.

.

Saturday, 12 November 2016

HOTUBA YA WAZIRI MKUU WA ISRAEL NETANYAU KUHUSU AFRIKA. Hatujiwajibishi hata kidogo kujaribu kuthibitisha au kudokeza kwa kila mtu na kwa Waafrika na Waarabu kuwa Sisi (Weupe) tu watu tuliobora zaidi, tumelionesha hili kwa Waafrika na Waarabu kwa njia 1001. Nchi ya Israeli tunayoijua Leo haijafanywa kwa kufikiri hewani tu, tumeifanya kwa gharama ya akili, jasho na damu.....hatujifanyishi kama weupe wengine kuwa tunawependa weusi. Ukweli wa kwamba wausi na Waarabu wanaonekana kama binadamu hauwafanyi wao kuwa binadamu welevu. Nungunungu sio panya na mjusi sio mamba japokuwa wanafanana. Kama Mungu angetaka sisi (Weupe) kuwa Sawa na Weusi na Waarabu, angetuumba Sawa sisi sote kwa rangi moja na akili Sawa lakini akatuumba sisi tofauti weupe Weusi, njano, Watawala na Watawaliwa. Kielimu tuko juu na bora zaidi kwa Weusi na Waarabu ambayo imekuwa ikithibitishwa mbele ya tafakuri za Busara zenye Mashaka kwa miaka. Ninaamini kuwa Muyahudi ni mwaminifu, ni mcha Mungu ambaye ameliinesha kwa vitendo na njia sahihi ya yeye kuwepo. Hadi Sasa kila mmoja wetu ameliona hili kwa matendo kwamba Waafrika na Waarabu hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki, watauana kila mmoja wao kwa wao. Hawana jema lolote zaidi ya kupiga kelele, kucheza, kuoa wake wengi, kunywa pombe kupindukia, uchawi, kijiingiza katika ngono, kujifanyisha kanisani, wivu, kupigana na kulaumu mambo yasiyo ya msingi. Sote tukubaliane kuwa watu Weusi ni ishara ya umasikini, uduni wa akili au ubongo, uvivu na wenye mihemuko ya Uzembe (Kizembe); Watapigana na kujiundia chuki na uadui wao wenyewe. Hii huthibitisha kwa mtu yeyote akiwemo mpumbavu kuwa Waafrika hawajui wanachokitaka. Je, hili haliwezekani? Kwa hiyo, suala la kuwa mtu mweupe aliumbwa kumtawala mtu mweusi, ni kweli, Waafrika watabakia kuwa na ndoto za mchana na hapa ni kiumbe (Mtu mweusi) keamba hukosa mtazamo wa kuona mbali bali huona lililokaribu na bado hushindwa kujua cha kufanya katika hayo yaliyo karibu yake. Mtu mweusi ni mjinga kwa kiwango kwamba hawezi kujipangia mambo kwa ajili ya maisha yake ya badaye hata mwaka mmoja mbele. Sasa wataendeleaje na kuishi sana. Sasa mpumbavu gani hupinga kuwa mtu mweusi hakuzaliwa ombaomba, hukua ombaomba, huonekana ombaomba, huugua kama ombaomba na hufa kama ombaomba? Hili limethibitishwa mbele ya kujiuliza kwa Busara. Ninashangaa kwamba mpaka Sasa Waafrika wengi huenda shule kwa kusukumwa (Kulazimishwa) na walioko shuleni ni maadui. Huu ni ujauzito wa upumbavu Afrika unaohitaji ujio wa pili wa Yesu. Mwili wa Waafrika ni wenye rutuba sana kwa magonjea yote Ulimwenguni kwasababu hawaogopi hata VVU/UKIMWI. Hili huniacha Mimi na maswali mengi kuwa, macho yetu yaliumbwa Sawa na ya Waafrika,,.? Ninasikia Afrika bado kuna tamaduni zinazowapinga wao wasitumie vyoo, inakela sana. Samahani sana kwa kusema hivyo, ninachelea kusema kwamba, kwanini Mungu aliwaumba Waafrika? Walilia Uhuru lakini wameshindwa kujitawala wao wenyewe. Kwa hakika kuwa Mwafrika ni ugonjwa usiotibika hata kwa sala (Maombi) haitoshi. Wana madini lakini hawayafanyii lolote. Hivyo, acha weupe twende Afrika tukachukue tunachoweza kuchukua, kisha tuviache visivyo vya thamani kwao. Umasikini ni ugonjwa kwa Weupe lakini kwa Weusi ni suala la kawaida kabisa. Yesu njoo haraka uwaokoe Waafrika na Waarabu. DUNIA NI YA WENYE HEKIMA TU. Imefasiriwa na Mwl. Jonas Kifunda. Jk/TzVsSb/Sb L.

HOTUBA YA WAZIRI MKUU WA ISRAEL NETANYAU KUHUSU AFRIKA. Hatujiwajibishi hata kidogo kujaribu kuthibitisha au kudokeza kwa kila mtu na kwa Waafrika na Waarabu kuwa Sisi (Weupe) tu watu tuliobora zaidi, tumelionesha hili kwa Waafrika na Waarabu kwa njia 1001. Nchi ya Israeli tunayoijua Leo haijafanywa kwa kufikiri hewani tu, tumeifanya kwa gharama ya akili, jasho na damu.....hatujifanyishi kama weupe wengine kuwa tunawependa weusi. Ukweli wa kwamba wausi na Waarabu wanaonekana kama binadamu hauwafanyi wao kuwa binadamu welevu. Nungunungu sio panya na mjusi sio mamba japokuwa wanafanana. Kama Mungu angetaka sisi (Weupe) kuwa Sawa na Weusi na Waarabu, angetuumba Sawa sisi sote kwa rangi moja na akili Sawa lakini akatuumba sisi tofauti weupe Weusi, njano, Watawala na Watawaliwa. Kielimu tuko juu na bora zaidi kwa Weusi na Waarabu ambayo imekuwa ikithibitishwa mbele ya tafakuri za Busara zenye Mashaka kwa miaka. Ninaamini kuwa Muyahudi ni mwaminifu, ni mcha Mungu ambaye ameliinesha kwa vitendo na njia sahihi ya yeye kuwepo. Hadi Sasa kila mmoja wetu ameliona hili kwa matendo kwamba Waafrika na Waarabu hawawezi kujitawala wenyewe. Wape bunduki, watauana kila mmoja wao kwa wao. Hawana jema lolote zaidi ya kupiga kelele, kucheza, kuoa wake wengi, kunywa pombe kupindukia, uchawi, kijiingiza katika ngono, kujifanyisha kanisani, wivu, kupigana na kulaumu mambo yasiyo ya msingi. Sote tukubaliane kuwa watu Weusi ni ishara ya umasikini, uduni wa akili au ubongo, uvivu na wenye mihemuko ya Uzembe (Kizembe); Watapigana na kujiundia chuki na uadui wao wenyewe. Hii huthibitisha kwa mtu yeyote akiwemo mpumbavu kuwa Waafrika hawajui wanachokitaka. Je, hili haliwezekani? Kwa hiyo, suala la kuwa mtu mweupe aliumbwa kumtawala mtu mweusi, ni kweli, Waafrika watabakia kuwa na ndoto za mchana na hapa ni kiumbe (Mtu mweusi) keamba hukosa mtazamo wa kuona mbali bali huona lililokaribu na bado hushindwa kujua cha kufanya katika hayo yaliyo karibu yake. Mtu mweusi ni mjinga kwa kiwango kwamba hawezi kujipangia mambo kwa ajili ya maisha yake ya badaye hata mwaka mmoja mbele. Sasa wataendeleaje na kuishi sana. Sasa mpumbavu gani hupinga kuwa mtu mweusi hakuzaliwa ombaomba, hukua ombaomba, huonekana ombaomba, huugua kama ombaomba na hufa kama ombaomba? Hili limethibitishwa mbele ya kujiuliza kwa Busara. Ninashangaa kwamba mpaka Sasa Waafrika wengi huenda shule kwa kusukumwa (Kulazimishwa) na walioko shuleni ni maadui. Huu ni ujauzito wa upumbavu Afrika unaohitaji ujio wa pili wa Yesu. Mwili wa Waafrika ni wenye rutuba sana kwa magonjea yote Ulimwenguni kwasababu hawaogopi hata VVU/UKIMWI. Hili huniacha Mimi na maswali mengi kuwa, macho yetu yaliumbwa Sawa na ya Waafrika,,.? Ninasikia Afrika bado kuna tamaduni zinazowapinga wao wasitumie vyoo, inakela sana. Samahani sana kwa kusema hivyo, ninachelea kusema kwamba, kwanini Mungu aliwaumba Waafrika? Walilia Uhuru lakini wameshindwa kujitawala wao wenyewe. Kwa hakika kuwa Mwafrika ni ugonjwa usiotibika hata kwa sala (Maombi) haitoshi. Wana madini lakini hawayafanyii lolote. Hivyo, acha weupe twende Afrika tukachukue tunachoweza kuchukua, kisha tuviache visivyo vya thamani kwao. Umasikini ni ugonjwa kwa Weupe lakini kwa Weusi ni suala la kawaida kabisa. Yesu njoo haraka uwaokoe Waafrika na Waarabu. DUNIA NI YA WENYE HEKIMA TU. Imefasiriwa na Mwl. Jonas Kifunda. Jk/TzVsSb/Sb L.

Friday, 11 November 2016

Tangulia Spika wa watu, Tangulia Spika Bunge la Wananchi Hotuba ya ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto katika Kikao Maalumu cha Bunge cha Mazishi ya Spika Mstaafu, Samwel John Sitta Ndugu Spika, Ndugu Wabunge, Mama Magreth Sitta, Watoto wote wa Mzee Samwel John Sitta, Ndugu, Jamaa na Marafiki, Ndugu zangu Watanzania, Leo kikao maalumu cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Mkutano wake wa Tano kinamuaga mtoto wa Mzee John Sitta na Hajjat Zuwena Said Fundikira. Nami nimepewa nafasi niseme maneno machache juu ya muagwa wetu huyu. John Samwel Sitta anayo mengi, lakini Tanzania itamkumbuka kama mtu aliyejaribu kuboresha kila alichokabidhiwa kama jukumu, shujaa wa wote wanaoamini katika Uwajibikaji wa kitaasisi, Mwanasiasa aliyepanda na kushuka na kisha kupanda na kubakia kileleni, taswira ya mkoa wake wa Tabora, sio tu mdhamini wa klabu ya Simba, bali pia Mwanasimba aliyeipeleka klabu Brazil na kuwezesha kuifunga Yanga mabao mengi zaidi ambayo hayajapata kulipwa na wapinzani wetu hata kwa kuungakuunga, Mwanamageuzi wa Bunge na Spika wa mioyo ya Watanzania. Hata katika kifo chake, Samwel John Sitta ameweka rekodi nyengine - kwa Bunge kufanya kikao maalumu kuenzi mmoja wa wajumbe wake mahiri kati ya mwaka 1975 - 2015 isipokuwa tu kwa kipindi cha 1995 - 2005. Rekodi hii itaendelea kwa wengine wote watakaofuata baada yake. Ni mtu wa namna gani wewe Samwel Sitta? Spika wa Kasi na Viwango, unayeweka rekodi hata ukiwa umelala ndani ya Jeneza lako lililopambwa na Bendera ya Taifa letu ukielekea nyumbani kwako Urambo kwenye nyumba yako ya milele. Ulikuwa hushindwi ukiwa hai, umeonyesha umahiri wako hata ukiwa kwenye umauti. Kweli wewe ni Spika wa Watu (The Peoples Speaker). Tuliokupenda tunajua. Ulikuwa Baba mlezi. Ulikuwa Mume mwema. Ulikuwa Babu. Ulikuwa Kiongozi. Nadhani hata kwa uliokwaruzana nao hapa na pale wanajua hilo. Leo sote tuna majonzi makubwa. Umeliunganisha Taifa katika kukukumbuka ewe Spika wa Watu. Ulikuwa na vyeo vingi; Mbunge, Naibu Waziri, Waziri, Mkuu wa Mkoa, Waziri tena, Mkurugenzi Mtendaji, Spika, Waziri tena na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Lakini, wala, tunakuita Spika Sitta tu. Kwanini? Kwa sababu 'Legacy' yako ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio kwamba umeanzisha Bunge wewe, la hasha. Lakini ulipopokea Uspika wa Bunge letu, kama ilivyo jadi yako, uliliboresha, uliwezesha kutunga kanuni mpya, uliimarisha Mhimili huu na kuuweka katika nafasi yake ya Kikatiba. Nakumbuka siku moja ulimwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aongee na baadhi yetu, ilikuwa mwaka 2006. Mimi nikiwa nina miaka 29 tu. Tukakutana na Rais ukumbi wa Msekwa. Baada ya kikao kilichofanikiwa kumshawishi Rais kuhusu mabadiliko uliyoyataka uliniambia; "Babu, mimi sasa alasiri, ninyi ndio saa nne asubuhi. Nawawekea misingi tu na kuliweka Bunge katika nafasi yake ya kikatiba". Kilichofuata ni mabadiliko makubwa ya Kanuni za Bunge, kuandikwa upya kwa Sheria ya Bunge (National Assembly Administration Act, 2008) na kuanzishwa kwa Mfuko wa Maendeleo ya Majimbo, Constituencies Development Catalyst Fund (CDCF). Samwel Sitta, bado tunasikia mwangwi wa sauti yako nene kutoka kwenye kiti cha Spika ukiwataka Mawaziri wajibu maswali kwa ufasaha. Hukuisahau Tabora yako. Damu ya kichifu wa Unyanyembe ya Fundikira kutoka mama yako Zuwena ilikusambaa kwenye mishipa yako. Ukiona kuna swali linalohusu mkoa wako wa Tabora hukusita kuwaambia Mawaziri wajibu vizuri (haswa kuhusu barabara), au ukiamsha jeshi lako (akina Lucas Lumambo Selelii nk) wakisema "mheshimiwa Spika, wewe leo ukipata dharura Urambo unafikaje!". Yote hiyo kutilia nguvu umuhimu wa maendeleo ya mkoa wako. Wewe ni kielelezo cha Demokrasia ya Vyama vingi bungeni. Ulitoa nafasi kwa wabunge wote wa kambi zote ndani ya Bunge. Hatusemi hukubagua, la hasha, uCCM wako ulikuwa pale pale. Lakini walio wengi walishinda na walio wachache walisikika. Ndio Demokrasia hiyo. Sitta ulikuwa Muungwana. Nakumbuka siku ile unamwomba radhi Mzee John Momose Cheyo katika kamati ya Uongozi (baada ya kuwa ulimtoa kwa makosa bungeni), eti msongo wa mawazo ulikujaa kwani watu wanapitapita Jimboni. Lakini uliwashinda. Unyenyekevu wako wa kuomba radhi unapokosea ni somo kubwa sana kwa Viongozi wengine tuliobakia. Wabunge wenzangu, tunataka kumuenzi Spika wa Watu - Samwel John Sitta? Basi hakuna kumuenzi bora zaidi kama kuimarisha uhuru na heshima ya Bunge letu. Tuendeleze Jahazi. Samwel Sitta anakwenda kwenye nyumba yake ya milele akiongozwa na imani yake kubwa kwa Mungu na uzalendo wake usio na mawaa kwa nchi yake Tanzania. Angalau bado ataendelea kuwa nasi kwa kutuachia mafundisho makubwa kutokana na Maisha yake, mambo mema aliyoyafanya kwa nchi yetu, ndoto aliyoiishi ya Tanzania imara na yenye heshima, na malezi kwa viongozi wengi vijana aliowafunda na kuwalea kiuongozi. Ni dhahiri umeishi maisha yako Babu. Kama isemavyo biblia, 2 Timotheo 4:7 "Nimepigana Vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda". Tangulia Spika wa Watu (The Peoples’ Speaker).Tangulia Spika wa Bunge la Wananchi. Tangulia Samwel John Sitta. Mola akulaze pema. Kabwe Z. Ruyagwa Zitto Novemba 11, 2016 Dodoma

Tangulia Spika wa watu, Tangulia Spika Bunge la Wananchi Hotuba ya ndugu Kabwe Z. Ruyagwa Zitto katika Kikao Maalumu cha Bunge cha Mazishi ya Spika Mstaafu, Samwel John Sitta Ndugu Spika, Ndugu Wabunge, Mama Magreth Sitta, Watoto wote wa Mzee Samwel John Sitta, Ndugu, Jamaa na Marafiki, Ndugu zangu Watanzania, Leo kikao maalumu cha Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, katika Mkutano wake wa Tano kinamuaga mtoto wa Mzee John Sitta na Hajjat Zuwena Said Fundikira. Nami nimepewa nafasi niseme maneno machache juu ya muagwa wetu huyu. John Samwel Sitta anayo mengi, lakini Tanzania itamkumbuka kama mtu aliyejaribu kuboresha kila alichokabidhiwa kama jukumu, shujaa wa wote wanaoamini katika Uwajibikaji wa kitaasisi, Mwanasiasa aliyepanda na kushuka na kisha kupanda na kubakia kileleni, taswira ya mkoa wake wa Tabora, sio tu mdhamini wa klabu ya Simba, bali pia Mwanasimba aliyeipeleka klabu Brazil na kuwezesha kuifunga Yanga mabao mengi zaidi ambayo hayajapata kulipwa na wapinzani wetu hata kwa kuungakuunga, Mwanamageuzi wa Bunge na Spika wa mioyo ya Watanzania. Hata katika kifo chake, Samwel John Sitta ameweka rekodi nyengine - kwa Bunge kufanya kikao maalumu kuenzi mmoja wa wajumbe wake mahiri kati ya mwaka 1975 - 2015 isipokuwa tu kwa kipindi cha 1995 - 2005. Rekodi hii itaendelea kwa wengine wote watakaofuata baada yake. Ni mtu wa namna gani wewe Samwel Sitta? Spika wa Kasi na Viwango, unayeweka rekodi hata ukiwa umelala ndani ya Jeneza lako lililopambwa na Bendera ya Taifa letu ukielekea nyumbani kwako Urambo kwenye nyumba yako ya milele. Ulikuwa hushindwi ukiwa hai, umeonyesha umahiri wako hata ukiwa kwenye umauti. Kweli wewe ni Spika wa Watu (The Peoples Speaker). Tuliokupenda tunajua. Ulikuwa Baba mlezi. Ulikuwa Mume mwema. Ulikuwa Babu. Ulikuwa Kiongozi. Nadhani hata kwa uliokwaruzana nao hapa na pale wanajua hilo. Leo sote tuna majonzi makubwa. Umeliunganisha Taifa katika kukukumbuka ewe Spika wa Watu. Ulikuwa na vyeo vingi; Mbunge, Naibu Waziri, Waziri, Mkuu wa Mkoa, Waziri tena, Mkurugenzi Mtendaji, Spika, Waziri tena na Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba. Lakini, wala, tunakuita Spika Sitta tu. Kwanini? Kwa sababu 'Legacy' yako ni Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Sio kwamba umeanzisha Bunge wewe, la hasha. Lakini ulipopokea Uspika wa Bunge letu, kama ilivyo jadi yako, uliliboresha, uliwezesha kutunga kanuni mpya, uliimarisha Mhimili huu na kuuweka katika nafasi yake ya Kikatiba. Nakumbuka siku moja ulimwomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aongee na baadhi yetu, ilikuwa mwaka 2006. Mimi nikiwa nina miaka 29 tu. Tukakutana na Rais ukumbi wa Msekwa. Baada ya kikao kilichofanikiwa kumshawishi Rais kuhusu mabadiliko uliyoyataka uliniambia; "Babu, mimi sasa alasiri, ninyi ndio saa nne asubuhi. Nawawekea misingi tu na kuliweka Bunge katika nafasi yake ya kikatiba". Kilichofuata ni mabadiliko makubwa ya Kanuni za Bunge, kuandikwa upya kwa Sheria ya Bunge (National Assembly Administration Act, 2008) na kuanzishwa kwa Mfuko wa Maendeleo ya Majimbo, Constituencies Development Catalyst Fund (CDCF). Samwel Sitta, bado tunasikia mwangwi wa sauti yako nene kutoka kwenye kiti cha Spika ukiwataka Mawaziri wajibu maswali kwa ufasaha. Hukuisahau Tabora yako. Damu ya kichifu wa Unyanyembe ya Fundikira kutoka mama yako Zuwena ilikusambaa kwenye mishipa yako. Ukiona kuna swali linalohusu mkoa wako wa Tabora hukusita kuwaambia Mawaziri wajibu vizuri (haswa kuhusu barabara), au ukiamsha jeshi lako (akina Lucas Lumambo Selelii nk) wakisema "mheshimiwa Spika, wewe leo ukipata dharura Urambo unafikaje!". Yote hiyo kutilia nguvu umuhimu wa maendeleo ya mkoa wako. Wewe ni kielelezo cha Demokrasia ya Vyama vingi bungeni. Ulitoa nafasi kwa wabunge wote wa kambi zote ndani ya Bunge. Hatusemi hukubagua, la hasha, uCCM wako ulikuwa pale pale. Lakini walio wengi walishinda na walio wachache walisikika. Ndio Demokrasia hiyo. Sitta ulikuwa Muungwana. Nakumbuka siku ile unamwomba radhi Mzee John Momose Cheyo katika kamati ya Uongozi (baada ya kuwa ulimtoa kwa makosa bungeni), eti msongo wa mawazo ulikujaa kwani watu wanapitapita Jimboni. Lakini uliwashinda. Unyenyekevu wako wa kuomba radhi unapokosea ni somo kubwa sana kwa Viongozi wengine tuliobakia. Wabunge wenzangu, tunataka kumuenzi Spika wa Watu - Samwel John Sitta? Basi hakuna kumuenzi bora zaidi kama kuimarisha uhuru na heshima ya Bunge letu. Tuendeleze Jahazi. Samwel Sitta anakwenda kwenye nyumba yake ya milele akiongozwa na imani yake kubwa kwa Mungu na uzalendo wake usio na mawaa kwa nchi yake Tanzania. Angalau bado ataendelea kuwa nasi kwa kutuachia mafundisho makubwa kutokana na Maisha yake, mambo mema aliyoyafanya kwa nchi yetu, ndoto aliyoiishi ya Tanzania imara na yenye heshima, na malezi kwa viongozi wengi vijana aliowafunda na kuwalea kiuongozi. Ni dhahiri umeishi maisha yako Babu. Kama isemavyo biblia, 2 Timotheo 4:7 "Nimepigana Vita vilivyo vizuri, mwendo nimeumaliza, Imani nimeilinda". Tangulia Spika wa Watu (The Peoples’ Speaker).Tangulia Spika wa Bunge la Wananchi. Tangulia Samwel John Sitta. Mola akulaze pema. Kabwe Z. Ruyagwa Zitto Novemba 11, 2016 Dodoma