowassa.
Lugola akoleza mapokezi
Akizungumza katika ofisi ya CCM Wilaya ya Bunda, Mbunge wa Mwibara, Alfaxard Kangi Lugola alisema, “wananchi wa wilaya hiyo wameacha kazi zao ili kuja kupakia gari lako la matumaini.
“Hii inanikumbusha maandiko ya Biblia ambako Yesu aliwauliza wanafunzi wake, Je, watu wananinenaje huko nje? Wanafunzi wake wakajibu, wengine wanakuita Eliya, wengine Yohana Mbatizaji. Akauliza tena, na ninyi mnaninenaje? Wakajibu, Wewe ni Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
“Tulipokuwa ofisini Lowassa uliniuliza lakini sasa umeona jinsi watu wanavyokunena hapa.”
Lugora alisema wananchi hao wameridhishwa na kazi ya Lowassa alipokuwa Waziri wa Maji ya kutoa maji kutoka ziwa Victoria kuyapeleka kwa wananchi.
Lowassa alipata wananchama 617 waliomdhamini.
Bunda ni jimbo la Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira ambaye pia amechukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM.
Hujuma Tarime
Wakati huohuo, baadhi ya wanachama wa CCM wilayani Tarime walizozana katika ofisi ya wilaya hiyo wakigombea kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa katika harakati zake za kugombea urais kupitia chama hicho.
Lowassa aliingia wiilayani Tarime saa 9.00 alasiri na kuelekea katika ofisi hiyo ambako alipokelewa na umati mkubwa wana CCM na mashabiki.
Awali Katibu wa CCM Wilaya hiyo, Barnabas Ilembe, alisema waliojitokeza kumdhamini Lowassa walikuwa 274 jambo lililofanya wanachama waliokuwa wamekusanyika ofisini hapo kulalamika wakikosoa takwimu hizo na wakidai hazikuwa za kweli.
Hata hivyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya alisema ni hiari ya wanachama kumdhamini mtu wanayemtaka hivyo waachwe.
“Ni hiari ya wanachama kumdhamini mtu wanayemtaka. Kuna watu wanamhujumu Lowassa asidhaminiwe, hilo ni kosa kubwa katika chama. Wewe katibu huna mamlaka ya kuzuia watu,” alisema Sanya na kuongeza:
“Kama Katibu una mgombea wako sema kwa sababu ni kosa kwa kiongozi wa chama kuwa na mgombea mgongoni. Mimi nitaleta kila mtu kama nilivyomleta Lowassa”.
Baada ya kauli ya Sanya, katibu huyo wa wilaya alikabidhi fomu kwa Lowassa huku wanachama wakiendelea kulalamika wakitaka wapewe nafasi ya kumdhamini.

11-117LOWASSA HABARI NYINGINE KANDA YA ZIWA
 WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ameendelea kutesa katika mikoa ya Kanda ya Ziwa anakopita kutafuta wadhamini akitafuta kuteuliwa mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Lowassa alianza kusaka wadhamini alipotua mkoani Mwanza wiki iliyopita ambako alipata mapokezi makubwa huku maelfu ya wana CCM wakijitokeza kumdhamini.
Hadi sasa Lowassa ametembelea mikoa ya Mwanza ambapo alidhaminiwa na wanachama 2676 , Geita, Mara, Mjini na Magharibi Zanzibar na Kaskazini na Kusini kisiwani Pemba.
Jana aliingia Mkoa Mara akitokea Mkoa wa Geita na kupata mapokezi makubwa katika uwanja wa ndege wa mjini Musoma saa 5.00 asubuhi.
Kabla hata Lowassa hajawasili Musoma, tayari watu wengi walikuwa wakimsubiri katika uwanja wa ndege, huku waendesha pikipiki (bodaboda) na magari mbalimbali yakiwa yamepangwa kwa ajili ya msafara wake.
Wanachama hao walimzuia Lowassa na msafara wake aliyekuwa akienda kwenye ofisi ya CCM mkoa huku wakitaka kwanza azungumze nao.
Hata hivyo, Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, aliwazuia akisema kanuni za chama kwa sasa haziruhusu Lowassa kuhutubia kwa vile muda wa kampeni bado.
Baada ya kutoka katika ofisi ya CCM mkoa, Lowassa alikwenda wilayani Butiama katika Kijiji cha Mwitongo nyumbani kwa hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere.
Alipokewa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Annarose Nyamubi na watoto wa Mwalimu Nyerere, Madaraka na Andrew na Chifu wa ukoo huo, Japhet Wanzagi.
Akiwa Mwitongo, mtoto wa Mwalimu Nyerere, Andrew, ndiye alizungumza kwa niaba ya familia kwa kumkaribisha Lowassa.
Hata hivyo Mama Maria Nyerere hakuwapo kwa kile kilichoelezwa na Madaraka Nyerere kuwa yuko Dar es Salaam kwa muda mrefu.
Lowassa na msafara wake walipata nafasi ya kuzuru kaburi la Mwalimu Nyerere kabla ya kutembelea msiba wa dada yake Mwalimu Nyerere, Tagaz na mpwa, John, waliofariki dunia juzi.
Msafara wazuiwa
Baada ya kutoka Butiama, msafara wa Lowassa ulielekea wilayani Bunda. Hata hivyo ilibidi usimame katika Kijiji cha Bitaraguru baada ya wana CCM na mashabiki kuusimamsha wakitaka azungumze nao.
Akizungumza na wana CCM hao, Lowassa aliwataka kumwombea katika safari yake ya matumaini.
“Asanteni kwa maokezi makubwa mliyonipa. Naomba mniombee mambo yangu yawe mazuri. Naenda na natamani kuwahutubia ila muda hautoshi, nitarudi mambo yatakapokuwa mazuri. Nawaomba wenye misalaba, rozari mpige magoti mniombee,” alisema Lowassa.
Lugola akoleza mapokezi
Akizungumza katika ofisi ya CCM Wilaya ya Bunda, Mbunge wa Mwibara, Alfaxard Kangi Lugola alisema, “wananchi wa wilaya hiyo wameacha kazi zao ili kuja kupakia gari lako la matumaini.
“Hii inanikumbusha maandiko ya Biblia ambako Yesu aliwauliza wanafunzi wake, Je, watu wananinenaje huko nje? Wanafunzi wake wakajibu, wengine wanakuita Eliya, wengine Yohana Mbatizaji. Akauliza tena, na ninyi mnaninenaje? Wakajibu, Wewe ni Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai.
“Tulipokuwa ofisini Lowassa uliniuliza lakini sasa umeona jinsi watu wanavyokunena hapa.”
Lugora alisema wananchi hao wameridhishwa na kazi ya Lowassa alipokuwa Waziri wa Maji ya kutoa maji kutoka ziwa Victoria kuyapeleka kwa wananchi.
Lowassa alipata wananchama 617 waliomdhamini.
Bunda ni jimbo la Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Steven Wasira ambaye pia amechukua fomu ya kugombea urais kupitia CCM.
Hujuma Tarime
Wakati huohuo, baadhi ya wanachama wa CCM wilayani Tarime walizozana katika ofisi ya wilaya hiyo wakigombea kumdhamini Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa katika harakati zake za kugombea urais kupitia chama hicho.
Lowassa aliingia wiilayani Tarime saa 9.00 alasiri na kuelekea katika ofisi hiyo ambako alipokelewa na umati mkubwa wana CCM na mashabiki.
Awali Katibu wa CCM Wilaya hiyo, Barnabas Ilembe, alisema waliojitokeza kumdhamini Lowassa walikuwa 274 jambo lililofanya wanachama waliokuwa wamekusanyika ofisini hapo kulalamika wakikosoa takwimu hizo na wakidai hazikuwa za kweli.
Hata hivyo Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya alisema ni hiari ya wanachama kumdhamini mtu wanayemtaka hivyo waachwe.
“Ni hiari ya wanachama kumdhamini mtu wanayemtaka. Kuna watu wanamhujumu Lowassa asidhaminiwe, hilo ni kosa kubwa katika chama. Wewe katibu huna mamlaka ya kuzuia watu,” alisema Sanya na kuongeza:
“Kama Katibu una mgombea wako sema kwa sababu ni kosa kwa kiongozi wa chama kuwa na mgombea mgongoni. Mimi nitaleta kila mtu kama nilivyomleta Lowassa”.
Baada ya kauli ya Sanya, katibu huyo wa wilaya alikabidhi fomu kwa Lowassa huku wanachama wakiendelea kulalamika wakitaka wapewe nafasi ya kumdhamini.

  KOCHA Msaidizi wa timu ya soka ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema pengo lililoachwa na winga hatari nchini, Mrisho Ngassa litachukua muda mrefu kuzibika kutokana na uwezo binafsi aliokuwa nao.
Ngassa amejiunga na Free State inayoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini PSL, kwa mkataba wa miaka minne baada ya kumaliza muda wa kuitumikia klabu hiyo ya Jangwani kwa misimu miwili mfululizo.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa mazoezi ya jana asubuhi kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, Mkwasa alisema anajua wamesajili wachezaji wenye uwezo mkubwa na aina ya uchezaji kama Ngassa lakini siyo rahisi wachezaji hao wakacheza kama ilivyokua kwa nyota huyo.
“Ngassa atabaki kuwa Ngassa na hiyo inatokana na aina ya uchezaji wake na tunachotakiwa kufanya sisi kama makocha ni kuwatengeneza wachezaji hawa tuliowasajili ili waweze kucheza kitimu na kutusaidia lakini siyo kujifananisha na Ngassa,” alisema Mkwasa.
Kocha huyo msaidizi alisema ana matumaini makubwa na mchezaji Duesi Kaseke waliyemsajili kutoka Mbeya City, lakini Aidha, kutakuwa na tuzo ya kipa bora inayowaniwa na makipa Mohamed Yusup (Prisons), Said Mohamed (Mtibwa Sugar), Shaban Kado (Coastal union).
Tuzo ya kocha bora inawaniwa na Goran Kopunovic (Simba SC), Hans Van Der Pluijm (Yanga) na Mbwana Makata - (Prisons). Kwa upande wa mwamuzi bora, tuzo hiyo inawaniwa na Israel Nkongo, Jonesia Rukyaa na Samwel Mpenzu.
Tuzo ya timu yenye nidhamu inawaniwa na Mgambo JKT, Mtibwa Sugar na Simba. Kwa mujibu wa mkataba wa Vodacom, mfungaji bora atazawadiwa Sh milioni 5.7, sawa na kipa bora na mchezaji bora.
Timu yenye nidhamu itawazwadiwa Sh milioni 17.2, mwamuzi bora atapata Sh milioni 8.6 sawa na kocha bora.
Katika hatua nyingine, mchezaji John Mahundi wa timu ya Coastal Union amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Mei, 2015 na jopo la makocha kufuatia kuwazidi wachezaji wengine 14 aliokuwa akiwania nao nafasi hiyo.
Kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi huo, Mahundi atazawadiwa fedha taslimu Sh milioni moja kutoka kwa wadhamini wa Ligi Kuu.

  KOCHA Msaidizi wa timu ya soka ya Yanga, Charles Boniface Mkwasa amesema pengo lililoachwa na winga hatari nchini, Mrisho Ngassa litachukua muda mrefu kuzibika kutokana na uwezo binafsi aliokuwa nao.
Ngassa amejiunga na Free State inayoshiriki Ligi Kuu ya Afrika Kusini PSL, kwa mkataba wa miaka minne baada ya kumaliza muda wa kuitumikia klabu hiyo ya Jangwani kwa misimu miwili mfululizo.
Akizungumza baada ya kumalizika kwa mazoezi ya jana asubuhi kwenye uwanja wa Karume Dar es Salaam, Mkwasa alisema anajua wamesajili wachezaji wenye uwezo mkubwa na aina ya uchezaji kama Ngassa lakini siyo rahisi wachezaji hao wakacheza kama ilivyokua kwa nyota huyo.
“Ngassa atabaki kuwa Ngassa na hiyo inatokana na aina ya uchezaji wake na tunachotakiwa kufanya sisi kama makocha ni kuwatengeneza wachezaji hawa tuliowasajili ili waweze kucheza kitimu na kutusaidia lakini siyo kujifananisha na Ngassa,” alisema Mkwasa.
Kocha huyo msaidizi alisema ana matumaini makubwa na mchezaji Duesi Kaseke waliyemsajili kutoka Mbeya City, lakini Aidha, kutakuwa na tuzo ya kipa bora inayowaniwa na makipa Mohamed Yusup (Prisons), Said Mohamed (Mtibwa Sugar), Shaban Kado (Coastal union).
Tuzo ya kocha bora inawaniwa na Goran Kopunovic (Simba SC), Hans Van Der Pluijm (Yanga) na Mbwana Makata - (Prisons). Kwa upande wa mwamuzi bora, tuzo hiyo inawaniwa na Israel Nkongo, Jonesia Rukyaa na Samwel Mpenzu.
Tuzo ya timu yenye nidhamu inawaniwa na Mgambo JKT, Mtibwa Sugar na Simba. Kwa mujibu wa mkataba wa Vodacom, mfungaji bora atazawadiwa Sh milioni 5.7, sawa na kipa bora na mchezaji bora.
Timu yenye nidhamu itawazwadiwa Sh milioni 17.2, mwamuzi bora atapata Sh milioni 8.6 sawa na kocha bora.
Katika hatua nyingine, mchezaji John Mahundi wa timu ya Coastal Union amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa Mei, 2015 na jopo la makocha kufuatia kuwazidi wachezaji wengine 14 aliokuwa akiwania nao nafasi hiyo.
Kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi huo, Mahundi atazawadiwa fedha taslimu Sh milioni moja kutoka kwa wadhamini wa Ligi Kuu.

MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu.MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuchuk MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.
“Kati ya wagombea 27 ambao tayari wamechukua fomu kabla yangu sioni kama kuna mgombea tishio kwangu,” alisema mgombea huyo huku akishangiliwa.
Bilohe alifika ofisi za makao makuu ya CCM saa nane mchana ambapo alilakiwa kwa shangwe na vigelegele na watumishi wa CCM makao makuu.
Hata hivyo, alishindwa kueleza vipaumbele vyake mpaka anamaliza muda wa kujieleza. Mgombea huyo ambaye alisahau kuzima simu yake wakati akizungumza simu hiyo ikaita na kuamua kuipokea.
“Subiri kidogo,” aliongea na simu kisha akakata. Akizungumza juu ya azma yake, alisema ameamua kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani amekuwa na dhamira hiyo tangu mwaka 2003.
“Dhamira hiyo iko moyoni tangu mwaka 2003 pale ambapo nilipotaka kuweka mambo sawa baadhi ya mambo yalijitokeza na kuchelewesha kusudio hilo,” alisema.
Alisema ilipofika mwaka 2015 aliamua kurudia nia yake ya dhati na Februari 5, mwaka huu alitangaza azma hiyo kwenye gazeti ya Sauti Huru. “Ninaomba kutafutiwa wadhamini kila mkoa ili kusaidiana nani kufika Dodoma kuomba kuteuliwa na CCM.”
Alisema kabla ya kuchukua uamuzi huo aliuliza baadhi ya watu ambao baadaye walimshauri agombee nafasi hiyo. “Nikafuata utaratibu baadae wakaniambia nikagombea, nikaenda kwa mwenyekiti akaniuliza je utaweza, nikamjibu nitaweza nikamwambia cha msingi ni kuniweka kwenye sala,” alisema.
Alisema wakati akijiandaa kufika Dodoma likajitokeza suala la kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ikabidi amalize zoezi hilo.
“Ilipofika Juni 3, mwaka huu nikawaomba barua ya kwenda Dodoma wakalifanyia kazi suala hilo, nikafika CCM mkoa wakakubali.” Alisema elimu yake ni ya taifa (darasa la saba) na amefika Dodoma kuchukua fomu za kugombea Urais akiwa kama Mtanzania “Nimekuja kama Mtanzania sikuja kama mchezo wa kupoteza fedha zangu”.
Alisema fedha za kuchukua fomu zimetoka mfukoni mwake na hajachangiwa na yeyote. Alipoulizwa kwa nini hajaongozana na mkewe alisema kwa sababu ambazo hazijaweza kuzuilika, mkewe alimtaka atangulie lakini pale atakapohitajika atapatikana.
Alipohojiwa kwa nini hana vipaumbele kutokana na nafasi anayogombea kuwa ni nyeti alisema ajira kwa vijana na maisha bora kwa wastaafu.
Juzi mgombea huyo alitinga makao makuu ya CCM kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea bila kuwa na ada, jambo ambalo lilifanya zoezi lake la kuchukua fomu kuahirishwa.
Mjasiriamali naye ajitosa Mkazi wa Kata ya Mwisenge Wilaya ya Musoma mkoani Mara, Boniface Ndengo (40), jana alichukua fomu ya kuwania Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Alisema ameamua kuchukua fomu ili kutimiza azma yake ya kutumikia wananchi. Ndengo ambaye mtaalamu wa masuala ya biashara na uongozi, alisema watu wanafanya siasa kama mambo ya kubahatisha bahatisha tu, lakini siasa ni taaluma inayoshughulika na kuboresha maisha ya watu na ana majukummu makubwa ya kushughulikia.
Pia alisema amekuwa akishangazwa kuona watu wenye umri mkubwa wakitafuta madaraka makubwa ya kutumikia wananchi wakati wakiwa wamechoka.
Alisema mtu anapofikia umri wa kustaafu anatakiwa kupunzika na si kutafuta kufanya shughuli za kisiasa. Alisema uongozi unatakiwa kufanywa na watu wenye umri wenye nguvu na si wenye umri wa kustaafu.
“Ni jambo la kujiuliza kwa nini kazi ya Urais inatafutwa na watu wenye umri wa kustaafu kwani umri wao umeshakuwa mkubwa na watu wameshachoka na wanatakiwa kupumzika,” alisema.
Alisema mahitaji makubwa ya Watanzania ni kupata kiongozi wa nchi atakayeweza kuondokana na umaskini. Alisema akiwa kama mtaalamu wa masuala ya biashara na uongozi na moja wa wahitimu wenye ufaulu bora kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amekuwa mbunifu wa mifumo mbalimbali ya kufaulisha sekta binafsi.
Alisema kutokana na taaluma hizo ameona ni wakati muafaka kwake kuwashawishi Watanzania kumpa fursa kutekeleza jukumu kubwa la nchi ilikusaidia watanzania kutoka kwenye umaskini.

MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu.MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuchuk MKULIMA kutoka Kasulu mkoani Kigoma, Eldeforce Bilohe (43) jana alichukua fomu za kuwania urais na kusema kuwa kati ya wagombea 27 ambao wamejitokeza haoni kama kuna mgombea ambaye ni tishio kwake.
“Kati ya wagombea 27 ambao tayari wamechukua fomu kabla yangu sioni kama kuna mgombea tishio kwangu,” alisema mgombea huyo huku akishangiliwa.
Bilohe alifika ofisi za makao makuu ya CCM saa nane mchana ambapo alilakiwa kwa shangwe na vigelegele na watumishi wa CCM makao makuu.
Hata hivyo, alishindwa kueleza vipaumbele vyake mpaka anamaliza muda wa kujieleza. Mgombea huyo ambaye alisahau kuzima simu yake wakati akizungumza simu hiyo ikaita na kuamua kuipokea.
“Subiri kidogo,” aliongea na simu kisha akakata. Akizungumza juu ya azma yake, alisema ameamua kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwani amekuwa na dhamira hiyo tangu mwaka 2003.
“Dhamira hiyo iko moyoni tangu mwaka 2003 pale ambapo nilipotaka kuweka mambo sawa baadhi ya mambo yalijitokeza na kuchelewesha kusudio hilo,” alisema.
Alisema ilipofika mwaka 2015 aliamua kurudia nia yake ya dhati na Februari 5, mwaka huu alitangaza azma hiyo kwenye gazeti ya Sauti Huru. “Ninaomba kutafutiwa wadhamini kila mkoa ili kusaidiana nani kufika Dodoma kuomba kuteuliwa na CCM.”
Alisema kabla ya kuchukua uamuzi huo aliuliza baadhi ya watu ambao baadaye walimshauri agombee nafasi hiyo. “Nikafuata utaratibu baadae wakaniambia nikagombea, nikaenda kwa mwenyekiti akaniuliza je utaweza, nikamjibu nitaweza nikamwambia cha msingi ni kuniweka kwenye sala,” alisema.
Alisema wakati akijiandaa kufika Dodoma likajitokeza suala la kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la wapiga kura ikabidi amalize zoezi hilo.
“Ilipofika Juni 3, mwaka huu nikawaomba barua ya kwenda Dodoma wakalifanyia kazi suala hilo, nikafika CCM mkoa wakakubali.” Alisema elimu yake ni ya taifa (darasa la saba) na amefika Dodoma kuchukua fomu za kugombea Urais akiwa kama Mtanzania “Nimekuja kama Mtanzania sikuja kama mchezo wa kupoteza fedha zangu”.
Alisema fedha za kuchukua fomu zimetoka mfukoni mwake na hajachangiwa na yeyote. Alipoulizwa kwa nini hajaongozana na mkewe alisema kwa sababu ambazo hazijaweza kuzuilika, mkewe alimtaka atangulie lakini pale atakapohitajika atapatikana.
Alipohojiwa kwa nini hana vipaumbele kutokana na nafasi anayogombea kuwa ni nyeti alisema ajira kwa vijana na maisha bora kwa wastaafu.
Juzi mgombea huyo alitinga makao makuu ya CCM kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwa mgombea bila kuwa na ada, jambo ambalo lilifanya zoezi lake la kuchukua fomu kuahirishwa.
Mjasiriamali naye ajitosa Mkazi wa Kata ya Mwisenge Wilaya ya Musoma mkoani Mara, Boniface Ndengo (40), jana alichukua fomu ya kuwania Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Alisema ameamua kuchukua fomu ili kutimiza azma yake ya kutumikia wananchi. Ndengo ambaye mtaalamu wa masuala ya biashara na uongozi, alisema watu wanafanya siasa kama mambo ya kubahatisha bahatisha tu, lakini siasa ni taaluma inayoshughulika na kuboresha maisha ya watu na ana majukummu makubwa ya kushughulikia.
Pia alisema amekuwa akishangazwa kuona watu wenye umri mkubwa wakitafuta madaraka makubwa ya kutumikia wananchi wakati wakiwa wamechoka.
Alisema mtu anapofikia umri wa kustaafu anatakiwa kupunzika na si kutafuta kufanya shughuli za kisiasa. Alisema uongozi unatakiwa kufanywa na watu wenye umri wenye nguvu na si wenye umri wa kustaafu.
“Ni jambo la kujiuliza kwa nini kazi ya Urais inatafutwa na watu wenye umri wa kustaafu kwani umri wao umeshakuwa mkubwa na watu wameshachoka na wanatakiwa kupumzika,” alisema.
Alisema mahitaji makubwa ya Watanzania ni kupata kiongozi wa nchi atakayeweza kuondokana na umaskini. Alisema akiwa kama mtaalamu wa masuala ya biashara na uongozi na moja wa wahitimu wenye ufaulu bora kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam amekuwa mbunifu wa mifumo mbalimbali ya kufaulisha sekta binafsi.
Alisema kutokana na taaluma hizo ameona ni wakati muafaka kwake kuwashawishi Watanzania kumpa fursa kutekeleza jukumu kubwa la nchi ilikusaidia watanzania kutoka kwenye umaskini.

Sunday, 7 June 2015

Pasina na kuangalia matokeo ni nani aliyekukosho jana aliyekukosha

Pasina na kuangalia matokeo ni nani aliyekukosho jana aliyekukosha

Saturday, 6 June 2015

Maandalizizi ya uandikishaji wa daftari la kudumu kwa njia ya teknolojia almaarufu BVR yameendelea wilayani misungwi. Kikubwa ni baadhi ya watu kushindwa usahili na kutupwa nje kwani hawakukidhi vigezo utajiuliza hawa maafisa watendaji kata waliwachaguaje  wakati wengine hata kuwasha komputer hawakuweza. ndiyo Tanzania yetu hii

Maandalizizi ya uandikishaji wa daftari la kudumu kwa njia ya teknolojia almaarufu BVR yameendelea wilayani misungwi. Kikubwa ni baadhi ya watu kushindwa usahili na kutupwa nje kwani hawakukidhi vigezo utajiuliza hawa maafisa watendaji kata waliwachaguaje  wakati wengine hata kuwasha komputer hawakuweza. ndiyo Tanzania yetu hii

Nimetembea na mke wa boss na kapata ujauzito.


Mimi ni dereva namuendesha mke wa boss wangu.  

Toka nimeanza kazi hii yapata mwaka mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia, kuna siku tulisafiri kwenda Mtwara kwenye biashara za huyu mama, kufika kule yule mama alilipia chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote na nikikataa ndiyo itakuwa mwisho wa ajira yangu nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara, sikuwa na jinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo na kiukweli mshahara niliongezewa.

Sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndiyo mwenye huo mzigo ila akanishauri niuchune kwa sababu mumewe anajua kwamba mkewe ni mjamzito.

SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANAFANANA NA MIMI ITAKUWAJE?
NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.

Naomba ushauri waungwana.

Nimetembea na mke wa boss na kapata ujauzito.


Mimi ni dereva namuendesha mke wa boss wangu.  

Toka nimeanza kazi hii yapata mwaka mmoja sasa mke wa boss alianza mitego nikawa namvumilia, kuna siku tulisafiri kwenda Mtwara kwenye biashara za huyu mama, kufika kule yule mama alilipia chumba kimoja tu nakuniambia tutalala wote na nikikataa ndiyo itakuwa mwisho wa ajira yangu nikikubali atafanya mpango wa kumshawishi boss aniongeze mshahara, sikuwa na jinsi nikala mzigo bila hata ya condom basi ndiyo ikawa mchezo kila tukitoka lazima mama boss anipe mzingo na kiukweli mshahara niliongezewa.

Sasa jana aliniita nakunieleza kuwa yeye ni mjamzito na mimi ndiyo mwenye huo mzigo ila akanishauri niuchune kwa sababu mumewe anajua kwamba mkewe ni mjamzito.

SASA WASIWASI WANGU AKIJA KUZALIWA MTOTO ANAFANANA NA MIMI ITAKUWAJE?
NA BOSS YANGU NI AFISA USALAMA WA TAIFA.

Naomba ushauri waungwana.


Msafara wa Mgombea nafasi ya Urais kupitia CCM Charles Makongo umepata jali mbaya Wilayani Kasulu ambapo Gari walilopanda wasaisdizi wake limepinduka.Makongoro hakuwemo katika gari hilo bali waliokuwemo wameumia akiwemo mwandishi wa habari Cyprian Musiba, na jamaa mmoja , Tutawajuza zaidi habari hizo


Msafara wa Mgombea nafasi ya Urais kupitia CCM Charles Makongo umepata jali mbaya Wilayani Kasulu ambapo Gari walilopanda wasaisdizi wake limepinduka.Makongoro hakuwemo katika gari hilo bali waliokuwemo wameumia akiwemo mwandishi wa habari Cyprian Musiba, na jamaa mmoja , Tutawajuza zaidi habari hizo

Ramadhan Singano SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeingilia mgogoro wa klabu ya Simba na mchezaji wake Ramadhan Singano na kuwaita kwa mazungumzo.
Simba na Singano wamekuwa kwenye mgogoro kwa takriban wiki ya pili sasa, ambapo mchezaji huyo anadai kutaka kuondoka kwa vile amemaliza mkataba wake wa miaka miwili huku uongozi wa klabu yake ukisema bado mchezaji wake halali kwani alisaini mkataba wa miaka mitatu unaotarajiwa kumalizika mwakani.
Taarifa ya TFF kwa vyombo vya habari jana ilisema imepokea kwa masikitiko taarifa za mgogoro wa kimkataba kati ya Singano na Simba.
“TFF imeagiza mwakilishi wa klabu ya Simba pamoja na mchezaji wa Simba wafike ofisi za TFF siku ya Jumanne tarehe 09/06/2015 kwa mazungumzo,” ilisomeka taarifa hiyo.
Aidha taarifa hiyo ilisema kila upande unatakiwa kufika na vielelezo vyake.
“Katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye mazungumzo, TFF inaziasa pande zote mbili zijiepushe na kutoa matamko yanayoweza kuchochea hali ya kutoelewana na kuamsha hisia mbaya katika familia ya mpira wa Miguu Tanzania,” ilisomeka taraifa hiyo.
Mwanzoni mwa wiki hii Simba ilitishia kumshitaki mchezaji huyo, kwa madai ameidhalilisha klabu kwa kitendo chake cha kudai hajasaini mkataba wa miaka mitatu na kumtaka apeleke mkataba wake wa miaka miwili anaodai alisaini.
Katika moja ya malalamiko yake, Singano ambaye anahusishwa na kutaka kujiunga na Azam anasema uwepo wake Simba haujamnufaisha kwani licha ya kufanya vizuri lakini hana pakuishi mpaka sasa.

Ramadhan Singano SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeingilia mgogoro wa klabu ya Simba na mchezaji wake Ramadhan Singano na kuwaita kwa mazungumzo.
Simba na Singano wamekuwa kwenye mgogoro kwa takriban wiki ya pili sasa, ambapo mchezaji huyo anadai kutaka kuondoka kwa vile amemaliza mkataba wake wa miaka miwili huku uongozi wa klabu yake ukisema bado mchezaji wake halali kwani alisaini mkataba wa miaka mitatu unaotarajiwa kumalizika mwakani.
Taarifa ya TFF kwa vyombo vya habari jana ilisema imepokea kwa masikitiko taarifa za mgogoro wa kimkataba kati ya Singano na Simba.
“TFF imeagiza mwakilishi wa klabu ya Simba pamoja na mchezaji wa Simba wafike ofisi za TFF siku ya Jumanne tarehe 09/06/2015 kwa mazungumzo,” ilisomeka taarifa hiyo.
Aidha taarifa hiyo ilisema kila upande unatakiwa kufika na vielelezo vyake.
“Katika kipindi hiki cha kuelekea kwenye mazungumzo, TFF inaziasa pande zote mbili zijiepushe na kutoa matamko yanayoweza kuchochea hali ya kutoelewana na kuamsha hisia mbaya katika familia ya mpira wa Miguu Tanzania,” ilisomeka taraifa hiyo.
Mwanzoni mwa wiki hii Simba ilitishia kumshitaki mchezaji huyo, kwa madai ameidhalilisha klabu kwa kitendo chake cha kudai hajasaini mkataba wa miaka mitatu na kumtaka apeleke mkataba wake wa miaka miwili anaodai alisaini.
Katika moja ya malalamiko yake, Singano ambaye anahusishwa na kutaka kujiunga na Azam anasema uwepo wake Simba haujamnufaisha kwani licha ya kufanya vizuri lakini hana pakuishi mpaka sasa.

Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleniAisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni “TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”
Ndivyo anavyoanza kusema Aisha Ally (25), mama mwenye mume na watoto watatu ambao anasoma nao katika Shule ya Msingi ya Meru, jijini hapa.
Mama huyo anasoma darasa la tano huku mwanawe Philomena (9) akisoma darasa la nne, Giftgod (5) akiwa darasa la kwanza pamoja na Thecla (3) ambaye yuko shule ya awali hapo hapo katika Shule ya Msingi Meru.
Kisa, huruma Aisha aliyezungumza na gazeti hili wiki hii, amesema matatizo yaliyoikumba familia yao huko nyuma, yalichangia ashindwe kabisa kuhudhuria masomo na badala yake akajikuta akiolewa na kupata watoto.
Kwa mujibu wa Aisha, alipanga kuanza darasa la kwanza kabisa, lakini walimu wa Shule ya Msingi Meru walimshauri aanzie darasa la nne kwani umri wake ulikuwa mkubwa.
Sababu nyingine iliyosukuma walimu watoe ushauri huo kwa mujibu wa Aisha, ni binti yake mkubwa, Philomena ambaye wakati huo alikuwa darasa la tatu na hivyo kama angeanza darasa la kwanza, angekuwa amemzidi mama yake kwa darasa moja.
Viboko
Akizungumza kwa kujiamini, Aisha alisema umbo lake dogo na ufupi wa kimo, vimemsaidia kuonekana kama mwanafunzi wa kawaida kiasi kwamba baadhi ya walimu wasiojua historia yake na wageni, humchukulia kama wanafunzi wengine tu na kumchapa viboko pale anapokosea.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Meru, Mussa Luambo amesema kuna utaratibu maalumu wa kusaidia wanafunzi waishio kwenye mazingira magumu, wakiwemo wale waliokosa elimu utotoni.
Kwa mujibu wa Mwalimu Luambo, Aisha ni miongoni mwa wanafunzi 20 walio kwenye kitengo hicho na baadhi ya walimu wameamua kuchangia fedha kutoka mifukoni mwao ili kuwasaidia.
“Kwa kweli wanafunzi wenye umri mkubwa huwa hatuwachapi kabisa ila tu kwa upande wa Aisha mwili wake mdogo huwa unamponza. Kuna walimu wasiomfahamu hivyo hudhani ni mwanafunzi wa kawaida,” alisema Mwalimu Luambo.
Mtoto ashuhudia
Akizungumza na gazeti hili, binti mkubwa wa Aisha, Philomena alisema; “Wakati mwingine huwa tunachapwa viboko pamoja na maumivu yakizidi mimi na wanafunzi wengine hulia machozi, lakini mama huwa halii kama sisi, tena haogopi wala haoneshi kujali kupewa adhabu.”
Hata hivyo, Aisha anakiri kuwa viboko ndio suala linalomkera zaidi shuleni hapo, kwani akishachapwa fimbo kadhaa za mkononi, baadae inakuwa vigumu kwake kufanya kazi za nyumbani za kufua, kuosha vyombo na kupika.
Biashara
Hivi karibuni alilazimika kuhamisha makazi yake na watoto kutoka eneo la Moshono, alikokuwa akiishi na mumewe Shani Malepu na kuanza kuishi katika chumba cha uani kwenye jengo ambalo amefungua biashara yake ya duka mjini Arusha.
“Kule Moshono ni mbali sana na shule na ilikuwa inatugharimu nauli za kila siku ili kuwahi masomo na mara nyingi tulikuwa tunachelewa kufika shuleni,” alielezea Aisha. Mama huyo ana matarajio ya kuendelea na elimu ya sekondari na anasema kuwa Mungu akimsaidia basi angependa kufika hadi chuo kikuu kabisa.
“Mimi binafsi nina juhudi katika elimu, maana nilianza shule nikiwa tayari najua kusoma maana nilikuwa najifunza mwenyewe nyumbani huku nikiendelea na biashara zangu kama kawaida,” anasema.
Mume
Akizungumza na gazeti hili, mume wa Aisha, Malepu alisema haoni tatizo kwa mama wa watoto wake kusoma shule ya msingi na wanawe. “Ni uamuzi wake mwenyewe na anaonesha kupenda shule.
Tuliwahi kupanga kuwa ajiunge na vyuo vya ufundi stadi, lakini baadaye akaona ni vyema zaidi ajiunge na elimu ya msingi na ninadhani ana mpango wa kuwa mwalimu baadaye,” alisema.

Aisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleniAisha (katikati nyuma) akiwa na wanae watatu shuleni “TANGU nilipozaliwa mkoani Morogoro mwaka 1990, sikupata nafasi ya kujiunga na masomo maana familia yetu ilikuwa ya kuhama hama na baba hakuonesha nia ya kunisomesha kabisa.”
Ndivyo anavyoanza kusema Aisha Ally (25), mama mwenye mume na watoto watatu ambao anasoma nao katika Shule ya Msingi ya Meru, jijini hapa.
Mama huyo anasoma darasa la tano huku mwanawe Philomena (9) akisoma darasa la nne, Giftgod (5) akiwa darasa la kwanza pamoja na Thecla (3) ambaye yuko shule ya awali hapo hapo katika Shule ya Msingi Meru.
Kisa, huruma Aisha aliyezungumza na gazeti hili wiki hii, amesema matatizo yaliyoikumba familia yao huko nyuma, yalichangia ashindwe kabisa kuhudhuria masomo na badala yake akajikuta akiolewa na kupata watoto.
Kwa mujibu wa Aisha, alipanga kuanza darasa la kwanza kabisa, lakini walimu wa Shule ya Msingi Meru walimshauri aanzie darasa la nne kwani umri wake ulikuwa mkubwa.
Sababu nyingine iliyosukuma walimu watoe ushauri huo kwa mujibu wa Aisha, ni binti yake mkubwa, Philomena ambaye wakati huo alikuwa darasa la tatu na hivyo kama angeanza darasa la kwanza, angekuwa amemzidi mama yake kwa darasa moja.
Viboko
Akizungumza kwa kujiamini, Aisha alisema umbo lake dogo na ufupi wa kimo, vimemsaidia kuonekana kama mwanafunzi wa kawaida kiasi kwamba baadhi ya walimu wasiojua historia yake na wageni, humchukulia kama wanafunzi wengine tu na kumchapa viboko pale anapokosea.
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Meru, Mussa Luambo amesema kuna utaratibu maalumu wa kusaidia wanafunzi waishio kwenye mazingira magumu, wakiwemo wale waliokosa elimu utotoni.
Kwa mujibu wa Mwalimu Luambo, Aisha ni miongoni mwa wanafunzi 20 walio kwenye kitengo hicho na baadhi ya walimu wameamua kuchangia fedha kutoka mifukoni mwao ili kuwasaidia.
“Kwa kweli wanafunzi wenye umri mkubwa huwa hatuwachapi kabisa ila tu kwa upande wa Aisha mwili wake mdogo huwa unamponza. Kuna walimu wasiomfahamu hivyo hudhani ni mwanafunzi wa kawaida,” alisema Mwalimu Luambo.
Mtoto ashuhudia
Akizungumza na gazeti hili, binti mkubwa wa Aisha, Philomena alisema; “Wakati mwingine huwa tunachapwa viboko pamoja na maumivu yakizidi mimi na wanafunzi wengine hulia machozi, lakini mama huwa halii kama sisi, tena haogopi wala haoneshi kujali kupewa adhabu.”
Hata hivyo, Aisha anakiri kuwa viboko ndio suala linalomkera zaidi shuleni hapo, kwani akishachapwa fimbo kadhaa za mkononi, baadae inakuwa vigumu kwake kufanya kazi za nyumbani za kufua, kuosha vyombo na kupika.
Biashara
Hivi karibuni alilazimika kuhamisha makazi yake na watoto kutoka eneo la Moshono, alikokuwa akiishi na mumewe Shani Malepu na kuanza kuishi katika chumba cha uani kwenye jengo ambalo amefungua biashara yake ya duka mjini Arusha.
“Kule Moshono ni mbali sana na shule na ilikuwa inatugharimu nauli za kila siku ili kuwahi masomo na mara nyingi tulikuwa tunachelewa kufika shuleni,” alielezea Aisha. Mama huyo ana matarajio ya kuendelea na elimu ya sekondari na anasema kuwa Mungu akimsaidia basi angependa kufika hadi chuo kikuu kabisa.
“Mimi binafsi nina juhudi katika elimu, maana nilianza shule nikiwa tayari najua kusoma maana nilikuwa najifunza mwenyewe nyumbani huku nikiendelea na biashara zangu kama kawaida,” anasema.
Mume
Akizungumza na gazeti hili, mume wa Aisha, Malepu alisema haoni tatizo kwa mama wa watoto wake kusoma shule ya msingi na wanawe. “Ni uamuzi wake mwenyewe na anaonesha kupenda shule.
Tuliwahi kupanga kuwa ajiunge na vyuo vya ufundi stadi, lakini baadaye akaona ni vyema zaidi ajiunge na elimu ya msingi na ninadhani ana mpango wa kuwa mwalimu baadaye,” alisema.

Wednesday, 3 June 2015

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick SumayeWaziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye
MAKADA wa CCM waliotangaza nia ya kuwania urais, sasa wamefikia tisa baada ya jana Profesa Sospeter Muhongo, Frederick Sumaye na Dk Titus Kamani, kutangaza rasmi dhamira hiyo wakiwa katika miji mitatu tofauti nchini.
Sumaye, Waziri Mkuu mstaafu alitangaza nia akiwa Dar es Salaam, Profesa Muhongo, Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu hivi karibuni alitangaza akiwa Musoma wakati Dk.
Kamani ambaye ni Waziri wa Maendeleo na Mifugo na Uvuvi alitangaza nia akiwa Mwanza.
Wengine waliokwishatangaza ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Kilimo, Chakula la Ushirika, Stephen Wassira, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu) Profesa Mark Mwandosya, Mbunge wa Afrika Mashariki, Charles Makongoro Nyerere na Balozi mstaafu, Ali Karume.
Sumaye na rushwa, ufisadi Sumaye, akitangaza rasmi nia yake jijini Dar es Salaam, alisema endapo atapatiwa ridhaa na chama chake pamoja na Watanzania atapambana kwa hali na mali kuondoa tatizo la rushwa na ufisadi.
Sumaye aliyeshika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na uwaziri mkuu kwa miaka 10, alisisitiza kuwa ametangaza nia hiyo kwa kuwa tayari ameshapima, ametafakari na kujiridhisha kuwa anatosha kuwaongoza Watanzania.
“Mimi naweka wazi leo hii, tatizo la ufisadi na rushwa kwangu halivumiliki kwanza nayachukia kabisa matendo hayo. Nawahakikishia Watanzania mkinipa ridhaa nipatambana na rushwa na ufisadi kwa ujasiri bila uoga wowote, nitawashughulikia wote watakaohusika bila kujali sura, vyeo, urafiki wala nafasi zao katika nchi hii,” alisisitiza.
Alisema amewasikia baadhi ya wagombea wenzake wa nafasi ya urais ndani ya CCM, kila mmoja kwa wakati wake akizungumzia kupambana na rushwa.
Aliongeza kuwa “Kuna mmoja wao anasema eti Watanzania hawataki kiongozi masikini kwa hiyo huyu kwa namna nyingine anataka kiongozi tajiri, cha kushangaza mtu huyo anasema yeye si tajiri bado anatafuta utajiri, tena anataka urais, sasa swali hivi Ikulu ndiko kwenye utajiri?” Alihoji Sumaye.
Akizungumzia sababu za kutaka kuwania urais, Sumaye aliyejaribu urais mwaka 2010, alisema pamoja na kujipima na kuona anatosha, Watanzania wengi wanamtambua kutokana na kuwa kiongozi wa muda mrefu ambaye alitumikia Serikali ya awamu ya tatu kwa uadilifu na mafanikio makubwa.
“Tangu mwaka 1985 nimekuwa mbunge, nimekuwa Naibu Waziri, nikawa Waziri, na baadaye Waziri Mkuu kwa miaka 10 mfululizo, kwa hiyo kama ni jeshini mimi ni yule unayeweza kusema mwanajeshi aliyeiva na si kuchupia,” alisisitiza.
Akizungumzia suala la ubinafsishaji wa mashirika ya umma na uuzwaji wa nyumba za Serikali, Sumaye alisema Serikali yake ilitekeleza mipango hiyo kutokana na Sera iliyokuwepo ambayo ilipitiwa na kujadiliwa na Baraza la Mawaziri na Rais kushauriwa.
Aidha, alizungumzia kashfa za benki ya NBC, Rada, Mgodi wa Kiwira, ndege ya Rais zilizoikumba Serikali yake na kubainisha kuwa katika maeneo yote tajwa, hakuna hata moja lenye sifa ya kashfa kwa kuwa yalibinafsishwa kwa taratibu zilizotakiwa huku mengine yakiwa na hali mbaya.
“Tena Kiwira ndio ilikuwa na hali mbaya tangu zamani, bahati mbaya tu akina Daniel Yona na Rais Benjamin Mkapa waliwekeza, kutokana na hali yake Rais Mkapa alijitoa baada ya siku tatu tu,” alisema.
Alisema endapo atapewa ridhaa na chama chake na Watanzania, vipaumbele vyake vitakuwa ni uchumi, rushwa, huduma za jamii, muungano, umoja na amani. Katika rushwa ataunda Mahakama maalumu ya kusimamia na kushughulikia kesi za rushwa na ufisadi.
Sumaye alisisitiza kuwa endapo chama hicho kitateua mgombea anayependa rushwa au fisadi, msimamo wake ni kujitoa kwenye chama hicho.
“Ila sijajiandaa kujitoa, kwa kuwa najua chama changu chenye viongozi wengi makini, hakitoweza kamwe kuteua mgombea mwenye sifa mbaya ya ufisadi na rushwa,” alisema.
Muhongo na uchumi Profesa Muhongo amewaomba wana CCM na Watanzania ridhaa ya kugombea urais Oktoba, akisema ana uwezo wa kupaisha uchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo, hivyo kumaliza umasikini.
Aliomba ridhaa hiyo jana katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wilayani Musoma mkoani Mara, na kueleza kuwa atatenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya utafiti, ili ukuzaji uchumi na ushindani usifanywe kwa kubahatisha.
Katika maelezo aliyoyatoa kuanzia saa 10:00 jioni, Muhongo alisema kupitia mapinduzi atakayoyafanya katika sekta za elimu, viwanda, kilimo, ufugaji, uvuvi, gesi na madini, kwa kuzingatia utafiti zaidi, atasababisha kukua kwa ajira na pato la taifa, kufikia zaidi ya Dola za Marekani bilioni 200, baada ya miaka 10 kuanzia atakapokuwa Rais.
Muhongo aliyekataa kuahidi chochote kuhusu mishahara ya watumishi wa umma, na ujenzi wa shule, hadi aimarishe uchumi kwa kuiacha nchi ya Kenya mbali, alisema; “Nitahakikisha gesi tuliyonayo inatuletea manufaa katika viwanda na kuianzishia mfuko maalumu ili fedha zake zisiende Hazina, kutoa fursa kwa wakulima, wafugaji, wavuvi na wazalishaji wengine nchini, kukopeshwa mitaji kwa asilimia mbili”.
Mbali na vipaumbele vya utafiti na mapinduzi katika sekta ya gesi, Profesa Muhongo alitaja vingine kuwa ni elimu, aliyoeleza kwamba ataiongezea bajeti na kuboresha maslahi ya walimu na kuwalipa mishahara sawa na madaktari, kama wafanyavyo Finland, kuongeza vifaa vya elimu na kupunguza idadi ya wanafunzi darasani kuwa kati ya 15-35.
Akitoa ufafanuzi wa jinsi atakavyotekeleza vipaumbele vyake na kukuza uchumi, Professa Muhongo alisema, atatumia utaalamu na wataalamu waliopo na atakao waongeza kuhakikisha gesi inaleta mtaji wa Sh bilioni 500 na kuchangia kuzalisha umeme mwingi zaidi.
“Tumegundua gesi kiasi cha futi za ujazo trilioni 56, sawa na mapipa bilioni 10 ya mafuta, yanayoweza kutuletea fedha hizo, hivyo kutuweka katika nafasi nzuri ya kukuza uchumi wa nchi,” alisema.
Kamani na rasilimali za nchi Dk Kamani aliainisha vipaumbele sita muhimu, alivyodhamiria kuvitekeleza katika Serikali yake, endapo atafanikiwa kuingia madarakani, akisema atajikita katika kuimarisha mshikamano wa uongozi unaoshirikisha wananchi katika matumizi ya rasilimali za taifa.
Vipaumbele vyake vingine ni uadilifu kwa taifa, ili kuwawezesha viongozi wa ngazi zote kufanya kazi kwa uadilifu, elimu kwa wote, kuweka mazingira bora ya ajira serikalini na katika sekta binafsi, kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wote bila ya kubagua dini, kabila wala rangi zao na kuhakikisha kuwa rasilimali ya nishati, inawanufaisha watu wote na kuhakikisha nchi inakuwa na miundombinu imara muda wote.
Alisema katika uongozi wake, atadhamiria kuijenga Tanzania moja, yenye upendo, amani na mshikamano, uadilifu lakini yenye kuwajali watu wake bila ya kubagua, huku wakiwa na urari sawia wa kumiliki rasilimali za nchi.
Katika kuwa na uhakika wa rasilimali fedha, alisema serikali yake itajiweka mazingira mazuri ya ukusanyaji wa maduhuri ya serikali kwa kuangalia upya vipaumbele vya ujenzi wa uchumi wa taifa, huku akiapa kushughulikia wazembe na wala rushwa.
“Bila ya kudhibiti rushwa taifa litaangamia, nitakuwa mkali katika swala la rushwa”, alisema.
Imeandikwa na Halima Mlacha na Namsembaeli Mduma (Dar), Nashon Kennedy (Mwanza) na Ahmed Makongo (Musoma).

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick SumayeWaziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye
MAKADA wa CCM waliotangaza nia ya kuwania urais, sasa wamefikia tisa baada ya jana Profesa Sospeter Muhongo, Frederick Sumaye na Dk Titus Kamani, kutangaza rasmi dhamira hiyo wakiwa katika miji mitatu tofauti nchini.
Sumaye, Waziri Mkuu mstaafu alitangaza nia akiwa Dar es Salaam, Profesa Muhongo, Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu hivi karibuni alitangaza akiwa Musoma wakati Dk.
Kamani ambaye ni Waziri wa Maendeleo na Mifugo na Uvuvi alitangaza nia akiwa Mwanza.
Wengine waliokwishatangaza ni Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Kilimo, Chakula la Ushirika, Stephen Wassira, Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu) Profesa Mark Mwandosya, Mbunge wa Afrika Mashariki, Charles Makongoro Nyerere na Balozi mstaafu, Ali Karume.
Sumaye na rushwa, ufisadi Sumaye, akitangaza rasmi nia yake jijini Dar es Salaam, alisema endapo atapatiwa ridhaa na chama chake pamoja na Watanzania atapambana kwa hali na mali kuondoa tatizo la rushwa na ufisadi.
Sumaye aliyeshika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwa ni pamoja na uwaziri mkuu kwa miaka 10, alisisitiza kuwa ametangaza nia hiyo kwa kuwa tayari ameshapima, ametafakari na kujiridhisha kuwa anatosha kuwaongoza Watanzania.
“Mimi naweka wazi leo hii, tatizo la ufisadi na rushwa kwangu halivumiliki kwanza nayachukia kabisa matendo hayo. Nawahakikishia Watanzania mkinipa ridhaa nipatambana na rushwa na ufisadi kwa ujasiri bila uoga wowote, nitawashughulikia wote watakaohusika bila kujali sura, vyeo, urafiki wala nafasi zao katika nchi hii,” alisisitiza.
Alisema amewasikia baadhi ya wagombea wenzake wa nafasi ya urais ndani ya CCM, kila mmoja kwa wakati wake akizungumzia kupambana na rushwa.
Aliongeza kuwa “Kuna mmoja wao anasema eti Watanzania hawataki kiongozi masikini kwa hiyo huyu kwa namna nyingine anataka kiongozi tajiri, cha kushangaza mtu huyo anasema yeye si tajiri bado anatafuta utajiri, tena anataka urais, sasa swali hivi Ikulu ndiko kwenye utajiri?” Alihoji Sumaye.
Akizungumzia sababu za kutaka kuwania urais, Sumaye aliyejaribu urais mwaka 2010, alisema pamoja na kujipima na kuona anatosha, Watanzania wengi wanamtambua kutokana na kuwa kiongozi wa muda mrefu ambaye alitumikia Serikali ya awamu ya tatu kwa uadilifu na mafanikio makubwa.
“Tangu mwaka 1985 nimekuwa mbunge, nimekuwa Naibu Waziri, nikawa Waziri, na baadaye Waziri Mkuu kwa miaka 10 mfululizo, kwa hiyo kama ni jeshini mimi ni yule unayeweza kusema mwanajeshi aliyeiva na si kuchupia,” alisisitiza.
Akizungumzia suala la ubinafsishaji wa mashirika ya umma na uuzwaji wa nyumba za Serikali, Sumaye alisema Serikali yake ilitekeleza mipango hiyo kutokana na Sera iliyokuwepo ambayo ilipitiwa na kujadiliwa na Baraza la Mawaziri na Rais kushauriwa.
Aidha, alizungumzia kashfa za benki ya NBC, Rada, Mgodi wa Kiwira, ndege ya Rais zilizoikumba Serikali yake na kubainisha kuwa katika maeneo yote tajwa, hakuna hata moja lenye sifa ya kashfa kwa kuwa yalibinafsishwa kwa taratibu zilizotakiwa huku mengine yakiwa na hali mbaya.
“Tena Kiwira ndio ilikuwa na hali mbaya tangu zamani, bahati mbaya tu akina Daniel Yona na Rais Benjamin Mkapa waliwekeza, kutokana na hali yake Rais Mkapa alijitoa baada ya siku tatu tu,” alisema.
Alisema endapo atapewa ridhaa na chama chake na Watanzania, vipaumbele vyake vitakuwa ni uchumi, rushwa, huduma za jamii, muungano, umoja na amani. Katika rushwa ataunda Mahakama maalumu ya kusimamia na kushughulikia kesi za rushwa na ufisadi.
Sumaye alisisitiza kuwa endapo chama hicho kitateua mgombea anayependa rushwa au fisadi, msimamo wake ni kujitoa kwenye chama hicho.
“Ila sijajiandaa kujitoa, kwa kuwa najua chama changu chenye viongozi wengi makini, hakitoweza kamwe kuteua mgombea mwenye sifa mbaya ya ufisadi na rushwa,” alisema.
Muhongo na uchumi Profesa Muhongo amewaomba wana CCM na Watanzania ridhaa ya kugombea urais Oktoba, akisema ana uwezo wa kupaisha uchumi kwa kutumia rasilimali zilizopo, hivyo kumaliza umasikini.
Aliomba ridhaa hiyo jana katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) wilayani Musoma mkoani Mara, na kueleza kuwa atatenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya utafiti, ili ukuzaji uchumi na ushindani usifanywe kwa kubahatisha.
Katika maelezo aliyoyatoa kuanzia saa 10:00 jioni, Muhongo alisema kupitia mapinduzi atakayoyafanya katika sekta za elimu, viwanda, kilimo, ufugaji, uvuvi, gesi na madini, kwa kuzingatia utafiti zaidi, atasababisha kukua kwa ajira na pato la taifa, kufikia zaidi ya Dola za Marekani bilioni 200, baada ya miaka 10 kuanzia atakapokuwa Rais.
Muhongo aliyekataa kuahidi chochote kuhusu mishahara ya watumishi wa umma, na ujenzi wa shule, hadi aimarishe uchumi kwa kuiacha nchi ya Kenya mbali, alisema; “Nitahakikisha gesi tuliyonayo inatuletea manufaa katika viwanda na kuianzishia mfuko maalumu ili fedha zake zisiende Hazina, kutoa fursa kwa wakulima, wafugaji, wavuvi na wazalishaji wengine nchini, kukopeshwa mitaji kwa asilimia mbili”.
Mbali na vipaumbele vya utafiti na mapinduzi katika sekta ya gesi, Profesa Muhongo alitaja vingine kuwa ni elimu, aliyoeleza kwamba ataiongezea bajeti na kuboresha maslahi ya walimu na kuwalipa mishahara sawa na madaktari, kama wafanyavyo Finland, kuongeza vifaa vya elimu na kupunguza idadi ya wanafunzi darasani kuwa kati ya 15-35.
Akitoa ufafanuzi wa jinsi atakavyotekeleza vipaumbele vyake na kukuza uchumi, Professa Muhongo alisema, atatumia utaalamu na wataalamu waliopo na atakao waongeza kuhakikisha gesi inaleta mtaji wa Sh bilioni 500 na kuchangia kuzalisha umeme mwingi zaidi.
“Tumegundua gesi kiasi cha futi za ujazo trilioni 56, sawa na mapipa bilioni 10 ya mafuta, yanayoweza kutuletea fedha hizo, hivyo kutuweka katika nafasi nzuri ya kukuza uchumi wa nchi,” alisema.
Kamani na rasilimali za nchi Dk Kamani aliainisha vipaumbele sita muhimu, alivyodhamiria kuvitekeleza katika Serikali yake, endapo atafanikiwa kuingia madarakani, akisema atajikita katika kuimarisha mshikamano wa uongozi unaoshirikisha wananchi katika matumizi ya rasilimali za taifa.
Vipaumbele vyake vingine ni uadilifu kwa taifa, ili kuwawezesha viongozi wa ngazi zote kufanya kazi kwa uadilifu, elimu kwa wote, kuweka mazingira bora ya ajira serikalini na katika sekta binafsi, kuimarisha huduma za afya kwa wananchi wote bila ya kubagua dini, kabila wala rangi zao na kuhakikisha kuwa rasilimali ya nishati, inawanufaisha watu wote na kuhakikisha nchi inakuwa na miundombinu imara muda wote.
Alisema katika uongozi wake, atadhamiria kuijenga Tanzania moja, yenye upendo, amani na mshikamano, uadilifu lakini yenye kuwajali watu wake bila ya kubagua, huku wakiwa na urari sawia wa kumiliki rasilimali za nchi.
Katika kuwa na uhakika wa rasilimali fedha, alisema serikali yake itajiweka mazingira mazuri ya ukusanyaji wa maduhuri ya serikali kwa kuangalia upya vipaumbele vya ujenzi wa uchumi wa taifa, huku akiapa kushughulikia wazembe na wala rushwa.
“Bila ya kudhibiti rushwa taifa litaangamia, nitakuwa mkali katika swala la rushwa”, alisema.
Imeandikwa na Halima Mlacha na Namsembaeli Mduma (Dar), Nashon Kennedy (Mwanza) na Ahmed Makongo (Musoma).

In Burundi's capital, protesters took to the streets again against President Pierre Nkurunziza's decision to run for a third term.
Scenes of unrest resumed on Tuesday morning in Bujumbura where police used teargas and live bullets to disband groups of protesters in several neighborhoods of the city.
As soon as the clashes erupted, bystanders and street vendors quickly ran to find shelter behind gate doors, observing the scene from a distance. Still, some got teargas canisters thrown in their backyard, among them, Eric.
"So now the police has decided to attack the population," he said. "They threw this teargas can in my yard... Can you imagine, there are mamas, and papas, and children in here."
In another neighborhood, tensions were also high. A car from the Red Cross made its way between the police and the protesters and took away several injured people, who said they were hit by live bullets from the police.
"Instead of protecting us," one man said, "the police kill us."
The renewed violence comes after East African leaders gathered in Tanzania last weekend to discuss the crisis in Burundi.
They urged the government to delay the elections planned this month, but the protesters say that the summit didn't address what they ask for: that President Nkurunziza not seek a third term.

In Burundi's capital, protesters took to the streets again against President Pierre Nkurunziza's decision to run for a third term.
Scenes of unrest resumed on Tuesday morning in Bujumbura where police used teargas and live bullets to disband groups of protesters in several neighborhoods of the city.
As soon as the clashes erupted, bystanders and street vendors quickly ran to find shelter behind gate doors, observing the scene from a distance. Still, some got teargas canisters thrown in their backyard, among them, Eric.
"So now the police has decided to attack the population," he said. "They threw this teargas can in my yard... Can you imagine, there are mamas, and papas, and children in here."
In another neighborhood, tensions were also high. A car from the Red Cross made its way between the police and the protesters and took away several injured people, who said they were hit by live bullets from the police.
"Instead of protecting us," one man said, "the police kill us."
The renewed violence comes after East African leaders gathered in Tanzania last weekend to discuss the crisis in Burundi.
They urged the government to delay the elections planned this month, but the protesters say that the summit didn't address what they ask for: that President Nkurunziza not seek a third term.

With the resignation of FIFA president Sepp Blatter amid a snowballing corruption scandal that has ensnared more than a half dozen officials, world soccer lurched into uncharted territory Tuesday.
Re-elected FIFA President Sepp Blatter arrives for a news conference after an extraordinary Executive Committee meeting in Zurich, Switzerland, May 30, 2015.Re-elected FIFA President Sepp Blatter arrives for a news conference after an extraordinary Executive Committee meeting in Zurich, Switzerland, May 30, 2015.
Blatter’s announcement, which came just days after he was re-elected head of the soccer's international governing organization, stunned the sporting world. It already had been reeling from the indictments unveiled last week by U.S. prosecutors.
Reaction ranged from restrained joy to smug satisfaction Tuesday as Blatter’s name and hashtags such as #BlatterOut rocketed to the top of Twitter and Facebook.
A number of commentators also questioned whether FIFA’s eyebrow-raising decision to award the 2018 and 2022 World Cup tournaments to Russia and Qatar might be open for discussion. Swiss authorities last week announced they were conducting a separate criminal investigation into how those sites were chosen.
"Change at the very top of FIFA is the necessary first step in delivering real reform of the organization," said Greg Dyke, head of Britain’s Football Association, which oversees the world’s wealthiest soccer league, the Premier League.
In comments later to The Guardian, Dyke went even further.

With the resignation of FIFA president Sepp Blatter amid a snowballing corruption scandal that has ensnared more than a half dozen officials, world soccer lurched into uncharted territory Tuesday.
Re-elected FIFA President Sepp Blatter arrives for a news conference after an extraordinary Executive Committee meeting in Zurich, Switzerland, May 30, 2015.Re-elected FIFA President Sepp Blatter arrives for a news conference after an extraordinary Executive Committee meeting in Zurich, Switzerland, May 30, 2015.
Blatter’s announcement, which came just days after he was re-elected head of the soccer's international governing organization, stunned the sporting world. It already had been reeling from the indictments unveiled last week by U.S. prosecutors.
Reaction ranged from restrained joy to smug satisfaction Tuesday as Blatter’s name and hashtags such as #BlatterOut rocketed to the top of Twitter and Facebook.
A number of commentators also questioned whether FIFA’s eyebrow-raising decision to award the 2018 and 2022 World Cup tournaments to Russia and Qatar might be open for discussion. Swiss authorities last week announced they were conducting a separate criminal investigation into how those sites were chosen.
"Change at the very top of FIFA is the necessary first step in delivering real reform of the organization," said Greg Dyke, head of Britain’s Football Association, which oversees the world’s wealthiest soccer league, the Premier League.
In comments later to The Guardian, Dyke went even further.

Dar es Salaam. Kimya kingi kina mshindo! Ndicho unachoweza kusema baada ya uongozi wa Simba kuibuka na kueleza kuwa utaishtaki Azam FC kutokana na kumshawishi kwa lengo la kumsajili Ramadhani Singano ‘Messi’ pamoja na kuponda usajili uliofanywa na wapinzani wao kwa Malimi Busungu.
Akizungumza kwenye makao makuu ya klabu hiyo, Msimbazi jijini Dar es Salaam, ofisa habari wa Simba, Haji Manara alisema klabu yao imeamua kumwaga mboga baada ya kuona inafanyiwa hujuma.
“Sisi Simba, sasa imetosha, kama watu wanaamua kumwaga ugali, sisi tunamwaga mboga, hatutaki kuyumbishwa,” alisema Manara kwa jazba huku akieleza kuwa muda wa kuyumbishwa kwa klabu yao umepita.
Hivi karibuni, Messi alihusishwa na kufanya mazungumzo ya kujiunga na Azam.
Kuhusu hilo, Manara alisema wanatafuta ushahidi ili kuishtaki klabu pinzani ambayo ilifanya mazungumzo na mchezaji huyo.
“Tumesikia kuna klabu imefanya mazungumzo na mchezaji wetu, Messi ambaye bado ana mkataba wa mwaka mmoja, kama inamtaka ije tuipe dau letu, lakini si kuitana kinyemela.
Akijibu shutuma hizo, Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba alikanusha madai ya kufanya mazungumzo na Messi na kueleza kuwa haina mpango wa kumsajili nyota huyo wa Simba.
Sababu za kumkosa Busungu
Simba katika mchakato wa kupata saini ya mshambuliaji Malimi Busungu wa Mgambo JKT aliyejiunga na Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita na kumkosa.
Hata hivyo, Manara alibainisha kuwa ilimwacha nyota huyo ambaye alitaka fedha ambazo haziendani na thamani ya kiwango chake uwanjani.
“Tulimwambia ukweli Busungu kuwa kama ana nia ya kucheza Simba, dau letu ni Sh5 milioni, yeye akahitaji Sh40 milioni, fedha ambazo tulimwambia hatuwezi kumpa kwani hajafikia kiwango hicho,” alisema Manara.
Naye mwenyekiti wa kamati ya usajili wa Simba, Zacharia Hanspoppe aliwaponda Yanga kiaina baada ya kudai kuwa wao hawataki kusajili wachezaji wanaovuma, bali wanasajili kwa kuangalia mahitaji ya timu.

Alisema anajua kuwa wengi wanataka kuona Simba ikisajili wachezaji wenye majina makubwa na wanaovuma hivi sasa, lakini wao hawaangalii hilo, wanachoangalia ni ubora wa mchezaji na mahitaji ya kikosi chao kwanza.
“Sisi wala hatutaki kushindana na mtu katika kusajili, eti huyu kasajili huyu na sisi tusajili yule, hilo kwetu halipo, tunachofanya ni kusajili kulingana na timu inahitaji nini kwa wakati huo,” alisema Hanspoppe.
“Timu yetu bado ni nzuri, inakosa mambo madogo madogo, hivyo tunachofanya ni kukiongezea nguvu katika nafasi ambazo tumeona zimepwaya na wala hatutaki kusajili mchezaji kwa sababu jina lake linavuma, tunasajili mchezaji tunayemhitaji na siyo anayevuma,” alisema Hanspoppe.
Rage ahusishwa sakata la Messi
Klabu ya Simba imekuwa katika marumbano na mshambuliaji wake, Ramadhan Singano ‘Messi’ ambaye anadai kughushiwa kwa mkataba wake. “Mkataba wa Messi tumeurithi kwa uongozi uliopita (mwenyekiti alikuwa Ismail Aden Rage) na walimsajili kwa mkataba wa miaka mitatu, leo hii anadai alisaini miaka miwili. “Dole gumba na saini ni ya Messi na tulipomuuliza alisema alisainishwa na Mzee Kinesi (Joseph Itang’are), niweke wazi kuwa Simba haijawahi na haiwezi kughushi mikataba ya mchezaji yeyote,” alisema.
Alisema klabu hiyo imeunda kamati maalumu kuchunguza jambo hilo na itachukua hatua stahiki baada ya uchunguzi wao kukamilika.
Yamtupia virago Amri Kiemba
Akizungumzia usajili wa mchezaji Amri Kiemba ambaye Azam aliyokuwa akiichezea kwa mkopo imeeleza dhamira ya kumrudisha ilikomtoa (Simba), Manara alisema klabu hiyo haina mpango na mchezaji huyo.
“Hatuna mpango wa kumrudisha Kiemba, hatuna nafasi hiyo,” alisema Manara ambaye hakuwa tayari kuweka wazi kama mkataba wa mchezaji huyo na klabu hiyo umemalizika au la.
Madeni yanayoikabili klabu
“Nakiri ni kweli tunadaiwa, lakini hakuna taasisi duniani ambayo haidaiwi, hata Marekani, nchi tajiri inadaiwa, sembuse Simba, tunajipanga ili kulipa madeni hayo,” alisema Manara.
Alikiri kuwa klabu yao inadaiwa na baadhi ya wachezaji wake iliyovunja nao mikataba, Amissi Tambwe na Donald Mosoti.

Ujio wa kocha mpya na usajili
Akizungumzia kazi ya usajili na kocha mpya, Manara alisema, kocha mpya atatangazwa ndani ya siku nne kuanzia jana baada ya uongozi kukamilisha mchujo wa makocha walioomba kuinoa timu hiyo.
“Usajili tunaendelea vizuri, na kweli nilikwenda kwenye mashindano ya Cosafa (Afrika Kusini) ili kuangalia wachezaji, mchakato utakapokamilika kila kitu kitawekwa wazi, tutasajili kutokana na mahitaji yetu msimu ujao na upungufu tuliokuwa nao msimu uliopita ,” alisema.

Dar es Salaam. Kimya kingi kina mshindo! Ndicho unachoweza kusema baada ya uongozi wa Simba kuibuka na kueleza kuwa utaishtaki Azam FC kutokana na kumshawishi kwa lengo la kumsajili Ramadhani Singano ‘Messi’ pamoja na kuponda usajili uliofanywa na wapinzani wao kwa Malimi Busungu.
Akizungumza kwenye makao makuu ya klabu hiyo, Msimbazi jijini Dar es Salaam, ofisa habari wa Simba, Haji Manara alisema klabu yao imeamua kumwaga mboga baada ya kuona inafanyiwa hujuma.
“Sisi Simba, sasa imetosha, kama watu wanaamua kumwaga ugali, sisi tunamwaga mboga, hatutaki kuyumbishwa,” alisema Manara kwa jazba huku akieleza kuwa muda wa kuyumbishwa kwa klabu yao umepita.
Hivi karibuni, Messi alihusishwa na kufanya mazungumzo ya kujiunga na Azam.
Kuhusu hilo, Manara alisema wanatafuta ushahidi ili kuishtaki klabu pinzani ambayo ilifanya mazungumzo na mchezaji huyo.
“Tumesikia kuna klabu imefanya mazungumzo na mchezaji wetu, Messi ambaye bado ana mkataba wa mwaka mmoja, kama inamtaka ije tuipe dau letu, lakini si kuitana kinyemela.
Akijibu shutuma hizo, Mtendaji Mkuu wa Azam, Saad Kawemba alikanusha madai ya kufanya mazungumzo na Messi na kueleza kuwa haina mpango wa kumsajili nyota huyo wa Simba.
Sababu za kumkosa Busungu
Simba katika mchakato wa kupata saini ya mshambuliaji Malimi Busungu wa Mgambo JKT aliyejiunga na Yanga mwishoni mwa wiki iliyopita na kumkosa.
Hata hivyo, Manara alibainisha kuwa ilimwacha nyota huyo ambaye alitaka fedha ambazo haziendani na thamani ya kiwango chake uwanjani.
“Tulimwambia ukweli Busungu kuwa kama ana nia ya kucheza Simba, dau letu ni Sh5 milioni, yeye akahitaji Sh40 milioni, fedha ambazo tulimwambia hatuwezi kumpa kwani hajafikia kiwango hicho,” alisema Manara.
Naye mwenyekiti wa kamati ya usajili wa Simba, Zacharia Hanspoppe aliwaponda Yanga kiaina baada ya kudai kuwa wao hawataki kusajili wachezaji wanaovuma, bali wanasajili kwa kuangalia mahitaji ya timu.

Alisema anajua kuwa wengi wanataka kuona Simba ikisajili wachezaji wenye majina makubwa na wanaovuma hivi sasa, lakini wao hawaangalii hilo, wanachoangalia ni ubora wa mchezaji na mahitaji ya kikosi chao kwanza.
“Sisi wala hatutaki kushindana na mtu katika kusajili, eti huyu kasajili huyu na sisi tusajili yule, hilo kwetu halipo, tunachofanya ni kusajili kulingana na timu inahitaji nini kwa wakati huo,” alisema Hanspoppe.
“Timu yetu bado ni nzuri, inakosa mambo madogo madogo, hivyo tunachofanya ni kukiongezea nguvu katika nafasi ambazo tumeona zimepwaya na wala hatutaki kusajili mchezaji kwa sababu jina lake linavuma, tunasajili mchezaji tunayemhitaji na siyo anayevuma,” alisema Hanspoppe.
Rage ahusishwa sakata la Messi
Klabu ya Simba imekuwa katika marumbano na mshambuliaji wake, Ramadhan Singano ‘Messi’ ambaye anadai kughushiwa kwa mkataba wake. “Mkataba wa Messi tumeurithi kwa uongozi uliopita (mwenyekiti alikuwa Ismail Aden Rage) na walimsajili kwa mkataba wa miaka mitatu, leo hii anadai alisaini miaka miwili. “Dole gumba na saini ni ya Messi na tulipomuuliza alisema alisainishwa na Mzee Kinesi (Joseph Itang’are), niweke wazi kuwa Simba haijawahi na haiwezi kughushi mikataba ya mchezaji yeyote,” alisema.
Alisema klabu hiyo imeunda kamati maalumu kuchunguza jambo hilo na itachukua hatua stahiki baada ya uchunguzi wao kukamilika.
Yamtupia virago Amri Kiemba
Akizungumzia usajili wa mchezaji Amri Kiemba ambaye Azam aliyokuwa akiichezea kwa mkopo imeeleza dhamira ya kumrudisha ilikomtoa (Simba), Manara alisema klabu hiyo haina mpango na mchezaji huyo.
“Hatuna mpango wa kumrudisha Kiemba, hatuna nafasi hiyo,” alisema Manara ambaye hakuwa tayari kuweka wazi kama mkataba wa mchezaji huyo na klabu hiyo umemalizika au la.
Madeni yanayoikabili klabu
“Nakiri ni kweli tunadaiwa, lakini hakuna taasisi duniani ambayo haidaiwi, hata Marekani, nchi tajiri inadaiwa, sembuse Simba, tunajipanga ili kulipa madeni hayo,” alisema Manara.
Alikiri kuwa klabu yao inadaiwa na baadhi ya wachezaji wake iliyovunja nao mikataba, Amissi Tambwe na Donald Mosoti.

Ujio wa kocha mpya na usajili
Akizungumzia kazi ya usajili na kocha mpya, Manara alisema, kocha mpya atatangazwa ndani ya siku nne kuanzia jana baada ya uongozi kukamilisha mchujo wa makocha walioomba kuinoa timu hiyo.
“Usajili tunaendelea vizuri, na kweli nilikwenda kwenye mashindano ya Cosafa (Afrika Kusini) ili kuangalia wachezaji, mchakato utakapokamilika kila kitu kitawekwa wazi, tutasajili kutokana na mahitaji yetu msimu ujao na upungufu tuliokuwa nao msimu uliopita ,” alisema.


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid jana aliwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya wizara yake kwa mwaka 2015/16, akiomba kuidhinishiwa Sh813 bilioni.
Kati ya fedha hizo, Sh444.6 bilioni kwa ajili ya miradi ya maendeleo na Sh369.3 bilioni kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Kimsingi afya ni sekta mojawapo yenye changamoto lukuki hapa nchini. Ni sekta muhimu katika kuchangia ustawi wa Taifa.  Kumekuwa na changamoto kadhaa  katika sekta  ya Afya. Hata hivyo Serikali imefanya jitihada kubwa kukabiliana na changamoto hizo.
Baadhi ya  jitihada hizo ni  kupandisha viwango vya hospitali, kukarabati na kuongeza majengo, kuongezeka kwa wataalamu wa afya pamoja na huduma  za kitaaluma katika baadhi ya hospitali zetu.
Lakini pamoja na jitihada hizo mabadiliko hayo yamekuwa hayalingani na ongezeko la idadi ya watu pamoja na  sayansi na teknolojia.  Kwa mfano tatizo la uhaba wa dawa limeendelea kuvikumba vituo vyote vya  Serikali hapa Tanzania kiasi cha kuwa chanzo cha vifo vingi ambavyo  vinatibika.
Tatizo jingine katika sekta hiyo ni upungufu wa vifaa tiba. Vituo  vingi vya  tiba vimekabiliwa na upungufu huo na kusababisha wagonjwa kutopata tiba kwa ufasaha hivyo kuhatarishaafya zao. Si ajabu hospitali kukaa muda mrefu bila kipimo cha wingi wa damu, kipimo cha sukari na hata X-Ray.
Uhaba wa dawa umekuwa ni tatizo kubwa nchini na malalamiko mengi yametolewa. Kwa mfano mapitio ya kumbukumbu za Bunge ya 2008/09-2012/13 yanaonyesha takribani asilimia 35 ya wabunge ambao huchangia katika mjadala wa bajeti ya afya, hulalamika uhaba wa dawa vituoni na kuitaka Serikali kuongeza fedha.
Pia kuna tafiti kadhaa zimefanywa kuhusu tatizo la uhaba wa dawa kwenye hospitali na vituo vya afya. Kwa mfano utafiti uliofanywa na Taasisi ya Ifakara nchini (IHI), ulibaini kuwa  katika kipindi cha mwaka 2012 dawa muhimu zilizokuwepo katika vituo zilikuwa asilimia 41 tu.
Kwa mujibu wa utafiti huo, hali hiyo ilimaanisha kuwa kwa takribani asilimia 60 ya dawa muhimu hazikuweza kupatikana katika vituo vya huduma za afya. Katika utafiti huohuo, ilibainika kuwa dawa za antibiotics zilipatikanna kwa asilimia 57 tu, kitu ambacho ni hatari sana kwa magonjwa ya milipuko ambayo yamekuwa yakisababisha vifo.


Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Seif Rashid jana aliwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha ya wizara yake kwa mwaka 2015/16, akiomba kuidhinishiwa Sh813 bilioni.
Kati ya fedha hizo, Sh444.6 bilioni kwa ajili ya miradi ya maendeleo na Sh369.3 bilioni kwa ajili ya matumizi ya kawaida. Kimsingi afya ni sekta mojawapo yenye changamoto lukuki hapa nchini. Ni sekta muhimu katika kuchangia ustawi wa Taifa.  Kumekuwa na changamoto kadhaa  katika sekta  ya Afya. Hata hivyo Serikali imefanya jitihada kubwa kukabiliana na changamoto hizo.
Baadhi ya  jitihada hizo ni  kupandisha viwango vya hospitali, kukarabati na kuongeza majengo, kuongezeka kwa wataalamu wa afya pamoja na huduma  za kitaaluma katika baadhi ya hospitali zetu.
Lakini pamoja na jitihada hizo mabadiliko hayo yamekuwa hayalingani na ongezeko la idadi ya watu pamoja na  sayansi na teknolojia.  Kwa mfano tatizo la uhaba wa dawa limeendelea kuvikumba vituo vyote vya  Serikali hapa Tanzania kiasi cha kuwa chanzo cha vifo vingi ambavyo  vinatibika.
Tatizo jingine katika sekta hiyo ni upungufu wa vifaa tiba. Vituo  vingi vya  tiba vimekabiliwa na upungufu huo na kusababisha wagonjwa kutopata tiba kwa ufasaha hivyo kuhatarishaafya zao. Si ajabu hospitali kukaa muda mrefu bila kipimo cha wingi wa damu, kipimo cha sukari na hata X-Ray.
Uhaba wa dawa umekuwa ni tatizo kubwa nchini na malalamiko mengi yametolewa. Kwa mfano mapitio ya kumbukumbu za Bunge ya 2008/09-2012/13 yanaonyesha takribani asilimia 35 ya wabunge ambao huchangia katika mjadala wa bajeti ya afya, hulalamika uhaba wa dawa vituoni na kuitaka Serikali kuongeza fedha.
Pia kuna tafiti kadhaa zimefanywa kuhusu tatizo la uhaba wa dawa kwenye hospitali na vituo vya afya. Kwa mfano utafiti uliofanywa na Taasisi ya Ifakara nchini (IHI), ulibaini kuwa  katika kipindi cha mwaka 2012 dawa muhimu zilizokuwepo katika vituo zilikuwa asilimia 41 tu.
Kwa mujibu wa utafiti huo, hali hiyo ilimaanisha kuwa kwa takribani asilimia 60 ya dawa muhimu hazikuweza kupatikana katika vituo vya huduma za afya. Katika utafiti huohuo, ilibainika kuwa dawa za antibiotics zilipatikanna kwa asilimia 57 tu, kitu ambacho ni hatari sana kwa magonjwa ya milipuko ambayo yamekuwa yakisababisha vifo.

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.
Akitangaza uamuzi huo, Blatter (79) alisema baada ya kuitisha mkutano wa dharula wa Fifa: ”Muda mfupi ujao kunatakiwa kuchaguliwe rais mpya.”
Blatter alichaguliwa wiki iliyopita kuliongoza shirikisho hilo, licha ya wajumbe saba wa juu wa Fifa kukamatwa na maafisa usalama wa Marekani siku mbili kabla ya uchaguzi huo.
Blatter alisema: “Uamuzi huu hauungwi mkono na kila mtu.”
Awali Fifa ilikanusha madai kwamba katibu wao mkuu, Jerome Valcke alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.
Fifa inasema hamna afisa wake yeyote wa ngazi ya juu aliyehusika kwa njia yoyote katika kashfa hiyo.
Inasemekana malipo hayo ya rushwa yalitolewa na serikali ya Afrika Kusini kwa maafisa wa soka wa huko Marekani ili waunge mkono

Awali Fifa ilikanusha madai kwamba katibu wao mkuu, Jerome Valcke alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.
Fifa inasema hamna afisa wake yeyote wa ngazi ya juu aliyehusika kwa njia yoyote katika kashfa hiyo.
Inasemekana malipo hayo ya rushwa yalitolewa na serikali ya Afrika Kusini kwa maafisa wa soka wa huko Marekani ili waunge mkono wenzao Waafrika waliong’ambo katika nchi za visiwa vya Caribbean.
Waendesha mashtaka wa Marekani wanasema hongo hiyo ilinuiwa kusaidia kununua kura kuiwezesha Afrika Kusini kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia lililofanyika mwaka 2010.

Zurich, Uswisi. Rais wa Shirikisho la Soka Duniani (Fifa), Sepp Blatter ametangaza kuwa atajiuzulu nafasi yake hiyo kutokana na kashfa ya rushwa iliyolikumba shirikisho hilo.
Akitangaza uamuzi huo, Blatter (79) alisema baada ya kuitisha mkutano wa dharula wa Fifa: ”Muda mfupi ujao kunatakiwa kuchaguliwe rais mpya.”
Blatter alichaguliwa wiki iliyopita kuliongoza shirikisho hilo, licha ya wajumbe saba wa juu wa Fifa kukamatwa na maafisa usalama wa Marekani siku mbili kabla ya uchaguzi huo.
Blatter alisema: “Uamuzi huu hauungwi mkono na kila mtu.”
Awali Fifa ilikanusha madai kwamba katibu wao mkuu, Jerome Valcke alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.
Fifa inasema hamna afisa wake yeyote wa ngazi ya juu aliyehusika kwa njia yoyote katika kashfa hiyo.
Inasemekana malipo hayo ya rushwa yalitolewa na serikali ya Afrika Kusini kwa maafisa wa soka wa huko Marekani ili waunge mkono

Awali Fifa ilikanusha madai kwamba katibu wao mkuu, Jerome Valcke alihusika katika kashfa ya ufisadi ambapo hongo ya mamilioni ya dola ilitolewa.
Fifa inasema hamna afisa wake yeyote wa ngazi ya juu aliyehusika kwa njia yoyote katika kashfa hiyo.
Inasemekana malipo hayo ya rushwa yalitolewa na serikali ya Afrika Kusini kwa maafisa wa soka wa huko Marekani ili waunge mkono wenzao Waafrika waliong’ambo katika nchi za visiwa vya Caribbean.
Waendesha mashtaka wa Marekani wanasema hongo hiyo ilinuiwa kusaidia kununua kura kuiwezesha Afrika Kusini kuwa mwenyeji wa Kombe la Dunia lililofanyika mwaka 2010.

THE Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) party, was officially launched in Dar es Salaam with its leaders saying that the focus will be to set up policies and strategies targeting to alleviate poverty among Tanzanians.
Speaking during the function, the party’s leader, Zitto Kabwe, said that the ACT was committed to promoting public interest and patriotism which was advocated by the founder of the nation, the late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
He said that Nyerere’s dream was reduction of poverty among Tanzanians and promotion of a nation with a narrow gap between the poor and the rich. He said that almost 54 years ago “we became independent.
The founder of the nation, the late Mwalimu Nyerere was a young man of about 39, with hopes of eradicating poverty, suffering and misery.
“It is the time to create economies of citizens through revolutionary changes that are going to be made by his party which could send us back the country to the hands of citizens,” he urged.
Mr Zitto credited ACT as a party which believes in principles of self-reliance, hard work, sincerity and professionalism towards bringing positive change in the country.
He said, ACT-Tanzania headed to the principles of Patriotism, democracy, freedom of thought and action, dignity, equality, integrity, transparency and accountability.
He declared that the party is for all its citizens with no regard to ethnicity, religion, gender, skin colour or disability status.

THE Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) party, was officially launched in Dar es Salaam with its leaders saying that the focus will be to set up policies and strategies targeting to alleviate poverty among Tanzanians.
Speaking during the function, the party’s leader, Zitto Kabwe, said that the ACT was committed to promoting public interest and patriotism which was advocated by the founder of the nation, the late Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
He said that Nyerere’s dream was reduction of poverty among Tanzanians and promotion of a nation with a narrow gap between the poor and the rich. He said that almost 54 years ago “we became independent.
The founder of the nation, the late Mwalimu Nyerere was a young man of about 39, with hopes of eradicating poverty, suffering and misery.
“It is the time to create economies of citizens through revolutionary changes that are going to be made by his party which could send us back the country to the hands of citizens,” he urged.
Mr Zitto credited ACT as a party which believes in principles of self-reliance, hard work, sincerity and professionalism towards bringing positive change in the country.
He said, ACT-Tanzania headed to the principles of Patriotism, democracy, freedom of thought and action, dignity, equality, integrity, transparency and accountability.
He declared that the party is for all its citizens with no regard to ethnicity, religion, gender, skin colour or disability status.

 
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, ambaye ni Katibu Mwenezi wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amesema hana sababu yoyote ya kuhama chama chake na kujiunga na chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania).
 
Kafulila alisema hayo jana alipokuwa akijibu swali kuhusu kusambaa kwa tetesi katika mitandao ya kijamii kwamba, anahamia chama hicho akiambatana na aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe aliyehamia chama hicho hivi karibuni.
 
“Tetesi hizo zinatokana na tabia yangu ya kuwa na marafiki wengi katika chama hicho kipya, lakini nashangaa nina marafiki wengi CCM na hata Chadema, lakini hawasemi nahamia vyama hivyo ila ACT. Hizo ni tetesi tu sina sababu ya kuhama chama changu,” alisema.
 
Alisema Zitto alihama Chadema kutokana na mgogoro uliokuwepo baina yake na Chadema, hivyo alikuwa na sababu ila yeye akihama bila kuwa na sababu, itakuwa haina maana.
 
Alisema yeye bado ni Katibu Mwenezi wa NCCR-Mageuzi na anaendelea na kampeni za kujenga chama hicho ikiwemo yeye kurudi bungeni pamoja na chama hicho kuongeza wabunge wengi zaidi.

 
Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila, ambaye ni Katibu Mwenezi wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amesema hana sababu yoyote ya kuhama chama chake na kujiunga na chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania).
 
Kafulila alisema hayo jana alipokuwa akijibu swali kuhusu kusambaa kwa tetesi katika mitandao ya kijamii kwamba, anahamia chama hicho akiambatana na aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe aliyehamia chama hicho hivi karibuni.
 
“Tetesi hizo zinatokana na tabia yangu ya kuwa na marafiki wengi katika chama hicho kipya, lakini nashangaa nina marafiki wengi CCM na hata Chadema, lakini hawasemi nahamia vyama hivyo ila ACT. Hizo ni tetesi tu sina sababu ya kuhama chama changu,” alisema.
 
Alisema Zitto alihama Chadema kutokana na mgogoro uliokuwepo baina yake na Chadema, hivyo alikuwa na sababu ila yeye akihama bila kuwa na sababu, itakuwa haina maana.
 
Alisema yeye bado ni Katibu Mwenezi wa NCCR-Mageuzi na anaendelea na kampeni za kujenga chama hicho ikiwemo yeye kurudi bungeni pamoja na chama hicho kuongeza wabunge wengi zaidi.

Tuesday, 2 June 2015