.

.

Friday, 11 July 2014

Pamoja na kumshindili baba mwenye nyumba goli 7 kwa nunge, lakini rekodi ya Olegi imeshindwa kuvunjwa. Ni mchezaji ambaye aliweza kufunga goli 5 katika mechi moja. Ilikuwa ni kati ya Camerooni na Russia katika fainali za mwaka 1994. Oleg Salenko rekodi yake inaendelea kusimama, swali ni je itaweza kuvunjwa katika fainal au katika mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu?

Oleg Salenko

  Mchezaji Norman Whiteside ndiye anayeshikilia rekodi ya kucheza kombe la dunia akiwa na umri mdogo kuliko wachezaji wote. Hadi leo rekodi hiyo haijavunjwa na mchezaji yoyote. Norman Whiteside alikuwa ni mchezaji Northen Ireland na alicheza kombe la dunia la mwaka 1982 akiwa na umri wa miaka 17 na siku 41. Norman Whiteside kwenye club - See more at: http://shaffihdauda.com/?cat=12#sthash.VYowvkeN.dpuf
  Mchezaji Norman Whiteside ndiye anayeshikilia rekodi ya kucheza kombe la dunia akiwa na umri mdogo kuliko wachezaji wote. Hadi leo rekodi hiyo haijavunjwa na mchezaji yoyote. Norman Whiteside alikuwa ni mchezaji Northen Ireland na alicheza kombe la dunia la mwaka 1982 akiwa na umri wa miaka 17 na siku 41. Norman Whiteside kwenye club - See more at: http://shaffihdauda.com/?cat=12#sthash.VYowvkeN.dpuf
- See more at: http://shaffihdauda.com/#sthash.PXeBj2Ks.dpuf
- See more at: http://shaffihdauda.com/#sthash.PXeBj2Ks.dpuf

0 comments:

Post a Comment