.

.

Wednesday, 29 July 2015

DOKTA SLAA KUHAMIA CCM?:-

Hali ya kisiasa nchini inazidi kuwa tete, kufuatia hatua ya Chadema kukiuza Chama hicho kwa Waziri Mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa kampuni ya Richmond, Edward Lowassa.

Makubaliano ya Chadema kumuuzia Lowassa Chama hicho yamefanywa Jumapili iliyopita kati ya Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe na Lowassa ambapo Lowassa alikubali kutoa shilingi Bilioni kumi taslim ili aweze kutimiza safari yake ya matumaini ya kugombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho, baada ya jina lake kukatwa na CCM, kwasababu ya makandokando ya Ufisadi yanayomkabili.

Hatua ya Mbowe kukiuza Chama hicho kwa Lowassa imemkera mno Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Wilibrod Slaa. Sababu kubwa ya Dk. Slaa kupinga Lowassa kupokelewa Chadema na kuuziwa chama hicho ili aweze kugombea Urais, ni imani kubwa aliyonayo kwamba Lowassa ni Fisadi mkubwa ambaye alistahili kuwa Gerezani au kunyongwa, badala ya kupewa heshima ya kugombea Urais katika Chama hicho.

"Kama Lowassa huyu huyu amekatwa na CCM kutokana na ufisadi wake, vipi leo aonekane ni msafi ndani ya Chadema?!", amenukuliwa akihoji na kulalamika Dk. Slaa.

Kutokana na kinyongo hicho alichonacho Dk. Slaa dhidi ya Mwenyekiti wake Mbowe kwa kukiuza chama hicho kwa Lowassa, duru za kisiasa nchini zimebainisha kuwa Dk. Slaa mapema wiki ijayo atafanya maamuzi magumu ya kukihama chama hicho Ili kuachana kabisa na siasa au ikibidi kurejea katika chama chake cha zamani cha CCM.

"Kamwe siwezi kukaa meza moja na Fisadi Lowassa ambaye nilimtangaza kwa kinywa changu mwenyewe katika list of shame pale Mwembeyanga. Ni afadhali hata niachane kabisa na Siasa na ikibidi nirudi katika kazi yangu ya Kanisa kuliko kukaa meza moja na Mafisadi", amenukuliwa akiapa kwa uchungu mkubwa Dk. Slaa ambaye anasifika mno kwa ukali wake wa mapambano dhidi ya Mafisadi hapa nchini.

SOURCE: MWANAHALISI FORUM 27.07.2015

DOKTA SLAA KUHAMIA CCM?:-

Hali ya kisiasa nchini inazidi kuwa tete, kufuatia hatua ya Chadema kukiuza Chama hicho kwa Waziri Mkuu aliyelazimishwa kujiuzulu kwa kashfa ya ufisadi wa kampuni ya Richmond, Edward Lowassa.

Makubaliano ya Chadema kumuuzia Lowassa Chama hicho yamefanywa Jumapili iliyopita kati ya Mwenyekiti wa Chama hicho Freeman Mbowe na Lowassa ambapo Lowassa alikubali kutoa shilingi Bilioni kumi taslim ili aweze kutimiza safari yake ya matumaini ya kugombea Urais kwa tiketi ya Chama hicho, baada ya jina lake kukatwa na CCM, kwasababu ya makandokando ya Ufisadi yanayomkabili.

Hatua ya Mbowe kukiuza Chama hicho kwa Lowassa imemkera mno Katibu Mkuu wa Chama hicho, Dk. Wilibrod Slaa. Sababu kubwa ya Dk. Slaa kupinga Lowassa kupokelewa Chadema na kuuziwa chama hicho ili aweze kugombea Urais, ni imani kubwa aliyonayo kwamba Lowassa ni Fisadi mkubwa ambaye alistahili kuwa Gerezani au kunyongwa, badala ya kupewa heshima ya kugombea Urais katika Chama hicho.

"Kama Lowassa huyu huyu amekatwa na CCM kutokana na ufisadi wake, vipi leo aonekane ni msafi ndani ya Chadema?!", amenukuliwa akihoji na kulalamika Dk. Slaa.

Kutokana na kinyongo hicho alichonacho Dk. Slaa dhidi ya Mwenyekiti wake Mbowe kwa kukiuza chama hicho kwa Lowassa, duru za kisiasa nchini zimebainisha kuwa Dk. Slaa mapema wiki ijayo atafanya maamuzi magumu ya kukihama chama hicho Ili kuachana kabisa na siasa au ikibidi kurejea katika chama chake cha zamani cha CCM.

"Kamwe siwezi kukaa meza moja na Fisadi Lowassa ambaye nilimtangaza kwa kinywa changu mwenyewe katika list of shame pale Mwembeyanga. Ni afadhali hata niachane kabisa na Siasa na ikibidi nirudi katika kazi yangu ya Kanisa kuliko kukaa meza moja na Mafisadi", amenukuliwa akiapa kwa uchungu mkubwa Dk. Slaa ambaye anasifika mno kwa ukali wake wa mapambano dhidi ya Mafisadi hapa nchini.

SOURCE: MWANAHALISI FORUM 27.07.2015

Sunday, 19 July 2015

Ramadhan Masanja 'Banza Stone' akiwa jukwaani enzi za uhai wakeMWANAMUZIKI nguli wa muziki wa dansi, Ramadhan Masanja “Banza Stone” amefariki dunia muda huu nyumbani kwao Sinza. Anaandika Erasto Stanslaus … (endelea).
Kwa mujibu wa ndugu wa Banza, anayefahamika kwa jina la Hamis amelithibitishia Mwanahalisi Online kuwa Banza amefariki dunia mchana huu nyumbani kwao Sinza.
Hamis amesema kuwa hali ya Banza ilibadilika tangu jana usiku, ambapo alikata kauli alikata kauli hadi mchana huu Mungu alipomchukua.
Banza ambaye alitamba na bendi mbalimbali kama African Stars ‘Twanga Pepeta’, Tanzania One Theatre ‘TOT’, Bambino Sound na Extra Bongo, alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kifua kikuu na fangasi kichwani kwa muda mrefu.
Mwanahalisi Online itaendelea kuwajuza taratibu za msiba na mazishi.
Inna Lillah Wainna Illah Rajiun

Ramadhan Masanja 'Banza Stone' akiwa jukwaani enzi za uhai wakeMWANAMUZIKI nguli wa muziki wa dansi, Ramadhan Masanja “Banza Stone” amefariki dunia muda huu nyumbani kwao Sinza. Anaandika Erasto Stanslaus … (endelea).
Kwa mujibu wa ndugu wa Banza, anayefahamika kwa jina la Hamis amelithibitishia Mwanahalisi Online kuwa Banza amefariki dunia mchana huu nyumbani kwao Sinza.
Hamis amesema kuwa hali ya Banza ilibadilika tangu jana usiku, ambapo alikata kauli alikata kauli hadi mchana huu Mungu alipomchukua.
Banza ambaye alitamba na bendi mbalimbali kama African Stars ‘Twanga Pepeta’, Tanzania One Theatre ‘TOT’, Bambino Sound na Extra Bongo, alikuwa anasumbuliwa na maradhi ya kifua kikuu na fangasi kichwani kwa muda mrefu.
Mwanahalisi Online itaendelea kuwajuza taratibu za msiba na mazishi.
Inna Lillah Wainna Illah Rajiun

Mbunge wa Kahama, James LembeliHUYU ameondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anasema, chama hicho kinanuka rushwa na kwamba yeye hawezi kugombea kwenye chama ambacho kimebeba wala rushwa. Ni James Lembeli, mbunge wa Kahama mkoani Shinyanga.
Akizungumza na wanachama wa CCM, wilayani Kahama, Lembeli amesema, “…nimekuja kuwaeleza, kwamba sitagombea ubunge katika jimbo hili kupitia CCM.”
Hii ilikuwa majira ya saa nne asubuhi. Mara baada ya kauli yake hiyo, kuliibuka tahahuri miongoni mwa wanachama wa chama hicho, waliokuwa wamejazana ofisini kumsubiri Lembeli achukue fomu ya kuwania nafasi hiyo.
Mbunge huyo machachari nchini alikuwa ni miongoni mwa wabunge waliojipambanua kupinga ufisadi, ndani na nje ya Bunge.
Kabla ya uamuzi huo, Lembeli amekuwa akilalamikia chama chake kubeba baadhi ya wagombea; kujenga makundi ya wanamtandao na kuanza kampeni kabla ya muda.
“Sitaki kuwa sehemu ya uchafu huu. Hivyo, nimeamua kutogombea ubunge kupitia CCM, ingawa nitagombea kupitia chama kingine,” ameeleza.
Amesema katika ziara zake jimboni amekuwa akipokea kadi nyingi ambazo zimetolewa na wagombea kinyume cha taratibu na taarifa hizo alizifikisha katika ofisi ya wilaya lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.
Mara baada ya kutoa shutuma hizo, Lembeli aliondoka katika ofisi hizo bila kusalimiana na katibu wa chama hicho wilayani Kahama ambaye alikuja kumsubiri ili amkabidhi fomu za kuwania ubunge kupitia CCM.
MwanaHALISI Online, lilipoulizwa katibu wa CCM wilaya ya Kahama, Alexandulina Katabi, kuhusu madai ya Lembeli, haraka alisema, “madai hayo yanapaswa kupelekwa ofisini siyo kwenye magazeti.”
Alisema, kamati ya maadili ya chama hicho iliwahi kumuita mbunge huyo ili kuja kutoa ushahidi, lakini amegoma kufanya hivyo.
Alisema, “kadi feki zinajulikana kupitia kwangu kwa kuwa ndiye ninayezitoa.”
Taarifa ambazo zimepatikana baadaye zinasema, Lembeli anatarajiwa kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), muda wowote kutoka sasa.
Aidha, wabunge wengine wa CCM majina tunayo, wanatarajiwa kujiunga na chama hicho na kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini

Mbunge wa Kahama, James LembeliHUYU ameondoka Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anasema, chama hicho kinanuka rushwa na kwamba yeye hawezi kugombea kwenye chama ambacho kimebeba wala rushwa. Ni James Lembeli, mbunge wa Kahama mkoani Shinyanga.
Akizungumza na wanachama wa CCM, wilayani Kahama, Lembeli amesema, “…nimekuja kuwaeleza, kwamba sitagombea ubunge katika jimbo hili kupitia CCM.”
Hii ilikuwa majira ya saa nne asubuhi. Mara baada ya kauli yake hiyo, kuliibuka tahahuri miongoni mwa wanachama wa chama hicho, waliokuwa wamejazana ofisini kumsubiri Lembeli achukue fomu ya kuwania nafasi hiyo.
Mbunge huyo machachari nchini alikuwa ni miongoni mwa wabunge waliojipambanua kupinga ufisadi, ndani na nje ya Bunge.
Kabla ya uamuzi huo, Lembeli amekuwa akilalamikia chama chake kubeba baadhi ya wagombea; kujenga makundi ya wanamtandao na kuanza kampeni kabla ya muda.
“Sitaki kuwa sehemu ya uchafu huu. Hivyo, nimeamua kutogombea ubunge kupitia CCM, ingawa nitagombea kupitia chama kingine,” ameeleza.
Amesema katika ziara zake jimboni amekuwa akipokea kadi nyingi ambazo zimetolewa na wagombea kinyume cha taratibu na taarifa hizo alizifikisha katika ofisi ya wilaya lakini hakuna hatua zilizochukuliwa.
Mara baada ya kutoa shutuma hizo, Lembeli aliondoka katika ofisi hizo bila kusalimiana na katibu wa chama hicho wilayani Kahama ambaye alikuja kumsubiri ili amkabidhi fomu za kuwania ubunge kupitia CCM.
MwanaHALISI Online, lilipoulizwa katibu wa CCM wilaya ya Kahama, Alexandulina Katabi, kuhusu madai ya Lembeli, haraka alisema, “madai hayo yanapaswa kupelekwa ofisini siyo kwenye magazeti.”
Alisema, kamati ya maadili ya chama hicho iliwahi kumuita mbunge huyo ili kuja kutoa ushahidi, lakini amegoma kufanya hivyo.
Alisema, “kadi feki zinajulikana kupitia kwangu kwa kuwa ndiye ninayezitoa.”
Taarifa ambazo zimepatikana baadaye zinasema, Lembeli anatarajiwa kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), muda wowote kutoka sasa.
Aidha, wabunge wengine wa CCM majina tunayo, wanatarajiwa kujiunga na chama hicho na kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali nchini

Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman (kushoto) akiwania mpira na mchezaji wa Gor Mahia ya Kenya, Collins Okoth wakati wa mchezo wa Kombe la Kagame kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Yanga ilifungwa 2-1. (Picha na Rahel Pallangyo).MA B I N G W A wa Tanzania Bara, Yanga, jana walianza vibaya mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya Kombe la Kagame, baada ya kuchapwa mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Gor Mahia ambayo nusura ishindwe kushiriki mashindano hayo kutokana na ukata na kuokolewa na serikali ya nchi yao, ilipata ushindi huo mbele ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga.
Wenyeji Yanga ndio walikuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza katika dakika ya nne lililofungwa na mchezaji wa Gor Mahia, ambaye alitaka kuokoa mpira uliopigwa na Donald Ngoma na kuujaza wavuni.
Gor Mahia ilicharuka na kusawazisha muda mfupi baadae kwa bao la Michael Olunga alilofunga kwa kichwa baada ya kuruka kuwazidi mabeki wa Yanga na kujaza mpira wavuni.
Yanga ilipata pigo katika dakika ya 11 baada ya kutolewa kwa mchezaji wake Mzimbabwe Ngoma, kutokana na kumsukuma beki wa Gor Mahia.
Huku wakishangiliwa na mashabiki wanaodhaniwa kuwa ni wa Simba, Gor Mahia walipata bao katika dakika ya 46 lililofungwa tena na Olunga baada ya kuwatoka mabeki wa Yanga na kuujaza mpira wavuni kulia kwa kipa Mustapha.
Wachezaji wa Gor Mahia waligoma kuingia katika vyumba vya kubadilishia nguo, ambapo walitumia mlango tofauti. Yanga walipata penalti baada ya mchezaji mmoja wa Gor Mahia kuunawa mpira lakini nahodha wa Yanga,Nadir Haroub alipiga mpira na kuokolewa na kipa Boniface Oluoch.
Yanga iko katika kundi A pamoja na Gor Mahia, Telecom (Djibout), KMKM (Zanzibar) na Khartoum-N (Sudan) wakati Kundi B linaundwa na timu za APR (Rwanda), Al-Shandy (Sudan),LLB AFC (Burundi) na Heegan FC (Somalia).
Kundi C lina timu za Azam FC (Tanzania), Malakia (Sudan Kusini), Adama City (Ethiopia) na KCCA (Uganda).
Vikosi Yanga ilianza na:- Ally Mustafa Barthez, Amiss Tambwe, Nadir Haroub, Mbuyi Twitte, Simon Msuva, Juma Abdul, Deus Kaseke, Haruna Niyozima, Kelvin Yondan, Mwinyi Haji na Donald Ngoma
Gor Mahia: Boniface Oluoch, Karim Nizigiyimana, Mussa Mohammed, Haron Shakava, Abouba Sibomana, Innocent Wafura, Diikir Glay, Kharid Aucho, Godfrey Walusimbi, Michael Olunga na Meddie Kagere, Michuano hiyo itaendelea tena leo kwa Azam FC kucheza na Katika mchezo wa awali kwenye mashindano hayo, APR ya Rwanda iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Shandy ya Sudan.
Katika Uwanja wa Karume, KMKM ya Zanzibar iliibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo mwingine wa michuano hiyo dhidi ya Telecom ya Djibout.

Mshambuliaji wa Yanga, Kpah Sherman (kushoto) akiwania mpira na mchezaji wa Gor Mahia ya Kenya, Collins Okoth wakati wa mchezo wa Kombe la Kagame kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam jana. Yanga ilifungwa 2-1. (Picha na Rahel Pallangyo).MA B I N G W A wa Tanzania Bara, Yanga, jana walianza vibaya mashindano ya Afrika Mashariki na Kati ya Kombe la Kagame, baada ya kuchapwa mabao 2-1 katika mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Gor Mahia ambayo nusura ishindwe kushiriki mashindano hayo kutokana na ukata na kuokolewa na serikali ya nchi yao, ilipata ushindi huo mbele ya Waziri Mkuu wa zamani wa Kenya, Raila Odinga.
Wenyeji Yanga ndio walikuwa wa kwanza kupata bao la kuongoza katika dakika ya nne lililofungwa na mchezaji wa Gor Mahia, ambaye alitaka kuokoa mpira uliopigwa na Donald Ngoma na kuujaza wavuni.
Gor Mahia ilicharuka na kusawazisha muda mfupi baadae kwa bao la Michael Olunga alilofunga kwa kichwa baada ya kuruka kuwazidi mabeki wa Yanga na kujaza mpira wavuni.
Yanga ilipata pigo katika dakika ya 11 baada ya kutolewa kwa mchezaji wake Mzimbabwe Ngoma, kutokana na kumsukuma beki wa Gor Mahia.
Huku wakishangiliwa na mashabiki wanaodhaniwa kuwa ni wa Simba, Gor Mahia walipata bao katika dakika ya 46 lililofungwa tena na Olunga baada ya kuwatoka mabeki wa Yanga na kuujaza mpira wavuni kulia kwa kipa Mustapha.
Wachezaji wa Gor Mahia waligoma kuingia katika vyumba vya kubadilishia nguo, ambapo walitumia mlango tofauti. Yanga walipata penalti baada ya mchezaji mmoja wa Gor Mahia kuunawa mpira lakini nahodha wa Yanga,Nadir Haroub alipiga mpira na kuokolewa na kipa Boniface Oluoch.
Yanga iko katika kundi A pamoja na Gor Mahia, Telecom (Djibout), KMKM (Zanzibar) na Khartoum-N (Sudan) wakati Kundi B linaundwa na timu za APR (Rwanda), Al-Shandy (Sudan),LLB AFC (Burundi) na Heegan FC (Somalia).
Kundi C lina timu za Azam FC (Tanzania), Malakia (Sudan Kusini), Adama City (Ethiopia) na KCCA (Uganda).
Vikosi Yanga ilianza na:- Ally Mustafa Barthez, Amiss Tambwe, Nadir Haroub, Mbuyi Twitte, Simon Msuva, Juma Abdul, Deus Kaseke, Haruna Niyozima, Kelvin Yondan, Mwinyi Haji na Donald Ngoma
Gor Mahia: Boniface Oluoch, Karim Nizigiyimana, Mussa Mohammed, Haron Shakava, Abouba Sibomana, Innocent Wafura, Diikir Glay, Kharid Aucho, Godfrey Walusimbi, Michael Olunga na Meddie Kagere, Michuano hiyo itaendelea tena leo kwa Azam FC kucheza na Katika mchezo wa awali kwenye mashindano hayo, APR ya Rwanda iliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Al Shandy ya Sudan.
Katika Uwanja wa Karume, KMKM ya Zanzibar iliibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo mwingine wa michuano hiyo dhidi ya Telecom ya Djibout.

Kiongozi wa madiwani 19 wa ccm,  Julius KalangaWAKATI wakongwe wa siasa wakimhadharisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutofuata mashabiki wanaomtaka ahame CCM ambako amelelewa na ndiko anakoheshimika, madiwani 20 wa chama hicho katika Jimbo la Monduli, wamejiunga na Chadema.
Madiwani hao wameingia Chadema na kufuatwa na wenyeviti sita wa vijiji pamoja na viongozi wa jumuiya za CCM, huku wakimwomba Lowassa ambaye ni Mbunge wa jimbo hilo, kufanya kinachoitwa ni uamuzi mgumu wa kuwafuata, baada ya CCM kukata jina lake sambamba na wagombea urais wengine 33, wakiwemo waliowahi kuwa mawaziri wakuu kama yeye.
Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara, kabla ya kukabidhi kadi yake na za wenzake 19 wa CCM kwa viongozi wa Chadema, kiongozi wa Madiwani hao, Julius Kalanga kutoka Kata ya Lepurko, alisema wamefanya uamuzi aliouita mgumu, ambao Lowassa amekuwa akiuzungumza.
“Sisi tumeamua kujiunga Chadema kutafuta haki na kuondoka CCM ambako wanachakachua Katiba ya Chama kwa kumpitisha kiongozi wanayemtaka, badala ya kufuata Katiba na wananchi wanachotaka. “Tunamwomba Mheshimiwa wetu Lowassa, atufuate huku Chadema, afanye uamuzi mgumu aliokuwa akisema kila siku na asiogope kuhama… atakuwa amefanya uamuzi wenye tija kwa Taifa,” alisema Kalanga.
Diwani huyo pia aliwasihi wananchi kufuata madiwani wao wanakokwenda kwa sababu hata huko watachukua fomu na kugombea ili kuing’oa CCM madarakani.
Waliohama
Madiwani waliohama chama ni wa kata ya Engaruka, Engutoto, Esilalei, Loksale, Majengo, Makuyuni, Meserani, Nalalani, Lemooti, Moita, Monduli Juu, Monduli Mjini, Mferejini, Mswakini, Mto wa Mbu, Migungani, Selela, Sepeko na Lashaini.
Madiwani na viongozi hao ni Kalanga mwenyewe, Edward Lenanu, Bazir Siamini, Sigur Olekibinti, Loti Yamat, Goodluck Lerunya, Pashet Sengurumi, Yase Runja, Gidion Kimongishu, Dora Kipuyo, Mary Morindat, Sara Lomayan na Halima Lusinde.
Wengine ni Dotto Mlacha, Hawa Nyambiry, Alex Kamanda, Sion Kapela, Maria Lemta, Onesmo Naikoyo, Shaban Adam, Enditosidai Naikulo na Elifuraha Simon.
Pia yupo Dinna Solomon, Loti Naparana, Jocy Laizer, Edward Mathayo, Piniel Loning’o, Napir Mukare, Inot Leringa, Kalaine Lowassa, Maria Mepukori, Mary Stivin na Edward Kone.
Ushauri wa wakongwe
Mwito huo wa madiwani wa Monduli, unatofautiana na ushauri wa kada mkongwe wa CCM, Steven Mashishanga, aliyekaririwa akimtaka Lowassa atulie na aachane na ushawishi wa watu wanaomtaka ahame chama hicho.
Mashishanga katika mahojiano yake na gazeti moja la kila siku juzi, alimkumbusha Lowassa kuwa bado ni kiongozi anayeheshimiwa na jamii na kumuasa kuwa kama anahisi ameonewa, asamehe.
Akifafanua hoja zake, Mashishanga alisema wanaomshawishi Lowassa ahame CCM na wale wanaohama chama hicho kwa sababu ya kukatwa kwa jina la Lowassa katika kuwania urais, si wana CCM wa uhakika.
Kwa mujibu wa Mashishanga, ndani ya CCM mgombea akiteuliwa, wanachama huachana na yaliyopita na kuwa wamoja kwa ajili ya kukiendeleza chama.
Malaigwanani
Mbali na Mashishanga, pia wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimasai, maarufu malaigwanani kutoka Wilaya ya Monduli, nao wamemuomba Lowassa kuendelea kuwa kada wa CCM, kwa sababu ndicho chama kilichomlea na anakijua.
Mmoja wa malaigwanani, Mzee Joseph Mesopiro, kutoka Kata ya Sepeko, alikaririwa na vyombo vya habari kwa niaba ya malaigwanani akisema, wanakusudia kutuma ujumbe maalumu kwa Lowassa, utakaomshauri asihame CCM kama baadhi ya watu aliowaita wapambe wanavyomshauri.
Laigwanani mwingine, Julius Laizer kutoka Kata ya Moita, alisema bado anaamini kuwa CCM itaendelea kubaki imara, hata kama baadhi ya watu watakihama.
Lazier alisema viongozi waliolelewa na kukuzwa CCM, wanaamini chama hicho kitaendelea kuwa imara na hawako tayari kukubali ushawishi wowote wa kutaka wahamie upinzani.
Naye Mwenyekiti wa CCM Kata ya Lepurko wilayani Monduli, Njoput Alami, alikaririwa akibeza taarifa za kushawishi watu kuhama CCM kwa kisingizio cha Lowassa kukatwa katika majina ya wawania urais, akiziita ni kelele za wapambe wanaohofia kukosa fursa walizotarajia, iwapo Lowassa angeteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa aliwakaribisha na kusema Chadema watu wote wanapendana na hakuna ukubwa wala uongozi, hivyo wanapokuja huko ni kazi moja ya ukamanda kuwatumikia wananchi.

Kiongozi wa madiwani 19 wa ccm,  Julius KalangaWAKATI wakongwe wa siasa wakimhadharisha aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa, kutofuata mashabiki wanaomtaka ahame CCM ambako amelelewa na ndiko anakoheshimika, madiwani 20 wa chama hicho katika Jimbo la Monduli, wamejiunga na Chadema.
Madiwani hao wameingia Chadema na kufuatwa na wenyeviti sita wa vijiji pamoja na viongozi wa jumuiya za CCM, huku wakimwomba Lowassa ambaye ni Mbunge wa jimbo hilo, kufanya kinachoitwa ni uamuzi mgumu wa kuwafuata, baada ya CCM kukata jina lake sambamba na wagombea urais wengine 33, wakiwemo waliowahi kuwa mawaziri wakuu kama yeye.
Akizungumza jana katika mkutano wa hadhara, kabla ya kukabidhi kadi yake na za wenzake 19 wa CCM kwa viongozi wa Chadema, kiongozi wa Madiwani hao, Julius Kalanga kutoka Kata ya Lepurko, alisema wamefanya uamuzi aliouita mgumu, ambao Lowassa amekuwa akiuzungumza.
“Sisi tumeamua kujiunga Chadema kutafuta haki na kuondoka CCM ambako wanachakachua Katiba ya Chama kwa kumpitisha kiongozi wanayemtaka, badala ya kufuata Katiba na wananchi wanachotaka. “Tunamwomba Mheshimiwa wetu Lowassa, atufuate huku Chadema, afanye uamuzi mgumu aliokuwa akisema kila siku na asiogope kuhama… atakuwa amefanya uamuzi wenye tija kwa Taifa,” alisema Kalanga.
Diwani huyo pia aliwasihi wananchi kufuata madiwani wao wanakokwenda kwa sababu hata huko watachukua fomu na kugombea ili kuing’oa CCM madarakani.
Waliohama
Madiwani waliohama chama ni wa kata ya Engaruka, Engutoto, Esilalei, Loksale, Majengo, Makuyuni, Meserani, Nalalani, Lemooti, Moita, Monduli Juu, Monduli Mjini, Mferejini, Mswakini, Mto wa Mbu, Migungani, Selela, Sepeko na Lashaini.
Madiwani na viongozi hao ni Kalanga mwenyewe, Edward Lenanu, Bazir Siamini, Sigur Olekibinti, Loti Yamat, Goodluck Lerunya, Pashet Sengurumi, Yase Runja, Gidion Kimongishu, Dora Kipuyo, Mary Morindat, Sara Lomayan na Halima Lusinde.
Wengine ni Dotto Mlacha, Hawa Nyambiry, Alex Kamanda, Sion Kapela, Maria Lemta, Onesmo Naikoyo, Shaban Adam, Enditosidai Naikulo na Elifuraha Simon.
Pia yupo Dinna Solomon, Loti Naparana, Jocy Laizer, Edward Mathayo, Piniel Loning’o, Napir Mukare, Inot Leringa, Kalaine Lowassa, Maria Mepukori, Mary Stivin na Edward Kone.
Ushauri wa wakongwe
Mwito huo wa madiwani wa Monduli, unatofautiana na ushauri wa kada mkongwe wa CCM, Steven Mashishanga, aliyekaririwa akimtaka Lowassa atulie na aachane na ushawishi wa watu wanaomtaka ahame chama hicho.
Mashishanga katika mahojiano yake na gazeti moja la kila siku juzi, alimkumbusha Lowassa kuwa bado ni kiongozi anayeheshimiwa na jamii na kumuasa kuwa kama anahisi ameonewa, asamehe.
Akifafanua hoja zake, Mashishanga alisema wanaomshawishi Lowassa ahame CCM na wale wanaohama chama hicho kwa sababu ya kukatwa kwa jina la Lowassa katika kuwania urais, si wana CCM wa uhakika.
Kwa mujibu wa Mashishanga, ndani ya CCM mgombea akiteuliwa, wanachama huachana na yaliyopita na kuwa wamoja kwa ajili ya kukiendeleza chama.
Malaigwanani
Mbali na Mashishanga, pia wazee wa kimila wa jamii ya wafugaji wa Kimasai, maarufu malaigwanani kutoka Wilaya ya Monduli, nao wamemuomba Lowassa kuendelea kuwa kada wa CCM, kwa sababu ndicho chama kilichomlea na anakijua.
Mmoja wa malaigwanani, Mzee Joseph Mesopiro, kutoka Kata ya Sepeko, alikaririwa na vyombo vya habari kwa niaba ya malaigwanani akisema, wanakusudia kutuma ujumbe maalumu kwa Lowassa, utakaomshauri asihame CCM kama baadhi ya watu aliowaita wapambe wanavyomshauri.
Laigwanani mwingine, Julius Laizer kutoka Kata ya Moita, alisema bado anaamini kuwa CCM itaendelea kubaki imara, hata kama baadhi ya watu watakihama.
Lazier alisema viongozi waliolelewa na kukuzwa CCM, wanaamini chama hicho kitaendelea kuwa imara na hawako tayari kukubali ushawishi wowote wa kutaka wahamie upinzani.
Naye Mwenyekiti wa CCM Kata ya Lepurko wilayani Monduli, Njoput Alami, alikaririwa akibeza taarifa za kushawishi watu kuhama CCM kwa kisingizio cha Lowassa kukatwa katika majina ya wawania urais, akiziita ni kelele za wapambe wanaohofia kukosa fursa walizotarajia, iwapo Lowassa angeteuliwa kuwa mgombea urais wa CCM.
Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Arusha, Amani Golugwa aliwakaribisha na kusema Chadema watu wote wanapendana na hakuna ukubwa wala uongozi, hivyo wanapokuja huko ni kazi moja ya ukamanda kuwatumikia wananchi.

Saturday, 18 July 2015

Klabu ya Liverpool nchini Uingereza imetoa kitita cha pauni milioni 32.5 kwa Aston Villa kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Ubelgiji Christian Benteke.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 alifunga mabao 12 katika mechi 12 katika msimu wa mwaka 2014-2015 na kuisadia Villa kusalia katika ligi kuu ya Uingereza.
Liverpool inamtaka mchezaji huyo baada ya kupokea kitita cha pauni milioni 49 kutokana na mauzo ya mchezaji Raheem Sterling aliyehamia Mancity.
Benteke bado amesalia na kandarasi ya miaka 2 katika klabu ya Villa.
Mshambuliaji wa Uingereza Daniel Sturridge aliichezea timu hiyo mara 18 msimu uliopita kutokana na msururu wa majeraha na atasalia nje hadi mwezi Septemba akiuguza jeraha la kiuno.null

Klabu ya Liverpool nchini Uingereza imetoa kitita cha pauni milioni 32.5 kwa Aston Villa kwa lengo la kumsajili mshambuliaji wa Ubelgiji Christian Benteke.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 alifunga mabao 12 katika mechi 12 katika msimu wa mwaka 2014-2015 na kuisadia Villa kusalia katika ligi kuu ya Uingereza.
Liverpool inamtaka mchezaji huyo baada ya kupokea kitita cha pauni milioni 49 kutokana na mauzo ya mchezaji Raheem Sterling aliyehamia Mancity.
Benteke bado amesalia na kandarasi ya miaka 2 katika klabu ya Villa.
Mshambuliaji wa Uingereza Daniel Sturridge aliichezea timu hiyo mara 18 msimu uliopita kutokana na msururu wa majeraha na atasalia nje hadi mwezi Septemba akiuguza jeraha la kiuno.null

Wednesday, 15 July 2015

Monday, 13 July 2015




 HABARI YA KUTISHA NA KUSIKITISHA MAJAMBAZI WAVAMIA KITUO CHA POLIS SITAKISHARI NA KUUWA ASKALI POLIS 6




 HABARI YA KUTISHA NA KUSIKITISHA MAJAMBAZI WAVAMIA KITUO CHA POLIS SITAKISHARI NA KUUWA ASKALI POLIS 6

Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza daktari John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa ujao.
Daktari John Magufuli, alisajili asilimia 87 % ya kura za wajumbe, hiyo ikiwa ni kura 2104.
Daktari John Magufuli, aliwashinda wapinzani wake Bi Amina Salulm Ali na dakta Asha-Rose Migir.

Magufuli ni Nani?
Lakini je Daktari John Magufuli ni Nani?
Je Daktari John Magufuli ni Nani?
Mgombea wa urais wa chama cha CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2015 Daktari John Pombe Joseph Magufuli ni mbunge wa jimbo la Chato lililoko mkoa wa Geita na ni waziri wa ujenzi wa Tanzania.
Alizaliwa tarehe 29 Oktoba 1959 wilayani Chato Mkoani Kagera.
Kielimu, daktari Magufuli ana Stashahada ya elimu ya sayansi akibobea kwenye masomo ya Kemia, Hisabati.
Mgombea huyo wa urais ana shahada ya umahiri wa Sayansi na shahada ya uzamivu ya kemia.
Aidha daktari Magufuli amewahi kufundisha katika shule ya sekondari Sengerema miaka ya themanini kisha akajiunga na mafunzo ya JKT .
Alizaliwa Oktoba 1959
null 
Alianza siasa mwaka 1995
Alipohitimu, daktari Magufuli na aliaanza kufanya kazi katika kiwanda cha ‘Nyanza Cooperative Union akiwa Mkemia kabla ya kuondoka hapo na kuwania ubunge.
Magufuli alianza mbio za ubunge mwaka 1995 katika jimbo la Chato na kushinda kisha akateuliwa na Rais Benjamin Mkapa kuwa naibu waziri wa Miundombinu.
Katika uchaguzi wa Mwaka wa 2000 pia aligombea ubunge na kushinda na Rais Mkapa akamteua kuwa Waziri wa miundombinu.
Alianza siasa mwaka 1995
Katika uchaguzi wa mwaka 2005 daktari Magufuli aligombea ubunge kwa mara ya tatu na kupita bila kupingwa.
Rais Kikwete alimteua kuongoza wizara ya Ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi na baadaye akamhamishia hadi wizara ya Mifugo na uvuvi.
Daktari Magufuli anachukuliwa kuwa ni mwanasiasa mwenye msimamo thabiti
Mwaka 2010 alichaguliwa kuwa mbunge kwa mara ya nne na Rais Kikwete alimrudisha katika Wizara ya Miundombinu na ujenzi.
Daktari Magufuli anachukuliwa kuwa ni mwanasiasa mwenye msimamo thabiti, mchapa kazi na asiye yumbishwa au hata kufuata upepo wa kisaisa.
Anatambulika kuwa Mchapa kazi
Watanzaniania wanamkumbuka kwa usimamizi na ujenzi wa barabara na majengo thabiti.
Anakumbukwa kwa kuchukua hatua za kutoa amri za kubomolewa kwa majengo ya kifahari ambayo alihisi yalikiuka sheria za ujenzi.
Anakumbukwa kwa kuchukua hatua za kutoa amri za kubomolewa kwa majengo ya kifahari ambayo alihisi yalikiuka sheria za ujenzi.
Na alipokuwa waziri wa Maendeleo ya Mifugo, Bwana John Magufuli alikwenda hadi bandari ya Dar-es-Salaam na kuizuia meli ya wachina iliyokuwa inashukiwa kufanya uvuvi haramu katika sehemu ya bahari ya Tanzania.

Chama tawala nchini Tanzania Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimemtangaza daktari John Magufuli kuwa mgombea wake wa kiti cha Urais katika uchaguzi mkuu wa ujao.
Daktari John Magufuli, alisajili asilimia 87 % ya kura za wajumbe, hiyo ikiwa ni kura 2104.
Daktari John Magufuli, aliwashinda wapinzani wake Bi Amina Salulm Ali na dakta Asha-Rose Migir.

Magufuli ni Nani?
Lakini je Daktari John Magufuli ni Nani?
Je Daktari John Magufuli ni Nani?
Mgombea wa urais wa chama cha CCM katika uchaguzi mkuu wa mwaka wa 2015 Daktari John Pombe Joseph Magufuli ni mbunge wa jimbo la Chato lililoko mkoa wa Geita na ni waziri wa ujenzi wa Tanzania.
Alizaliwa tarehe 29 Oktoba 1959 wilayani Chato Mkoani Kagera.
Kielimu, daktari Magufuli ana Stashahada ya elimu ya sayansi akibobea kwenye masomo ya Kemia, Hisabati.
Mgombea huyo wa urais ana shahada ya umahiri wa Sayansi na shahada ya uzamivu ya kemia.
Aidha daktari Magufuli amewahi kufundisha katika shule ya sekondari Sengerema miaka ya themanini kisha akajiunga na mafunzo ya JKT .
Alizaliwa Oktoba 1959
null 
Alianza siasa mwaka 1995
Alipohitimu, daktari Magufuli na aliaanza kufanya kazi katika kiwanda cha ‘Nyanza Cooperative Union akiwa Mkemia kabla ya kuondoka hapo na kuwania ubunge.
Magufuli alianza mbio za ubunge mwaka 1995 katika jimbo la Chato na kushinda kisha akateuliwa na Rais Benjamin Mkapa kuwa naibu waziri wa Miundombinu.
Katika uchaguzi wa Mwaka wa 2000 pia aligombea ubunge na kushinda na Rais Mkapa akamteua kuwa Waziri wa miundombinu.
Alianza siasa mwaka 1995
Katika uchaguzi wa mwaka 2005 daktari Magufuli aligombea ubunge kwa mara ya tatu na kupita bila kupingwa.
Rais Kikwete alimteua kuongoza wizara ya Ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi na baadaye akamhamishia hadi wizara ya Mifugo na uvuvi.
Daktari Magufuli anachukuliwa kuwa ni mwanasiasa mwenye msimamo thabiti
Mwaka 2010 alichaguliwa kuwa mbunge kwa mara ya nne na Rais Kikwete alimrudisha katika Wizara ya Miundombinu na ujenzi.
Daktari Magufuli anachukuliwa kuwa ni mwanasiasa mwenye msimamo thabiti, mchapa kazi na asiye yumbishwa au hata kufuata upepo wa kisaisa.
Anatambulika kuwa Mchapa kazi
Watanzaniania wanamkumbuka kwa usimamizi na ujenzi wa barabara na majengo thabiti.
Anakumbukwa kwa kuchukua hatua za kutoa amri za kubomolewa kwa majengo ya kifahari ambayo alihisi yalikiuka sheria za ujenzi.
Anakumbukwa kwa kuchukua hatua za kutoa amri za kubomolewa kwa majengo ya kifahari ambayo alihisi yalikiuka sheria za ujenzi.
Na alipokuwa waziri wa Maendeleo ya Mifugo, Bwana John Magufuli alikwenda hadi bandari ya Dar-es-Salaam na kuizuia meli ya wachina iliyokuwa inashukiwa kufanya uvuvi haramu katika sehemu ya bahari ya Tanzania.

Kama ungekuwa mtihani wa necta magufuli ulikuwa una mtablia div gani na lowasa div gani acha zile za brn


Kama ungekuwa mtihani wa necta magufuli ulikuwa una mtablia div gani na lowasa div gani acha zile za brn


Wednesday, 8 July 2015

nullMshambulizi wa Liverpool na Italia , Mario Balotelli hajarejea kambini Anfield kwa mazoezi ya kabla ya kuanza kwa msimu mpya.
Muitaliano huyo ambaye hakuwa na msimu wa kufana alipojiunga na the Reds anasemekana kuwa alifiwa.
The Reds' walirejea katika kambi ya mazoezi siku ya jumatatu baada ya likizo ndefu ya msimu wa jua.
"ningependa kuwashukuru mashabiki wangu wote''
''Familia yangu inawashukuru pia''alisema mshambulizi huyo machachari.

Balotelli mwenye umri wa miaka 24 anatarajiwa kujiunga na kikosi hicho cha Liverpool kabla ya ziara ya kujipima nguvu mashariki ya mbali na Australia.
Tangu ajiunge na the Reds mshambulizi huyo wa zamani wa Manchester City hakunga'ara kama ilivyotarajiwa baada ya kununuliwa kwa kima cha pauni milioni £16m mwezi Agosti.
Alifunga mabao 4 ikiwemo moja pekee katika ligi ya premia na hakuweza kuhakikishiwa nafasi ya timu ya kwanza licha ya kutokuwepo kwa nyota kutoka Uruguay Luis Suarez.

nullMshambulizi wa Liverpool na Italia , Mario Balotelli hajarejea kambini Anfield kwa mazoezi ya kabla ya kuanza kwa msimu mpya.
Muitaliano huyo ambaye hakuwa na msimu wa kufana alipojiunga na the Reds anasemekana kuwa alifiwa.
The Reds' walirejea katika kambi ya mazoezi siku ya jumatatu baada ya likizo ndefu ya msimu wa jua.
"ningependa kuwashukuru mashabiki wangu wote''
''Familia yangu inawashukuru pia''alisema mshambulizi huyo machachari.

Balotelli mwenye umri wa miaka 24 anatarajiwa kujiunga na kikosi hicho cha Liverpool kabla ya ziara ya kujipima nguvu mashariki ya mbali na Australia.
Tangu ajiunge na the Reds mshambulizi huyo wa zamani wa Manchester City hakunga'ara kama ilivyotarajiwa baada ya kununuliwa kwa kima cha pauni milioni £16m mwezi Agosti.
Alifunga mabao 4 ikiwemo moja pekee katika ligi ya premia na hakuweza kuhakikishiwa nafasi ya timu ya kwanza licha ya kutokuwepo kwa nyota kutoka Uruguay Luis Suarez.

nullBondia Bingwa wa dunia wa uzani wa Welter Floyd Mayweather amepokonywa ukanda alioutwaa baada ya kumchapa Mfilipino Manny Pacquiao mwezi Mei.
Mmarekani huyo mwenye umri wa miaka 38 anadaiwa kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola lakimi mbili $200,000 kabla ya makataa aliyopewa ya tarehe 3 Julai.
Mayweather alitakiwa pia kutoa ukanda wa chipukizi wa WBO punde baada ya kumshinda mfilipino Pacquiao kwa wingi wa alama.
Kufuatia kauli hiyo ya shirikisho la ndondi la WBO, Mayweather hatambuliwi tena kama mshikilizi wa taji hilo.
Floyd Mayweather amepokonywa ukanda alioutwaa baada ya kumchapa Mfilipino Manny Pacquiao mwezi Mei
Taji hilo linashikiliwa na Mmarekani mwenza Timothy Bradley.
Yamkini Mayweather alikuwa ameiahidi WBO kuwa akimshinda Pacquiao,angevua mataji yote ya vijana ilikuwapa mabondia wapya fursa ya kuwania mataji hayo lakini hadi kufikia sasa hajafanya hivyo.
Taarifa yao iliyochapishwa katika mtandao wa wboboxing.comimesema kuwa ''hatukukuwa na lingine baada ya Mayweather kushindwa kutekeleza matakwa yetu.kwa hivyo hatutamtambua mayweather kama mshikilizi wa ukanda huo wa Welter''
Mayweather, ambaye ndiye anayeshikilia mataji ya WBA na WBC ana hadi julai tarehe 20 kukata rufaa ya kauli hiyo.
Hata hivyo Mayweather, ambaye ndiye anayeshikilia mataji ya WBA na WBC ana hadi julai tarehe 20 kukata rufaa ya kauli hiyo.
Mayweather anatarajiwa kuandaa pigano lingine mjini Las Vegas tarehe 12 Septemba, japo haijabainika atazichapa dhidi ya nani.
Wakati hayo yakijiri WBO inapanga pigano la welter linalopangwa kufanyika tarehe 27 kati ya Bradley na Jessie Vargas.

nullBondia Bingwa wa dunia wa uzani wa Welter Floyd Mayweather amepokonywa ukanda alioutwaa baada ya kumchapa Mfilipino Manny Pacquiao mwezi Mei.
Mmarekani huyo mwenye umri wa miaka 38 anadaiwa kushindwa kuilipa shirikisho la ndondi la WBO ada ya dola lakimi mbili $200,000 kabla ya makataa aliyopewa ya tarehe 3 Julai.
Mayweather alitakiwa pia kutoa ukanda wa chipukizi wa WBO punde baada ya kumshinda mfilipino Pacquiao kwa wingi wa alama.
Kufuatia kauli hiyo ya shirikisho la ndondi la WBO, Mayweather hatambuliwi tena kama mshikilizi wa taji hilo.
Floyd Mayweather amepokonywa ukanda alioutwaa baada ya kumchapa Mfilipino Manny Pacquiao mwezi Mei
Taji hilo linashikiliwa na Mmarekani mwenza Timothy Bradley.
Yamkini Mayweather alikuwa ameiahidi WBO kuwa akimshinda Pacquiao,angevua mataji yote ya vijana ilikuwapa mabondia wapya fursa ya kuwania mataji hayo lakini hadi kufikia sasa hajafanya hivyo.
Taarifa yao iliyochapishwa katika mtandao wa wboboxing.comimesema kuwa ''hatukukuwa na lingine baada ya Mayweather kushindwa kutekeleza matakwa yetu.kwa hivyo hatutamtambua mayweather kama mshikilizi wa ukanda huo wa Welter''
Mayweather, ambaye ndiye anayeshikilia mataji ya WBA na WBC ana hadi julai tarehe 20 kukata rufaa ya kauli hiyo.
Hata hivyo Mayweather, ambaye ndiye anayeshikilia mataji ya WBA na WBC ana hadi julai tarehe 20 kukata rufaa ya kauli hiyo.
Mayweather anatarajiwa kuandaa pigano lingine mjini Las Vegas tarehe 12 Septemba, japo haijabainika atazichapa dhidi ya nani.
Wakati hayo yakijiri WBO inapanga pigano la welter linalopangwa kufanyika tarehe 27 kati ya Bradley na Jessie Vargas.

Taarifa za kutoka ndani za kikao cha Maadili kinachoendelea hivi sasa mjini Dodoma kimeonyesha njia Salama kwa baadhi ya Makada wa CCM na pia kuwa kichungu kwa Wengine. Makada wa ccm waliopeta kwa urahisi ni Edward Lowassa, Gharibu Bilal na Asha Rose Migiro.
Makada walio kutana na kikwazo cha kamati ya Maadili ni Bernad Membe ambaye Amekutwa na tuhuma za Rushwa zisizo na kificho katika mtanange wa kusaka Udhamini. Taarifa ya Usalama na TAKUKURU ambao ni walikwa zimefanana bila hiana kwa Baadhi ya Wagombea ambao walidiriki kutumia Rushwa kupata wadhamini wameanikwa bila kificho mkoa kwa mkoa, Wagombea hao ni Bernad Membe , January Makamba , Mwigulu Nchemba, Samweli Sitta, Makongoro Nyerere, Jaji Ramadhan na Magufuli.
Aidha Mwenyekiti wa Chama Amekuwa mkali kuliko matarajio ya wajumbe walivyo dhani kuwa itakuwa, Nape na Mangula wameonekana kuwa wapole mpaka sasa kwani report ya usalama na TAKUKURU inaonyesha kuwatisha na kuwatia Simanzi kinyume na Matarajio kwa mgombea

Taarifa za kutoka ndani za kikao cha Maadili kinachoendelea hivi sasa mjini Dodoma kimeonyesha njia Salama kwa baadhi ya Makada wa CCM na pia kuwa kichungu kwa Wengine. Makada wa ccm waliopeta kwa urahisi ni Edward Lowassa, Gharibu Bilal na Asha Rose Migiro.
Makada walio kutana na kikwazo cha kamati ya Maadili ni Bernad Membe ambaye Amekutwa na tuhuma za Rushwa zisizo na kificho katika mtanange wa kusaka Udhamini. Taarifa ya Usalama na TAKUKURU ambao ni walikwa zimefanana bila hiana kwa Baadhi ya Wagombea ambao walidiriki kutumia Rushwa kupata wadhamini wameanikwa bila kificho mkoa kwa mkoa, Wagombea hao ni Bernad Membe , January Makamba , Mwigulu Nchemba, Samweli Sitta, Makongoro Nyerere, Jaji Ramadhan na Magufuli.
Aidha Mwenyekiti wa Chama Amekuwa mkali kuliko matarajio ya wajumbe walivyo dhani kuwa itakuwa, Nape na Mangula wameonekana kuwa wapole mpaka sasa kwani report ya usalama na TAKUKURU inaonyesha kuwatisha na kuwatia Simanzi kinyume na Matarajio kwa mgombea

Tuesday, 7 July 2015

MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho kwa miaka 10 mfululizo, aliwaambia wananchi kuwa jimbo hilo litakuwa wazi wakati wowote wiki ijayo.
  
“Kama Chadema wana ubavu, waje walikomboe jimbo hili. Mimi ninaifahamu Chadema kuliko mtu yeyote mkoani Katavi kwani nilikuwa Makamu Mwenyekiti (Bara), na sasa nitamuunga mkono yeyote anayefaa kuwa mrithi wangu,” alisema Arfi na kushangiliwa.
  
Mkutano huo uliohudhuriwa na umati mkubwa, ulikuwa chini ya ulinzi mkali wa polisi kutokana na kuzagaa kwa taarifa za kutaka kufanyiwa fujo kwa Mbunge huyo na watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema.
  
Arfi alisema hatogombea tena Mpanda Mjini; “Lakini nipo tayari kuvaa shati la kijani au la zambarau kumpigia debe mgombea yeyote katika jimbo hili. Ninawajua Chadema na kama wakiendelea kunifuatafuata, nitasema yote.”
  
Kauli hiyo ilitafsiriwa kuwa Arfi sasa atafanya kampeni akiwa CCM au ACT Wazalendo dhidi ya Chadema katika Jimbo la Mpanda Mjini, ambalo kabla yake halikuwahi kutawala na Mbunge mmoja kwa miaka 10 mfululizo.
  
Hii ni mara ya kwanza kwa Arfi kuweka hadharani mustakabali wake kisiasa, lakini kauli yake ya kuwa tayari kuvaa shati la kijana inakwenda tofauti na fununu zilizozagaa mjini hapa kuwa huenda akajiunga na ACT Wazalendo, chama kinachoongozwa na swahiba wake, Zitto Kabwe.
  
Ikumbukwe kuwa mara baada ya Chadema kutangaza kumvua nyadhifa zote Zitto takriban miaka miwili iliyopita, mara moja Arfi alitangaza kuajiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi, jana aliwaaga wapiga kura wake akiwaeleza kuwa uanachama wake Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) utakoma mara baada ya kuvunjwa kwa Bunge la 10 mjini Dodoma.

Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Shule ya Msingi Kashato mjini hapa jana, Arfi, aliyekiwakilisha chama hicho kwa miaka 10 mfululizo, aliwaambia wananchi kuwa jimbo hilo litakuwa wazi wakati wowote wiki ijayo.
  
“Kama Chadema wana ubavu, waje walikomboe jimbo hili. Mimi ninaifahamu Chadema kuliko mtu yeyote mkoani Katavi kwani nilikuwa Makamu Mwenyekiti (Bara), na sasa nitamuunga mkono yeyote anayefaa kuwa mrithi wangu,” alisema Arfi na kushangiliwa.
  
Mkutano huo uliohudhuriwa na umati mkubwa, ulikuwa chini ya ulinzi mkali wa polisi kutokana na kuzagaa kwa taarifa za kutaka kufanyiwa fujo kwa Mbunge huyo na watu wanaoaminika kuwa wafuasi wa Chadema.
  
Arfi alisema hatogombea tena Mpanda Mjini; “Lakini nipo tayari kuvaa shati la kijani au la zambarau kumpigia debe mgombea yeyote katika jimbo hili. Ninawajua Chadema na kama wakiendelea kunifuatafuata, nitasema yote.”
  
Kauli hiyo ilitafsiriwa kuwa Arfi sasa atafanya kampeni akiwa CCM au ACT Wazalendo dhidi ya Chadema katika Jimbo la Mpanda Mjini, ambalo kabla yake halikuwahi kutawala na Mbunge mmoja kwa miaka 10 mfululizo.
  
Hii ni mara ya kwanza kwa Arfi kuweka hadharani mustakabali wake kisiasa, lakini kauli yake ya kuwa tayari kuvaa shati la kijana inakwenda tofauti na fununu zilizozagaa mjini hapa kuwa huenda akajiunga na ACT Wazalendo, chama kinachoongozwa na swahiba wake, Zitto Kabwe.
  
Ikumbukwe kuwa mara baada ya Chadema kutangaza kumvua nyadhifa zote Zitto takriban miaka miwili iliyopita, mara moja Arfi alitangaza kuajiuzulu nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema.

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
 
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATAPELI WANAOOMBA RUSHWA KWA KUJITAMBULISHA KAMA VIONGOZI WA ELIMU
Kumejitokeza kundi la watu ambao ni matapeli wanaoomba rushwa kwa kujitambulisha kama viongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kutumia namba za simu zilizoandikishwa kwa kutumia majina ya viongozi hao. Namba hizo hutumika kwa muda na baada ya kufanikisha  lengo lao, watu hao huzifunga na hivyo kutokupatikana tena hewani.
Majina ya viongozi yanayotumika katika utapeli huo ni ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu, Kamishna wa Elimu na ya baadhi ya Wakurugenzi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
Namba hizo za simu hutumika na matapeli hao kwa kuwapigia watu wanaohitaji huduma katika ofisi za elimu na kuwaomba wawatumie  fedha kupitia namba hizo ili kufanikisha upatikanaji wa huduma wanazozihitaji kutoka katika ofisi hizo. Huduma zinazotajwa ni pamoja na kufanikisha usajili wa shule na vyuo.
 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inawatahadharisha wananchi kujiepusha na kundi hili la matapeli na ifahamike kuwa huduma zote zinazotolewa katika ofisi za elimu zikiwemo za usajili wa shule hazitolewi kwa rushwa au malipo ya aina yoyote.
Maelezo kamili kuhusu usajili wa shule yanapatikana katika ofisi za Ukaguzi wa Shule za Wilaya na Kanda na ofisi za Makao Makuu ya Wizara, au chumba namba 21 na 36 hapa wizarani. Tafadhali wasiliana na Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu au Kamishna wa Elimu endapo utapigiwa simu na  mtu  usiyemfahamu atakayejitambulisha kwako na kudai fedha ili afanikishe usajili wa shule au kupata huduma zingine wizarani. Usikubali kudanganywa na kutoa fedha kwa huduma inayopatikana bure.
Imetolewa na:
Katibu Mkuu,
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
02 Julai, 2015

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
 
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU MATAPELI WANAOOMBA RUSHWA KWA KUJITAMBULISHA KAMA VIONGOZI WA ELIMU
Kumejitokeza kundi la watu ambao ni matapeli wanaoomba rushwa kwa kujitambulisha kama viongozi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kutumia namba za simu zilizoandikishwa kwa kutumia majina ya viongozi hao. Namba hizo hutumika kwa muda na baada ya kufanikisha  lengo lao, watu hao huzifunga na hivyo kutokupatikana tena hewani.
Majina ya viongozi yanayotumika katika utapeli huo ni ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Katibu Mkuu, Kamishna wa Elimu na ya baadhi ya Wakurugenzi katika Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.
Namba hizo za simu hutumika na matapeli hao kwa kuwapigia watu wanaohitaji huduma katika ofisi za elimu na kuwaomba wawatumie  fedha kupitia namba hizo ili kufanikisha upatikanaji wa huduma wanazozihitaji kutoka katika ofisi hizo. Huduma zinazotajwa ni pamoja na kufanikisha usajili wa shule na vyuo.
 Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inawatahadharisha wananchi kujiepusha na kundi hili la matapeli na ifahamike kuwa huduma zote zinazotolewa katika ofisi za elimu zikiwemo za usajili wa shule hazitolewi kwa rushwa au malipo ya aina yoyote.
Maelezo kamili kuhusu usajili wa shule yanapatikana katika ofisi za Ukaguzi wa Shule za Wilaya na Kanda na ofisi za Makao Makuu ya Wizara, au chumba namba 21 na 36 hapa wizarani. Tafadhali wasiliana na Katibu Mkuu, Naibu Katibu Mkuu au Kamishna wa Elimu endapo utapigiwa simu na  mtu  usiyemfahamu atakayejitambulisha kwako na kudai fedha ili afanikishe usajili wa shule au kupata huduma zingine wizarani. Usikubali kudanganywa na kutoa fedha kwa huduma inayopatikana bure.
Imetolewa na:
Katibu Mkuu,
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI
02 Julai, 2015

Wednesday, 1 July 2015

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati), akizungumza na wana CCM baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), mjini Dodoma jana. Katika mazungumzo yake alijibu pia maswali kuhusu fedha kutoka Libya. Kulia ni mke wake Dorcas Membe na (kushoto) ni Kada wa CCM, Kapteni mstaafu Alhaj Mohamed Ligola. (Na Mpigapicha Wetu).MAKADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamerejesha fomu na kufafanua mambo kadhaa ambayo yamekuwa yanazungumzwa juu yao kama njia ya kujiweka sawa kabla ya uteuzi kufanywa na vikao vikuu vya chama hicho.
Mmoja wa waliorudisha fomu ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye wakati akirudisha fomu za kuomba kuteuliwa na kusema kuwa wanaochukulia suala la urais ni la kufa au kupona wana matatizo kwani anayejua Rais wa Tanzania ajaye ni Mungu.
Alisema safari yake ya kutafuta wadhamini ilikuwa na misukosuko mingi ikiwemo kutokea ajali tatu lakini hakuna ambaye alikuwa ameumia sana.
Akiwa ameongozana na mke wake, Tunu Pinda alisema mwana CCM mkomavu ni yule ambaye yuko tayari kukubali matokeo.
Alisema mpaka sasa ni wanachama wa CCM 42 waliojitokeza kugombea lakini katika hatua ya kwanza ni majina matano tu yatakayoteuliwa na kundi kubwa litaondolewa.
“Mimi sitegemei kwenye mchujo wa watu watano watokee watu wa kunung’unika kwani kila mtu aliyefika kuchukua fomu alikuwa anafahamu kuwa kutakuwa na mchujo kama tuko wengi wako watano kisha unakwenda ngazi ya pili, hakuna sababu ya kunung’unika,” alisema.
Alisema baadaye kuna kwenda kwenye Mkutano Mkuu atabaki mmoja. “Utanung’unikia nini? Kuna kushinda na kushindwa na kuna kupata na kukosa na ukisema suala la Urais ni kufa au kupona basi una matatizo, ifike mahali wana CCM wapate mtu ambaye wanadhani anaweza kusaidia kuongoza,” alisema.
Pia alisema waliojitokeza mwaka huu kuchukua fomu ni wengi. “Tuliojitokeza tusinuniane, kwa nini haniungi mimi mkono, na wewe usione jambo hili ni nongwa na usijione mapenzi ya Mungu yako kwako tu,” alisema.
Pia aliwataka viongozi wenzake washirikiane kumuunga mkono mgombea mmoja atakayepeperusha bendera ya CCM. “Anayejua rais wa Tanzania atakuwa nani ni Mungu peke yake,” alisema.
Mwakyembe arudisha fomu
Waziri wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe jana alirudisha fomu na kusema CCM itapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu kutokana na kutekeleza ilani yake vizuri na wananchi kuwa na imani kubwa na chama hicho.
Mwakyembe ambaye alirudisha fomu jana mchana alisema katika safari yake ya kutafuta wadhamini mkoani ameweza kuwaona wanachama wengi wa CCM ambao wanaonesha imani kubwa na chama chao.
Alisema kila alipokutana na wana CCM waliojitokeza kumdhamini kwa tathmini aliyofanya tangu kuanza kwa siasa ya vyama vingi nchini CCM, itashinda ushindi wa kimbunga kwani mtaji upo kutokana na kazi kubwa iliyofanya serikali ya awamu ya nne katika utekelezaji wa ilani.
“Tumejipanga kuhakikisha wanaingia kwenye uchaguzi kifua mbele kutokana na kutekeleza ilani,” alisema. Pia alisema kwa upande wa pili wana kazi ya kuhakikisha yote mazuri yaliyofanywa na CCM yanasemwa. “Tuna kazi ya kuhakikisha kuwakumbusha wananchi barabara za lami na mafanikio mengi yamepatikana na serikali ya awamu ya nne ya CCM,” alisema.
Alisema kazi kubwa ni kuhakikisha umma unatambua CCM imefanya mambo mengi kutokana na upotoshaji unaofanywa na wapinzani kuwa CCM haijafanya lolote.
Pia alisema CCM kuwa na wagombea wengi waliojitokeza mwaka huu ni dalili njema za CCM kutoa fursa za kupatikana mmoja ambaye kila moja atamuunga mkono ili kuweza kukivusha chama.
Dk Mwakyembe alisema yuko tayari kumuunga mkono mgombea atakayeteuliwa na chama. Awali alisema amezunguka katika mikoa 15 katika kutafuta wadhamini.
Dk Mwele Malecela
Mwanachama mwingine wa CCM aliyerudisha fomu jana ni Dk Mwele Malecela ambaye alisema pamoja na kazi kubwa iliyofanywa katika uongozi wa awamu nne bado kuna watu wanaoishi kwenye umasikini uliokithiri.
Alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema alifanikiwa kupata wadhamini katika mikoa 20 ikiwemo 17 ya Tanzania bara na mitatu ya Zanzibar.
Alisema wananchi wameonekana kufarijika kuona wanafuatwa kwenye maeneo ya kata walipo. Alisema ameweza kuzunguka mikoa tisa kwa siku nne hali inayoonesha kuwa kazi kubwa imefanyika katika ujenzi wa barabara za lami kuunganisha mikoa.
‘Pamoja na maendeleo na kazi kubwa ya awamu zote bado kuna umasikini uliokithiri lazima kuliangalia suala hilo kama kiongozi na kulitafutia ufumbuzi,” alisema.
Alisema aliguswa sana na wanawake waliojitokeza wakiwemo wazee ambao walikuwa wakitaka kumuona ni mwanamke wa aina gani ambaye anataka kugombea Urais.
“Wanawake wamefurahi sana kuona wanawake tunajitokeza hii ni fursa nzuri ya kuwapa moyo akinamama kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika nchi,” alisema.
Membe
Membe kwa upande wake wakati anarudisha fomu akijibu swali aliloulizwa kuhusu madai ya kuwa anahusika na ufisadi wa fedha za Libya na kama inavyosambazwa na wapinzani wake, alisema akigundulika kuwa alikula hata dola moja yuko tayari kujiuzulu.
“Uvumi kuwa nahusika na mabilioni ya Libya hauna mashiko kabisa baadhi ya wanasiasa wenzangu wanajua ukweli wote huu lakini kwa makusudi wameamua kuniunganisha na kampuni hiyo na kuwaaminisha watu ni yangu au nina hisa maneno hayo ni ya uongo,” alisema.
Alifafanua kuwa Libya ni moja kati ya nchi wafadhili wa Tanzania ambapo, kama ilivyo wafadhili wengine imekuwa ikiipa Tanzania misaada na mikopo yenye masharti nafuu.
Alisema katika utaratibu huo, Tanzania na Libya zilitia sahihi mkataba wa kubadili madeni na kuyaingiza katika miradi ambao uliweka utaratibu wa matumizi na urejeshaji wa fedha za deni la Libya.
Alisema kumbukumbu alizonazo zinabainisha kuwa kabla ya Serikali ya Libya kuweka saini katika mkataba wa nyongeza iliyotaka fedha hizo zikopeshwe kwa kampuni ya Meis, upembuzi yakinifu wa mradi husika ulifanywa kupitia vyombo vyake, na wao wenyewe kujiridhisha juu ya ubora wa mradi huo.
Sumaye na mahakama ya rushwa Naye Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ambaye naye alirejesha fomu alisema akichagulia kuwa Rais wa nchi ataanzisha mahakama maalumu ya wala rushwa.
Mbali na rushwa pia vipaumbele vyake ni pamoja na ufisadi, uhujumu uchumi na kwamba ataunda chombo cha uchunguzi katika masuala hayo.
Pia alisema wakati akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania alifanya mambo makubwa na atahakikisha anaunda serikali inayofahamu kutimiza wajibu wake.
‘Uchumi ninaouzungumzia si wa takwimu ni wa hali halisi, nitaangalia pia maeneo kama viwanda vikubwa na vidogo ili watu wengi waweze kujiajiri na kulinda viwanda vya ndani,” alisema.
Alisema atahakikisha uzalishaji wa viwanda vya ndani unaongezeka na kunakuwa na ongezeko la mauzo ya nje ya nchi. Pia alisema ataimarisha huduma za jamii, ikiwemo elimu, afya upatikanaji wa maji na huduma nyingine muhimu.
Alipohojiwa kama maeneo aliyokwenda kutafuta wadhamini aliombwa rushwa, Sumaye alisema, tangu aanze kazi ya siasa hajawahi kutoa rushwa.
“Hata maeneo ambayo nimekwenda kutafuta wadhamini sijatoa fedha hata zilizodaiwa kwa lugha laini nilikataa kwani nilitaka nidhaminiwe na wale walio na imani na mimi,” alisema.
Alisema wakati akiwa Waziri Mkuu alipambana na wala rushwa ambapo aliweza kuwafukuza kazi watu 3,360 huku wengine 400 walipelekwa mahakamani.
Balozi Mahiga
Balozi Mahiga naye wakati anarejesha fomu alisema ameenda mikoa 15 kwa gari na akawashukuru wana CCM kumlaki na kwamba wamehamasika na wanasubiri kwa hamu uchaguzi.
Alisema kama CCM ikimpitisha kuwa mgombea atahakikisha kuwa anajenga maadili ya uongozi ili kuondokana na vitendo vya rushwa na ufisadi.
Alisema uongozi mzuri ni ule unaojengwa katika misingi ya maadili na atapambana na rushwa ili kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikirudisha nyuma wananchi wengi.
“Nitahakikisha ninaimarisha misingi ya umoja na mshikamano katika nchi ikiwa ni pamoja na kudumisha muungano wa Tanzania na Zanzibar,” alisema.
Joseph Chaggama
Mwanachama mwingine wa CCM aliyerudisha fomu jana ni Joseph Chaggama ambaye alisema amezunguka katika mikoa 17 wakati wa kutafuta wadhamini. Alisema anaijua CCM vizuri na jinsi Serikali inavyoendeshwa.
Alisema yeye ni mmoja wa watu wasiofahamika na sababu ya kuchukua fomu ni nia ya dhati kutoka moyoni kuwa anaweza kuongoza nchi.
Pia alisema uwezekano wa yeye kuchaguliwa lazima kutokee muujiza. Alisema yuko tayari kuwatumikia Watanzania ikiwa atapewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM na akashinda uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Pia alisema yuko tayari kumuunga mkono mgombea ambaye atateuliwa na chama.
Monica Mbega
Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Monica Mbega naye alirudisha fomu na kusema kuwa chama kiliweka utaratibu mzuri wakati wakienda mkoani kupata wadhamini katika mikoa 15 ikiwemo mitatu ya Zanzibar.
Alisema amekamilisha kazi yake kwa ukamilifu bila matatizo na kuwashukuru wanawake wengi waliojitokeza kumuunga mkono.
Alisema suala la rushwa linategemea jinsi mtu alivyokwenda wakati akitafuta wadhamini.
Amos akemea matumizi makubwa ya fedha
Mwingine aliyerudisha fomu hizo jana ni Amosi Siyantemi ambaye ni mtumishi wa CCM wakati ambaye alisema kuwa kwenye mchakato wa kutafuta wadhamini baadhi ya wagombea wameonesha matumizi makubwa ya fedha.
“Ni jambo la kujiuliza fedha hizo wamepata wapi na ni kiasi gani ni lazima wachunguzwe na kuchukuliwa hatua,” alisema Siyantemi.
Pia alisema rushwa ni ugonjwa mbaya unaoiangamiza jamii ni lazima zichukuliwe hatua za haraka na makusudi ili kuweza kukomesha suala hilo kabla nchi haijatumbukia kwenye shimo la machafuko.
Alisema CCM ya sasa si kama ile ya Mwalimu Nyerere. “Tunahitaji kurejesha haraka heshima ya CCM machoni mwa Watanzania na kwenye macho ya Jumuiya ya Kimataifa,” alisema.
Alisema akichaguliwa kuwa Rais atahakikisha kunakuwa na huduma bora za matibabu sanjari na bima ya afya kwa kila Mtanzania, kufanya mabadiliko makubwa kwenye mfumo wa elimu kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kupunguza idadi ya masomo.
Pia alisema atapiga marufuku mauzo na manunuzi yanayofanyika nchini kwa malipo ya dola ambapo malipo ya dola yatafanyika kwa kibali maalumu.
Pia alisema atakuwa na jukumu la kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya sanaa, michezo na burudani yatakayolenga kuwanufaisha kiuchumi wananchi.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (katikati), akizungumza na wana CCM baada ya kurejesha fomu za kuomba kugombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Ofisi za Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), mjini Dodoma jana. Katika mazungumzo yake alijibu pia maswali kuhusu fedha kutoka Libya. Kulia ni mke wake Dorcas Membe na (kushoto) ni Kada wa CCM, Kapteni mstaafu Alhaj Mohamed Ligola. (Na Mpigapicha Wetu).MAKADA maarufu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamerejesha fomu na kufafanua mambo kadhaa ambayo yamekuwa yanazungumzwa juu yao kama njia ya kujiweka sawa kabla ya uteuzi kufanywa na vikao vikuu vya chama hicho.
Mmoja wa waliorudisha fomu ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ambaye wakati akirudisha fomu za kuomba kuteuliwa na kusema kuwa wanaochukulia suala la urais ni la kufa au kupona wana matatizo kwani anayejua Rais wa Tanzania ajaye ni Mungu.
Alisema safari yake ya kutafuta wadhamini ilikuwa na misukosuko mingi ikiwemo kutokea ajali tatu lakini hakuna ambaye alikuwa ameumia sana.
Akiwa ameongozana na mke wake, Tunu Pinda alisema mwana CCM mkomavu ni yule ambaye yuko tayari kukubali matokeo.
Alisema mpaka sasa ni wanachama wa CCM 42 waliojitokeza kugombea lakini katika hatua ya kwanza ni majina matano tu yatakayoteuliwa na kundi kubwa litaondolewa.
“Mimi sitegemei kwenye mchujo wa watu watano watokee watu wa kunung’unika kwani kila mtu aliyefika kuchukua fomu alikuwa anafahamu kuwa kutakuwa na mchujo kama tuko wengi wako watano kisha unakwenda ngazi ya pili, hakuna sababu ya kunung’unika,” alisema.
Alisema baadaye kuna kwenda kwenye Mkutano Mkuu atabaki mmoja. “Utanung’unikia nini? Kuna kushinda na kushindwa na kuna kupata na kukosa na ukisema suala la Urais ni kufa au kupona basi una matatizo, ifike mahali wana CCM wapate mtu ambaye wanadhani anaweza kusaidia kuongoza,” alisema.
Pia alisema waliojitokeza mwaka huu kuchukua fomu ni wengi. “Tuliojitokeza tusinuniane, kwa nini haniungi mimi mkono, na wewe usione jambo hili ni nongwa na usijione mapenzi ya Mungu yako kwako tu,” alisema.
Pia aliwataka viongozi wenzake washirikiane kumuunga mkono mgombea mmoja atakayepeperusha bendera ya CCM. “Anayejua rais wa Tanzania atakuwa nani ni Mungu peke yake,” alisema.
Mwakyembe arudisha fomu
Waziri wa Afrika Mashariki, Dk Harrison Mwakyembe jana alirudisha fomu na kusema CCM itapata ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu kutokana na kutekeleza ilani yake vizuri na wananchi kuwa na imani kubwa na chama hicho.
Mwakyembe ambaye alirudisha fomu jana mchana alisema katika safari yake ya kutafuta wadhamini mkoani ameweza kuwaona wanachama wengi wa CCM ambao wanaonesha imani kubwa na chama chao.
Alisema kila alipokutana na wana CCM waliojitokeza kumdhamini kwa tathmini aliyofanya tangu kuanza kwa siasa ya vyama vingi nchini CCM, itashinda ushindi wa kimbunga kwani mtaji upo kutokana na kazi kubwa iliyofanya serikali ya awamu ya nne katika utekelezaji wa ilani.
“Tumejipanga kuhakikisha wanaingia kwenye uchaguzi kifua mbele kutokana na kutekeleza ilani,” alisema. Pia alisema kwa upande wa pili wana kazi ya kuhakikisha yote mazuri yaliyofanywa na CCM yanasemwa. “Tuna kazi ya kuhakikisha kuwakumbusha wananchi barabara za lami na mafanikio mengi yamepatikana na serikali ya awamu ya nne ya CCM,” alisema.
Alisema kazi kubwa ni kuhakikisha umma unatambua CCM imefanya mambo mengi kutokana na upotoshaji unaofanywa na wapinzani kuwa CCM haijafanya lolote.
Pia alisema CCM kuwa na wagombea wengi waliojitokeza mwaka huu ni dalili njema za CCM kutoa fursa za kupatikana mmoja ambaye kila moja atamuunga mkono ili kuweza kukivusha chama.
Dk Mwakyembe alisema yuko tayari kumuunga mkono mgombea atakayeteuliwa na chama. Awali alisema amezunguka katika mikoa 15 katika kutafuta wadhamini.
Dk Mwele Malecela
Mwanachama mwingine wa CCM aliyerudisha fomu jana ni Dk Mwele Malecela ambaye alisema pamoja na kazi kubwa iliyofanywa katika uongozi wa awamu nne bado kuna watu wanaoishi kwenye umasikini uliokithiri.
Alitoa kauli hiyo wakati wa mkutano wake na waandishi wa habari. Alisema alifanikiwa kupata wadhamini katika mikoa 20 ikiwemo 17 ya Tanzania bara na mitatu ya Zanzibar.
Alisema wananchi wameonekana kufarijika kuona wanafuatwa kwenye maeneo ya kata walipo. Alisema ameweza kuzunguka mikoa tisa kwa siku nne hali inayoonesha kuwa kazi kubwa imefanyika katika ujenzi wa barabara za lami kuunganisha mikoa.
‘Pamoja na maendeleo na kazi kubwa ya awamu zote bado kuna umasikini uliokithiri lazima kuliangalia suala hilo kama kiongozi na kulitafutia ufumbuzi,” alisema.
Alisema aliguswa sana na wanawake waliojitokeza wakiwemo wazee ambao walikuwa wakitaka kumuona ni mwanamke wa aina gani ambaye anataka kugombea Urais.
“Wanawake wamefurahi sana kuona wanawake tunajitokeza hii ni fursa nzuri ya kuwapa moyo akinamama kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika nchi,” alisema.
Membe
Membe kwa upande wake wakati anarudisha fomu akijibu swali aliloulizwa kuhusu madai ya kuwa anahusika na ufisadi wa fedha za Libya na kama inavyosambazwa na wapinzani wake, alisema akigundulika kuwa alikula hata dola moja yuko tayari kujiuzulu.
“Uvumi kuwa nahusika na mabilioni ya Libya hauna mashiko kabisa baadhi ya wanasiasa wenzangu wanajua ukweli wote huu lakini kwa makusudi wameamua kuniunganisha na kampuni hiyo na kuwaaminisha watu ni yangu au nina hisa maneno hayo ni ya uongo,” alisema.
Alifafanua kuwa Libya ni moja kati ya nchi wafadhili wa Tanzania ambapo, kama ilivyo wafadhili wengine imekuwa ikiipa Tanzania misaada na mikopo yenye masharti nafuu.
Alisema katika utaratibu huo, Tanzania na Libya zilitia sahihi mkataba wa kubadili madeni na kuyaingiza katika miradi ambao uliweka utaratibu wa matumizi na urejeshaji wa fedha za deni la Libya.
Alisema kumbukumbu alizonazo zinabainisha kuwa kabla ya Serikali ya Libya kuweka saini katika mkataba wa nyongeza iliyotaka fedha hizo zikopeshwe kwa kampuni ya Meis, upembuzi yakinifu wa mradi husika ulifanywa kupitia vyombo vyake, na wao wenyewe kujiridhisha juu ya ubora wa mradi huo.
Sumaye na mahakama ya rushwa Naye Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye ambaye naye alirejesha fomu alisema akichagulia kuwa Rais wa nchi ataanzisha mahakama maalumu ya wala rushwa.
Mbali na rushwa pia vipaumbele vyake ni pamoja na ufisadi, uhujumu uchumi na kwamba ataunda chombo cha uchunguzi katika masuala hayo.
Pia alisema wakati akiwa Waziri Mkuu wa Tanzania alifanya mambo makubwa na atahakikisha anaunda serikali inayofahamu kutimiza wajibu wake.
‘Uchumi ninaouzungumzia si wa takwimu ni wa hali halisi, nitaangalia pia maeneo kama viwanda vikubwa na vidogo ili watu wengi waweze kujiajiri na kulinda viwanda vya ndani,” alisema.
Alisema atahakikisha uzalishaji wa viwanda vya ndani unaongezeka na kunakuwa na ongezeko la mauzo ya nje ya nchi. Pia alisema ataimarisha huduma za jamii, ikiwemo elimu, afya upatikanaji wa maji na huduma nyingine muhimu.
Alipohojiwa kama maeneo aliyokwenda kutafuta wadhamini aliombwa rushwa, Sumaye alisema, tangu aanze kazi ya siasa hajawahi kutoa rushwa.
“Hata maeneo ambayo nimekwenda kutafuta wadhamini sijatoa fedha hata zilizodaiwa kwa lugha laini nilikataa kwani nilitaka nidhaminiwe na wale walio na imani na mimi,” alisema.
Alisema wakati akiwa Waziri Mkuu alipambana na wala rushwa ambapo aliweza kuwafukuza kazi watu 3,360 huku wengine 400 walipelekwa mahakamani.
Balozi Mahiga
Balozi Mahiga naye wakati anarejesha fomu alisema ameenda mikoa 15 kwa gari na akawashukuru wana CCM kumlaki na kwamba wamehamasika na wanasubiri kwa hamu uchaguzi.
Alisema kama CCM ikimpitisha kuwa mgombea atahakikisha kuwa anajenga maadili ya uongozi ili kuondokana na vitendo vya rushwa na ufisadi.
Alisema uongozi mzuri ni ule unaojengwa katika misingi ya maadili na atapambana na rushwa ili kukomesha vitendo hivyo ambavyo vimekuwa vikirudisha nyuma wananchi wengi.
“Nitahakikisha ninaimarisha misingi ya umoja na mshikamano katika nchi ikiwa ni pamoja na kudumisha muungano wa Tanzania na Zanzibar,” alisema.
Joseph Chaggama
Mwanachama mwingine wa CCM aliyerudisha fomu jana ni Joseph Chaggama ambaye alisema amezunguka katika mikoa 17 wakati wa kutafuta wadhamini. Alisema anaijua CCM vizuri na jinsi Serikali inavyoendeshwa.
Alisema yeye ni mmoja wa watu wasiofahamika na sababu ya kuchukua fomu ni nia ya dhati kutoka moyoni kuwa anaweza kuongoza nchi.
Pia alisema uwezekano wa yeye kuchaguliwa lazima kutokee muujiza. Alisema yuko tayari kuwatumikia Watanzania ikiwa atapewa ridhaa ya kuwa mgombea wa CCM na akashinda uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Pia alisema yuko tayari kumuunga mkono mgombea ambaye atateuliwa na chama.
Monica Mbega
Mbunge wa zamani wa Iringa Mjini, Monica Mbega naye alirudisha fomu na kusema kuwa chama kiliweka utaratibu mzuri wakati wakienda mkoani kupata wadhamini katika mikoa 15 ikiwemo mitatu ya Zanzibar.
Alisema amekamilisha kazi yake kwa ukamilifu bila matatizo na kuwashukuru wanawake wengi waliojitokeza kumuunga mkono.
Alisema suala la rushwa linategemea jinsi mtu alivyokwenda wakati akitafuta wadhamini.
Amos akemea matumizi makubwa ya fedha
Mwingine aliyerudisha fomu hizo jana ni Amosi Siyantemi ambaye ni mtumishi wa CCM wakati ambaye alisema kuwa kwenye mchakato wa kutafuta wadhamini baadhi ya wagombea wameonesha matumizi makubwa ya fedha.
“Ni jambo la kujiuliza fedha hizo wamepata wapi na ni kiasi gani ni lazima wachunguzwe na kuchukuliwa hatua,” alisema Siyantemi.
Pia alisema rushwa ni ugonjwa mbaya unaoiangamiza jamii ni lazima zichukuliwe hatua za haraka na makusudi ili kuweza kukomesha suala hilo kabla nchi haijatumbukia kwenye shimo la machafuko.
Alisema CCM ya sasa si kama ile ya Mwalimu Nyerere. “Tunahitaji kurejesha haraka heshima ya CCM machoni mwa Watanzania na kwenye macho ya Jumuiya ya Kimataifa,” alisema.
Alisema akichaguliwa kuwa Rais atahakikisha kunakuwa na huduma bora za matibabu sanjari na bima ya afya kwa kila Mtanzania, kufanya mabadiliko makubwa kwenye mfumo wa elimu kwa kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kupunguza idadi ya masomo.
Pia alisema atapiga marufuku mauzo na manunuzi yanayofanyika nchini kwa malipo ya dola ambapo malipo ya dola yatafanyika kwa kibali maalumu.
Pia alisema atakuwa na jukumu la kuleta mageuzi makubwa katika sekta ya sanaa, michezo na burudani yatakayolenga kuwanufaisha kiuchumi wananchi.



Brenda Myers-Powell alikua mtoto wakati alipoanza kufanya ukahaba katika miaka ya sabini. Alizaliwa eneo la Chicago, Marekani na mamake mzazi alifariki dunia akiwa na miezi sita pakee.
Hapo ilimlazimu kusalia na bibi yake. Aligundua baadaye kwamba mamake alikufa kutokana na ulevi wa kupindukia.Kwa sababu bibi yake alikua mfanyikazi wa ndani ilimlazimu Brenda kujipeleka shule na kurejea nyumbani wenyewe licha ya kwamba alikua kwenye chekechea.
Baadhi ya watu walimdhulumu kingono mtoto huyo wakati alipokua akitoka chekechea.
Mwanamama huyu alifanya ukahaba kwa miaka 15, wakati huu wote hakuwahi kujiingiza katika mihadarati. Lakini kutokana na mazingira magumu kwenye madanguro ya ukahaba, hakuwa na budi kuanza kutumia mihadarati ili kusahau maisha aliyokua akiishi.
Baadaya ya miaka 25 kama kahaba, siku moja alikutana na mteja ambaye alikua katili.Alimtupa nje ya gari lake huku likienda kwa muendo wa kasi. Brenda alipata majeraha mabaya kiasi cha kupelekwa hospitalini akiwa mahututi.
Lakini madaktari waliokua wakimhudumia walimdhihaki kwamba alipata alichotaka na kumsuta kwamba alikua kahadaa mteja ndiposa akapata adhabu. Hapo wakawaita polisi kumkamata.


nullKAHABA AKIWA KAZINI
Lakini kwa bahati nzuri daktari mmoja alizungumza na Brenda na kumshauri afike katika kituo cha huduma ya jamii maarufu kama Genesis House. Msimamizi wa kituo hiki alikua Bi Edwina Gateley raia wa Uingereza.
Ni katika kituo cha Genesis Brenda alipata maisha mapya na kuanza safari ya kupona machungu, adhabu na kero za ukahaba. Hakupata shinikizo za kuondoka hadi pale alipohakikisha maisha yake yalikua shwari.
Kwa sasa Brenda anawasaidia wanawake na wasichana wanaokimbia ukahaba. Aidha alijaaliwa kuwa na familia, mume na wanawe wawili wa kike. Ana pia wajukuu. Maisha yake ni kuwafundisha soka watoto na kuhakikisha wanaishi kwa maadili mema.
 Makahaba



Brenda Myers-Powell alikua mtoto wakati alipoanza kufanya ukahaba katika miaka ya sabini. Alizaliwa eneo la Chicago, Marekani na mamake mzazi alifariki dunia akiwa na miezi sita pakee.
Hapo ilimlazimu kusalia na bibi yake. Aligundua baadaye kwamba mamake alikufa kutokana na ulevi wa kupindukia.Kwa sababu bibi yake alikua mfanyikazi wa ndani ilimlazimu Brenda kujipeleka shule na kurejea nyumbani wenyewe licha ya kwamba alikua kwenye chekechea.
Baadhi ya watu walimdhulumu kingono mtoto huyo wakati alipokua akitoka chekechea.
Mwanamama huyu alifanya ukahaba kwa miaka 15, wakati huu wote hakuwahi kujiingiza katika mihadarati. Lakini kutokana na mazingira magumu kwenye madanguro ya ukahaba, hakuwa na budi kuanza kutumia mihadarati ili kusahau maisha aliyokua akiishi.
Baadaya ya miaka 25 kama kahaba, siku moja alikutana na mteja ambaye alikua katili.Alimtupa nje ya gari lake huku likienda kwa muendo wa kasi. Brenda alipata majeraha mabaya kiasi cha kupelekwa hospitalini akiwa mahututi.
Lakini madaktari waliokua wakimhudumia walimdhihaki kwamba alipata alichotaka na kumsuta kwamba alikua kahadaa mteja ndiposa akapata adhabu. Hapo wakawaita polisi kumkamata.


nullKAHABA AKIWA KAZINI
Lakini kwa bahati nzuri daktari mmoja alizungumza na Brenda na kumshauri afike katika kituo cha huduma ya jamii maarufu kama Genesis House. Msimamizi wa kituo hiki alikua Bi Edwina Gateley raia wa Uingereza.
Ni katika kituo cha Genesis Brenda alipata maisha mapya na kuanza safari ya kupona machungu, adhabu na kero za ukahaba. Hakupata shinikizo za kuondoka hadi pale alipohakikisha maisha yake yalikua shwari.
Kwa sasa Brenda anawasaidia wanawake na wasichana wanaokimbia ukahaba. Aidha alijaaliwa kuwa na familia, mume na wanawe wawili wa kike. Ana pia wajukuu. Maisha yake ni kuwafundisha soka watoto na kuhakikisha wanaishi kwa maadili mema.
 Makahaba