.

.

Tuesday, 26 May 2015



Ama kweli duniani ni mapito, unaweza usiamini kwa macho au masikio yako, lakini hapo kwa waaminio usema kuwa MUNGU ndo wakati wa kujitukuza na sisi binadamu kusema Amina! Ni kama  miezi michache iliyopita baada ya kumpoteza mpendwa wetu (classment kitangiri sec 2001), Mr Briro Maganyi leo tena msiba mwingine umetukuta wa dada yetu Bi Sofia Yamola. Kwa haya yote tunasema jina la Bwana lihimidiw. Binafsi naungana na familia ndugu na marafiki kwa kipindi hiki kigumu cha majonzi na Mwenyezi Mungu atuongoze katika kipindi hiki.

0 comments:

Post a Comment