.

.

Thursday, 31 March 2016

Waungwana kila uchwao kwenye jiji hili na viunga vyake sambamba na maeneo mengi ya nchi.kuna neno wa kimataifa hulisikia likiimbwa..
Waimbaji wakuu wa neno hilo ni washabiki wa yanga wakiongozwa na mpiga zumari wao aliyeacha kazi yake na kujigeuza muimbaji.
Kinyume chake hilo neno klabu ya Simba huitwa wa mchangani au wamatopeni.wengi wananilaumu kuwa kwa nn huwa sijibu neno lolote la ajabu kwa yanga.jibu langu ni jepesi tu.lazma tujitofautishe msemaji wa klabu na mropokaji wa klabu.
Mm hupenda kuzungumzia issues sio porojo au lugha za uchochoroni.haiwezekani nikawa kiongozi kisha nikaongea lugha za mashabiki maandazi.
Kwa hyo mtaniwia radhi wapenzi wa mpira kwa kutokuwa muimbaji wa ngonjera za uchochoroni.always nitabaki msemaji wa klabu kubwa nchini na ntaongea facts kwa kadri zilivyo..

Na wadau zisomeni sifa za kimataifa kwa klabu ya Simba nje ya nchi halaf zifananisheni na timu nyingine nchini
Walau kama zitafikia nusu tunawaruhusu watafute tusi jipya.
Ombi langu kwenu isambazeni taarifa hii ktk kila mtandao wa kijamii kisha waseme wao wanaojiita wa kimataifa.

1.Simba ndio timu ya kwanza nchini kupanda ndege na hii ilikuwa mwaka 1963 tena wakati huo taifa la Tanzania halikuwa limeundwa.ilikwenda Ethiopia kwa mwaliko wa rais wa taifa hilo Haile Selassie
2,Simba ndio timu ya kwanza kuvaa jezi na hii ilikuwa 1938 ilipocheza na kombaini ya mabaharia wa meli zilizotia nanga kwenye bandari ya Dar es salaam
3.Simba ndio timu ya kwanza kuvaa viatu nchini na hii ilikuwa1949 ilipocheza na kombaini ya jeshi la majini navy ya afrika kusini.
4,Simba ndio timu ya kwanza kuwa na basi lake yenyew na hili lilinuliwa mwaka1968.
5.Simba ndio timu ya kwanza kumiliki jengo lake lenyew na hili lilizinduliwa 1971.
6.Simba ndio timu ya kwanza kuwa bingwa wa ligi kuu nchini1966
7,Simba ndio timu ya kwanza kuwakilisha nchi na hii ilikuwa 1967.
8,Simba klabu ya kwanza nchini kwenda ulaya na hii ilikuwa 1974 ilipokwenda Poland .
9.Simba ndio timu ya kwanza kuwa mabingwa wa Afrika mashariki na kati na hii ilikuwa 1974.
10.Simba ndio mabingwa wa kihistoria wa afrika mashariki na kati.ndio timu iliochukua ubingwa mara nyingi kupita klabu yoyote afrika mashariki na kati nzima(champs off all time)
11.Simba ndio timu pekee nchini iliowahi kufika nusu fainali ya klabu bingwa afrika na hii ilikuwa1974.
12,Simba ndio timu pekee nchini na afrika mashariki kufika fainali ya kombe la caf na hii ilikuwa1993.
13.Simba ndio timu inayoshikilia rekodi afrika kama si duniani kwa kufungwa na mufurila wonderes ya Zambia goli nne kwa bila na kwenda kuibamiza tano bila kwao.mbele ya rais wao Kenneth Kaunda.hii haijafanywa na klabu yoyote afrika na nna mashaka duniani.hii ilikuwa 1979.
14.Simba ilicheza ktk hatua ya makundi ya klabu bingwa afrika 2003 kwa mafanikio makubwa kulinganisha na timu yoyote nchini.
15,Simba ndio timu pekee kuivua ubingwa klabu bingwa afrika nadi zamalek hii ilikuwa pia 2003.
16.Simba ndio klabu pekee nchini kuzifunga timu zote za mataifa ya kiarabu.kuanzia
1.waliowatoa mwaka jana etoile du sahel.Tunisia
2,widad Casablanca ya Morocco
3.el setif Algeria
4.el harach Algeria
5.halaf tumezifunga timu zote kubwa za misri.zamalek.al ahly.Arab contractors. Ismailia.mehala al kubra na timu nyingine mnajua huwa inafanywaje ikigusa kule.
6.pia imeshaitoa el merekh ya Sudan 1994 ktk klabu bingwa ya afrika.
7.Simba pia imeshazifunga miamba ya afrika ya afrika magharibi.kuanzia asec.asante kotoko.hafia ya guinea.na hata mabingwa wa kihistoria wa Zambia nkana red devils.
17.tukirudi juu Simba ndio timu ya kwanza kuvaa suti na hii ilikuwa 1974 ilipokwenda Poland.
18.Simba ndio klabu pekee nchini kujenga jengo lake lenyew kwa nguvu za wanachama na washabiki.wenzetu ni mkopo na msaada toka kwa mzee karume100%,Simba ilipewa kiasi flan na mzee karume baada ya jengo kukamilika na hii ilikuwa mwanzoni mwa miaka ya sabini.
19.angalia idadi ya wachezaji wa Simba walioenda ulaya kucheza soka la kulipwa.
Nico njohole
Deo njohole
Kassim matitu
George kulagwa
Huku ikiwa na makumi ya nyota wake kadhaa waliowah kutapakaa sehem mbali mbali duniani.
Nikutajie wachache.
Khalid abeid
Haidar abeid
Martin kikwa
Athman mambosasa
Zamoyoni mogella
Hamis gaga
Lilla shomari
Iddi pazi
Kiwelu mussa
George masatu
Hussein masha na wengine wengi.bila kumsahau nguli wa sasa mbwana samata.mutoto ya msimbazi.
Na hapa kumbukumbu ikae vzuri wazee wangu mm Sunday na kassim manara wakati wanaenda kucheza ulaya hawakuwa wachezaji wa yanga.walikuwa wakicheza pan African.
20.nimalizie kwa kuwaambia FIFA ilizitaja timu bora za karne kwa kila nchi.kwa Tanzania Simba ilitajwa ndio timu bora ya karne na wenye mpira wao FIFA.
Nenda kwenye rekodi za caf ndio utajua nani wa kimataifa baina ya cc na wao.
Porojo za mjini ntakuwa nimezimaliza sasa.na anayebisha abishe kwa data.
Wakoloni wetu walitufundisha hv...
No reaserch no data no right to speak.tafsiri isio rasmi.hujafanya utafiti na huna takwimu funga bakuli lako.
Asanteni na nendeni mkawaambie.
Haji S Manara
Msemaji wa klabu bora ya muda wote Tanzania (best club of all time)
Ukiona errors zipotezee jadili issues na nnaruhusu challenges kama zipo
Porojo peleka kuleeeeeee..

Adiosssssssss

Waungwana kila uchwao kwenye jiji hili na viunga vyake sambamba na maeneo mengi ya nchi.kuna neno wa kimataifa hulisikia likiimbwa..
Waimbaji wakuu wa neno hilo ni washabiki wa yanga wakiongozwa na mpiga zumari wao aliyeacha kazi yake na kujigeuza muimbaji.
Kinyume chake hilo neno klabu ya Simba huitwa wa mchangani au wamatopeni.wengi wananilaumu kuwa kwa nn huwa sijibu neno lolote la ajabu kwa yanga.jibu langu ni jepesi tu.lazma tujitofautishe msemaji wa klabu na mropokaji wa klabu.
Mm hupenda kuzungumzia issues sio porojo au lugha za uchochoroni.haiwezekani nikawa kiongozi kisha nikaongea lugha za mashabiki maandazi.
Kwa hyo mtaniwia radhi wapenzi wa mpira kwa kutokuwa muimbaji wa ngonjera za uchochoroni.always nitabaki msemaji wa klabu kubwa nchini na ntaongea facts kwa kadri zilivyo..

Na wadau zisomeni sifa za kimataifa kwa klabu ya Simba nje ya nchi halaf zifananisheni na timu nyingine nchini
Walau kama zitafikia nusu tunawaruhusu watafute tusi jipya.
Ombi langu kwenu isambazeni taarifa hii ktk kila mtandao wa kijamii kisha waseme wao wanaojiita wa kimataifa.

1.Simba ndio timu ya kwanza nchini kupanda ndege na hii ilikuwa mwaka 1963 tena wakati huo taifa la Tanzania halikuwa limeundwa.ilikwenda Ethiopia kwa mwaliko wa rais wa taifa hilo Haile Selassie
2,Simba ndio timu ya kwanza kuvaa jezi na hii ilikuwa 1938 ilipocheza na kombaini ya mabaharia wa meli zilizotia nanga kwenye bandari ya Dar es salaam
3.Simba ndio timu ya kwanza kuvaa viatu nchini na hii ilikuwa1949 ilipocheza na kombaini ya jeshi la majini navy ya afrika kusini.
4,Simba ndio timu ya kwanza kuwa na basi lake yenyew na hili lilinuliwa mwaka1968.
5.Simba ndio timu ya kwanza kumiliki jengo lake lenyew na hili lilizinduliwa 1971.
6.Simba ndio timu ya kwanza kuwa bingwa wa ligi kuu nchini1966
7,Simba ndio timu ya kwanza kuwakilisha nchi na hii ilikuwa 1967.
8,Simba klabu ya kwanza nchini kwenda ulaya na hii ilikuwa 1974 ilipokwenda Poland .
9.Simba ndio timu ya kwanza kuwa mabingwa wa Afrika mashariki na kati na hii ilikuwa 1974.
10.Simba ndio mabingwa wa kihistoria wa afrika mashariki na kati.ndio timu iliochukua ubingwa mara nyingi kupita klabu yoyote afrika mashariki na kati nzima(champs off all time)
11.Simba ndio timu pekee nchini iliowahi kufika nusu fainali ya klabu bingwa afrika na hii ilikuwa1974.
12,Simba ndio timu pekee nchini na afrika mashariki kufika fainali ya kombe la caf na hii ilikuwa1993.
13.Simba ndio timu inayoshikilia rekodi afrika kama si duniani kwa kufungwa na mufurila wonderes ya Zambia goli nne kwa bila na kwenda kuibamiza tano bila kwao.mbele ya rais wao Kenneth Kaunda.hii haijafanywa na klabu yoyote afrika na nna mashaka duniani.hii ilikuwa 1979.
14.Simba ilicheza ktk hatua ya makundi ya klabu bingwa afrika 2003 kwa mafanikio makubwa kulinganisha na timu yoyote nchini.
15,Simba ndio timu pekee kuivua ubingwa klabu bingwa afrika nadi zamalek hii ilikuwa pia 2003.
16.Simba ndio klabu pekee nchini kuzifunga timu zote za mataifa ya kiarabu.kuanzia
1.waliowatoa mwaka jana etoile du sahel.Tunisia
2,widad Casablanca ya Morocco
3.el setif Algeria
4.el harach Algeria
5.halaf tumezifunga timu zote kubwa za misri.zamalek.al ahly.Arab contractors. Ismailia.mehala al kubra na timu nyingine mnajua huwa inafanywaje ikigusa kule.
6.pia imeshaitoa el merekh ya Sudan 1994 ktk klabu bingwa ya afrika.
7.Simba pia imeshazifunga miamba ya afrika ya afrika magharibi.kuanzia asec.asante kotoko.hafia ya guinea.na hata mabingwa wa kihistoria wa Zambia nkana red devils.
17.tukirudi juu Simba ndio timu ya kwanza kuvaa suti na hii ilikuwa 1974 ilipokwenda Poland.
18.Simba ndio klabu pekee nchini kujenga jengo lake lenyew kwa nguvu za wanachama na washabiki.wenzetu ni mkopo na msaada toka kwa mzee karume100%,Simba ilipewa kiasi flan na mzee karume baada ya jengo kukamilika na hii ilikuwa mwanzoni mwa miaka ya sabini.
19.angalia idadi ya wachezaji wa Simba walioenda ulaya kucheza soka la kulipwa.
Nico njohole
Deo njohole
Kassim matitu
George kulagwa
Huku ikiwa na makumi ya nyota wake kadhaa waliowah kutapakaa sehem mbali mbali duniani.
Nikutajie wachache.
Khalid abeid
Haidar abeid
Martin kikwa
Athman mambosasa
Zamoyoni mogella
Hamis gaga
Lilla shomari
Iddi pazi
Kiwelu mussa
George masatu
Hussein masha na wengine wengi.bila kumsahau nguli wa sasa mbwana samata.mutoto ya msimbazi.
Na hapa kumbukumbu ikae vzuri wazee wangu mm Sunday na kassim manara wakati wanaenda kucheza ulaya hawakuwa wachezaji wa yanga.walikuwa wakicheza pan African.
20.nimalizie kwa kuwaambia FIFA ilizitaja timu bora za karne kwa kila nchi.kwa Tanzania Simba ilitajwa ndio timu bora ya karne na wenye mpira wao FIFA.
Nenda kwenye rekodi za caf ndio utajua nani wa kimataifa baina ya cc na wao.
Porojo za mjini ntakuwa nimezimaliza sasa.na anayebisha abishe kwa data.
Wakoloni wetu walitufundisha hv...
No reaserch no data no right to speak.tafsiri isio rasmi.hujafanya utafiti na huna takwimu funga bakuli lako.
Asanteni na nendeni mkawaambie.
Haji S Manara
Msemaji wa klabu bora ya muda wote Tanzania (best club of all time)
Ukiona errors zipotezee jadili issues na nnaruhusu challenges kama zipo
Porojo peleka kuleeeeeee..

Adiosssssssss

📰7⃣6⃣5⃣: Rumour💬: Arsenal in for Mou ⁉

Jose Mourinho might well be going back to London😳 after this season‼ Rumours claim that the 'Special One' who is heavily linked with the 🔴Red Devils is, in fact, going to London to manage the Gunners🔫 next season. It seems like the Arsenal management is getting frustrated😒 due to the underachievement under Wenger. Meanwhile, the uncertainty at Old Trafford about Louis Van Gaal's future is being seen👀 as an opportunity by the Gunners to lure Mourinho. Nothing is confirmed yet but there is a possibility🤔 that Mourinho will succeed Wenger at Arsenal🔫.


Type 👍 765 to 'like'

📰7⃣6⃣5⃣: Rumour💬: Arsenal in for Mou ⁉

Jose Mourinho might well be going back to London😳 after this season‼ Rumours claim that the 'Special One' who is heavily linked with the 🔴Red Devils is, in fact, going to London to manage the Gunners🔫 next season. It seems like the Arsenal management is getting frustrated😒 due to the underachievement under Wenger. Meanwhile, the uncertainty at Old Trafford about Louis Van Gaal's future is being seen👀 as an opportunity by the Gunners to lure Mourinho. Nothing is confirmed yet but there is a possibility🤔 that Mourinho will succeed Wenger at Arsenal🔫.


Type 👍 765 to 'like'

Tuesday, 29 March 2016

Barca

 Messi captain of Arg.🇦🇷

 Neymer captain of Bra.🇧🇷

 Suarez captain of Uru.🇺🇾

Rakitic captain of. Cro.🇭🇷

 Bravo captain of. Chile🇨🇱

Iniesta.captain of spain🇪🇸

Arda Turan captain of Turkey

Wat can u do to such a team
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜.
These guys are over qualified for football. They should be taken to rugby

Barca

 Messi captain of Arg.🇦🇷

 Neymer captain of Bra.🇧🇷

 Suarez captain of Uru.🇺🇾

Rakitic captain of. Cro.🇭🇷

 Bravo captain of. Chile🇨🇱

Iniesta.captain of spain🇪🇸

Arda Turan captain of Turkey

Wat can u do to such a team
😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜😜.
These guys are over qualified for football. They should be taken to rugby

Saturday, 26 March 2016

Luis Suarez alifunga bao la pili na kuisawazishia Uruguay katika kipindi cha pili katika droo ya 2-2 dhidi ya Brazil katika mechi yake ya kwanza ya kimataifa tangu apigwe marufuku kwa kumng'ata mchezaji mwenzake katika kombe la dunia la mwaka 2014.
Mshambuliaji huyo wa Barcelona alikuwa hajaichezea Uruguay katika mechi ya kimataifa kwa takriban siku 640 kabla ya mechi ya kufuzu ya kombe la dunia siku ya Ijumaa.
Douglas Costa aliifungia Brazil baada ya sekunde 39 kabla ya Renato Augusto kuongeza uongozi huo katika dakika ya 26.
Hatahivyo Edison Cavani aliifungia Uruguay bao la kwanza kabla ya Suarez kufunga la pili baada ya kipindi cha kwanza.
Suarez ambaye alikiongoza kikosi hicho katika uwanja wa Itapeva Arena Pernambuco,alimng'ata sikio mlinzi wa timu ya Italy Giorgio Chiellini wakati wa mechi ya mwisho ya kimakundi katika kombe la dunia mnamo mwezi Juni mwaka 2014.

Luis Suarez alifunga bao la pili na kuisawazishia Uruguay katika kipindi cha pili katika droo ya 2-2 dhidi ya Brazil katika mechi yake ya kwanza ya kimataifa tangu apigwe marufuku kwa kumng'ata mchezaji mwenzake katika kombe la dunia la mwaka 2014.
Mshambuliaji huyo wa Barcelona alikuwa hajaichezea Uruguay katika mechi ya kimataifa kwa takriban siku 640 kabla ya mechi ya kufuzu ya kombe la dunia siku ya Ijumaa.
Douglas Costa aliifungia Brazil baada ya sekunde 39 kabla ya Renato Augusto kuongeza uongozi huo katika dakika ya 26.
Hatahivyo Edison Cavani aliifungia Uruguay bao la kwanza kabla ya Suarez kufunga la pili baada ya kipindi cha kwanza.
Suarez ambaye alikiongoza kikosi hicho katika uwanja wa Itapeva Arena Pernambuco,alimng'ata sikio mlinzi wa timu ya Italy Giorgio Chiellini wakati wa mechi ya mwisho ya kimakundi katika kombe la dunia mnamo mwezi Juni mwaka 2014.

Adi Yussuf ni mtanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya daraja la pili Uingereza kwenye klabu ya Mansfield Town. Adi pia amekulia katika klabu ya Leicester City ila kwa sasa yupo Tanzania kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Chad wa kuwania kufuzu michuano AFCON 2017 Gabon.
“Ni kweli mwanzo ilikuwa ngumu kwa klabu yangu ya Mansfield Town kuniruhusu nije Tanzania kwa sababu ilikuwa tunahitaji kupandisha timu, ila sasa wameniruhusu nije kuchezea timu yangu ya taifa” >>> Adi Yussuf

Adi Yussuf ni mtanzania anayecheza soka la kulipwa katika klabu ya daraja la pili Uingereza kwenye klabu ya Mansfield Town. Adi pia amekulia katika klabu ya Leicester City ila kwa sasa yupo Tanzania kwa ajili ya mchezo wa marudiano dhidi ya Chad wa kuwania kufuzu michuano AFCON 2017 Gabon.
“Ni kweli mwanzo ilikuwa ngumu kwa klabu yangu ya Mansfield Town kuniruhusu nije Tanzania kwa sababu ilikuwa tunahitaji kupandisha timu, ila sasa wameniruhusu nije kuchezea timu yangu ya taifa” >>> Adi Yussuf

Sunday, 20 March 2016


Brazil's Firmino 
Roberto Firmino of Liverpool celebrates his goal during the UEFA Europa League Round of 16: first leg match between Liverpool and Manchester United on March 10, 2016 in Liverpool, United Kingdom. (Photo by John Powell/Liverpool FC via Getty Images)
Liverpool will be without Roberto Firmino for their Premier League trip to St Mary’s to face Southampton on Sunday.
The Brazilian has suffered a hamstring injury and will be assessed during the international break.
The news broke after the Brazilian FA today reported that the Liverpool player had been pulled out of the Brazil squad for the forthcoming World Cup qualifiers.
The Benfica player Jonas has been called up to replace the Reds man.
At first it was thought the injury was not serious with some translations suggestions "bruising" but the ECHO can confirm it is a hamstring problem.
It is of course not the first hamstring problem Liverpool have suffered this season with Philippe Coutinho, Dejan Lovren, Martin Skrtel, Divock Origi, Daniel Sturridge and Jordan Rossiter all suffering similar problems at some stage.
It prompted Jurgen Klopp to call it the "s*** word of the year' back in December.
The statement on the Brazil FA website said: “The striker Jonas, of Benfica, is summoned for the matches against Uruguay (March 25, at the Arena Pernambuco) and Paraguay (March 29, in the Defensores del Chaco in Asunción).



Brazil's Firmino
Firmino was replaced after 85 minutes on Thursday at Old Trafford but that appeared to be an entirely tactical late change from Jurgen Klopp.
The 24-year-old was not originally selected in the Brazil squad but was given a call-up after a withdrawal.
Firmino has been one of the form players of the Premier League since the turn of the year, scoring seven goals with another in the Europa League against Manchester United.


Brazil's Firmino 
Roberto Firmino of Liverpool celebrates his goal during the UEFA Europa League Round of 16: first leg match between Liverpool and Manchester United on March 10, 2016 in Liverpool, United Kingdom. (Photo by John Powell/Liverpool FC via Getty Images)
Liverpool will be without Roberto Firmino for their Premier League trip to St Mary’s to face Southampton on Sunday.
The Brazilian has suffered a hamstring injury and will be assessed during the international break.
The news broke after the Brazilian FA today reported that the Liverpool player had been pulled out of the Brazil squad for the forthcoming World Cup qualifiers.
The Benfica player Jonas has been called up to replace the Reds man.
At first it was thought the injury was not serious with some translations suggestions "bruising" but the ECHO can confirm it is a hamstring problem.
It is of course not the first hamstring problem Liverpool have suffered this season with Philippe Coutinho, Dejan Lovren, Martin Skrtel, Divock Origi, Daniel Sturridge and Jordan Rossiter all suffering similar problems at some stage.
It prompted Jurgen Klopp to call it the "s*** word of the year' back in December.
The statement on the Brazil FA website said: “The striker Jonas, of Benfica, is summoned for the matches against Uruguay (March 25, at the Arena Pernambuco) and Paraguay (March 29, in the Defensores del Chaco in Asunción).



Brazil's Firmino
Firmino was replaced after 85 minutes on Thursday at Old Trafford but that appeared to be an entirely tactical late change from Jurgen Klopp.
The 24-year-old was not originally selected in the Brazil squad but was given a call-up after a withdrawal.
Firmino has been one of the form players of the Premier League since the turn of the year, scoring seven goals with another in the Europa League against Manchester United.