A[10/7, 00:33] JUVENAL SHIRIMA: Waziri hana mamlaka ya kamfukuza mtu Chuo!Kwa mujibu wa The universities Act No 7 of 2005 hilo ni jukumu la board za vyuo (council) Ndio yenye mamlaka ya nidhamu ya kitaaluma ya mwanafunzi wa Chuo!Hao wafungue tu case kwa sababu watashinda! Pia waziri amehukumu bila kuzingatia utaratibu wa jurisprudence and jurisdictions under the law of natural justice (haki ya mtuhumiwa kusikilizwa kabla ya kuhukumiwa na mamlaka ya kinidhamu! [10/7, 00:40] JUVENAL SHIRIMA: Kwenye kosa la kupiga na kujeruhi wanapaswa kusomewa shitaka la kula njama kupiga na kujeruhi pamoja na misuse of power!Lakini pia wanaweza kushinda iwapo upande wa jamhuri utashindwa kuwasilisha ushahidi wa kuweza kuprove without reasonable dought kwamba video husikika ni sahihi na ni za tukio husika (based on The law of civil proceedings Act Law of evidence Act and penal code of Tanzania) [10/7, 00:42] JUVENAL SHIRIMA: Ila mimi pia kama Mwalimu siungi mkono kitendo walichokifanya hao walimu wanafunzi [10/7, 00:48] JUVENAL SHIRIMA: Nimekuja kutoa tu mawazo yangu kwa kuwa mama Ndalichako naye katumia mamlaka yake vibaya kuhukumu bila utetezi wala exhibit (without considering The law of natural justice) Kinyume na haki za binadamu kwenye katiba yetu ya 1977 (PRESUMPTION OF INNOCENCE UNDER THE COURT OF LAW) [10/7, 00:52] JUVENAL SHIRIMA: [06/10 21:51] Gibbs: This is off record please. Kiukweli dogo kabla ya pale, alikataa kuchapwa wala kuchuchumaa pamoja na kwamba wenzie wamechapwa ambao wote hawakufanya zoezi darasani alipohojiwa akamjibu vibaya mwal katika kumshika wamchape akampa ngumi ya mdomo mwalimu. Ilibidi Wamchukue wampeleke ofisini lakini mwl aliyepigwa ngumi awali alirudi darasani kutuliza wanafunzi wengine. Alipoona wametulia alianza kurudi ofisini kumbe yule dogo pale ofisini alipoona walimu wamebaki wawili tu akawapa dozi ya ngumi wakamshindwa. Akaanza kutoka nje ya ofisi anakimbia yule mwalimu alikuwa darasani akamuona na kumuwahi ukapigwa mkono kidogo akammudu na kumrudisha ofisini kwa walimu wengine hapo ndio kila mmoja akajikuta anahitaji kumaliza hasira zake. Walimu kadhaa wakiwa wanaugulia maumivu. [06/10 21:51] Gibbs: Unajua kwa huyu dogo yeye aliridhia kichapo alichopewa na walimu ndo maana siku11 toka tukio limetokea wala hajaripoti. Hata home hakwenda kusema kwakuwa anakesi tatu nzito na aliwahi kumjibu hovyo baba yake mbele ya walimu alipokuwa ameenda kutetea asifukuzwe. Achilia mbali hayo ameshavunja tv ya dingi yake home wiki mbili zilizopita. Wiki hili amekamatwa na walimu akivuta bangi shuleni na wenzake. Baba yake anasema simtaki huyu nyumbani kwangu. Hivyo tusiangalie mtu alipojikwaa tuangalie pia source ya kujikwaa. Tunapotoa maamuzi tuangalie mambo kwa ujumla wake....... [10/7, 00:57] JUVENAL SHIRIMA: I think wewe huendagi mahakamani ama pia hufuatilii cases! Kuwepo kwa hizo video mitandaoni hakumaanishi zina qualifications za moja kwa moja za kuwa evidence na exhibit under the court of law! Ili zitumike kama ushahidi na lazima ziwe zinacomply na The law of evidence Act na lazima pia tujiridhishe kwamba Tanzania kama tuna sheria inayoruhusu electronic evidences and exhibits [10/7, 01:04] JUVENAL SHIRIMA: Sujakuambia kwa ubaya wala kukubeza Bali nilitaka ujue tu kwamba sio kila evidence inaweza kufikishwa mahakamani! Ndio maana watuhumiwa huwa wanashinda cases za wazi kabisa! Inategemeana pia na mawakili wa upande wowote [10/7, 01:07] JUVENAL SHIRIMA: Hao wakifikishwa tu mahakamani watakana mashtaka yao! Watapata dhamana then wakiweka wakili ndio mziki unaanzia hapo! Yaani wanaweza pia hata kukana hizo videos! Hiyo ndio law bwana!😋😋
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment