.

.

Sunday, 4 June 2017

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amemteua Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Rais Magufuli amefanya uteuzi huo ambapo Mghwira anachukua nafasi ya Said Meck Sadick aliyeandika barua kwa Rais akiomba kujiuzulu mwezi Mei mwaka huu.

Uteuzi huo umemkuta mwenyekiti wa ACT Wazalendo akiwa katika kongamano la chama hicho lililokuwa likijadili sakata la kuzuiwa kwa mchanga wa madini kusafirishwa kwenda nje. Hadi sasa chama hicho na mteule hawajatoa taarifa yoyote kuhusu uteuzi huo.

Watu mbalimbali kupitia mitandao wametoa maoni yako kuhusu uteuzi huo, jambo kubwa likiwa ni kwa namna gani kiongozi huyo atakwenda kutekekeleza ilani ya Chama cha Mapainduzi. Wengi waliotoa maoni walisema kuwa, Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM na mjumbe wa vikao vya CCM Mkoa, hivyo swali linakuwa, je! Anna Mghwira ambaye ni mwanachama wa ACT Wazalendo, ataingia kwenye vikao vya CCM?

Hapa chini ni maoni ya baadhi ya watumiaji wa mitandao kuhusu uteuzi huo. Na wewe unaweza kuandika maoni yako chini mwishoni mwa habari hii.

KATIBA INASEMA MKUU WA MKOA AMBAYE NI MWANACHAMA KUMBE KUNA AMBAYE SIYE MWANACHAMA ….HAIHITAJI DEGREE YA SHERIA
KUONA HILI 

— HENRYAMANI (@HENRYMSUYA1) JUNE 3, 2017
HONGERA SANA MAMA πŸ‘πŸ‘KWA KUTEULIWA NA RAIS KUWA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO, NAKUAMINI SANA 

— DAVID GUNDA (@DAVIDGUNDA1) JUNE 3, 2017
MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM NA MJUMBE WA VIKAO VYA CCM MKOA! JE, ANNA MWIGIRA ATAKUWA ANAHUDHURIA VIKAO VYA CCM?

— OLE’SEIF (@MBOBEZI) JUNE 3, 2017
SASA WABUNGE WA CCM WAJIFUNZE KUTOKA KWA MHESHIMIWA RAIS. WAKATI YEYE ANAONA KARAMA YA UONGOZI KWA UPINZANI, WABUNGE CCM WAFUATE NYAYO HIZO

— DOTCODOTTZ (@BMATUNGWA) JUNE 3, 2017
KWA MAANA HIYO CHAMA CHA MAPINDUZI HAKINA MWANACHAMA AMBAYE ATAWEZA KUWA MKUU WA MKOA?

— NTOBI (@IMMANTOBI) JUNE 3, 2017
KITILA KATIBU WA WIZAR YA MAJI ANNA MWINGIRA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO KWA MAANA @ACTWAZALENDO KUNA VIONGOZI MAKINI SOON @ZITTOKABWE

— DR SOKO JR (@NATHANIELIMANI) JUNE 3, 2017
SIO TU KAWA MKUU WA MKOA KILIMANJARO; BALI PIA MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KILIMANJARO! @ZITTOKABWE @CHAHALI

— LIBERATUS MWANG’OMBE (@LIBEBAGASA80) JUNE 3, 2017
KITILA ACT :KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI
ANNA MGWIRA ACT :MKUU WA MKOA KILIMANJARO
ZITTO KABWE ACT :WAZIRI NISHATI NA MADINI. END OF STORY.

— HANDSOME LA KIJIJI (@MANENOIZAAK) JUNE 3, 2017
MKUU MPYA WA MKOA WA KILIMANJARO KWENYE MAJUKUMU YAKE ATATUMIA ILANI IPI SASA?YA CHAMA CHAKE AU TAWALA?BADO NAWAZA πŸ€”



KWA MUJIBU WA KATIBA YA CHAMA CHETU, MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA MKOA, HONGERA ANNA MGWIRA NA KARIBU CCM !!

— MCHOKOZI!! (@OLEMTETEZI) JUNE 3, 2017
ITAKUWAJE MAMA MGHWIRA ATAKAPOPEWA “MAELEKEZO KUTOKA JUU” KUZUWIA MKUTANO WA ZALENDO MKOANI MWAKE? #THINKINGALOUD  

— EVARIST CHAHALI (@CHAHALI) JUNE 3, 2017
ACT ND’O IMEISHA HIVO…KITILA KACHUKULIWA, MSANDO KACHUKULIWA NA GIGY…ANNA MGHWIRA NAYE KACHUKULIWA…KABAKI ZITTO PEKE YAKEπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

— MR BEN (@ERICBERNARD692) JUNE 3, 2017
NAENDELEA KUMTIA MOYO @ZITTOKABWE ASIVUNJIKE MOYO HATA KAMA UTALAZIMISHWA KUPITA KWENYE MTEREMKO WENYE UTELEZI MKALI. KEEP DOING WHAT YOU DO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amemteua Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Rais Magufuli amefanya uteuzi huo ambapo Mghwira anachukua nafasi ya Said Meck Sadick aliyeandika barua kwa Rais akiomba kujiuzulu mwezi Mei mwaka huu.

Uteuzi huo umemkuta mwenyekiti wa ACT Wazalendo akiwa katika kongamano la chama hicho lililokuwa likijadili sakata la kuzuiwa kwa mchanga wa madini kusafirishwa kwenda nje. Hadi sasa chama hicho na mteule hawajatoa taarifa yoyote kuhusu uteuzi huo.

Watu mbalimbali kupitia mitandao wametoa maoni yako kuhusu uteuzi huo, jambo kubwa likiwa ni kwa namna gani kiongozi huyo atakwenda kutekekeleza ilani ya Chama cha Mapainduzi. Wengi waliotoa maoni walisema kuwa, Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM na mjumbe wa vikao vya CCM Mkoa, hivyo swali linakuwa, je! Anna Mghwira ambaye ni mwanachama wa ACT Wazalendo, ataingia kwenye vikao vya CCM?

Hapa chini ni maoni ya baadhi ya watumiaji wa mitandao kuhusu uteuzi huo. Na wewe unaweza kuandika maoni yako chini mwishoni mwa habari hii.

KATIBA INASEMA MKUU WA MKOA AMBAYE NI MWANACHAMA KUMBE KUNA AMBAYE SIYE MWANACHAMA ….HAIHITAJI DEGREE YA SHERIA
KUONA HILI 

— HENRYAMANI (@HENRYMSUYA1) JUNE 3, 2017
HONGERA SANA MAMA πŸ‘πŸ‘KWA KUTEULIWA NA RAIS KUWA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO, NAKUAMINI SANA 

— DAVID GUNDA (@DAVIDGUNDA1) JUNE 3, 2017
MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM NA MJUMBE WA VIKAO VYA CCM MKOA! JE, ANNA MWIGIRA ATAKUWA ANAHUDHURIA VIKAO VYA CCM?

— OLE’SEIF (@MBOBEZI) JUNE 3, 2017
SASA WABUNGE WA CCM WAJIFUNZE KUTOKA KWA MHESHIMIWA RAIS. WAKATI YEYE ANAONA KARAMA YA UONGOZI KWA UPINZANI, WABUNGE CCM WAFUATE NYAYO HIZO

— DOTCODOTTZ (@BMATUNGWA) JUNE 3, 2017
KWA MAANA HIYO CHAMA CHA MAPINDUZI HAKINA MWANACHAMA AMBAYE ATAWEZA KUWA MKUU WA MKOA?

— NTOBI (@IMMANTOBI) JUNE 3, 2017
KITILA KATIBU WA WIZAR YA MAJI ANNA MWINGIRA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO KWA MAANA @ACTWAZALENDO KUNA VIONGOZI MAKINI SOON @ZITTOKABWE

— DR SOKO JR (@NATHANIELIMANI) JUNE 3, 2017
SIO TU KAWA MKUU WA MKOA KILIMANJARO; BALI PIA MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KILIMANJARO! @ZITTOKABWE @CHAHALI

— LIBERATUS MWANG’OMBE (@LIBEBAGASA80) JUNE 3, 2017
KITILA ACT :KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI
ANNA MGWIRA ACT :MKUU WA MKOA KILIMANJARO
ZITTO KABWE ACT :WAZIRI NISHATI NA MADINI. END OF STORY.

— HANDSOME LA KIJIJI (@MANENOIZAAK) JUNE 3, 2017
MKUU MPYA WA MKOA WA KILIMANJARO KWENYE MAJUKUMU YAKE ATATUMIA ILANI IPI SASA?YA CHAMA CHAKE AU TAWALA?BADO NAWAZA πŸ€”



KWA MUJIBU WA KATIBA YA CHAMA CHETU, MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA MKOA, HONGERA ANNA MGWIRA NA KARIBU CCM !!

— MCHOKOZI!! (@OLEMTETEZI) JUNE 3, 2017
ITAKUWAJE MAMA MGHWIRA ATAKAPOPEWA “MAELEKEZO KUTOKA JUU” KUZUWIA MKUTANO WA ZALENDO MKOANI MWAKE? #THINKINGALOUD  

— EVARIST CHAHALI (@CHAHALI) JUNE 3, 2017
ACT ND’O IMEISHA HIVO…KITILA KACHUKULIWA, MSANDO KACHUKULIWA NA GIGY…ANNA MGHWIRA NAYE KACHUKULIWA…KABAKI ZITTO PEKE YAKEπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

— MR BEN (@ERICBERNARD692) JUNE 3, 2017
NAENDELEA KUMTIA MOYO @ZITTOKABWE ASIVUNJIKE MOYO HATA KAMA UTALAZIMISHWA KUPITA KWENYE MTEREMKO WENYE UTELEZI MKALI. KEEP DOING WHAT YOU DO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amemteua Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Rais Magufuli amefanya uteuzi huo ambapo Mghwira anachukua nafasi ya Said Meck Sadick aliyeandika barua kwa Rais akiomba kujiuzulu mwezi Mei mwaka huu.

Uteuzi huo umemkuta mwenyekiti wa ACT Wazalendo akiwa katika kongamano la chama hicho lililokuwa likijadili sakata la kuzuiwa kwa mchanga wa madini kusafirishwa kwenda nje. Hadi sasa chama hicho na mteule hawajatoa taarifa yoyote kuhusu uteuzi huo.

Watu mbalimbali kupitia mitandao wametoa maoni yako kuhusu uteuzi huo, jambo kubwa likiwa ni kwa namna gani kiongozi huyo atakwenda kutekekeleza ilani ya Chama cha Mapainduzi. Wengi waliotoa maoni walisema kuwa, Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM na mjumbe wa vikao vya CCM Mkoa, hivyo swali linakuwa, je! Anna Mghwira ambaye ni mwanachama wa ACT Wazalendo, ataingia kwenye vikao vya CCM?

Hapa chini ni maoni ya baadhi ya watumiaji wa mitandao kuhusu uteuzi huo. Na wewe unaweza kuandika maoni yako chini mwishoni mwa habari hii.

KATIBA INASEMA MKUU WA MKOA AMBAYE NI MWANACHAMA KUMBE KUNA AMBAYE SIYE MWANACHAMA ….HAIHITAJI DEGREE YA SHERIA
KUONA HILI 

— HENRYAMANI (@HENRYMSUYA1) JUNE 3, 2017
HONGERA SANA MAMA πŸ‘πŸ‘KWA KUTEULIWA NA RAIS KUWA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO, NAKUAMINI SANA 

— DAVID GUNDA (@DAVIDGUNDA1) JUNE 3, 2017
MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM NA MJUMBE WA VIKAO VYA CCM MKOA! JE, ANNA MWIGIRA ATAKUWA ANAHUDHURIA VIKAO VYA CCM?

— OLE’SEIF (@MBOBEZI) JUNE 3, 2017
SASA WABUNGE WA CCM WAJIFUNZE KUTOKA KWA MHESHIMIWA RAIS. WAKATI YEYE ANAONA KARAMA YA UONGOZI KWA UPINZANI, WABUNGE CCM WAFUATE NYAYO HIZO

— DOTCODOTTZ (@BMATUNGWA) JUNE 3, 2017
KWA MAANA HIYO CHAMA CHA MAPINDUZI HAKINA MWANACHAMA AMBAYE ATAWEZA KUWA MKUU WA MKOA?

— NTOBI (@IMMANTOBI) JUNE 3, 2017
KITILA KATIBU WA WIZAR YA MAJI ANNA MWINGIRA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO KWA MAANA @ACTWAZALENDO KUNA VIONGOZI MAKINI SOON @ZITTOKABWE

— DR SOKO JR (@NATHANIELIMANI) JUNE 3, 2017
SIO TU KAWA MKUU WA MKOA KILIMANJARO; BALI PIA MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KILIMANJARO! @ZITTOKABWE @CHAHALI

— LIBERATUS MWANG’OMBE (@LIBEBAGASA80) JUNE 3, 2017
KITILA ACT :KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI
ANNA MGWIRA ACT :MKUU WA MKOA KILIMANJARO
ZITTO KABWE ACT :WAZIRI NISHATI NA MADINI. END OF STORY.

— HANDSOME LA KIJIJI (@MANENOIZAAK) JUNE 3, 2017
MKUU MPYA WA MKOA WA KILIMANJARO KWENYE MAJUKUMU YAKE ATATUMIA ILANI IPI SASA?YA CHAMA CHAKE AU TAWALA?BADO NAWAZA πŸ€”



KWA MUJIBU WA KATIBA YA CHAMA CHETU, MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA MKOA, HONGERA ANNA MGWIRA NA KARIBU CCM !!

— MCHOKOZI!! (@OLEMTETEZI) JUNE 3, 2017
ITAKUWAJE MAMA MGHWIRA ATAKAPOPEWA “MAELEKEZO KUTOKA JUU” KUZUWIA MKUTANO WA ZALENDO MKOANI MWAKE? #THINKINGALOUD  

— EVARIST CHAHALI (@CHAHALI) JUNE 3, 2017
ACT ND’O IMEISHA HIVO…KITILA KACHUKULIWA, MSANDO KACHUKULIWA NA GIGY…ANNA MGHWIRA NAYE KACHUKULIWA…KABAKI ZITTO PEKE YAKEπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

— MR BEN (@ERICBERNARD692) JUNE 3, 2017
NAENDELEA KUMTIA MOYO @ZITTOKABWE ASIVUNJIKE MOYO HATA KAMA UTALAZIMISHWA KUPITA KWENYE MTEREMKO WENYE UTELEZI MKALI. KEEP DOING WHAT YOU DO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo amemteua Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo, Anna Elisha Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Rais Magufuli amefanya uteuzi huo ambapo Mghwira anachukua nafasi ya Said Meck Sadick aliyeandika barua kwa Rais akiomba kujiuzulu mwezi Mei mwaka huu.

Uteuzi huo umemkuta mwenyekiti wa ACT Wazalendo akiwa katika kongamano la chama hicho lililokuwa likijadili sakata la kuzuiwa kwa mchanga wa madini kusafirishwa kwenda nje. Hadi sasa chama hicho na mteule hawajatoa taarifa yoyote kuhusu uteuzi huo.

Watu mbalimbali kupitia mitandao wametoa maoni yako kuhusu uteuzi huo, jambo kubwa likiwa ni kwa namna gani kiongozi huyo atakwenda kutekekeleza ilani ya Chama cha Mapainduzi. Wengi waliotoa maoni walisema kuwa, Mkuu wa Mkoa ni mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM na mjumbe wa vikao vya CCM Mkoa, hivyo swali linakuwa, je! Anna Mghwira ambaye ni mwanachama wa ACT Wazalendo, ataingia kwenye vikao vya CCM?

Hapa chini ni maoni ya baadhi ya watumiaji wa mitandao kuhusu uteuzi huo. Na wewe unaweza kuandika maoni yako chini mwishoni mwa habari hii.

KATIBA INASEMA MKUU WA MKOA AMBAYE NI MWANACHAMA KUMBE KUNA AMBAYE SIYE MWANACHAMA ….HAIHITAJI DEGREE YA SHERIA
KUONA HILI 

— HENRYAMANI (@HENRYMSUYA1) JUNE 3, 2017
HONGERA SANA MAMA πŸ‘πŸ‘KWA KUTEULIWA NA RAIS KUWA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO, NAKUAMINI SANA 

— DAVID GUNDA (@DAVIDGUNDA1) JUNE 3, 2017
MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA MKUTANO MKUU WA CCM NA MJUMBE WA VIKAO VYA CCM MKOA! JE, ANNA MWIGIRA ATAKUWA ANAHUDHURIA VIKAO VYA CCM?

— OLE’SEIF (@MBOBEZI) JUNE 3, 2017
SASA WABUNGE WA CCM WAJIFUNZE KUTOKA KWA MHESHIMIWA RAIS. WAKATI YEYE ANAONA KARAMA YA UONGOZI KWA UPINZANI, WABUNGE CCM WAFUATE NYAYO HIZO

— DOTCODOTTZ (@BMATUNGWA) JUNE 3, 2017
KWA MAANA HIYO CHAMA CHA MAPINDUZI HAKINA MWANACHAMA AMBAYE ATAWEZA KUWA MKUU WA MKOA?

— NTOBI (@IMMANTOBI) JUNE 3, 2017
KITILA KATIBU WA WIZAR YA MAJI ANNA MWINGIRA MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO KWA MAANA @ACTWAZALENDO KUNA VIONGOZI MAKINI SOON @ZITTOKABWE

— DR SOKO JR (@NATHANIELIMANI) JUNE 3, 2017
SIO TU KAWA MKUU WA MKOA KILIMANJARO; BALI PIA MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA CHAMA CHA MAPINDUZI MKOA WA KILIMANJARO! @ZITTOKABWE @CHAHALI

— LIBERATUS MWANG’OMBE (@LIBEBAGASA80) JUNE 3, 2017
KITILA ACT :KATIBU MKUU WIZARA YA MAJI
ANNA MGWIRA ACT :MKUU WA MKOA KILIMANJARO
ZITTO KABWE ACT :WAZIRI NISHATI NA MADINI. END OF STORY.

— HANDSOME LA KIJIJI (@MANENOIZAAK) JUNE 3, 2017
MKUU MPYA WA MKOA WA KILIMANJARO KWENYE MAJUKUMU YAKE ATATUMIA ILANI IPI SASA?YA CHAMA CHAKE AU TAWALA?BADO NAWAZA πŸ€”



KWA MUJIBU WA KATIBA YA CHAMA CHETU, MKUU WA MKOA NI MJUMBE WA KAMATI YA SIASA YA MKOA, HONGERA ANNA MGWIRA NA KARIBU CCM !!

— MCHOKOZI!! (@OLEMTETEZI) JUNE 3, 2017
ITAKUWAJE MAMA MGHWIRA ATAKAPOPEWA “MAELEKEZO KUTOKA JUU” KUZUWIA MKUTANO WA ZALENDO MKOANI MWAKE? #THINKINGALOUD  

— EVARIST CHAHALI (@CHAHALI) JUNE 3, 2017
ACT ND’O IMEISHA HIVO…KITILA KACHUKULIWA, MSANDO KACHUKULIWA NA GIGY…ANNA MGHWIRA NAYE KACHUKULIWA…KABAKI ZITTO PEKE YAKEπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

— MR BEN (@ERICBERNARD692) JUNE 3, 2017
NAENDELEA KUMTIA MOYO @ZITTOKABWE ASIVUNJIKE MOYO HATA KAMA UTALAZIMISHWA KUPITA KWENYE MTEREMKO WENYE UTELEZI MKALI. KEEP DOING WHAT YOU DO

Wednesday, 24 May 2017

BREAKING NEWS !!!!!HII HAPA ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WANAOJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU 2017
πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½ http://bongolatestblog.blogspot.com/2017/05/breaking-news-hii-hapa-orodha-ya-majina.html

BONYEZA HAPO KUONA MAJINA NA KAMBI WALIZOPANGIWA πŸ‘†πŸΌπŸ‘†πŸΌπŸ‘†πŸΌ
http://bongolatestblog.blogspot.com/2017/05/breaking-news-hii-hapa-orodha-ya-majina.html

BREAKING NEWS !!!!!HII HAPA ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI KIDATO CHA SITA WANAOJIUNGA NA JKT KWA MUJIBU 2017
πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½πŸ‘‡πŸ½ http://bongolatestblog.blogspot.com/2017/05/breaking-news-hii-hapa-orodha-ya-majina.html

BONYEZA HAPO KUONA MAJINA NA KAMBI WALIZOPANGIWA πŸ‘†πŸΌπŸ‘†πŸΌπŸ‘†πŸΌ
http://bongolatestblog.blogspot.com/2017/05/breaking-news-hii-hapa-orodha-ya-majina.html

Tuesday, 23 May 2017

Mambo 50 ya kisaikolojia yatakayokuacha kinywa wazi

Hii ni kwel hata kama ulikua hujui kubali tu, maana ndio ukweli uliopo.

 1. Mtu hufanya ishara nyingi za mikono akiwa anazungumza ukweli. Azungumzae uongo mikono yake huwa imetulia zaidi.

2. Sikiliza kwa makini namna mtu anavyozungumzia watu wengine akiwa na wewe, na ndivyo atakavyokuzungumzia wewe akiwa na watu wengine.

 3. Ndoto zako zinabeba ujumbe mhimu sana. Asilimia 70 ya ndoto zako zina ujumbe wa siri.

4. Kwa kawaida watu huwa waaminifu na wakweli mwili ukiwa umechoka, na ndio sababu hutubu na kutoa siri zao kwenye mazungumzo yatekeayo usiku wa manane,

5. Ukihisi mtu au watu wanakuangalia, angalia saa au muda kama unataka kujua wakati, watu wanaokutazama nao watatizama saa, hii ni kwa sababu kuangalia wakati/mda huambukiza.

 6. Kunywa maji ya baridi sana mapema asubuhi husaidia mwili wako kufanya kazi vizuri hadi asilimia 25.

7. Kukumbatiana huondoa shauku, msongo wa mawazo na huongeza kinga ya mwili.

8. Kushindwa kumtoa mtu akilini mwako imamaanisha kwamba nawe upo akilini mwa mtu huyo.

9. Watu wenya akili yenye ubunifu hupata shida sana kupata usingizi, hivyo hupendelea kuwa macho hadi usiku wa manane.

10. Kama utakataliwa na mtu ambaye kujali kwake ni muhimu sana kwako, basi maumivu utakayopata katika ubongo wako ni kama maumivu ya mwili yanavyokuwa.

11. Mtu ambaye ametendwa au ameumizwa kisaikolojia huwa na hulka ya kukasirika pasipo sababu yeyote ya msingi.

12. Ukitaka kujua kama mtu unaezumguza nae anapenda kusikia unayoyazungumza kunja mikono yako, kama anapenda na anafurahia mazungumzo nae atakunja mikono pia.

13. Kama mtu anachekacheka tu bila sababu maalumu au anacheka sana, basi mtu huyo ana huzuni kuu moyoni mwake, na kama mtu analala kwa mda mrefu sana, mtu huyo ni mpweke.

14. Namna tunavyozungumza na watoto wetu ndivyo inavyokuwa sauti katika mioyo yao.

15. Mtu akitokea katika ndoto unayoota, basi ni kwa sababu mtu huyo kakuhamu (kakumiss).

16. Wa kwanza kuomba msamaha sikuzote ni mwerevu, wa kwanza kusamehe ni mwenye nguvu na wa kwanza kusahau ni mwenye furaha.

17. Mashairi katika wimbo uupendao ni ujumbe ambao unapambana kuufikisha mahala flani au kuwaambia watu flani.

18. Ukitumia mkono wako usiotumika mara kwa mara (wa kushoto kwa wengi) itakusaidia kuwa na ‘self control’.

19. Kama mwanaume atasimama akiwa ametanua miguu yake wakati akizungumza na mwanamke, ni ishara kwamba mwanaume huyo anampenda mwanamke kwa dhati.

20. Mwanaume akiwa hajisikii huru au akiwa hana amani, basi hushika kichwa au uso wakati mwanamke hushika aidha nywele, hereni, mavazi, mikono au shingo.

21. Siku zote fuata wazo linalokuogopesha zaidi, sababu hili ndili litakalo kujenga na kukuimarisha.

22. Aina mbili ya watu ambao hawatakuangalia machoni: mtu anaejaribu kuficha uongo na mtu anaejaribu kuficha mapenzi/ upendo.

23. Wanasaikolojia wanasema mtu anataka kumfurahisha kila mtu huishia kuwa mpweke zaidi.

24. Mtu anaekasirika kirahisi, kwa vitu vya kijinga, inaonesha kwamba anahitaji upendo/kupendwa.

25. Sikuzote wanaoponda au kulalamikia wengine kwa wanayofanya, ndicho kile wanachofanya wao au wanatamani kufanya wao- elewa hili.

26. Kulia ni afya kwako. Huondoa bacteria wabaya mwilini mwako, hukupunguzia msongo wa mawazo na kukuongezea kinga ya mwili.

27. Saikolojia inasema: Huogopi kupenda, unachoogopa ni kutokupendwa (afraid of not being loved back).

28. Ukweli wa mambo: uko karibu zaidi na kufanikisha malengo yako kama utayaweka kuwa yako pekee, yaani kuwa ni siri yako.

29. Saikolojia inasema: kujifanya mwenye furaha wakati una maumivu ni mfano wa kuonesha ni jinsi gani wewe ni mwanadamu mweye nguvu. (strong person).

30. Kabla ya kulala, asilimia 90 ya akili yako huanza kufikiri mambo ambayo ungependa yatokee.

31. Watu wanaotembea kwa hatua za harakaharaka huonekana kuwa wanajiamini na wenye furaha zaidi kuliko wanaotembea taratibu.

32. Watu wanaojua utani zaidi wanajua kusoma akili za watu pia.

33. Ubongo wa mwanadamu alielala unaweza kuelewa mazunguzo ya watu walio karibu eneo hilo.

34. Ukiwa uaongea na mtu, ongea huku ukitaja jina lake, hii itasaidia kupendwa zaidi na mtu huyo.

 35. Kufuatana na uchunguzi wa wataalam, kumtamani mtu kingono hiushia miezi minne, zaidi ya hapo utakuwa ni upendo wa dhati.

36. Uchunguzi unaonesha kuwa watu wanaolala na mito mingi ni wenye msongo wa mawazo na wapweke.

 37. Umbo la ubongo wako hubadilika kila unapojifunza jambo jipya.

38. Watu wakiwa katika kundi na ikatokea kuna kucheka, wale walio na mahusiano ya karibu zaidi hutizamana.

39. Kwa namna mwandiko wa mtu unavyokosa mpangilio au kuwa mbaya ndio kiashirio kwamba mtu huyo anafikiri haraka zaidi ya mikono yake inavyoweza kuandika.

40. Kuna watu wana alama ya asili ya kuwaamsha muda  wanaotaka, hii ni kwa sababu wana homoni ya asili ya stress.

41. Haiwezekani kukaa na hasira dhidi ya umpendae kwa mda mrefu. Hasira inayofika siku tatu au zaidi inamaanisha kwamba hauna upendo.

42. Chakula cha kwenya ndege hakina ladha sana sababu uwezo wetu wa kutambua ladha hupungua kwa asilimia 20 hadi 50 tukiwa angani.

43. Kama urafiki utafikisha miaka saba, basi urafiki huo utadumu milele.

44. Kama mtu akiongea na wewe halafu kwenye maongezi akakungalia machoni kwa asilimia 60 ya maongezi basi umemboa mtu huyo. Kama atakuangalia kwa asilimia 80 basi umemvutia mtu huyo na kama itafikia asilimia 100 basi mtu huyo anakutishia.

45. Katika sekunde tatu za mwanzo unapoamka, huwezi kumbuka chochote.

46. Uoga waweza kuua. Hii ni kwa sababu mwili huzalisha adrenalin ambayo ni sumu ikizidi. 47. Kawaida, mtu akianza kulia atakumbukaia matukio mengine yaliyomsikitisha au kumchukiza ili kuongezea ubongo wake hamu ya kulia.

48. Unapopiga chafya, unakufa kwa sekunde. 49. Unapotekenywa hucheki, bali ni itikio na kupaniki (panic response). Huwezi jitekenya mwenyewe kwa sababu mwili hauhisi hatari yoyote. Kawaida enzi za zamani kutekenya ilitumika kama adhabu.

50. Kukosa usingizi husababisha ubongo kutokumbuka mambo kiusahii

Mambo 50 ya kisaikolojia yatakayokuacha kinywa wazi

Hii ni kwel hata kama ulikua hujui kubali tu, maana ndio ukweli uliopo.

 1. Mtu hufanya ishara nyingi za mikono akiwa anazungumza ukweli. Azungumzae uongo mikono yake huwa imetulia zaidi.

2. Sikiliza kwa makini namna mtu anavyozungumzia watu wengine akiwa na wewe, na ndivyo atakavyokuzungumzia wewe akiwa na watu wengine.

 3. Ndoto zako zinabeba ujumbe mhimu sana. Asilimia 70 ya ndoto zako zina ujumbe wa siri.

4. Kwa kawaida watu huwa waaminifu na wakweli mwili ukiwa umechoka, na ndio sababu hutubu na kutoa siri zao kwenye mazungumzo yatekeayo usiku wa manane,

5. Ukihisi mtu au watu wanakuangalia, angalia saa au muda kama unataka kujua wakati, watu wanaokutazama nao watatizama saa, hii ni kwa sababu kuangalia wakati/mda huambukiza.

 6. Kunywa maji ya baridi sana mapema asubuhi husaidia mwili wako kufanya kazi vizuri hadi asilimia 25.

7. Kukumbatiana huondoa shauku, msongo wa mawazo na huongeza kinga ya mwili.

8. Kushindwa kumtoa mtu akilini mwako imamaanisha kwamba nawe upo akilini mwa mtu huyo.

9. Watu wenya akili yenye ubunifu hupata shida sana kupata usingizi, hivyo hupendelea kuwa macho hadi usiku wa manane.

10. Kama utakataliwa na mtu ambaye kujali kwake ni muhimu sana kwako, basi maumivu utakayopata katika ubongo wako ni kama maumivu ya mwili yanavyokuwa.

11. Mtu ambaye ametendwa au ameumizwa kisaikolojia huwa na hulka ya kukasirika pasipo sababu yeyote ya msingi.

12. Ukitaka kujua kama mtu unaezumguza nae anapenda kusikia unayoyazungumza kunja mikono yako, kama anapenda na anafurahia mazungumzo nae atakunja mikono pia.

13. Kama mtu anachekacheka tu bila sababu maalumu au anacheka sana, basi mtu huyo ana huzuni kuu moyoni mwake, na kama mtu analala kwa mda mrefu sana, mtu huyo ni mpweke.

14. Namna tunavyozungumza na watoto wetu ndivyo inavyokuwa sauti katika mioyo yao.

15. Mtu akitokea katika ndoto unayoota, basi ni kwa sababu mtu huyo kakuhamu (kakumiss).

16. Wa kwanza kuomba msamaha sikuzote ni mwerevu, wa kwanza kusamehe ni mwenye nguvu na wa kwanza kusahau ni mwenye furaha.

17. Mashairi katika wimbo uupendao ni ujumbe ambao unapambana kuufikisha mahala flani au kuwaambia watu flani.

18. Ukitumia mkono wako usiotumika mara kwa mara (wa kushoto kwa wengi) itakusaidia kuwa na ‘self control’.

19. Kama mwanaume atasimama akiwa ametanua miguu yake wakati akizungumza na mwanamke, ni ishara kwamba mwanaume huyo anampenda mwanamke kwa dhati.

20. Mwanaume akiwa hajisikii huru au akiwa hana amani, basi hushika kichwa au uso wakati mwanamke hushika aidha nywele, hereni, mavazi, mikono au shingo.

21. Siku zote fuata wazo linalokuogopesha zaidi, sababu hili ndili litakalo kujenga na kukuimarisha.

22. Aina mbili ya watu ambao hawatakuangalia machoni: mtu anaejaribu kuficha uongo na mtu anaejaribu kuficha mapenzi/ upendo.

23. Wanasaikolojia wanasema mtu anataka kumfurahisha kila mtu huishia kuwa mpweke zaidi.

24. Mtu anaekasirika kirahisi, kwa vitu vya kijinga, inaonesha kwamba anahitaji upendo/kupendwa.

25. Sikuzote wanaoponda au kulalamikia wengine kwa wanayofanya, ndicho kile wanachofanya wao au wanatamani kufanya wao- elewa hili.

26. Kulia ni afya kwako. Huondoa bacteria wabaya mwilini mwako, hukupunguzia msongo wa mawazo na kukuongezea kinga ya mwili.

27. Saikolojia inasema: Huogopi kupenda, unachoogopa ni kutokupendwa (afraid of not being loved back).

28. Ukweli wa mambo: uko karibu zaidi na kufanikisha malengo yako kama utayaweka kuwa yako pekee, yaani kuwa ni siri yako.

29. Saikolojia inasema: kujifanya mwenye furaha wakati una maumivu ni mfano wa kuonesha ni jinsi gani wewe ni mwanadamu mweye nguvu. (strong person).

30. Kabla ya kulala, asilimia 90 ya akili yako huanza kufikiri mambo ambayo ungependa yatokee.

31. Watu wanaotembea kwa hatua za harakaharaka huonekana kuwa wanajiamini na wenye furaha zaidi kuliko wanaotembea taratibu.

32. Watu wanaojua utani zaidi wanajua kusoma akili za watu pia.

33. Ubongo wa mwanadamu alielala unaweza kuelewa mazunguzo ya watu walio karibu eneo hilo.

34. Ukiwa uaongea na mtu, ongea huku ukitaja jina lake, hii itasaidia kupendwa zaidi na mtu huyo.

 35. Kufuatana na uchunguzi wa wataalam, kumtamani mtu kingono hiushia miezi minne, zaidi ya hapo utakuwa ni upendo wa dhati.

36. Uchunguzi unaonesha kuwa watu wanaolala na mito mingi ni wenye msongo wa mawazo na wapweke.

 37. Umbo la ubongo wako hubadilika kila unapojifunza jambo jipya.

38. Watu wakiwa katika kundi na ikatokea kuna kucheka, wale walio na mahusiano ya karibu zaidi hutizamana.

39. Kwa namna mwandiko wa mtu unavyokosa mpangilio au kuwa mbaya ndio kiashirio kwamba mtu huyo anafikiri haraka zaidi ya mikono yake inavyoweza kuandika.

40. Kuna watu wana alama ya asili ya kuwaamsha muda  wanaotaka, hii ni kwa sababu wana homoni ya asili ya stress.

41. Haiwezekani kukaa na hasira dhidi ya umpendae kwa mda mrefu. Hasira inayofika siku tatu au zaidi inamaanisha kwamba hauna upendo.

42. Chakula cha kwenya ndege hakina ladha sana sababu uwezo wetu wa kutambua ladha hupungua kwa asilimia 20 hadi 50 tukiwa angani.

43. Kama urafiki utafikisha miaka saba, basi urafiki huo utadumu milele.

44. Kama mtu akiongea na wewe halafu kwenye maongezi akakungalia machoni kwa asilimia 60 ya maongezi basi umemboa mtu huyo. Kama atakuangalia kwa asilimia 80 basi umemvutia mtu huyo na kama itafikia asilimia 100 basi mtu huyo anakutishia.

45. Katika sekunde tatu za mwanzo unapoamka, huwezi kumbuka chochote.

46. Uoga waweza kuua. Hii ni kwa sababu mwili huzalisha adrenalin ambayo ni sumu ikizidi. 47. Kawaida, mtu akianza kulia atakumbukaia matukio mengine yaliyomsikitisha au kumchukiza ili kuongezea ubongo wake hamu ya kulia.

48. Unapopiga chafya, unakufa kwa sekunde. 49. Unapotekenywa hucheki, bali ni itikio na kupaniki (panic response). Huwezi jitekenya mwenyewe kwa sababu mwili hauhisi hatari yoyote. Kawaida enzi za zamani kutekenya ilitumika kama adhabu.

50. Kukosa usingizi husababisha ubongo kutokumbuka mambo kiusahii

Wednesday, 26 April 2017

BINADAMU MWENYE UMRI MREFU ZAIDI DUNIANI ANAISHI TANZANIA.

Ndugu Ambilikile Mwanyaluke Panja Mkazi wa Kijiji cha Majengo Kata ya Ihanda ndiye Binadamu aliye na Umri mkubwa kuliko wanaodaiwa kushikiria Rekodi ya kula Chumvi nyingi Duniani kwa sasa.

Mzee Ambilikile Panja ambaye alishuhudia Vitaa kuu zote Mbili za Dunia kwa ukaribu, anakadiriwa kuwa na Umri wa wa zaidi ya miaka 127 leo.

Mkazi huyo wa Kitongoji cha Izyika ambaye kwa sasa haoni wala Kusikia vyema amemsimlia mwandishi wa makala hii kuwa wakati wa Vita ya Maji Maji dhidi Wakoloni alikuwa tayari anachunga mifugo ya Baba yake Marehem Mwanyaluke Panja.

Mzee Ambilikile Panja Kabila Mndali kutoka Tarafa ya  Bundali Ileje anasema, Wakati wa Vita ya Maji Maji "Wazazi wetu walitwambia tukiona Wazungu tuiache mifugo tukimbie kurudi nyumbani" anasema Mzee Panja.

Mzee Panja ambaye kwa sasa hawezi kusimama wala kutembea anasema, Vita ya Kalenga (Mkwawa) haikuwahi kufika kwao Ileje, Isipokuwa Vita ya Pili ya Dunia ilifika mpaka Mbozi.

Anasema Vita ya Hitler, (Vita ya Pili ya Dunia) ilianza Wakati yeye akiwa ameshakimbia kutoka Ileje na kuhamia Mbozi (Kijiji cha Ihanda) baada ya Kupora Mke wa Chifu.  Anasema yeye mwenyewe alishuhudia Mzungu aliyekuwa na Nywele mwili Mzima mithili ya Mnya akiwa amekimbia kujiokoa na Maadui zake. "Tulipo muona huyo Mzungu, tulidhani ni Mnyama kumbe ni Binadamu", anasema kwa Kindali huku akishusha Kicheko hafifu kilichofuatiwa na Kikohozi cha Ukongwe.

Mzee Ambilikile anasema Wakati wa Vita ya Hitler tulilazimika kuchimba Mashimo {Mahandaki} ya kujificha kuleee Lwibhaaa (Kitongoji cha Mlimani Kijiji cha Ihanda) <<Handaki hili lipo mpaka sasa eneo hilo.>>

Mzee Panja ambaye mtoto wake wa Kwanza Marehemu Leonard Panja alifariki dunia kutokana na Uzee, mwaka 2014 akiwa na Umri wa miaka 98 anasema Marafiki zake wote, pamoja na Maadui zake wakiwamo Machifu aliokuwa anapingana nao, wote wameshatangulia mbele za haki amebaki pekee yake.

"Mimi nilitoka Kapelekeshi nikaenda kuishi Ibungu Itumba na baadae nikahamia hapa Mbozi. Hapa nilikuja na Mke wangu Mkubwa Agnes Mlawa na Watoto wangu watatu Leonard, Lassary na Pitros pamoja na Zacharia Panja na marehemu Mbonasi Panja (watoto wa ndugu zake)"
anasimulia mzee Panja.

Mzee Ambilikile kwa sasa ni Kikongwe asiyeweza kufanya Chochote bila ya Msaada wa mtu mwingine. Mzee kwa sasa hubebwa au kusukumwa na Kiti cha Magurudumu (Wheel Chair) ambayo humsaidia kwa ajili ya kusogezwa eneo moja hadi jingine.

Kwa sasa Mzee huyu anaishi na Mke wake wa 4 Bi. Atusajigwe Mshani wa Mwisho katika wake zake ambaye naye kwa sasa ni mzee mwenye Umri wa miaka 89 licha ya Kuwa ana umri sawa na Mzaliwa  wa tano wa Mzee Ambilikile Panja.

Aidha, kwa mujibu wa mtoto wa Mwisho wa Mzee Panja ambaye ndiye hutunza takwimu za familia ya Mzee Ambilikile, Ndugu Lawrence A. Panja; Baba yake anadhaniwa alizaliwa mwaka 1890 Katika Kijiji cha Kapelekeshi Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe.

Kikongwe huyu hajulikani popote zaidi ya Vijiji vinavyo mzunguka. Hata Serikali ya Wilaya tu haijui kuwa ina Raia wake mwenye Umri mkubwa namna hii.

Ni wajibu wetu kama Nchi kusaidia dunia kumfahamu Babu huyu mwenye Umri Mkubwa kuliko wengine. Ni jukumu la Wandishi na Vyombo mbalimbali pamoja na  Mitandao ya Kijamii kuujulisha Ulimwengu Mtu huyu anayeishi maisha ya mwendo wa Marathon kwa sasa.

Sio kila siku tunafuatilia na kusimulia mambo ya Mataifa ya Nje wakati MUNGU na sisi katupendelea. Kama tumeweza kuuambia ulimwengu Mlima Kilimanjaro unapatikana Tanzania na sio Kenya basi na hili tunaweza tukiamua.

Mwisho naomba Viongozi wa Serikali, Siasa, Dini Mashirika ndani na nje ya Nchi, pamoja na Wananchi mbalimbali kujitolea kumsaidia na kumtunza Mzee Panja ambaye kwa Umri wake ni kama Lulu iliyosalia Duniani kwa sasa.

Mwandishi wa Makala hii ni Ndugu Abel Sichembe

Email abelchembe37@gmail.com

Simu No. +255757281046

WhatsApp No. +255655281046

Share, Like, Coment, Re post, Sambaza mpaka iwafikie Guineas World of Record.

BINADAMU MWENYE UMRI MREFU ZAIDI DUNIANI ANAISHI TANZANIA.

Ndugu Ambilikile Mwanyaluke Panja Mkazi wa Kijiji cha Majengo Kata ya Ihanda ndiye Binadamu aliye na Umri mkubwa kuliko wanaodaiwa kushikiria Rekodi ya kula Chumvi nyingi Duniani kwa sasa.

Mzee Ambilikile Panja ambaye alishuhudia Vitaa kuu zote Mbili za Dunia kwa ukaribu, anakadiriwa kuwa na Umri wa wa zaidi ya miaka 127 leo.

Mkazi huyo wa Kitongoji cha Izyika ambaye kwa sasa haoni wala Kusikia vyema amemsimlia mwandishi wa makala hii kuwa wakati wa Vita ya Maji Maji dhidi Wakoloni alikuwa tayari anachunga mifugo ya Baba yake Marehem Mwanyaluke Panja.

Mzee Ambilikile Panja Kabila Mndali kutoka Tarafa ya  Bundali Ileje anasema, Wakati wa Vita ya Maji Maji "Wazazi wetu walitwambia tukiona Wazungu tuiache mifugo tukimbie kurudi nyumbani" anasema Mzee Panja.

Mzee Panja ambaye kwa sasa hawezi kusimama wala kutembea anasema, Vita ya Kalenga (Mkwawa) haikuwahi kufika kwao Ileje, Isipokuwa Vita ya Pili ya Dunia ilifika mpaka Mbozi.

Anasema Vita ya Hitler, (Vita ya Pili ya Dunia) ilianza Wakati yeye akiwa ameshakimbia kutoka Ileje na kuhamia Mbozi (Kijiji cha Ihanda) baada ya Kupora Mke wa Chifu.  Anasema yeye mwenyewe alishuhudia Mzungu aliyekuwa na Nywele mwili Mzima mithili ya Mnya akiwa amekimbia kujiokoa na Maadui zake. "Tulipo muona huyo Mzungu, tulidhani ni Mnyama kumbe ni Binadamu", anasema kwa Kindali huku akishusha Kicheko hafifu kilichofuatiwa na Kikohozi cha Ukongwe.

Mzee Ambilikile anasema Wakati wa Vita ya Hitler tulilazimika kuchimba Mashimo {Mahandaki} ya kujificha kuleee Lwibhaaa (Kitongoji cha Mlimani Kijiji cha Ihanda) <<Handaki hili lipo mpaka sasa eneo hilo.>>

Mzee Panja ambaye mtoto wake wa Kwanza Marehemu Leonard Panja alifariki dunia kutokana na Uzee, mwaka 2014 akiwa na Umri wa miaka 98 anasema Marafiki zake wote, pamoja na Maadui zake wakiwamo Machifu aliokuwa anapingana nao, wote wameshatangulia mbele za haki amebaki pekee yake.

"Mimi nilitoka Kapelekeshi nikaenda kuishi Ibungu Itumba na baadae nikahamia hapa Mbozi. Hapa nilikuja na Mke wangu Mkubwa Agnes Mlawa na Watoto wangu watatu Leonard, Lassary na Pitros pamoja na Zacharia Panja na marehemu Mbonasi Panja (watoto wa ndugu zake)"
anasimulia mzee Panja.

Mzee Ambilikile kwa sasa ni Kikongwe asiyeweza kufanya Chochote bila ya Msaada wa mtu mwingine. Mzee kwa sasa hubebwa au kusukumwa na Kiti cha Magurudumu (Wheel Chair) ambayo humsaidia kwa ajili ya kusogezwa eneo moja hadi jingine.

Kwa sasa Mzee huyu anaishi na Mke wake wa 4 Bi. Atusajigwe Mshani wa Mwisho katika wake zake ambaye naye kwa sasa ni mzee mwenye Umri wa miaka 89 licha ya Kuwa ana umri sawa na Mzaliwa  wa tano wa Mzee Ambilikile Panja.

Aidha, kwa mujibu wa mtoto wa Mwisho wa Mzee Panja ambaye ndiye hutunza takwimu za familia ya Mzee Ambilikile, Ndugu Lawrence A. Panja; Baba yake anadhaniwa alizaliwa mwaka 1890 Katika Kijiji cha Kapelekeshi Wilaya ya Ileje Mkoani Songwe.

Kikongwe huyu hajulikani popote zaidi ya Vijiji vinavyo mzunguka. Hata Serikali ya Wilaya tu haijui kuwa ina Raia wake mwenye Umri mkubwa namna hii.

Ni wajibu wetu kama Nchi kusaidia dunia kumfahamu Babu huyu mwenye Umri Mkubwa kuliko wengine. Ni jukumu la Wandishi na Vyombo mbalimbali pamoja na  Mitandao ya Kijamii kuujulisha Ulimwengu Mtu huyu anayeishi maisha ya mwendo wa Marathon kwa sasa.

Sio kila siku tunafuatilia na kusimulia mambo ya Mataifa ya Nje wakati MUNGU na sisi katupendelea. Kama tumeweza kuuambia ulimwengu Mlima Kilimanjaro unapatikana Tanzania na sio Kenya basi na hili tunaweza tukiamua.

Mwisho naomba Viongozi wa Serikali, Siasa, Dini Mashirika ndani na nje ya Nchi, pamoja na Wananchi mbalimbali kujitolea kumsaidia na kumtunza Mzee Panja ambaye kwa Umri wake ni kama Lulu iliyosalia Duniani kwa sasa.

Mwandishi wa Makala hii ni Ndugu Abel Sichembe

Email abelchembe37@gmail.com

Simu No. +255757281046

WhatsApp No. +255655281046

Share, Like, Coment, Re post, Sambaza mpaka iwafikie Guineas World of Record.

Thursday, 20 April 2017






Korea Kaskazini inaaminika kumiliki silaha 1000 zenye uwezo tofauti

MUUNGWANA BLOG



Korea kaskazini inaaminika kumiliki zaidi ya silaha 1000 zenye uwezo tofauti ikiwemo kombora la maasafa marefu ambalo linaweza kuishambulia Marekani.


Mpango wa Pyongyang umeendelea katika miongo kadhaa ya hivi karibuni kutoka mizinga mikubwa katika miaka ya tisini na sabini hadi makombora ya masafa mafupi mbali na yale ya masafa marefu katika miaka 80 na 90.


Mifumo ilio na uwezo mkubwa inadaiwa kufanyiwa utafiti.


Hivi karibuni, Korea Kaskazini ilitangaza kwamba inaunda makombora ya masafa marefu yanayoweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine ambayo yanaweza kushambulia mataifa ya magharibi.


Taifa la Korea Kaskazini linaaminika kutengeza kombora la masafa marefu zaidi ambalo wachunguzi wamelitaja kuwa KN-08 ama Hwasong-13.





Ishara za kwanza kuhusu utengenezaji huo ulifanyika Septemba 2016 ambapo taifa hilo lilifanyia majaribio mashine mpya ya roketi ambayo baadhi ya watu wanasema inaweza kurusha kombora kutoka bara moja hadi jingine.

Idara ya ulinzi nchini Marekani Pentagon inaamini kwamba Korea Kaskazini inamiliki makombora 6 aina ya KN-08, ambalo lina uwezo wa kufika hadi Marekani.

Korea kaskazini inaaminika kutengeza toleo jipya la kombora hilo linalojulikana kama KN-14.
Haahivyo makombora hayo hayajafanyiwa majaribio.

Lakini mnamo mwezi Januari 2017, kulikuwa na ishara ya jaribio, muda mfupi baada ya kiongozi Kim Jong un kudai kwamba taifa hilo lilikuwa katika awamu ya mwisho ya kutengeza kombora la masafa marefu linaloweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine.

Mpango wa kisasa wa kutengeza makombora yaa Korea Kasakzini ulianza kwa kutengeza makombora ya scud ambapo yalipitia Misri mwaka 1976.

Kufikia 1984, taifa hilo lilikuwa likitengeza makombora yake kwa jina Hwasong.
Inaaminika kuwa na makombora tofauti tofauti ya masafa mafupi ambayo yanaweza kulenga taifa jirani la Korea Kusini.

Uhusiano kati ya mataifa hayo mawili ya Korea umeharibika na yamekuwa yakijiandaa kukabiliana kivita.

Kombora la Hwasong 5 na Hwasong 6 ambayo pia hujulikana kama Scud B na Scud C yana uwezo wa kwenda kilomita 300 na 500 mtawalia kulingana na kituo cha Marekani kinachofanya utafiti wa kuzuia kuenea kwa nuklia.

Makombora hayo yanaweza kubeba makombora ya kemikali na nyuklia.
Silaha hizo zimejaribiwa na kupelekwa katika maeneo yanayohitajika na kombora la Hwasong-6 limeuzwa nchini Iran.



Korea Kaskazini ilianza mpango huo mapema miaka ya 80 kutengeza kombora la masafa ya kadri kwa jina Nodong likiwa na uwezo wa kusafiri urefu wa kilomita 1000.

Kombora hilo limetengezwa kwa muundo wa Scud ,lakini ni asilimia 50 kwa ukubwa na lina mashine yenye uwezo mkubwa.

Uchanganuzi wa mwezi Aprili 2016 wa taassii ya kimataifa kuhusu utafiti wa mikakati ,unasema kuwa makombora hayo yalithibtishwa yanaweza kupiga maeneo yote ya Korea Kusini na Japan.
Imeongezea kuwa maonyesho ya Oktoba 2010 yalithibitisha kuwa kombora hilo linaweza kufika urefu wa kilomita 1,600 ikimaanisha kwamba linaweza kupiga kambi kadhaa za Marekani zilizopo katika eneo la Okinawa.

Makombora hayo ya Nodong yanadaiwa kujaribiwa 2006, 2009, 2014 na 2016.



Korea Kaskazni imekuwa ikitengeza makombora ya Musudan kwa miaka kadhaa, na hivi karibuni ilifanya majaribio 2016.

Makadirio yanatofautiana kuhusu viwango vyake, huku ujasusi wa Israel ukitaja uwezo wake kuwa kilomita 2,500 nacho kitengo cha ulinzi wa makombora nchini Marekani kikikadiria kuwa na uwezo wa kufika kilomita 3,200.

Duru nyengine zinasema kuwa kombora hilo lina uwezo wa kwenda kilomita 4,000.
Kombora la masafa mafupi la Musudan ambalo pia linajulikana kama Nodong B ama Taepodong-x linaweza kulishambulia taifa lote la Korea Kusini na Japan.

Kombora hilo linaweza kushambulia kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Guam.

Korea Kaskazini inasema kuwa imefanyia majaribio kombora la masafa ya kadri, kwa jina Pukguksong, mnamo mwezi Agosti 2016 likirushwa kutoka kwa manuwari.

Kombora la pili lilirushwa kutoka ardhini mnamo mwezi Februari 2017.
Pyongyang ilisema kuwa ilitumia mafuta ,na kufanya kuwa rahisi kuliwasilisha na kurusha.
Hatahivyo maelezo kuhusu uwezo wake hayajulikani.






Korea Kaskazini inaaminika kumiliki silaha 1000 zenye uwezo tofauti

MUUNGWANA BLOG



Korea kaskazini inaaminika kumiliki zaidi ya silaha 1000 zenye uwezo tofauti ikiwemo kombora la maasafa marefu ambalo linaweza kuishambulia Marekani.


Mpango wa Pyongyang umeendelea katika miongo kadhaa ya hivi karibuni kutoka mizinga mikubwa katika miaka ya tisini na sabini hadi makombora ya masafa mafupi mbali na yale ya masafa marefu katika miaka 80 na 90.


Mifumo ilio na uwezo mkubwa inadaiwa kufanyiwa utafiti.


Hivi karibuni, Korea Kaskazini ilitangaza kwamba inaunda makombora ya masafa marefu yanayoweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine ambayo yanaweza kushambulia mataifa ya magharibi.


Taifa la Korea Kaskazini linaaminika kutengeza kombora la masafa marefu zaidi ambalo wachunguzi wamelitaja kuwa KN-08 ama Hwasong-13.





Ishara za kwanza kuhusu utengenezaji huo ulifanyika Septemba 2016 ambapo taifa hilo lilifanyia majaribio mashine mpya ya roketi ambayo baadhi ya watu wanasema inaweza kurusha kombora kutoka bara moja hadi jingine.

Idara ya ulinzi nchini Marekani Pentagon inaamini kwamba Korea Kaskazini inamiliki makombora 6 aina ya KN-08, ambalo lina uwezo wa kufika hadi Marekani.

Korea kaskazini inaaminika kutengeza toleo jipya la kombora hilo linalojulikana kama KN-14.
Haahivyo makombora hayo hayajafanyiwa majaribio.

Lakini mnamo mwezi Januari 2017, kulikuwa na ishara ya jaribio, muda mfupi baada ya kiongozi Kim Jong un kudai kwamba taifa hilo lilikuwa katika awamu ya mwisho ya kutengeza kombora la masafa marefu linaloweza kurushwa kutoka bara moja hadi jingine.

Mpango wa kisasa wa kutengeza makombora yaa Korea Kasakzini ulianza kwa kutengeza makombora ya scud ambapo yalipitia Misri mwaka 1976.

Kufikia 1984, taifa hilo lilikuwa likitengeza makombora yake kwa jina Hwasong.
Inaaminika kuwa na makombora tofauti tofauti ya masafa mafupi ambayo yanaweza kulenga taifa jirani la Korea Kusini.

Uhusiano kati ya mataifa hayo mawili ya Korea umeharibika na yamekuwa yakijiandaa kukabiliana kivita.

Kombora la Hwasong 5 na Hwasong 6 ambayo pia hujulikana kama Scud B na Scud C yana uwezo wa kwenda kilomita 300 na 500 mtawalia kulingana na kituo cha Marekani kinachofanya utafiti wa kuzuia kuenea kwa nuklia.

Makombora hayo yanaweza kubeba makombora ya kemikali na nyuklia.
Silaha hizo zimejaribiwa na kupelekwa katika maeneo yanayohitajika na kombora la Hwasong-6 limeuzwa nchini Iran.



Korea Kaskazini ilianza mpango huo mapema miaka ya 80 kutengeza kombora la masafa ya kadri kwa jina Nodong likiwa na uwezo wa kusafiri urefu wa kilomita 1000.

Kombora hilo limetengezwa kwa muundo wa Scud ,lakini ni asilimia 50 kwa ukubwa na lina mashine yenye uwezo mkubwa.

Uchanganuzi wa mwezi Aprili 2016 wa taassii ya kimataifa kuhusu utafiti wa mikakati ,unasema kuwa makombora hayo yalithibtishwa yanaweza kupiga maeneo yote ya Korea Kusini na Japan.
Imeongezea kuwa maonyesho ya Oktoba 2010 yalithibitisha kuwa kombora hilo linaweza kufika urefu wa kilomita 1,600 ikimaanisha kwamba linaweza kupiga kambi kadhaa za Marekani zilizopo katika eneo la Okinawa.

Makombora hayo ya Nodong yanadaiwa kujaribiwa 2006, 2009, 2014 na 2016.



Korea Kaskazni imekuwa ikitengeza makombora ya Musudan kwa miaka kadhaa, na hivi karibuni ilifanya majaribio 2016.

Makadirio yanatofautiana kuhusu viwango vyake, huku ujasusi wa Israel ukitaja uwezo wake kuwa kilomita 2,500 nacho kitengo cha ulinzi wa makombora nchini Marekani kikikadiria kuwa na uwezo wa kufika kilomita 3,200.

Duru nyengine zinasema kuwa kombora hilo lina uwezo wa kwenda kilomita 4,000.
Kombora la masafa mafupi la Musudan ambalo pia linajulikana kama Nodong B ama Taepodong-x linaweza kulishambulia taifa lote la Korea Kusini na Japan.

Kombora hilo linaweza kushambulia kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Guam.

Korea Kaskazini inasema kuwa imefanyia majaribio kombora la masafa ya kadri, kwa jina Pukguksong, mnamo mwezi Agosti 2016 likirushwa kutoka kwa manuwari.

Kombora la pili lilirushwa kutoka ardhini mnamo mwezi Februari 2017.
Pyongyang ilisema kuwa ilitumia mafuta ,na kufanya kuwa rahisi kuliwasilisha na kurusha.
Hatahivyo maelezo kuhusu uwezo wake hayajulikani.

Tuesday, 18 April 2017


SABABU ZA MAGOJWA YA FIGO.                            JIHADHARI NA ONYEKA!.*
 Raia wa Ghana wanazidi kufa kwa matokeo ya ugonjwa wa Figo.
*JINSI YA KUONDOKANA NA JANGA HATARI LA UGONJWA WA FIGO:*
 *1.Usichelewe kwenda HAJA.*    Kutunza mkojo kweye kibofu chako  kwa muda mrefu ni wazo baya.                      Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu.                     Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu  huzidisha bakteria haraka.
Mara mkojo unaporudi nyuma ya njia na Figo, sumu dutu husababisha  maambukizi ya figo, pia njia ya mkojo na "nephritis", pamoja na "uremia". Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya hivyo haraka iwezekanavyo.
 *2. Kula Chumvi kupita kiasi.* Inatupasa kula Chumvi isiyozidi 5.8 gramu kwa siku.
 *3. Kula nyama kupita kiasi.*
Protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa Protini unazalisha amonia-  sumu dutu ambayo ina uharibifu mkubwa kwa figo zako. Nyama nyingi  inaleta uharibifu zaidi wa figo.
4. *Unywaji mwingi wa "Caffeins".*
 Caffein hutokana na vinywaji vya Soda na vinywaji vingine laini kama Kahawa, Redblue n.k.                              Hupandisha shinikizo la damu na figo zako kuanza mateso. Unapaswa kupunguza kiwango  cha Coke, Pepsi, Red Bull, nk ambavyo hunywa kila siku.
*5. Kutokunywa maji.*
Figo zetu lazima zichakatwe vizuri kutekeleza majukumu yake vizuri.                           Endapo hatunywi ya kutosha, sumu dutu inaweza kuanza kukusanyika katika damu, kama hakuna kimiminika cha  kutosha kutoa kwa njia ya figo.                        *** Kunywa zaidi ya bilauri 10 za maji kila siku.
     Kuna njia rahisi ya kuangalia kama  unakunywa maji ya kutosha:                         Angalia rangi ya mkojo wako; Wepesi wa rangi, ndiyo vzuri.
*6. Kuchelewa matibabu.*
Tibu matatizo yako yote ya kiafya kwa uhakika na uwe unachunguza afya yako mara kwa mara.                            Wapendwa na wapenzi wangu, hebu tujisaidie wenyewe... Shirikisha wengine, kama unajali.               ----------------
*Pia epuka vidonge hivi, ni hatari sana:*
D- baridi*
 Vicks Action- 500*
Actified*
Coldarin*
Cosome*
Nice*
Nimulid*
 Cetrizet- D
Hivi vidonge vina Phenyl propanol- amide PPA ambayo husababisha stroke na ni marufuku Marekani.
 MWISHO... Tafadhali, kabla ya kufuta, msaidie rafiki yako kwa kumpitishia hii..!
*Inaweza kumsaidia mtu!*
Wasambazie wengi kwa kadiri uwezavyo.
Shirikisha ujumbe huu kwa mpendwa wako.
*Maonyo muhimu ya Afya*
1. Jibu (pokea) simu wito na sikio  la kushoto.
 2. Usinywe  dawa zako kwa maji baridi....
3. Usile milo mizito baada ya saa 11 jioni.
4. Kunywa maji vuguvugu mengi asubuhi na kiasi usiku. Usinywe maji baridi kamwe.
5. Muda bora wa kulala ni kutoka saa 4 usiku hadi saa 10 Alfajiri.
 6. Usilale mapema baada ya kumeza dawa au baada ya mlo. Usiku, Kula chakula laini.
 7. Usipokee simu yako ikiwa haina chaji. Wakati huo mionzi huwa ina nguvu mara 1000 .
 Je, unaweza kuwasambazia watu unao wajali?
Mimi nimeshafanya kwako....!!.


SABABU ZA MAGOJWA YA FIGO.                            JIHADHARI NA ONYEKA!.*
 Raia wa Ghana wanazidi kufa kwa matokeo ya ugonjwa wa Figo.
*JINSI YA KUONDOKANA NA JANGA HATARI LA UGONJWA WA FIGO:*
 *1.Usichelewe kwenda HAJA.*    Kutunza mkojo kweye kibofu chako  kwa muda mrefu ni wazo baya.                      Kibofu kikijaa kinaweza kusababisha uharibifu.                     Mkojo ambao unakaa kwenye kibofu  huzidisha bakteria haraka.
Mara mkojo unaporudi nyuma ya njia na Figo, sumu dutu husababisha  maambukizi ya figo, pia njia ya mkojo na "nephritis", pamoja na "uremia". Wakati wito asili (unahisi mkojo) fanya hivyo haraka iwezekanavyo.
 *2. Kula Chumvi kupita kiasi.* Inatupasa kula Chumvi isiyozidi 5.8 gramu kwa siku.
 *3. Kula nyama kupita kiasi.*
Protini ikizidi sana katika mlo wako inadhuru figo zako. Mmeng'enyo wa Protini unazalisha amonia-  sumu dutu ambayo ina uharibifu mkubwa kwa figo zako. Nyama nyingi  inaleta uharibifu zaidi wa figo.
4. *Unywaji mwingi wa "Caffeins".*
 Caffein hutokana na vinywaji vya Soda na vinywaji vingine laini kama Kahawa, Redblue n.k.                              Hupandisha shinikizo la damu na figo zako kuanza mateso. Unapaswa kupunguza kiwango  cha Coke, Pepsi, Red Bull, nk ambavyo hunywa kila siku.
*5. Kutokunywa maji.*
Figo zetu lazima zichakatwe vizuri kutekeleza majukumu yake vizuri.                           Endapo hatunywi ya kutosha, sumu dutu inaweza kuanza kukusanyika katika damu, kama hakuna kimiminika cha  kutosha kutoa kwa njia ya figo.                        *** Kunywa zaidi ya bilauri 10 za maji kila siku.
     Kuna njia rahisi ya kuangalia kama  unakunywa maji ya kutosha:                         Angalia rangi ya mkojo wako; Wepesi wa rangi, ndiyo vzuri.
*6. Kuchelewa matibabu.*
Tibu matatizo yako yote ya kiafya kwa uhakika na uwe unachunguza afya yako mara kwa mara.                            Wapendwa na wapenzi wangu, hebu tujisaidie wenyewe... Shirikisha wengine, kama unajali.               ----------------
*Pia epuka vidonge hivi, ni hatari sana:*
D- baridi*
 Vicks Action- 500*
Actified*
Coldarin*
Cosome*
Nice*
Nimulid*
 Cetrizet- D
Hivi vidonge vina Phenyl propanol- amide PPA ambayo husababisha stroke na ni marufuku Marekani.
 MWISHO... Tafadhali, kabla ya kufuta, msaidie rafiki yako kwa kumpitishia hii..!
*Inaweza kumsaidia mtu!*
Wasambazie wengi kwa kadiri uwezavyo.
Shirikisha ujumbe huu kwa mpendwa wako.
*Maonyo muhimu ya Afya*
1. Jibu (pokea) simu wito na sikio  la kushoto.
 2. Usinywe  dawa zako kwa maji baridi....
3. Usile milo mizito baada ya saa 11 jioni.
4. Kunywa maji vuguvugu mengi asubuhi na kiasi usiku. Usinywe maji baridi kamwe.
5. Muda bora wa kulala ni kutoka saa 4 usiku hadi saa 10 Alfajiri.
 6. Usilale mapema baada ya kumeza dawa au baada ya mlo. Usiku, Kula chakula laini.
 7. Usipokee simu yako ikiwa haina chaji. Wakati huo mionzi huwa ina nguvu mara 1000 .
 Je, unaweza kuwasambazia watu unao wajali?
Mimi nimeshafanya kwako....!!.

Monday, 10 April 2017

Simba imewashangaza Mbao kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza

ShaffihDauda / Dick Dauda / 1 hour ago

Simba wamepata ushindi wa kihistoria dhidi ya Mbao FC mechi ya ligi kuu Tanzania bara iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.

Mbao FC walianza kwa kutangulia kupata magoli mawili kipindi cha kwanza na kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuibuka na pointi tatu katika mchezo huo. Magoli ya Mbao yamefungwa na Sangija dakika ya 18 na Bernard aliyefunga goli dakika ya 33.

Hadi dakika ya 80 Simba ilikuwa nyuma kwa magoli 2-0 matokeo ambayo kama yangebaki hivyo dakika 90 zinamalizika basi Wekundu wa Msimbazi wangekuwa kwenye nafasi finyu ya kutwaa taji la ligi kuu msimu huu.

Mabadiliko yaliyofanywa na benchi la ufundi la Simba kwa kumtoa Pastory Athanas na nafasi yake kuchuliwa na Said Ndemla, Blagnon na Mavugo wakaingia kuchukua nafasi za Liuzio na Hamad ndiyo yaliyo badili mchezo na kuipa Simba ushindi wa kwanza Kanda ya Ziwa msimu huu baada ya kuchapwa 2-1 na Kagera Sugar Jumapili iliyopita.

Magoli ya Simba yamefungwa dakika za lala salama ambapo goli lao la kwanza limefungwa dakika ya 82 na Frederick Blagnon. Uzembe wa golikipa wa Mbao Erick Ngwegwe ambaye aliuacha mpira udunde kisha akashindwa kuudaka kwa usahihi ulitua miguuni mwa Blagnon akafunga goli la pili dakika ya 90+1 na kufanya matokeo kuwa 2-2.

Wakati kila mmoja akiamini mchezo utamalizika kwa sare ya Mbao 2-2 Simba, Mzamiru Yassin akaifungia Simba goli la tatu dakika ya 90+7 kwa shuti kali baada ya beki wa Mbao kupiga kichwa mpira ambao ulitua kwa Mzamiru kisha kiungo huyo wa Simba kuachia mkwaju uliomshinda mlinda mlango wa Mbao.

Ushindi huo unaifanya Simba ifikishe pointi 58 ikiwa imecheza mechi 26 na kurejea kwenye nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi kwa pointi mbili zaidi ya Yanga wanaoshuka kwenye nafasi ya pili lakini wakiwa na faida ya mechi moja mkononi.

Mbao inaendelea kubaki na pointi zake 27 ikiwa katika nafasi ya 13 kwenye msimamo wa ligi, pointi nne zaidi ya Toto Africans ambayo ipo katika timu tatu zitakazoshuka daraja.

Simba wataendelea kubaki jijini Mwanza wakisubiri kucheza dhidi ya Toto Africans timu ambayo imekuwa mwiba kwa ‘mnyama’ hususan mechi inapochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

Mbao FC wamefungwa mechi zao zote (mbili) walizokutana na Simba msimu huu. Kabla ya kuchapwa 3-2 leo April 10, 2017, walifungwa 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya kwanza uliochezwa October 20, 2016 kwenye uwanja wa Uhuru, Dar.

Swali ambalo mashabiki wengi wa Simba huenda wakawa hawajalipatia majibu ni kwanini Ibrahim Ajib, Laudit Mavugo, Said Ndemla na golikipa Daniel Agyei kuanzia nje wakati wanne hao wamekuwa wakifanya vizuri kwenye mechi za hivi karibuni?

Kikosi cha Simba kilichoanza kwenye mechi dhidi ya Mbao kiliongozwa na Juuko Murshid (nahodha), Peter Manyika Jr (GK), Hamadi Juma, Mohamed Hussein, Bessala Bokungu, James Kotei, Mzamiru Yassin, Juma Liuzio, Mohamed Ibrahim na Pastory Athanas.

Walionzia benchi ni Daniel Agyei, Mwinyi Kazimoto, Frederick Blagnon, Hija Ugando, Ibrahim Ajib, Said Ndemla na Laudit Mavugo.

Matokeo kutoka uwanja wa Manungu Complex, Turiani, Morogoro

Mtibwa Sugar 0-0 Azam FC

Visit website

Simba imewashangaza Mbao kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza

ShaffihDauda / Dick Dauda / 1 hour ago

Simba wamepata ushindi wa kihistoria dhidi ya Mbao FC mechi ya ligi kuu Tanzania bara iliyochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba mkoani Mwanza.

Mbao FC walianza kwa kutangulia kupata magoli mawili kipindi cha kwanza na kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kuibuka na pointi tatu katika mchezo huo. Magoli ya Mbao yamefungwa na Sangija dakika ya 18 na Bernard aliyefunga goli dakika ya 33.

Hadi dakika ya 80 Simba ilikuwa nyuma kwa magoli 2-0 matokeo ambayo kama yangebaki hivyo dakika 90 zinamalizika basi Wekundu wa Msimbazi wangekuwa kwenye nafasi finyu ya kutwaa taji la ligi kuu msimu huu.

Mabadiliko yaliyofanywa na benchi la ufundi la Simba kwa kumtoa Pastory Athanas na nafasi yake kuchuliwa na Said Ndemla, Blagnon na Mavugo wakaingia kuchukua nafasi za Liuzio na Hamad ndiyo yaliyo badili mchezo na kuipa Simba ushindi wa kwanza Kanda ya Ziwa msimu huu baada ya kuchapwa 2-1 na Kagera Sugar Jumapili iliyopita.

Magoli ya Simba yamefungwa dakika za lala salama ambapo goli lao la kwanza limefungwa dakika ya 82 na Frederick Blagnon. Uzembe wa golikipa wa Mbao Erick Ngwegwe ambaye aliuacha mpira udunde kisha akashindwa kuudaka kwa usahihi ulitua miguuni mwa Blagnon akafunga goli la pili dakika ya 90+1 na kufanya matokeo kuwa 2-2.

Wakati kila mmoja akiamini mchezo utamalizika kwa sare ya Mbao 2-2 Simba, Mzamiru Yassin akaifungia Simba goli la tatu dakika ya 90+7 kwa shuti kali baada ya beki wa Mbao kupiga kichwa mpira ambao ulitua kwa Mzamiru kisha kiungo huyo wa Simba kuachia mkwaju uliomshinda mlinda mlango wa Mbao.

Ushindi huo unaifanya Simba ifikishe pointi 58 ikiwa imecheza mechi 26 na kurejea kwenye nafasi ya kwanza kwenye msimamo wa ligi kwa pointi mbili zaidi ya Yanga wanaoshuka kwenye nafasi ya pili lakini wakiwa na faida ya mechi moja mkononi.

Mbao inaendelea kubaki na pointi zake 27 ikiwa katika nafasi ya 13 kwenye msimamo wa ligi, pointi nne zaidi ya Toto Africans ambayo ipo katika timu tatu zitakazoshuka daraja.

Simba wataendelea kubaki jijini Mwanza wakisubiri kucheza dhidi ya Toto Africans timu ambayo imekuwa mwiba kwa ‘mnyama’ hususan mechi inapochezwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

Mbao FC wamefungwa mechi zao zote (mbili) walizokutana na Simba msimu huu. Kabla ya kuchapwa 3-2 leo April 10, 2017, walifungwa 1-0 kwenye mchezo wa raundi ya kwanza uliochezwa October 20, 2016 kwenye uwanja wa Uhuru, Dar.

Swali ambalo mashabiki wengi wa Simba huenda wakawa hawajalipatia majibu ni kwanini Ibrahim Ajib, Laudit Mavugo, Said Ndemla na golikipa Daniel Agyei kuanzia nje wakati wanne hao wamekuwa wakifanya vizuri kwenye mechi za hivi karibuni?

Kikosi cha Simba kilichoanza kwenye mechi dhidi ya Mbao kiliongozwa na Juuko Murshid (nahodha), Peter Manyika Jr (GK), Hamadi Juma, Mohamed Hussein, Bessala Bokungu, James Kotei, Mzamiru Yassin, Juma Liuzio, Mohamed Ibrahim na Pastory Athanas.

Walionzia benchi ni Daniel Agyei, Mwinyi Kazimoto, Frederick Blagnon, Hija Ugando, Ibrahim Ajib, Said Ndemla na Laudit Mavugo.

Matokeo kutoka uwanja wa Manungu Complex, Turiani, Morogoro

Mtibwa Sugar 0-0 Azam FC

Visit website

.
*LIFE BEGINS AT 40.... HOW OLD ARE YOU?*

Life Begins at 40..

Huo ni msemo wanao waingereza wakimaanisha maisha yako ijapokuwa yanaanza toka milele iliyopita na toka umeumbwa au toka umefika duniani na toka umeanza kukua nk nk lakini bana maisha #halisi yataanza rasmi siku ukitimiza miaka 40.

Hapo kama bado nauli ya daladala ni ishu, ada, chakula, kodi ya nyumba, nk basi ndo utaanza kuelewa maana ya muda uliokuwa unatumia Facebook kulike picha za ajabu na story zisizokupeleka popote.
Nadhani unanielewa sasa hasa wewe ambaye unahisi umri wako bado ni mdogo kwa hiyo bado bado kidogo muda wa kuwa serious na maisha haujafika.
Sikia kijana mwenzangu..TODAY is your future kwa taarifa yako.. Ulipokuwa mdogo ulisema nikiwa mkubwa nitakuwa na gari na nyumba nzuri wazazi wangu wataishi hivi na vile. Je unayo? Je imetokea? Maybe yes. But maybe no.

Kama haijatokea je bado hujawa mkubwa? Basi kama ni mkubwa ujue kuna kitu hujafanya.

Utasema tena nikifika miaka 40 nataka niwe na hiki na kile watoto wangu wasome international school nk. Subiri uone miaka inavyoenda. Usishangae kufika 40 bado umeajiriwa kwa mtu na anakugombeza kwa nini mwanao anaumwa kila siku unachelewa kazini. Kazi nyingi. No bright future. No enjoyable present. Just existing and not living!

Hapo ndo unawaza kufuga ng'ombe wa maziwa Kibamba kwenye kiwanja chako cha miguu 12 kwa 15! Wenzako wa umri wako hapo unasikia wameanzisha bizness in Australia. Wamenunua kiwanja Mbezi Beach kwa 800M! Wamejenga mjengo wa ukweli. Wanamiliki Apartment Johannesburg. Wakienda Dubai wanafikiri Atlantis, wakienda UK wanaenda kula The Ritz (Google that). Wanasomesha watoto zao the finest schools available wewe wa kwako wakati huo wamekosa nafasi Makongo wameenda Kibamba Secondary School wanapanda daladala mara mwendokasi mara washuke warudi nyuma kidogo kwa miguu ndo wapuyange kwa miguu kwenda shule.  Na kurudi hivyo hivyo.

Wenzako in their 40s wanasaidia wasio na uwezo katika jamii wewe ndo kwanza ukipokea simu kutoka kijijini mzazi anahitaji support kidogo una-mute! Wenzako in their 40s wakisikia kuna ujenzi wa nyumba ya ibada wanachangia 5M kimyakimya.. Wewe ukitoa laki moja basi mpaka mtaa wa saba watajua! Halafu unashangaa wenzako wanazidi kuinuliwa. Unaanza kuwaita Freemason.  Mwenye nacho ataongezewa au hujui? Na asiye nacho..... (Malizia). Wakati wenzako walikuwa wanajenga maisha wewe ulikuwa unashinda Facebook kuongelea UKUTA uwepo au usiwepo, Lisa kiboko au la, Makonda ni Bashite au Gwajima ni muongo.. Hebu fikiria kidogo. Yoote hayo yamekufikisha wapi? Sijui kuvunja viti uwanja wa taifa. Harmonize anajua kuimba au hajui. Harmonica je? Wema Sepetu aache siasa au la. Can you imagine?

Wenzako mkifika miaka 40 watu wa rika lako wana exposure ya uhakika. Wewe at 40 bado umeajiriwa na mchana unakula kwa mama lishe chakula hata virutubisho hakina.  Wenzako at 40 washaacha ajira siku nyingi washatembea dunia na kujifunza maisha kutoka kila mahali. Walishafika kuanzia Sauzi, Botswana, Mozambique, Kenya, Ethiopia, Ghana, Naija, mpaka Egypt, The UK, Australia, Hawaii, Mexico, Croatia, The Netherlands, Switzerland, US, Panama mpaka Puerto Rico, Brazil na jirani zake, Hong Kong, Australia, Japan, China, (Incredible) India, Thailand, Singapore, New Zealand, Comorros, you name it..!! Wewe hata Kampala hujawahi fika. Kila siku Tegeta Posta ndo ruti yako miaka 15 mfululizo eti unatafutia watoto maisha! Unaishi au unaisha?

Unasubiri kiinua mgongo? Utaenda kukiinvest wapi na kwa nguvu ipi. Na utaenjoy retirement kweli kama at 60 yrs ndo unafungua duka la vifaa vya ujenzi eti vinalipa. Kwa nini hukufungua ukiwa 30yrs ili uone vinalipa au la. At 60? With due respect. Kisa ulikuwa unafatilia ratiba zote za mechi za mpira na matamasha na mikutano yote ya kisiasa ukasahau muda unaenda. Hao unaowafatilia wako ndani ya kazi zao kwa hiyo muda wao unatumikia shughuli zao wakati wewe utatumia muda wako na pesa yako kwenda kuangalia nk. Jenga nidhamu mpya ya kulinda muda wako sasa.

Suffer the pain of discipline now. Or else you will suffer the pain of REGRET. Halafu ukianza kuregret ndo pressure zinakuja, stress, nk mwisho unawacha hata hao watoto in a far worse situation than your own lifetime. Kisa? Ulikuwa unatumia muda wote kuangalia vitu vya kuchekesha chekesha na kuongelea mambo ya siasa sijui wasanii sijui msanii gani ana hela nyingi sijui nani kafulia sijui nani ana mimba.. Seriously? Sijui nani hajapendeza kunyoa bora asuke😑😠😠.  Hivi vitu vinaiba muda wako sana ndugu zangu. Mimi mwenyewe nilikuwa hivyo lakini nikastuka mapema sana! Utashangaa umri unaenda bila kupiga hatua. Umri wako ni kila sekunde na kila dakika na kila saa.  Ndo umri huo.  Umri siyo mwaka kwa mwaka. Ni sekunde na dakika. Ndo maana matajiri wanalinda muda wao kwa wivu mkali. Coz TIME IS MONEY.  Utashangaa unapoteza muda afu unafika 40 years ndo unawaza uanzie wapi. Mungu siyo mjinga kukupa umri huu wa ujana. Hajakupa uuchezee chezee tu. Be careful. Time flies.

Life Begins at 40 my friend.. How Old Are You? So kama wewe unasema "Mimi bado mdogo.." endelea tu kupoteza muda wako utakumbuka tu siku moja but it might be too late. Endelea tu kupoteza muda na skendo za wasanii. Na vitu vya kuchekesha chekesha tu. Au unakuta mtu ameajiriwa au amejiajiri miaka inaenda hajui kwa nini hapigi hatua kipato hakikui lakini yupo tu hatafuti maarifa ya jinsi gani ya kutumia muda wake wa ziada kutengeneza kipato hata mara mbili ya mshahara wake. Wengine wanafanya hivyo na wanapiga hatua kubwa hadi wengine wanafikiria sasa kuachana na ajira. Ni muhimu kujifunza haya mambo. Siasa hazitaisha. Angalia your life. Ukifika 40 years uwe very established. Bila hivyo utashangaa kweli. Wakati wenzako wachache wa rika lako mtakapofika miaka 40 wakati wenzako unasikia amenunua kiwanja Kurasini kwa sh Bilioni mbili kwa ajili ya *kupaki* tu Masemitrela zake kama 20 hivi wewe wakati huo unashangaa Kama Kurasini kumbe kuna viwanja? Wakati huo wewe unamiliki kigari cha mkopo unakipaki uwanja wa CCM unalipia sh 1000/- tu, mnaita buku. Fikiria vitu kama hivi. Utajua vizuri umuhimu wa kutumia muda wako vizuri.  Sasa April hii mwaka umeshaanza kuyoyoma.  Wewe mwaka huu nini kipya hasa unataka kufanya kimaendeleo. Usiseme nataka kupata ajira. Ajira haikupeleki popote. Tulikuwa huko pia. Njoo ujifunze vizuri.

So kama unataka kuhakikisha mambo yanakuwa sawa mapema ungali mdogo ungali na nguvu nyingi bado basi njoo WhatsApp +255716405527 ukutane na wenzako ambao waliamua kutumia muda vizuri na wakapiga hatua kubwa!
Life begins at 40 my friend.... How Old are you now?

You can change your life even now if you want to!

NAOMBA NISAIDIE KU-SHARE!

.
*LIFE BEGINS AT 40.... HOW OLD ARE YOU?*

Life Begins at 40..

Huo ni msemo wanao waingereza wakimaanisha maisha yako ijapokuwa yanaanza toka milele iliyopita na toka umeumbwa au toka umefika duniani na toka umeanza kukua nk nk lakini bana maisha #halisi yataanza rasmi siku ukitimiza miaka 40.

Hapo kama bado nauli ya daladala ni ishu, ada, chakula, kodi ya nyumba, nk basi ndo utaanza kuelewa maana ya muda uliokuwa unatumia Facebook kulike picha za ajabu na story zisizokupeleka popote.
Nadhani unanielewa sasa hasa wewe ambaye unahisi umri wako bado ni mdogo kwa hiyo bado bado kidogo muda wa kuwa serious na maisha haujafika.
Sikia kijana mwenzangu..TODAY is your future kwa taarifa yako.. Ulipokuwa mdogo ulisema nikiwa mkubwa nitakuwa na gari na nyumba nzuri wazazi wangu wataishi hivi na vile. Je unayo? Je imetokea? Maybe yes. But maybe no.

Kama haijatokea je bado hujawa mkubwa? Basi kama ni mkubwa ujue kuna kitu hujafanya.

Utasema tena nikifika miaka 40 nataka niwe na hiki na kile watoto wangu wasome international school nk. Subiri uone miaka inavyoenda. Usishangae kufika 40 bado umeajiriwa kwa mtu na anakugombeza kwa nini mwanao anaumwa kila siku unachelewa kazini. Kazi nyingi. No bright future. No enjoyable present. Just existing and not living!

Hapo ndo unawaza kufuga ng'ombe wa maziwa Kibamba kwenye kiwanja chako cha miguu 12 kwa 15! Wenzako wa umri wako hapo unasikia wameanzisha bizness in Australia. Wamenunua kiwanja Mbezi Beach kwa 800M! Wamejenga mjengo wa ukweli. Wanamiliki Apartment Johannesburg. Wakienda Dubai wanafikiri Atlantis, wakienda UK wanaenda kula The Ritz (Google that). Wanasomesha watoto zao the finest schools available wewe wa kwako wakati huo wamekosa nafasi Makongo wameenda Kibamba Secondary School wanapanda daladala mara mwendokasi mara washuke warudi nyuma kidogo kwa miguu ndo wapuyange kwa miguu kwenda shule.  Na kurudi hivyo hivyo.

Wenzako in their 40s wanasaidia wasio na uwezo katika jamii wewe ndo kwanza ukipokea simu kutoka kijijini mzazi anahitaji support kidogo una-mute! Wenzako in their 40s wakisikia kuna ujenzi wa nyumba ya ibada wanachangia 5M kimyakimya.. Wewe ukitoa laki moja basi mpaka mtaa wa saba watajua! Halafu unashangaa wenzako wanazidi kuinuliwa. Unaanza kuwaita Freemason.  Mwenye nacho ataongezewa au hujui? Na asiye nacho..... (Malizia). Wakati wenzako walikuwa wanajenga maisha wewe ulikuwa unashinda Facebook kuongelea UKUTA uwepo au usiwepo, Lisa kiboko au la, Makonda ni Bashite au Gwajima ni muongo.. Hebu fikiria kidogo. Yoote hayo yamekufikisha wapi? Sijui kuvunja viti uwanja wa taifa. Harmonize anajua kuimba au hajui. Harmonica je? Wema Sepetu aache siasa au la. Can you imagine?

Wenzako mkifika miaka 40 watu wa rika lako wana exposure ya uhakika. Wewe at 40 bado umeajiriwa na mchana unakula kwa mama lishe chakula hata virutubisho hakina.  Wenzako at 40 washaacha ajira siku nyingi washatembea dunia na kujifunza maisha kutoka kila mahali. Walishafika kuanzia Sauzi, Botswana, Mozambique, Kenya, Ethiopia, Ghana, Naija, mpaka Egypt, The UK, Australia, Hawaii, Mexico, Croatia, The Netherlands, Switzerland, US, Panama mpaka Puerto Rico, Brazil na jirani zake, Hong Kong, Australia, Japan, China, (Incredible) India, Thailand, Singapore, New Zealand, Comorros, you name it..!! Wewe hata Kampala hujawahi fika. Kila siku Tegeta Posta ndo ruti yako miaka 15 mfululizo eti unatafutia watoto maisha! Unaishi au unaisha?

Unasubiri kiinua mgongo? Utaenda kukiinvest wapi na kwa nguvu ipi. Na utaenjoy retirement kweli kama at 60 yrs ndo unafungua duka la vifaa vya ujenzi eti vinalipa. Kwa nini hukufungua ukiwa 30yrs ili uone vinalipa au la. At 60? With due respect. Kisa ulikuwa unafatilia ratiba zote za mechi za mpira na matamasha na mikutano yote ya kisiasa ukasahau muda unaenda. Hao unaowafatilia wako ndani ya kazi zao kwa hiyo muda wao unatumikia shughuli zao wakati wewe utatumia muda wako na pesa yako kwenda kuangalia nk. Jenga nidhamu mpya ya kulinda muda wako sasa.

Suffer the pain of discipline now. Or else you will suffer the pain of REGRET. Halafu ukianza kuregret ndo pressure zinakuja, stress, nk mwisho unawacha hata hao watoto in a far worse situation than your own lifetime. Kisa? Ulikuwa unatumia muda wote kuangalia vitu vya kuchekesha chekesha na kuongelea mambo ya siasa sijui wasanii sijui msanii gani ana hela nyingi sijui nani kafulia sijui nani ana mimba.. Seriously? Sijui nani hajapendeza kunyoa bora asuke😑😠😠.  Hivi vitu vinaiba muda wako sana ndugu zangu. Mimi mwenyewe nilikuwa hivyo lakini nikastuka mapema sana! Utashangaa umri unaenda bila kupiga hatua. Umri wako ni kila sekunde na kila dakika na kila saa.  Ndo umri huo.  Umri siyo mwaka kwa mwaka. Ni sekunde na dakika. Ndo maana matajiri wanalinda muda wao kwa wivu mkali. Coz TIME IS MONEY.  Utashangaa unapoteza muda afu unafika 40 years ndo unawaza uanzie wapi. Mungu siyo mjinga kukupa umri huu wa ujana. Hajakupa uuchezee chezee tu. Be careful. Time flies.

Life Begins at 40 my friend.. How Old Are You? So kama wewe unasema "Mimi bado mdogo.." endelea tu kupoteza muda wako utakumbuka tu siku moja but it might be too late. Endelea tu kupoteza muda na skendo za wasanii. Na vitu vya kuchekesha chekesha tu. Au unakuta mtu ameajiriwa au amejiajiri miaka inaenda hajui kwa nini hapigi hatua kipato hakikui lakini yupo tu hatafuti maarifa ya jinsi gani ya kutumia muda wake wa ziada kutengeneza kipato hata mara mbili ya mshahara wake. Wengine wanafanya hivyo na wanapiga hatua kubwa hadi wengine wanafikiria sasa kuachana na ajira. Ni muhimu kujifunza haya mambo. Siasa hazitaisha. Angalia your life. Ukifika 40 years uwe very established. Bila hivyo utashangaa kweli. Wakati wenzako wachache wa rika lako mtakapofika miaka 40 wakati wenzako unasikia amenunua kiwanja Kurasini kwa sh Bilioni mbili kwa ajili ya *kupaki* tu Masemitrela zake kama 20 hivi wewe wakati huo unashangaa Kama Kurasini kumbe kuna viwanja? Wakati huo wewe unamiliki kigari cha mkopo unakipaki uwanja wa CCM unalipia sh 1000/- tu, mnaita buku. Fikiria vitu kama hivi. Utajua vizuri umuhimu wa kutumia muda wako vizuri.  Sasa April hii mwaka umeshaanza kuyoyoma.  Wewe mwaka huu nini kipya hasa unataka kufanya kimaendeleo. Usiseme nataka kupata ajira. Ajira haikupeleki popote. Tulikuwa huko pia. Njoo ujifunze vizuri.

So kama unataka kuhakikisha mambo yanakuwa sawa mapema ungali mdogo ungali na nguvu nyingi bado basi njoo WhatsApp +255716405527 ukutane na wenzako ambao waliamua kutumia muda vizuri na wakapiga hatua kubwa!
Life begins at 40 my friend.... How Old are you now?

You can change your life even now if you want to!

NAOMBA NISAIDIE KU-SHARE!

πŸ”¬πŸ”¬KILA MARADHI NA DAWA YAKEπŸ”¬πŸ”¬

                   πŸ”¬πŸ”¬GRUOPπŸ”¬πŸ”¬

FAIDA ZA KIAFYA ZA MTI WA MWEMBE

Mti  wa  mwembe  mbali  ya  kuzaa  tunda  la  embe  ambalo  hutumika  kama  chakula  au  kinywaji  ( juisi )   chenye  ladha  inayo  vutia, una  faida  lukuki za   kiafya  kwa  mwili  wa  mwanadamu.
Zifuatazo  ni  baadhi  ya  faida  za  kiafya  za   mti  wa  mwembe.

1.    MAJANI  YA  MTI  WA  MWEMBE  :
Majani  machanga  ya  mti  wa  mwembe  yakichemshwa huwa  na  faida  zifuatazo  ;
i.             Hutibu  pumu
ii.           Hutibu  kifua  kikavu
iii.         Hutumika  katika  kuoshea  vidonda  vitokanavyo  na  majeraha   mbalimbali  (  Majani  ya  maembe  yamethibitika  kuwa  na  uwezo  mkubwa  wa  kukausha  majeraha  ya  vidonda  )
iv.         Unga  wa  majani  ya  mwembe  hutumika  katika  kutunza  meno  ambapo  mtu  mwenye  matatizo  ya  meno  atatakiwa  kusukutua  kwa  kutumia  unga  unaotokana  na  majani  ya  mwembe.

2.  KOKWA  LA  EMBE
Unga   unaotokana  na  kokwa  la  embe  husaidia  kuzuia  kuharisha  na  kuhara  damu.

3.  T UNDA  LA  EMBE
i.             Ulaji  wa  tunda  la  embe  husaidia  kutibu  minyoo  na  kuzuia  uvujaji  wa  damu  ovyo.
ii.           Tunda  la  embe  lina  vitamin  C  na  hivyo  ulaji  wake  husaidia  kuponesha  vidonda  kwa  haraka, hivyo  basi  mlaji  sana  wa  tunda  la  embe  endapo  atapata  vidonda  basi  atapona  kwa  haraka  sana  kuliko  mtu  asiye  tumia  tunda  hili  mara  kwa  mara.
iii.         Huwasaidia  watu  wenye  matatizo  ya  kutokupata  choo.
iv.         Utumiaji  wa  maembe  mabichi  husaidia  kuondoa  mawe  kwenye  figo  na  hivyo  kuepuka  kufanyiwa  upasuaji.
v.           Embe  bichi  likichanganywa  na  chumvi  na  sukari  na  kisha  kuchemshwa    ni  tiba  ya  tatizo  la  mapigo  ya  moyo  kwenda  kwa  haraka.

MAGOME  YA  MWEMBE
Magome  ya  mti  wa  mwembe  yakichemshwa  ni  dawa  nzuri  ya  homa.

JUISI  YA  EMBE  :
Juisi  ya  embe  ikichanganywa  na  maziwa  fresh  husaidia  kurejesha  afya  ya  ,tu  aliye  dhoofika.
Vile  vile  kunusa  juisi ya  embe  kunasaidia  kuzuia  tatizo  la  kutoka  damu  puani. Hivyo  basi  juisi  ya  embe  inaweza  kutumika  kama  huduma  ya  kwanza  kwa  mtu  anaye  tokwa  na  damu  puani.

πŸ”¬πŸ”¬KILA MARADHI NA DAWA YAKEπŸ”¬πŸ”¬

                   πŸ”¬πŸ”¬GRUOPπŸ”¬πŸ”¬

FAIDA ZA KIAFYA ZA MTI WA MWEMBE

Mti  wa  mwembe  mbali  ya  kuzaa  tunda  la  embe  ambalo  hutumika  kama  chakula  au  kinywaji  ( juisi )   chenye  ladha  inayo  vutia, una  faida  lukuki za   kiafya  kwa  mwili  wa  mwanadamu.
Zifuatazo  ni  baadhi  ya  faida  za  kiafya  za   mti  wa  mwembe.

1.    MAJANI  YA  MTI  WA  MWEMBE  :
Majani  machanga  ya  mti  wa  mwembe  yakichemshwa huwa  na  faida  zifuatazo  ;
i.             Hutibu  pumu
ii.           Hutibu  kifua  kikavu
iii.         Hutumika  katika  kuoshea  vidonda  vitokanavyo  na  majeraha   mbalimbali  (  Majani  ya  maembe  yamethibitika  kuwa  na  uwezo  mkubwa  wa  kukausha  majeraha  ya  vidonda  )
iv.         Unga  wa  majani  ya  mwembe  hutumika  katika  kutunza  meno  ambapo  mtu  mwenye  matatizo  ya  meno  atatakiwa  kusukutua  kwa  kutumia  unga  unaotokana  na  majani  ya  mwembe.

2.  KOKWA  LA  EMBE
Unga   unaotokana  na  kokwa  la  embe  husaidia  kuzuia  kuharisha  na  kuhara  damu.

3.  T UNDA  LA  EMBE
i.             Ulaji  wa  tunda  la  embe  husaidia  kutibu  minyoo  na  kuzuia  uvujaji  wa  damu  ovyo.
ii.           Tunda  la  embe  lina  vitamin  C  na  hivyo  ulaji  wake  husaidia  kuponesha  vidonda  kwa  haraka, hivyo  basi  mlaji  sana  wa  tunda  la  embe  endapo  atapata  vidonda  basi  atapona  kwa  haraka  sana  kuliko  mtu  asiye  tumia  tunda  hili  mara  kwa  mara.
iii.         Huwasaidia  watu  wenye  matatizo  ya  kutokupata  choo.
iv.         Utumiaji  wa  maembe  mabichi  husaidia  kuondoa  mawe  kwenye  figo  na  hivyo  kuepuka  kufanyiwa  upasuaji.
v.           Embe  bichi  likichanganywa  na  chumvi  na  sukari  na  kisha  kuchemshwa    ni  tiba  ya  tatizo  la  mapigo  ya  moyo  kwenda  kwa  haraka.

MAGOME  YA  MWEMBE
Magome  ya  mti  wa  mwembe  yakichemshwa  ni  dawa  nzuri  ya  homa.

JUISI  YA  EMBE  :
Juisi  ya  embe  ikichanganywa  na  maziwa  fresh  husaidia  kurejesha  afya  ya  ,tu  aliye  dhoofika.
Vile  vile  kunusa  juisi ya  embe  kunasaidia  kuzuia  tatizo  la  kutoka  damu  puani. Hivyo  basi  juisi  ya  embe  inaweza  kutumika  kama  huduma  ya  kwanza  kwa  mtu  anaye  tokwa  na  damu  puani.

Wednesday, 8 February 2017

SIRI 39 ZA KUWA MILIONEA.

1. Tafuta fursa kila kona.

2. Tumia kipaji chako.

3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.

4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk.

5. Usipoteze muda - jali muda kuliko kitu chochote kwani muda ndio kila kitu, muda ni mali.

6. Shiriki kwenye makongamano au semina mbalimbali za ujasiriamali.

7. Kuwa na vyanzo vingi vya kukuletea kipato.

8. Tafuta maarifa kwa mamilionea mbalimbali duniani - soma historia za mamilionea jinsi walivyofanikiwa.

9. Jenga urafiki na taasisi za kifedha - mamilionea wengi hukopa fedha kutoka katika taasisi za kifedha - tembelea taasisi za fedha watakupa ushauri  mbalimbali na watakupa mkopo, usisikilize maneno ya watu kuwa taasisi za pesa ni za watu matajiri hiyo sio kweli.

10. Kuwa na shauku, kuwa na fikra za kuwa milionea na wewe utakuwa.

11. Kuwa na imani kwamba utakuwa milionea na itakuwa hivyo.

12. Wekeza ktk miradi au biashara mbalimbali.

13. Wekeza sehemu yenye mahitaji ya bidhaa inayotakiwa kuzalishwa - angalia fursa hapo ulipo na wekeza.

14. Kuwa na bajeti katika mapato na matumizi yako.

15. Chunguza jamii yako wanakosa bidhaa gani kisha dili na bidhaa hiyo nawe utakuwa milionea.

16. Kuwa na wazo (Business idea): mamilionea wengi hutumia mawazo kutoka kwa watu mbalimbali kutengeneza pesa. Wazo ndio cheti cha kuwa milionea anza sasa fanyia kazi wazo lako ili kukuletea fedha.

17. Fanya vitu wewe mwenyewe - acha kufanya vitu kama fulani, usiige mtu, buni vya kwako, mamilionea huwa hawaigi, ukiwa mkweli kwako utakuwa mkweli kwa watu.

18. Kuwa na malengo - kumbuka hakuna maendeleo pasipo na malengo, fahamu hilo.

19. Kuwa na moyo wa ujasiri - usiogope kushindwa jitahidi ktk kupambana na maisha usikubali kubezwa au kuvunjwa moyo. Ukianguka nyanyuka tena, usifikirie kutakuwa na mtu wa kukusaidia zaidi ya kujisaidia mwenyewe.

20. Kuwa karibu na matajiri -usiogope kwani hao ni binadamu kama wewe, jaribu kuwadadisi ili wakupe mbinu mbali za kuwa tajiri hadi milionea. Ukiwa karibu nao unaweza ukapata nafasi ya kazi au kukuunganishia biashara ukaanza kufanya na kufanikiwa.

21. Mtangulize Mungu -mwabudu, msifu, mtolee sadaka, saidia masikini, wajane, wagonjwa, jenga nyumba za ibada. Mungu ndio kila kitu mtegemee yeye.

22. Fanya vitu kitofauti; fanya vitu vigeni, muonekano tofauti ingawa biashara ni ile ile, tumia lugha tofauti, panga bei tofauti, nk. Mfano aina tofauti za simenti, chupa za soda na juisi nk.

23. Acha woga - jaribu biashara yoyote, woga wako ndio umasikini wako, usiogope kukosolewa unapokosolewa ndio unajifunza. Usiogope mikopo, mamilionea wengi hufanya mambo ambayo wewe unayaogopa.

24. Kuwa na mtazamo chanya - usikubali mawazo hasi, marafiki zako wawe na mawazo chanya, usikubali kuvunjika moyo na usikubali mawazo yako yaingiliwe na mtu.

25. Anza kufanyia kazi wazo lako usisubiri mtu.

26. Kuwa na mipaka katika mambo yako - usifanye mambo kwa mkumbo, usiige, buni mambo yako. Mamilionea wengi wanabuni bidhaa zao hawapangiwi na mtu.

27. Dili na watu wenye kipato kidogo na kati katika biashara zako; mamilionea wengi hulenga mahitaji ya watu wa hali ya chini ambao ndio wengi hapa duniani. Baadhi ya mahitaji ya watu wa hali ya chini ni;

(a) Vyakula na vinywaji.
(b) Vifaa vya ujenzi.
(c) Vifaa vya umeme.

28.Kuwa mwaminifu -mamilionea wengi ni waaminifu ktk mali za watu. Wengi walikuwa wakipewa mali wakauze ndio walipe pesa, wanadhaminiwa malighafi za viwandani hadi wanamiliki viwanda vyao. Uaminifu ndio njia ya kukufanya uwe milionea.

29. Pokea ushauri kwa watu hasa kuhusiana na biashara yako - waulize  watu kuhusu huduma yako ya biashara wanaionaje na fanyia kazi ushauri wao.

30. Kuwa na plani katika kazi zako kila siku.

31. Kuwa na maono ya jinsi unavyotaka maisha yako yawe.

32. Panua soko la bidhaa zako usitegemee soko la sehemu moja.

33. Ubunifu ni muhimu sana - fanya ubunifu ktk kuuza bidhaa zako ili mauzo yasishuke, kuwa mbunifu ktk wateja wako kwani itakusaidia kugundua wateja wako wanataka nini - kuwa karibu nao, wasikilize, waheshimu nk.

35. Nunua hisa katika mabenki, makampuni mbalimbali: Mamilionea wengi hununua hisa hivyo humiliki mabenki na makampuni mbalimbali.

36. Kuwa milionea kunaanzia kichwani mwako-ukiweka mawazo yako kichwani utakuwa milionea kweli utakuwa sio kusema tu mdomoni. Amini utakuwa milionea na utakuwa kweli.

37. Maneno ya walioshindwa yasikukwamishe safari yako ya kuwa milionea.

38. Ondoa neno haiwezekani wewe kuwa milionea - kila binadamu anaweza kuwa milionea.

39. Mshukuru Mungu kwa hicho alichokupa - kumbuka neema ya Mungu ndio imekufikisha hapo ulipo hivyo toa msaada kwa watu wasiojiweza, yatima, masikini, wajane, wagonjwa, toa sadaka, walemavu nk.

HITIMISHO;
Shujaa mwenzangu, kuwa milionea inawezekana kama mimi na wewe tukifuata njia hizi 39 zinazotumiwa na mamilionea wengi duniani..

SIRI 39 ZA KUWA MILIONEA.

1. Tafuta fursa kila kona.

2. Tumia kipaji chako.

3. Kuwa na nidhamu katika fedha - matumizi mazuri ya pesa, nidhamu kwa watu wanaokuzunguka, usijikweze, usibague jamii, heshimu wote waliokaribu yako nk.

4. Kuwa na nidhamu katika afya yako: Afya ndio mtaji sahihi katika biashara yoyote - kuwa na mazoea ya kuangalia afya yako mara kwa mara nk.

5. Usipoteze muda - jali muda kuliko kitu chochote kwani muda ndio kila kitu, muda ni mali.

6. Shiriki kwenye makongamano au semina mbalimbali za ujasiriamali.

7. Kuwa na vyanzo vingi vya kukuletea kipato.

8. Tafuta maarifa kwa mamilionea mbalimbali duniani - soma historia za mamilionea jinsi walivyofanikiwa.

9. Jenga urafiki na taasisi za kifedha - mamilionea wengi hukopa fedha kutoka katika taasisi za kifedha - tembelea taasisi za fedha watakupa ushauri  mbalimbali na watakupa mkopo, usisikilize maneno ya watu kuwa taasisi za pesa ni za watu matajiri hiyo sio kweli.

10. Kuwa na shauku, kuwa na fikra za kuwa milionea na wewe utakuwa.

11. Kuwa na imani kwamba utakuwa milionea na itakuwa hivyo.

12. Wekeza ktk miradi au biashara mbalimbali.

13. Wekeza sehemu yenye mahitaji ya bidhaa inayotakiwa kuzalishwa - angalia fursa hapo ulipo na wekeza.

14. Kuwa na bajeti katika mapato na matumizi yako.

15. Chunguza jamii yako wanakosa bidhaa gani kisha dili na bidhaa hiyo nawe utakuwa milionea.

16. Kuwa na wazo (Business idea): mamilionea wengi hutumia mawazo kutoka kwa watu mbalimbali kutengeneza pesa. Wazo ndio cheti cha kuwa milionea anza sasa fanyia kazi wazo lako ili kukuletea fedha.

17. Fanya vitu wewe mwenyewe - acha kufanya vitu kama fulani, usiige mtu, buni vya kwako, mamilionea huwa hawaigi, ukiwa mkweli kwako utakuwa mkweli kwa watu.

18. Kuwa na malengo - kumbuka hakuna maendeleo pasipo na malengo, fahamu hilo.

19. Kuwa na moyo wa ujasiri - usiogope kushindwa jitahidi ktk kupambana na maisha usikubali kubezwa au kuvunjwa moyo. Ukianguka nyanyuka tena, usifikirie kutakuwa na mtu wa kukusaidia zaidi ya kujisaidia mwenyewe.

20. Kuwa karibu na matajiri -usiogope kwani hao ni binadamu kama wewe, jaribu kuwadadisi ili wakupe mbinu mbali za kuwa tajiri hadi milionea. Ukiwa karibu nao unaweza ukapata nafasi ya kazi au kukuunganishia biashara ukaanza kufanya na kufanikiwa.

21. Mtangulize Mungu -mwabudu, msifu, mtolee sadaka, saidia masikini, wajane, wagonjwa, jenga nyumba za ibada. Mungu ndio kila kitu mtegemee yeye.

22. Fanya vitu kitofauti; fanya vitu vigeni, muonekano tofauti ingawa biashara ni ile ile, tumia lugha tofauti, panga bei tofauti, nk. Mfano aina tofauti za simenti, chupa za soda na juisi nk.

23. Acha woga - jaribu biashara yoyote, woga wako ndio umasikini wako, usiogope kukosolewa unapokosolewa ndio unajifunza. Usiogope mikopo, mamilionea wengi hufanya mambo ambayo wewe unayaogopa.

24. Kuwa na mtazamo chanya - usikubali mawazo hasi, marafiki zako wawe na mawazo chanya, usikubali kuvunjika moyo na usikubali mawazo yako yaingiliwe na mtu.

25. Anza kufanyia kazi wazo lako usisubiri mtu.

26. Kuwa na mipaka katika mambo yako - usifanye mambo kwa mkumbo, usiige, buni mambo yako. Mamilionea wengi wanabuni bidhaa zao hawapangiwi na mtu.

27. Dili na watu wenye kipato kidogo na kati katika biashara zako; mamilionea wengi hulenga mahitaji ya watu wa hali ya chini ambao ndio wengi hapa duniani. Baadhi ya mahitaji ya watu wa hali ya chini ni;

(a) Vyakula na vinywaji.
(b) Vifaa vya ujenzi.
(c) Vifaa vya umeme.

28.Kuwa mwaminifu -mamilionea wengi ni waaminifu ktk mali za watu. Wengi walikuwa wakipewa mali wakauze ndio walipe pesa, wanadhaminiwa malighafi za viwandani hadi wanamiliki viwanda vyao. Uaminifu ndio njia ya kukufanya uwe milionea.

29. Pokea ushauri kwa watu hasa kuhusiana na biashara yako - waulize  watu kuhusu huduma yako ya biashara wanaionaje na fanyia kazi ushauri wao.

30. Kuwa na plani katika kazi zako kila siku.

31. Kuwa na maono ya jinsi unavyotaka maisha yako yawe.

32. Panua soko la bidhaa zako usitegemee soko la sehemu moja.

33. Ubunifu ni muhimu sana - fanya ubunifu ktk kuuza bidhaa zako ili mauzo yasishuke, kuwa mbunifu ktk wateja wako kwani itakusaidia kugundua wateja wako wanataka nini - kuwa karibu nao, wasikilize, waheshimu nk.

35. Nunua hisa katika mabenki, makampuni mbalimbali: Mamilionea wengi hununua hisa hivyo humiliki mabenki na makampuni mbalimbali.

36. Kuwa milionea kunaanzia kichwani mwako-ukiweka mawazo yako kichwani utakuwa milionea kweli utakuwa sio kusema tu mdomoni. Amini utakuwa milionea na utakuwa kweli.

37. Maneno ya walioshindwa yasikukwamishe safari yako ya kuwa milionea.

38. Ondoa neno haiwezekani wewe kuwa milionea - kila binadamu anaweza kuwa milionea.

39. Mshukuru Mungu kwa hicho alichokupa - kumbuka neema ya Mungu ndio imekufikisha hapo ulipo hivyo toa msaada kwa watu wasiojiweza, yatima, masikini, wajane, wagonjwa, toa sadaka, walemavu nk.

HITIMISHO;
Shujaa mwenzangu, kuwa milionea inawezekana kama mimi na wewe tukifuata njia hizi 39 zinazotumiwa na mamilionea wengi duniani..

Cheche za Manji πŸ‘‡


Manji: Nimesikia wakisema natakiwa kufika kituo cha Polisi siku ya Ijumaa.

Manji: Mimi nina nafasi mbili kwenye jamii, Mimi ni mtoto wa baba yangu na nafasi yangu ya pili mimi ni mwenyekiti wa Yanga na nyote mnajua ninavyoheshimiwa.

Manji: Na chaguzi zilizopita mimi nilichukuahukua fomu peke yangu ya kugombea Yanga hivyo naheshimika.

Manji: Huwezi kunitangaza kupitia radio kwamba niende kwenye kutuo cha polisi saa tano. Makonda ni mdogo kwangu kiumri.

Manji: Na katiba inasema kila mtu ana haki yake, Ukinichafua mimi kama Mwenyekiti wa Yanga unachafua Yanga nzima.

Manji: Ukinishutumu mimi ni mpumbavu tu wewe.

Manji: Kama unataka mimi nikusaidie kutaja wauzaji ni kuniweka kwenye hatari.

Manji: Mimi nitaenda Kituo cha Polisi kesho sisubiri hiyo Ijumaa.

Manji: Kifungu cha 66 katika katiba kinaeleze haki zangu na kufungu 32 pia. Vinanilinda.

Manji: Nataka nimshitaki Mahakamani na vyombo vyote vilivyoandika kunituhumu na madawa.

Manji: Kesho naenda Polisi asubuhi nihojiwe baada ya hapo naanza kutafuta haki yangu. Huwezi kuniita kaka huku unanitaja kwenye mambo mabaya.

Manji: Wapo watu kwenye mtandao wameanza kuandika vitu, Alichofanya mkuu wa mkoa ni kosa siwezi kukubali.

Manji: Na Wanayanga kama mnaona mimi sifai na kama hamna imani na mimi hata kesho naondoka Yanga. Siwezi kuchafua Club kubwa.

Manji: Kwanini RC Makonda hajamuita Askofu Pengo au Mashehe wamsaidie?

Manji: Hiwezi kuniita mimi kama mbwa njoo, Hii ni kutafuta masifa. Kesho utanikuta mimi kwenye gazeti na wengine 65 watasahaulika. Hii sio haki.

Manji: Zipo njia za kushughulikia vitu, Tukienda Comoro tunaenda na bendera ya Tanzania.

Manji: Kama unataka msaada omba msaasa sio unaagiza msaada, Unaniita na watu 65 nikae kwenye foleni, watu 65 watamaliza saa ngapi? Saa tano usiku nitoke? Sina kazi nyingine za kifanya?

Manji: Yupo mzee mmoja na wenyewe mnamjua, alinitukana nikamdai shilling moja. Unanihusisha mimi jina langu nloachiwa na baba kwenye huu upumbavu halafu unathubutu kiniita kaka yako?

Manji kapanic....!πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

Cheche za Manji πŸ‘‡


Manji: Nimesikia wakisema natakiwa kufika kituo cha Polisi siku ya Ijumaa.

Manji: Mimi nina nafasi mbili kwenye jamii, Mimi ni mtoto wa baba yangu na nafasi yangu ya pili mimi ni mwenyekiti wa Yanga na nyote mnajua ninavyoheshimiwa.

Manji: Na chaguzi zilizopita mimi nilichukuahukua fomu peke yangu ya kugombea Yanga hivyo naheshimika.

Manji: Huwezi kunitangaza kupitia radio kwamba niende kwenye kutuo cha polisi saa tano. Makonda ni mdogo kwangu kiumri.

Manji: Na katiba inasema kila mtu ana haki yake, Ukinichafua mimi kama Mwenyekiti wa Yanga unachafua Yanga nzima.

Manji: Ukinishutumu mimi ni mpumbavu tu wewe.

Manji: Kama unataka mimi nikusaidie kutaja wauzaji ni kuniweka kwenye hatari.

Manji: Mimi nitaenda Kituo cha Polisi kesho sisubiri hiyo Ijumaa.

Manji: Kifungu cha 66 katika katiba kinaeleze haki zangu na kufungu 32 pia. Vinanilinda.

Manji: Nataka nimshitaki Mahakamani na vyombo vyote vilivyoandika kunituhumu na madawa.

Manji: Kesho naenda Polisi asubuhi nihojiwe baada ya hapo naanza kutafuta haki yangu. Huwezi kuniita kaka huku unanitaja kwenye mambo mabaya.

Manji: Wapo watu kwenye mtandao wameanza kuandika vitu, Alichofanya mkuu wa mkoa ni kosa siwezi kukubali.

Manji: Na Wanayanga kama mnaona mimi sifai na kama hamna imani na mimi hata kesho naondoka Yanga. Siwezi kuchafua Club kubwa.

Manji: Kwanini RC Makonda hajamuita Askofu Pengo au Mashehe wamsaidie?

Manji: Hiwezi kuniita mimi kama mbwa njoo, Hii ni kutafuta masifa. Kesho utanikuta mimi kwenye gazeti na wengine 65 watasahaulika. Hii sio haki.

Manji: Zipo njia za kushughulikia vitu, Tukienda Comoro tunaenda na bendera ya Tanzania.

Manji: Kama unataka msaada omba msaasa sio unaagiza msaada, Unaniita na watu 65 nikae kwenye foleni, watu 65 watamaliza saa ngapi? Saa tano usiku nitoke? Sina kazi nyingine za kifanya?

Manji: Yupo mzee mmoja na wenyewe mnamjua, alinitukana nikamdai shilling moja. Unanihusisha mimi jina langu nloachiwa na baba kwenye huu upumbavu halafu unathubutu kiniita kaka yako?

Manji kapanic....!πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”πŸ€”

AFCON 2019 QUALIFIERS SET

GROUP A
Senegal
Equatorial Guinea
Sudan
Sao Tome/Madagascar

GROUP B
Cameroon
Morocco
Malawi
Comoros/Mauritius

GROUP C
Mali
Gabon
Burundi
Djibouti/South Sudan

GROUP D
Algeria
Togo
Benin
The Gambia

GROUP E
Nigeria
South Africa
Libya
Seychelles

*GROUP F*
Ghana
Ethiopia
*Sierra Leone*
Kenya
*Aaaaaaa Salone we go qualify yaaa*πŸ‘†πŸ‘†

GROUP G
DR Congo
Congo
Zimbabwe
Liberia

GROUP H
Ivory Coast
Guinea
Central African Republic
Rwanda

GROUP I
Burkina Faso
Angola
Botswana
Mauritania

GROUP J
Tunisia
Egypt
Niger
Swaziland

GROUP K
Zambia
Mozambique
Guinea-Bissau
Namibia

GROUP L
Cape Verde
Uganda
Tanzania
Lesotho

NOTE: The 12 group winners will qualify alongside the three best runners-up plus Cameroon who will automatically join the qualified teams as host of the competition and together make up the 16 nations for the tournament.
The polling also suggests that should Cameroon top their group, the second-placed side in Group B will have to contest the finals.
The qualifying matches kick off in June and end in November 2018.

AFCON 2019 QUALIFIERS SET

GROUP A
Senegal
Equatorial Guinea
Sudan
Sao Tome/Madagascar

GROUP B
Cameroon
Morocco
Malawi
Comoros/Mauritius

GROUP C
Mali
Gabon
Burundi
Djibouti/South Sudan

GROUP D
Algeria
Togo
Benin
The Gambia

GROUP E
Nigeria
South Africa
Libya
Seychelles

*GROUP F*
Ghana
Ethiopia
*Sierra Leone*
Kenya
*Aaaaaaa Salone we go qualify yaaa*πŸ‘†πŸ‘†

GROUP G
DR Congo
Congo
Zimbabwe
Liberia

GROUP H
Ivory Coast
Guinea
Central African Republic
Rwanda

GROUP I
Burkina Faso
Angola
Botswana
Mauritania

GROUP J
Tunisia
Egypt
Niger
Swaziland

GROUP K
Zambia
Mozambique
Guinea-Bissau
Namibia

GROUP L
Cape Verde
Uganda
Tanzania
Lesotho

NOTE: The 12 group winners will qualify alongside the three best runners-up plus Cameroon who will automatically join the qualified teams as host of the competition and together make up the 16 nations for the tournament.
The polling also suggests that should Cameroon top their group, the second-placed side in Group B will have to contest the finals.
The qualifying matches kick off in June and end in November 2018.

Friday, 3 February 2017

ROHO NYEUPE: Simba ikikosa ubingwa, Aveva na jopo lake wajiuzulu


By GIFT MACHA

Baada ya kuifuatilia timu hiyo kwa muda mrefu sasa nimejiridhisha kuwa kama isipotwaa ubingwa msimu huu rais wa timu hiyo, Evans Aveva na jopo lake la uongozi wanapaswa kubwaga manyanga ili timu hiyo itafute maisha mapya.

KUKUBALI kushindwa sio kosa. Mwanadamu mwenye fikra chanya akiona jambo linamzidi uwezo ama linamtatiza hukubali kuomba msaada kwingine ama kuachana na jambo hilo. Wakati mwingine maisha hayahitaji kulazimisha sana.

Nimekuwa nikifuatilia soka la Tanzania siku hadi siku. Nazifuatilia Simba, Yanga na Azam. Nazifuatilia Majimaji, JKT Ruvu, Stand United na hata Lipuli ambayo inalalamikiwa kuwa inataka kupanda Ligi Kuu kwa njia ya mkato. Kwa kifupi nafuatilia kila eneo.

Hata hivyo, leo sitaki kuzungumzia soka lote, nataka kuijadili Simba. Baada ya kuifuatilia timu hiyo kwa muda mrefu sasa nimejiridhisha kuwa kama isipotwaa ubingwa msimu huu rais wa timu hiyo, Evans Aveva na jopo lake la uongozi wanapaswa kubwaga manyanga ili timu hiyo itafute maisha mapya.

Yawezekana Aveva ni kiongozi bora. Yawezekana jopo lake la uongozi linaundwa na watendaji wenye weledi mkubwa, lakini kama atashindwa kuiongoza timu hiyo kutwaa taji la Ligi Kuu ama la FA ni wazi kuwa wote wanapaswa kuachia ngazi. Hicho ndicho kitu pekee wanachotakiwa kukifanya mwishoni mwa msimu na inaweza kuwajengea heshima Msimbazi kuliko kuendelea kubaki.

Ifahamike kuwa tangu Aveva na wasaidizi wake wamechaguliwa kuongoza Simba mwaka 2014, timu hiyo imeshinda taji moja, ni lile la Mapinduzi mwaka 2015. Simba haijawahi kumaliza katika nafasi hata ya pili Ligi Kuu chini ya uongozi wa Aveva. Hakuna mafanikio ya uwanjani ambayo Aveva na jopo lake wanaweza kujivunia mpaka sasa.

Msimu huu ulionekana kama unaweza kuwa wa neema kwa timu hiyo, lakini mambo ni kama yanaanza kuwa magumu. Simba baada ya kucheza mechi 13 bila kupoteza, maisha yake yamebadilika ghafla na sasa haina uhakika tena wa kushinda mechi.

Licha ya Simba kutengeneza wigo wa pointi nane na Yanga iliyokuwa katika nafasi ya pili, timu hiyo tayari imeshushwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu na inashika nafasi ya pili. Hofu ya kubadilika kwa upepo huo ndani ya muda mchache inazua hofu kama ni kweli Simba inaweza tena kupindua meza na kushinda taji hilo.

Yawezekana uongozi ukajivua lawama kwa madai kuwa benchi la ufundi la timu hiyo ndio linapaswa kulaumiwa, lakini hilo haliondoi ukweli kwamba utendaji wao utakuwa umefikisha miaka mitatu bila kuleta mabadiliko yoyote ya maana.

Kama unakuwa rais wa timu kwa miaka mitatu na timu yako haijashinda taji lolote la maana. Timu yako haijapata tiketi yoyote ya uwakilishi wa michuano ya kimataifa, uongozi wako una thamani gani? Unakuwa kiongozi unayewaongoza watu kuelekea wapi? Motoni? Sidhani!

Matatizo yanayoikumba Simba sasa hasa katika safu yao ya ushambuliaji yanatokana na uongozi kushindwa kufanya kazi yao vizuri, hasa kamati ya usajili. Ikumbukwe kuwa Kocha Joseph Omog alipendekeza timu hiyo isajili straika mwenye uwezo wa juu ili kuimarisha safu hiyo ambayo tayari ilikuwa inasuasua chini ya Frederick Blagnon na Laudit Mavugo ambao walifunga mabao matano tu katika duru lote la kwanza.

Uongozi wa Simba baada ya kupitia taarifa ya Omog ulifanya kituko kimoja. Ulikwenda kumsajili straika, Pastory Athanas kutoka Stand United ambaye katika duru lote la kwanza alifunga bao moja tu. Huu ni utani uliopitiliza. Huyu ndiye straika wa maana aliyemtaka Omog? Anafahamu Aveva na jopo lake.

Baada ya hapo Simba ikaenda kumsajili kwa mkopo, Juma Liuzio kutoka Zesco ya Zambia. Bahati nzuri wiki moja kabla ya kusajiliwa kwa Liuzio, Mwandishi wa Mwanaspoti, Olipa Assa alifanya makala na mchezaji huyo ambapo alikiri kuwa ana maisha magumu katika kikosi cha Zesco na amekuwa akichezeshwa kwa dakika kati ya 12-15 tu.  Kwa msimu wote uliopita akiwa Zesco Liuzio alikuwa amefunga mabao matatu tu. Maneno haya aliyasema kwa kinywa chake na wiki moja baadaye alikamilisha usajili wa kujiunga na Simba. Unajiuliza tena, huyu ndiye yule straika wa kiwango cha juu aliyempendekeza Omog? Utani mwingine huo. Uzuri ni kwamba namba huwa hazidanganyi. Athanas hajafunga bao hata la kuotea katika mechi tano za Ligi Kuu alizoichezea timu hiyo. Straika huyo amefunga bao moja tu dhidi ya timu ya daraja la kwanza, Polisi Dar katika mchezo wa FA. Pengine ndio timu anazoweza kuzifunga.

Liuzio naye hajafunga bao hata la kuotea katika mechi nne za Ligi Kuu alizocheza. Alifunga bao moja pekee katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi. Je huyu ndiye ‘masia’ tuliyeambiwa tumsubiri? Anafahamu Aveva na jopo lake. Katika mazingira kama haya ni wazi kuwa safu hiyo ya uongozi wa Aveva kama haitafanya juhudi za kupata tiketi ya mashindano ya kimataifa ama kushinda ubingwa, haipaswi kuendelea kuiongoza Simba. Itakuwa ni muda muafaka kupeana mkono wa kwaheri.

ROHO NYEUPE: Simba ikikosa ubingwa, Aveva na jopo lake wajiuzulu


By GIFT MACHA

Baada ya kuifuatilia timu hiyo kwa muda mrefu sasa nimejiridhisha kuwa kama isipotwaa ubingwa msimu huu rais wa timu hiyo, Evans Aveva na jopo lake la uongozi wanapaswa kubwaga manyanga ili timu hiyo itafute maisha mapya.

KUKUBALI kushindwa sio kosa. Mwanadamu mwenye fikra chanya akiona jambo linamzidi uwezo ama linamtatiza hukubali kuomba msaada kwingine ama kuachana na jambo hilo. Wakati mwingine maisha hayahitaji kulazimisha sana.

Nimekuwa nikifuatilia soka la Tanzania siku hadi siku. Nazifuatilia Simba, Yanga na Azam. Nazifuatilia Majimaji, JKT Ruvu, Stand United na hata Lipuli ambayo inalalamikiwa kuwa inataka kupanda Ligi Kuu kwa njia ya mkato. Kwa kifupi nafuatilia kila eneo.

Hata hivyo, leo sitaki kuzungumzia soka lote, nataka kuijadili Simba. Baada ya kuifuatilia timu hiyo kwa muda mrefu sasa nimejiridhisha kuwa kama isipotwaa ubingwa msimu huu rais wa timu hiyo, Evans Aveva na jopo lake la uongozi wanapaswa kubwaga manyanga ili timu hiyo itafute maisha mapya.

Yawezekana Aveva ni kiongozi bora. Yawezekana jopo lake la uongozi linaundwa na watendaji wenye weledi mkubwa, lakini kama atashindwa kuiongoza timu hiyo kutwaa taji la Ligi Kuu ama la FA ni wazi kuwa wote wanapaswa kuachia ngazi. Hicho ndicho kitu pekee wanachotakiwa kukifanya mwishoni mwa msimu na inaweza kuwajengea heshima Msimbazi kuliko kuendelea kubaki.

Ifahamike kuwa tangu Aveva na wasaidizi wake wamechaguliwa kuongoza Simba mwaka 2014, timu hiyo imeshinda taji moja, ni lile la Mapinduzi mwaka 2015. Simba haijawahi kumaliza katika nafasi hata ya pili Ligi Kuu chini ya uongozi wa Aveva. Hakuna mafanikio ya uwanjani ambayo Aveva na jopo lake wanaweza kujivunia mpaka sasa.

Msimu huu ulionekana kama unaweza kuwa wa neema kwa timu hiyo, lakini mambo ni kama yanaanza kuwa magumu. Simba baada ya kucheza mechi 13 bila kupoteza, maisha yake yamebadilika ghafla na sasa haina uhakika tena wa kushinda mechi.

Licha ya Simba kutengeneza wigo wa pointi nane na Yanga iliyokuwa katika nafasi ya pili, timu hiyo tayari imeshushwa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu na inashika nafasi ya pili. Hofu ya kubadilika kwa upepo huo ndani ya muda mchache inazua hofu kama ni kweli Simba inaweza tena kupindua meza na kushinda taji hilo.

Yawezekana uongozi ukajivua lawama kwa madai kuwa benchi la ufundi la timu hiyo ndio linapaswa kulaumiwa, lakini hilo haliondoi ukweli kwamba utendaji wao utakuwa umefikisha miaka mitatu bila kuleta mabadiliko yoyote ya maana.

Kama unakuwa rais wa timu kwa miaka mitatu na timu yako haijashinda taji lolote la maana. Timu yako haijapata tiketi yoyote ya uwakilishi wa michuano ya kimataifa, uongozi wako una thamani gani? Unakuwa kiongozi unayewaongoza watu kuelekea wapi? Motoni? Sidhani!

Matatizo yanayoikumba Simba sasa hasa katika safu yao ya ushambuliaji yanatokana na uongozi kushindwa kufanya kazi yao vizuri, hasa kamati ya usajili. Ikumbukwe kuwa Kocha Joseph Omog alipendekeza timu hiyo isajili straika mwenye uwezo wa juu ili kuimarisha safu hiyo ambayo tayari ilikuwa inasuasua chini ya Frederick Blagnon na Laudit Mavugo ambao walifunga mabao matano tu katika duru lote la kwanza.

Uongozi wa Simba baada ya kupitia taarifa ya Omog ulifanya kituko kimoja. Ulikwenda kumsajili straika, Pastory Athanas kutoka Stand United ambaye katika duru lote la kwanza alifunga bao moja tu. Huu ni utani uliopitiliza. Huyu ndiye straika wa maana aliyemtaka Omog? Anafahamu Aveva na jopo lake.

Baada ya hapo Simba ikaenda kumsajili kwa mkopo, Juma Liuzio kutoka Zesco ya Zambia. Bahati nzuri wiki moja kabla ya kusajiliwa kwa Liuzio, Mwandishi wa Mwanaspoti, Olipa Assa alifanya makala na mchezaji huyo ambapo alikiri kuwa ana maisha magumu katika kikosi cha Zesco na amekuwa akichezeshwa kwa dakika kati ya 12-15 tu.  Kwa msimu wote uliopita akiwa Zesco Liuzio alikuwa amefunga mabao matatu tu. Maneno haya aliyasema kwa kinywa chake na wiki moja baadaye alikamilisha usajili wa kujiunga na Simba. Unajiuliza tena, huyu ndiye yule straika wa kiwango cha juu aliyempendekeza Omog? Utani mwingine huo. Uzuri ni kwamba namba huwa hazidanganyi. Athanas hajafunga bao hata la kuotea katika mechi tano za Ligi Kuu alizoichezea timu hiyo. Straika huyo amefunga bao moja tu dhidi ya timu ya daraja la kwanza, Polisi Dar katika mchezo wa FA. Pengine ndio timu anazoweza kuzifunga.

Liuzio naye hajafunga bao hata la kuotea katika mechi nne za Ligi Kuu alizocheza. Alifunga bao moja pekee katika mashindano ya Kombe la Mapinduzi. Je huyu ndiye ‘masia’ tuliyeambiwa tumsubiri? Anafahamu Aveva na jopo lake. Katika mazingira kama haya ni wazi kuwa safu hiyo ya uongozi wa Aveva kama haitafanya juhudi za kupata tiketi ya mashindano ya kimataifa ama kushinda ubingwa, haipaswi kuendelea kuiongoza Simba. Itakuwa ni muda muafaka kupeana mkono wa kwaheri.

Thursday, 2 February 2017

Kwa mujibu wa Biologia, baada ya tendo la kukutana kimwili takribani mbegu milioni 200 hadi 300 hutolewa na mwanaume...halafu zote huanza kupiga mbizi kuogelea kwenye njia safarini kukutana na yai la kike. Ajabu ya kwanza ni kwamba sio zote 200 - 300  ambazo hufanikiwa kulifikia yai( nyingi huchoka na kufia njiani maana si mashindano ya mchezo mchezo). Ajabu ya pili ni kwamba kati ya hizi 300 zinazofanikiwa kufikia yai, ni moja tu..moja tu itakayoshinda nakufanikiwa kupenya na kurutubisha yai, na kwa mantiki hii ILIYOSHINDA NI WEWE HAPO.
 Umewahi kuwaza kuhusu hili vizuri?
Yaani ulishindana mbio hizo ukiwa huna macho na ulishinda, ulishindana bila elimu na ukashinda,ulishindani bila hata cheti chochote wala msaada wa yeyote ....na UKASHINDA
Nini kinachokufanya udhani utashindwa sasa?
Tena sasa uko na macho yote, miguu, sasa Unamjua Mungu, sasa ukiwa na plan,ndoto na maono.
Kumbuka ULISHASHINDA toka tumboni huna sababu ya kuwa na hofu yeyote, PAMBANA

Kwa mujibu wa Biologia, baada ya tendo la kukutana kimwili takribani mbegu milioni 200 hadi 300 hutolewa na mwanaume...halafu zote huanza kupiga mbizi kuogelea kwenye njia safarini kukutana na yai la kike. Ajabu ya kwanza ni kwamba sio zote 200 - 300  ambazo hufanikiwa kulifikia yai( nyingi huchoka na kufia njiani maana si mashindano ya mchezo mchezo). Ajabu ya pili ni kwamba kati ya hizi 300 zinazofanikiwa kufikia yai, ni moja tu..moja tu itakayoshinda nakufanikiwa kupenya na kurutubisha yai, na kwa mantiki hii ILIYOSHINDA NI WEWE HAPO.
 Umewahi kuwaza kuhusu hili vizuri?
Yaani ulishindana mbio hizo ukiwa huna macho na ulishinda, ulishindana bila elimu na ukashinda,ulishindani bila hata cheti chochote wala msaada wa yeyote ....na UKASHINDA
Nini kinachokufanya udhani utashindwa sasa?
Tena sasa uko na macho yote, miguu, sasa Unamjua Mungu, sasa ukiwa na plan,ndoto na maono.
Kumbuka ULISHASHINDA toka tumboni huna sababu ya kuwa na hofu yeyote, PAMBANA

Wednesday, 25 January 2017

*MANARA BLAA BLAA SITAKI KUSIKIA* Kupitia Magic FM *Manara* aongea dhahabu.... 1. Kuna taarifa zimesambaa mie naziita *black propaganda* ujue Hawa jamaa sijui wana nini wanapenda sana kuzusha vitu Mara ndanda wakate rufaa Mara wachezaj simba hawana vibali na Leo wanasema ya polisi dar. 2. Ni kawaida Yangu kutojibu blaablaa za mtandaoni. Ujue Yanga Hawa wanaangaika sana kazi yao *kuangaika angaika tu hawatulii sijajua nini kinawasumbua* watuache tu. 3. Umesikia sasa kabla ya hyo unayosema haijatokea asubuh walianza kusema " Ooonh simba wachezaji hawajapewa mishahara miezi miwili, sasa baada ya Mkude kuja kukanusha hizo taarifa basi wakaja na hilo la Lufunga. 4. Nawaambia hivi Yanga wasijfche nyuma waende tu TFF wakate wao Rufaa maana wanaumia kweli wajifanye tu Polisi Dar. 5. Niwaambie tu wanasimba wasiwe na wasiwasi simba inaenda hatua inayofuata na tupo fiti kuwavaa Azam fc. 6. Nakuuliza wew uwanja wa Jamhuri na uwanja wa Songea Majimaji una tofauti gani? Nijibu sasa mbona unatetemeka. 7. Kesho tunaandika barua na kuipeleka bodi ya Ligi kukataa kucheza kwenye uwanja wa songea kwa maana kuwa uwanja wa Jamhuri na uwanja wa Songea hakuna tofauti yeyote kama wamefunga kule wafunge na Songea. 8. Tusifanyane wajinga kwanini uwanja wa Jamhuri hawakuufunga kabla ya mechi yetu na Mtibwa ila wameona wanaenda kucheza Yanga ndio wanaufungia. Unagundua nini hapo??? 9. Nasisitiza kwamba tunaandika barua na sisi hatuchezi uwanja wa Majimaji hata iweje. 10. Simba tupo vizuri kila idara na tumejipanga kwa hali madhubuti wala hatuyumbishwi na *Black propaganda* Hongera msemaji makini.. Source Magic FM *By Omary Dihile Jr*

*MANARA BLAA BLAA SITAKI KUSIKIA* Kupitia Magic FM *Manara* aongea dhahabu.... 1. Kuna taarifa zimesambaa mie naziita *black propaganda* ujue Hawa jamaa sijui wana nini wanapenda sana kuzusha vitu Mara ndanda wakate rufaa Mara wachezaj simba hawana vibali na Leo wanasema ya polisi dar. 2. Ni kawaida Yangu kutojibu blaablaa za mtandaoni. Ujue Yanga Hawa wanaangaika sana kazi yao *kuangaika angaika tu hawatulii sijajua nini kinawasumbua* watuache tu. 3. Umesikia sasa kabla ya hyo unayosema haijatokea asubuh walianza kusema " Ooonh simba wachezaji hawajapewa mishahara miezi miwili, sasa baada ya Mkude kuja kukanusha hizo taarifa basi wakaja na hilo la Lufunga. 4. Nawaambia hivi Yanga wasijfche nyuma waende tu TFF wakate wao Rufaa maana wanaumia kweli wajifanye tu Polisi Dar. 5. Niwaambie tu wanasimba wasiwe na wasiwasi simba inaenda hatua inayofuata na tupo fiti kuwavaa Azam fc. 6. Nakuuliza wew uwanja wa Jamhuri na uwanja wa Songea Majimaji una tofauti gani? Nijibu sasa mbona unatetemeka. 7. Kesho tunaandika barua na kuipeleka bodi ya Ligi kukataa kucheza kwenye uwanja wa songea kwa maana kuwa uwanja wa Jamhuri na uwanja wa Songea hakuna tofauti yeyote kama wamefunga kule wafunge na Songea. 8. Tusifanyane wajinga kwanini uwanja wa Jamhuri hawakuufunga kabla ya mechi yetu na Mtibwa ila wameona wanaenda kucheza Yanga ndio wanaufungia. Unagundua nini hapo??? 9. Nasisitiza kwamba tunaandika barua na sisi hatuchezi uwanja wa Majimaji hata iweje. 10. Simba tupo vizuri kila idara na tumejipanga kwa hali madhubuti wala hatuyumbishwi na *Black propaganda* Hongera msemaji makini.. Source Magic FM *By Omary Dihile Jr*

Friday, 6 January 2017

Dhhgxnc

Dhhgxnc

Riyad Mahrez mchezaji bora Afrika 6 Januari 2017 Kiungo wa Leicester city Riyad Mahrez ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika wa mwaka. Mahrez mwenye miaka 25 raia wa Algeria aliyeisaidia Leicester kushinda taji la ligi kuu soka England msimu uliopita, tiyari ameshinda tuzo ya mcehzaji bora wa England sambamba na mchezaji bora wa BBC Mshambuliaji wa Senegal na klabu ya Liverpool Sadio Mane na mshambuliaji wa Borussia Dortmund na timu ya taifa ya Gabon Pierre-Emerick Aubameyang walikuwa wakiwania tuzo hiyo pia. Mshambuliaji wa Arsenal na timu ya taifa ya Nigeria Alex Iwobi ameshinda tuzo ya mchezaji bora chipukizi. Denis Onyango wa uganda na klabu ya Memelodi Sundowns akishinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa ligi za ndani. Mchezaji bora kwa kina dada imeenda kwa Asisat Oshoala wa Liverpool na timu ya taifa ya Nigeria huku timu bora ya mwaka ikiwa ni Uganda.

Riyad Mahrez mchezaji bora Afrika 6 Januari 2017 Kiungo wa Leicester city Riyad Mahrez ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika wa mwaka. Mahrez mwenye miaka 25 raia wa Algeria aliyeisaidia Leicester kushinda taji la ligi kuu soka England msimu uliopita, tiyari ameshinda tuzo ya mcehzaji bora wa England sambamba na mchezaji bora wa BBC Mshambuliaji wa Senegal na klabu ya Liverpool Sadio Mane na mshambuliaji wa Borussia Dortmund na timu ya taifa ya Gabon Pierre-Emerick Aubameyang walikuwa wakiwania tuzo hiyo pia. Mshambuliaji wa Arsenal na timu ya taifa ya Nigeria Alex Iwobi ameshinda tuzo ya mchezaji bora chipukizi. Denis Onyango wa uganda na klabu ya Memelodi Sundowns akishinda tuzo ya mchezaji bora wa Afrika kwa ligi za ndani. Mchezaji bora kwa kina dada imeenda kwa Asisat Oshoala wa Liverpool na timu ya taifa ya Nigeria huku timu bora ya mwaka ikiwa ni Uganda.

Kgdru

Kgdru

Wednesday, 4 January 2017

Simu ambazo hazifanyi kazi tena na WhatsApp 4 Januari 2017 Huduma ya WhatsApp haitumiki tena katika aina kadha za simu za zamani zikiwemo zile zinazotumia mfumo wa Windows Phone 7.1, Android 2.1 na Android 2.2, na simu aina ya iPhone 3GS/iOS 6. Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo ilisema inataka kuangazia kustawisha "huduma katika mifumo inayotumiwa na watu wengi." WhatsApp, ilipangiwa kuacha kufanya kazi katika mifumo hiyo ya programu mwishoni mwa Desemba 2016. Hatua hiyo ilikuwa imetangazwa na Facebook mapema mwezi Februari mwaka jana. Kampuni hiyo ilikuwa imeorodhesha simu za BlackBerry OS, BlackBerry 10, Nokia S40 na Nokia Symbian S60 kuwa miongoni mwa simu ambazo zingekatiwa huduma mwishoni mwa mwaka 2016 lakini ikabadilisha uamuzi wake na kuongeza muda hadi Juni 30, 2017. Kampuni hiyo ilijitetea na kusema kwamba haikusudii kuwatupa wateja wake ambao wamechangia sana katika ufanisi wake lakini ni kutokana na mabadiliko ya teknolojia. "Simu hizi hazina uwezo wa kiteknolojia tunaohitaji kuendelea kuimarisha huduma yetu siku zijazo," kampuni hiyo ilisema. Orodha kamili ya mifumo ya simu ambayo wateja hawataweza tena kutumia WhatsApp ni hii hapa: Android 2.1 na Android 2.2 Windows Phone 7 iPhone 3GS/iOS 6 Simu ambazo wateja wake hawataweza kutumia Whatsapp ifikapo Juni 30, 2017 ni: BlackBerry OS and BlackBerry 10 Nokia S40 Nokia Symbian S60 Wanaotumia simu za aina hiyo wameshauriwa kununua simu za kisasa zaidi. Kampuni hiyo imesema wakati wa kuanzishwa kwa WhatsApp mwaka 2009, asilimia 70 ya simu wakati huo zilikuwa za BlackBerry na Nokia. Lakini sasa asilimia 99.5 ya simu zinatumia mifumo ya Google, Apple na Microsoft.

Simu ambazo hazifanyi kazi tena na WhatsApp 4 Januari 2017 Huduma ya WhatsApp haitumiki tena katika aina kadha za simu za zamani zikiwemo zile zinazotumia mfumo wa Windows Phone 7.1, Android 2.1 na Android 2.2, na simu aina ya iPhone 3GS/iOS 6. Kampuni ya Facebook inayomiliki huduma hiyo ilisema inataka kuangazia kustawisha "huduma katika mifumo inayotumiwa na watu wengi." WhatsApp, ilipangiwa kuacha kufanya kazi katika mifumo hiyo ya programu mwishoni mwa Desemba 2016. Hatua hiyo ilikuwa imetangazwa na Facebook mapema mwezi Februari mwaka jana. Kampuni hiyo ilikuwa imeorodhesha simu za BlackBerry OS, BlackBerry 10, Nokia S40 na Nokia Symbian S60 kuwa miongoni mwa simu ambazo zingekatiwa huduma mwishoni mwa mwaka 2016 lakini ikabadilisha uamuzi wake na kuongeza muda hadi Juni 30, 2017. Kampuni hiyo ilijitetea na kusema kwamba haikusudii kuwatupa wateja wake ambao wamechangia sana katika ufanisi wake lakini ni kutokana na mabadiliko ya teknolojia. "Simu hizi hazina uwezo wa kiteknolojia tunaohitaji kuendelea kuimarisha huduma yetu siku zijazo," kampuni hiyo ilisema. Orodha kamili ya mifumo ya simu ambayo wateja hawataweza tena kutumia WhatsApp ni hii hapa: Android 2.1 na Android 2.2 Windows Phone 7 iPhone 3GS/iOS 6 Simu ambazo wateja wake hawataweza kutumia Whatsapp ifikapo Juni 30, 2017 ni: BlackBerry OS and BlackBerry 10 Nokia S40 Nokia Symbian S60 Wanaotumia simu za aina hiyo wameshauriwa kununua simu za kisasa zaidi. Kampuni hiyo imesema wakati wa kuanzishwa kwa WhatsApp mwaka 2009, asilimia 70 ya simu wakati huo zilikuwa za BlackBerry na Nokia. Lakini sasa asilimia 99.5 ya simu zinatumia mifumo ya Google, Apple na Microsoft.

Donald Trump asema wafungwa hawafai kuachiliwa Guantanamo Bay 4 Januari 2017 Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema wafungwa zaidi hawafai kuachiliwa kutoka kwa gereza la Marekani la Guantanamo Bay, Cuba. Amesema wafungwa waliosalia gerezani humo ni "watu hatari sana na hawafai kuruhusiwa kurejea kwenye uwanja wa mapigano tena". Rais Barack Obama alikuwa ameapa kuwa angefunga jela hiyo kabla ya kuondoka madarakani na amewahamisha wengi wa wafungwa waliokuwa wakizuiliwa humo. Kwa sasa, wafungwa 60 wamesalia gerezani na ikulu ya White House ilisema baadaye Jumanne kwamba inapanga kuwahamisha wafungwa hao kabla ya tarehe 20 Januari. Bw Trump alikuwa amepinga mpango wa Obama wa kufunga jela hiyo wakati wa kampeni. Mwezi Februari alisema: "Asubuhi hii, nimemtazama Rais Obama akiongea kuhusu Gitmo, sawa, Guantanamo Bay, ambayo kusema kweli, ambayo kusema kweli, hatutaifunga. Wafungwa wawili wa Guantanamo wapelekwa Ghana "Tuaicha iendelee kutumika... na tutawarundika watu wale wabaya huko, niamini mimi, tutawaweka watu wengi huko." Mnamo 17 Desemba, vyombo vya habari Marekani viliripoti kwamba Pentagon inapanga kuwahamisha wafungwa wengine 17 siku chache zijazo. Bw Obama ameidhinisha kuhamishwa kwa wafungwa lakini Bunge la Congress ambalo linadhibitiwa na chama cha Republican limewekwa masharti mengi. Bunge hilo linaitaka wizara ya ulinzi kutoa taarifa kuthibitisha viwango vya kiusalama vimetimishwa angalau siku 30 kabla ya hatua kama hiyo kuchukuliwa. Nchi kadha zimewapokea wafungwa wa zamani wa Guantanamo, zikiwemo Ghana, Senegal, Umoja wa Milki za Kiarabu (UAE), Uganda na Cape Verde. Watu 780 walizuiliwa Guantano tangu 2002, lakini kwa sasa ni 105 pekee waliosalia gerezani. Hamsini kati ya hao wameidhinishwa kuachiliwa huru. Jela hilo ilijengwa na Marekani baada ya mashambulio ya tarehe 11 Septemba mwaka 2001 na hutumiwa na Washington kuwazuilia "wapiganaji maadui". Gereza hilo hugharimu Marekani $445m (£316m) kila mwaka.

Donald Trump asema wafungwa hawafai kuachiliwa Guantanamo Bay 4 Januari 2017 Rais mteule wa Marekani Donald Trump amesema wafungwa zaidi hawafai kuachiliwa kutoka kwa gereza la Marekani la Guantanamo Bay, Cuba. Amesema wafungwa waliosalia gerezani humo ni "watu hatari sana na hawafai kuruhusiwa kurejea kwenye uwanja wa mapigano tena". Rais Barack Obama alikuwa ameapa kuwa angefunga jela hiyo kabla ya kuondoka madarakani na amewahamisha wengi wa wafungwa waliokuwa wakizuiliwa humo. Kwa sasa, wafungwa 60 wamesalia gerezani na ikulu ya White House ilisema baadaye Jumanne kwamba inapanga kuwahamisha wafungwa hao kabla ya tarehe 20 Januari. Bw Trump alikuwa amepinga mpango wa Obama wa kufunga jela hiyo wakati wa kampeni. Mwezi Februari alisema: "Asubuhi hii, nimemtazama Rais Obama akiongea kuhusu Gitmo, sawa, Guantanamo Bay, ambayo kusema kweli, ambayo kusema kweli, hatutaifunga. Wafungwa wawili wa Guantanamo wapelekwa Ghana "Tuaicha iendelee kutumika... na tutawarundika watu wale wabaya huko, niamini mimi, tutawaweka watu wengi huko." Mnamo 17 Desemba, vyombo vya habari Marekani viliripoti kwamba Pentagon inapanga kuwahamisha wafungwa wengine 17 siku chache zijazo. Bw Obama ameidhinisha kuhamishwa kwa wafungwa lakini Bunge la Congress ambalo linadhibitiwa na chama cha Republican limewekwa masharti mengi. Bunge hilo linaitaka wizara ya ulinzi kutoa taarifa kuthibitisha viwango vya kiusalama vimetimishwa angalau siku 30 kabla ya hatua kama hiyo kuchukuliwa. Nchi kadha zimewapokea wafungwa wa zamani wa Guantanamo, zikiwemo Ghana, Senegal, Umoja wa Milki za Kiarabu (UAE), Uganda na Cape Verde. Watu 780 walizuiliwa Guantano tangu 2002, lakini kwa sasa ni 105 pekee waliosalia gerezani. Hamsini kati ya hao wameidhinishwa kuachiliwa huru. Jela hilo ilijengwa na Marekani baada ya mashambulio ya tarehe 11 Septemba mwaka 2001 na hutumiwa na Washington kuwazuilia "wapiganaji maadui". Gereza hilo hugharimu Marekani $445m (£316m) kila mwaka.