.

.

Saturday, 30 May 2015

Ni mengi yataongelewa na ktukanwa na kwa wale wasiyopenda mafanikio ya WEKUNDU WA MSIMBAZI. Lakini hayo ni maneno ya wakosaji tu njoo ufunge magoli na wtakusuluti tu! watani zangu mnaongea sana angalieni mtaendelea kuwa mateja, japo mwajifariji eti mkifungwa mnachukua ubingwa msimu huu angalieni mtaambulia zero




0 comments:

Post a Comment