.

.

Thursday, 6 August 2015



Ama kweli Mbeya City msimu huu imepania, kwani imetangaza kula sahani moja na Yanga katika maandalizi yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Unajua ikoje? Uongozi wa timu hiyo umesema unajua Yanga na Azam zimejifua vilivyo kupitia Kagame, lakini hiyo haiwapi shida kwani nao watatumia wiki zilizosalia kufanya yao mapema ili wafunike katika ligi.
Uongozi huo umesema moja ya mikakati yao ni kucheza mechi kadhaa za kimataifa na klabu toka nje ya nchi za Zesco ya Zambia na Bata Bullets ya Malawi ambazo zitacheza pia na Yanga hivi karibuni jijini Mbeya.
Kabla ya kucheza mechi hizo za kirafiki za kimataifa, Mbeya City itaanza na Yanga, Agosti 18, jijini Mbeya ambako Wanajangwani wataweka kambi kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam.
Katibu Mkuu wa timu hiyo, Emmanuel Kimbe alisema wapo kwenye mazungumzo na timu hizo ambazo pia zitacheza mechi za kirafiki na Yanga na kwamba wana asilimia kubwa ya kufanikisha mpango huo.
“Tunajua changamoto ambazo tutakabiliana nazo kwa Yanga na Azam, katika ligi maana hizo zimepata muda wa kujipima uwezo kwenye Kagame ndio maana tunataka kujifua kupitia timu zenye uwezo,” alisema.
Kimbe alisema pia katika mechi hizo zitawasaidia kujua uwezo wa wachezaji wao na kutambua kombeneshani, hivyo wanajifanya mazoezi kuhakikisha kile wanachokitarajia kinatimia.



Ama kweli Mbeya City msimu huu imepania, kwani imetangaza kula sahani moja na Yanga katika maandalizi yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Unajua ikoje? Uongozi wa timu hiyo umesema unajua Yanga na Azam zimejifua vilivyo kupitia Kagame, lakini hiyo haiwapi shida kwani nao watatumia wiki zilizosalia kufanya yao mapema ili wafunike katika ligi.
Uongozi huo umesema moja ya mikakati yao ni kucheza mechi kadhaa za kimataifa na klabu toka nje ya nchi za Zesco ya Zambia na Bata Bullets ya Malawi ambazo zitacheza pia na Yanga hivi karibuni jijini Mbeya.
Kabla ya kucheza mechi hizo za kirafiki za kimataifa, Mbeya City itaanza na Yanga, Agosti 18, jijini Mbeya ambako Wanajangwani wataweka kambi kwa ajili ya kujiandaa na mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Azam.
Katibu Mkuu wa timu hiyo, Emmanuel Kimbe alisema wapo kwenye mazungumzo na timu hizo ambazo pia zitacheza mechi za kirafiki na Yanga na kwamba wana asilimia kubwa ya kufanikisha mpango huo.
“Tunajua changamoto ambazo tutakabiliana nazo kwa Yanga na Azam, katika ligi maana hizo zimepata muda wa kujipima uwezo kwenye Kagame ndio maana tunataka kujifua kupitia timu zenye uwezo,” alisema.
Kimbe alisema pia katika mechi hizo zitawasaidia kujua uwezo wa wachezaji wao na kutambua kombeneshani, hivyo wanajifanya mazoezi kuhakikisha kile wanachokitarajia kinatimia.


Wachezaji saba; Jonas Mkude, Abdi Banda, Peter Mwalyanzi, Mwinyi Kazimoto, Said Ndemla, Awadh Juma na Emmanuel Mtambuka wote hawapumui huku wakiletewa tena Mzimbabwe Justine Majabvi ambaye inaelezwa kwamba muda wowote huenda akamwaga wino Msimbazi.

SIMBA inatarajiwa kurejea leo Alhamisi jijini Dar es Salaam baada ya wiki mbili za kujifua visiwani Zanzibar, lakini tayari wachezaji wa timu hiyo hasa viungo wakiwa kwenye vita kubwa ya kuwania namba.
Ushindani mkubwa uliopo katika nafasi hiyo umewafanya wachezaji hao kuwa macho kwa hofu kwamba mtu akizubaa tu, lazima ile kwake.
Wachezaji saba; Jonas Mkude, Abdi Banda, Peter Mwalyanzi, Mwinyi Kazimoto, Said Ndemla, Awadh Juma na Emmanuel Mtambuka wote hawapumui huku wakiletewa tena Mzimbabwe Justine Majabvi ambaye inaelezwa kwamba muda wowote huenda akamwaga wino Msimbazi.
Baadhi ya wachezaji hao wamekiri kwamba ndani ya Simba kwa sasa ni amsha amsha mwanzo mwisho na hakuna kulala kwa sababu ushindani ni mkubwa na kila mmoja anapenda kumridhisha kocha, Dylan Kerr.
Mkude ambaye ni miongoni mwa wanaocheza kati sambamba na Ndemla na Mtambuka, alisema Msimbazi kwa sasa hakulaliki kwa namna ushindani ulivyoongezeka huku viungo wa pembeni Mwalyanzi na Awadh Juma ambao wanamudu vyema kucheza kwenye nafasi mbalimbali za kiungo, nao wakisema hivyo hivyo.
“Haitakuwa rahisi kwa mchezaji yeyote kupata namba kama hatojituma kwenye mazoezi, hii ni kwa sababu kila mchezaji ana hamu ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza cha Simba,” alisema Mkude.
Hata hivyo jambo hilo limemfurahisha Kerr aliyesema kuwa ushindani na uwepo wa viungo wengi, unampa nafasi ya kupata ushindi kwenye kila mchezo.
“Nina viungo wengi, hii ndiyo silaha yangu ya ushindi. Kwanza nataka ushindani, lakini pia nataka niwe na uwezo wa kutumia viungo nitakavyo ninapokuwa nikitumia mifumo mbalimbali tofauti. Kama mchezo utahitaji viungo watano basi nitakuwa nao, kama ni wanne au watatu basi natakiwa kuwa nao ambao ni imara,” alisema Kerr.
VIONGOZI WATIBUA
Katika hatua nyingine, Kocha wa Viungo wa timu hiyo, Mserbia Dusan Momcilovic akichukizwa na ongezeko la wachezaji wapya kwenye kikosi chake Kerr akisema hatamwonea haya yeyote atakayeshindwa kuonesha uwezo ndani ya kipindi hiki.
Kerr alisema: “Wachezaji wanazidi kuja, sijapendekeza yeyote, lakini niko tayari kuwaangalia na ambaye hataniridhisha sitamkubali.
“Mfano ikitokea yeyote akashindwa kuonesha uwezo sitaweza kuwa naye. Nataka mchezaji mwenye kiwango kizuri, mwenye uwezo mkubwa wa kuisaidia Simba na awe wa kuitendea haki jezi ya Simba.”
1 |


Wachezaji saba; Jonas Mkude, Abdi Banda, Peter Mwalyanzi, Mwinyi Kazimoto, Said Ndemla, Awadh Juma na Emmanuel Mtambuka wote hawapumui huku wakiletewa tena Mzimbabwe Justine Majabvi ambaye inaelezwa kwamba muda wowote huenda akamwaga wino Msimbazi.

SIMBA inatarajiwa kurejea leo Alhamisi jijini Dar es Salaam baada ya wiki mbili za kujifua visiwani Zanzibar, lakini tayari wachezaji wa timu hiyo hasa viungo wakiwa kwenye vita kubwa ya kuwania namba.
Ushindani mkubwa uliopo katika nafasi hiyo umewafanya wachezaji hao kuwa macho kwa hofu kwamba mtu akizubaa tu, lazima ile kwake.
Wachezaji saba; Jonas Mkude, Abdi Banda, Peter Mwalyanzi, Mwinyi Kazimoto, Said Ndemla, Awadh Juma na Emmanuel Mtambuka wote hawapumui huku wakiletewa tena Mzimbabwe Justine Majabvi ambaye inaelezwa kwamba muda wowote huenda akamwaga wino Msimbazi.
Baadhi ya wachezaji hao wamekiri kwamba ndani ya Simba kwa sasa ni amsha amsha mwanzo mwisho na hakuna kulala kwa sababu ushindani ni mkubwa na kila mmoja anapenda kumridhisha kocha, Dylan Kerr.
Mkude ambaye ni miongoni mwa wanaocheza kati sambamba na Ndemla na Mtambuka, alisema Msimbazi kwa sasa hakulaliki kwa namna ushindani ulivyoongezeka huku viungo wa pembeni Mwalyanzi na Awadh Juma ambao wanamudu vyema kucheza kwenye nafasi mbalimbali za kiungo, nao wakisema hivyo hivyo.
“Haitakuwa rahisi kwa mchezaji yeyote kupata namba kama hatojituma kwenye mazoezi, hii ni kwa sababu kila mchezaji ana hamu ya kucheza kwenye kikosi cha kwanza cha Simba,” alisema Mkude.
Hata hivyo jambo hilo limemfurahisha Kerr aliyesema kuwa ushindani na uwepo wa viungo wengi, unampa nafasi ya kupata ushindi kwenye kila mchezo.
“Nina viungo wengi, hii ndiyo silaha yangu ya ushindi. Kwanza nataka ushindani, lakini pia nataka niwe na uwezo wa kutumia viungo nitakavyo ninapokuwa nikitumia mifumo mbalimbali tofauti. Kama mchezo utahitaji viungo watano basi nitakuwa nao, kama ni wanne au watatu basi natakiwa kuwa nao ambao ni imara,” alisema Kerr.
VIONGOZI WATIBUA
Katika hatua nyingine, Kocha wa Viungo wa timu hiyo, Mserbia Dusan Momcilovic akichukizwa na ongezeko la wachezaji wapya kwenye kikosi chake Kerr akisema hatamwonea haya yeyote atakayeshindwa kuonesha uwezo ndani ya kipindi hiki.
Kerr alisema: “Wachezaji wanazidi kuja, sijapendekeza yeyote, lakini niko tayari kuwaangalia na ambaye hataniridhisha sitamkubali.
“Mfano ikitokea yeyote akashindwa kuonesha uwezo sitaweza kuwa naye. Nataka mchezaji mwenye kiwango kizuri, mwenye uwezo mkubwa wa kuisaidia Simba na awe wa kuitendea haki jezi ya Simba.”
1 |

Rais Jakaya Kikwete akiwa na majaji wapya 13 wa Mahakama Kuu na mmoja wa Mahakama ya Rufaa baada ya kuwaapisha Ikulu, Dar es Salaam jana. Kutoka kulia (wenye suti nyeusi) ni Waziri wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro, Jaji Kiongozi, Shaban Lila, Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (kushoto). (Na Mpigapicha Wetu).
Rais Jakaya Kikwete akiwa na Majaji 13 wa Mahakama Kuu na mmoja wa Mahakama ya Rufaa  baada ya kuwaapisha Ikulu, Dar es Salaam jana. Kutoka kulia (wenye suti nyeusi) ni Waziri wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro, Jaji Kiongozi, Shaban Lila, Jaji Mkuu, Mohamedi Chande Otman na Katibu Mkuu Kiongozi Omben Sefu.

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Othman Chande amesema kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa mara kwa mara wa majaji nchini, kimeongezea kwa kiasi kikubwa utendaji wa Idara ya Mahakama na hadi sasa kuna Majaji takribani 100, jambo ambalo halijawahi kutokea miaka ya nyuma.
Aidha, ameahidi kutokana na wingi wao, sasa wana uhakika wa kuongeza uchapaji kazi na kwa kuanzia, wameweka lengo kwamba, kesi zote katika Mahakama Kuu na Mahakama ya Biashara zisiendeshwe zaidi ya miezi 10.
Jaji Chande alikuwa akizungumza na waandishi wa habari Ikulu, Dar es Salaam jana mara baada ya Rais Kikwete kuapisha Majaji wa Mahakama Kuu 13 na Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani. “Tunamshukuru Rais kwa ongezeko hili la majaji ambalo sasa linaifanya Tanzania kuwa na majaji 100, hawa ni wengi haijawahi kutokea,” alisisitiza.
Alisema ongezeko hilo, litasaidia sekta hiyo kushughulikia tatizo la mlundikano wa kesi hasa katika kanda za Mahakama Kuu, ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikielemewa na kesi nyingi.
Alitaja kanda ambazo zina mzigo wa kesi nyingi, ambazo sasa zitapunguziwa mzigo huo kutokana na ongezeko hilo la majaji kuwa ni Kanda ya Mahakama Kuu ya Bukoba, ambayo Jaji mmoja alikuwa akishughulikia kesi 3,000 na Mwanza jaji mmoja kesi 600.
Aidha, alisema ongezeko hilo litasaidia maeneo mengine yenye kesi nyingi pia, ambayo ni Tabora na vitengo vya Mahakama Kuu kama vile Idara ya kazi, Ardhi na Biashara. Alisema tayari sekta ya Mahakama ilishajiwekea mikakati ya kushughulikia changamoto zinazoikabili sekta hiyo, ikiwa ni pamoja na kubadilisha ratiba, ambapo kwa upande wa Majaji walipangiwa Jaji mmoja sasa kusikiliza kesi 220, Hakimu Mkazi wa wilaya na Mkoa kesi 250 na Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo kesi 260.
“Kila Mahakama pia imewekewa malengo yake na lengo kubwa ni kuhakikisha kesi hazichukui muda mrefu kusikilizwa, kwa mfano kwa mujibu wa mabadiliko haya kitengo cha Biashara cha Mahakama Kuu kesi zake hazitosikilizwa kwa muda wa zaidi ya miezi 10 hadi mwaka mmoja,” alisisitiza.
Aliwataka majaji walioteuliwa na kuapishwa jana kutambua kuwa waliteuliwa katika nyadhifa hizo, kutokana na utendaji, uzoefu na uadilifu wao, hivyo wanapaswa kuhakikisha wanadumisha sifa hizo katika utendaji wao.
Alisema kabla ya majaji hao hawajaanza rasmi kazi, wataandaliwa mafunzo maalum ili waweze kuendana na utaratibu wa kimahakama kwa kuwa kati ya majaji hao, watano walikuwa mawakili wa kujitegemea, watano mawakili wa Serikali na watano walikuwa mahakamani.
Akizungumzia suala la uchaguzi, Chande, alisema tayari wamejipanga kuhakikisha kuwa kesi za uchaguzi zinasikilizwa kwa haki na muda ambapo hazitosikilizwa kwa zaidi ya miezi sita.
Kuhusu Majaji waliotuhumiwa kupatiwa mgawo wa fedha za akaunti ya Escrow, alisema tume iliyoundwa kufanya uchunguzi na upelelezi, tayari imekamisha upelelezi wake wa awali na itakapokamilisha kuuandaa, itaukabidhi rasmi kwa mamlaka ya uteuzi (Rais) kwa hatua zaidi.
Majaji hao ni Profesa Eudes Ruhangisa anayedaiwa kupata Sh milioni 400.25 na Aloysius Mujulizi Sh milioni 40.4. Awali, akizungumza na gazeti hili kuhusu uteuzi wake, Jaji wa Mahakama Kuu Ignas Kitusi, alisema kuna mipango mingi ya kuboresha huduma za Mahakama, ambapo aliahidi pamoja na wenzake kutekeleza mipango hiyo ikiwemo kurejesha imani ya wananchi dhidi ya Mahakama ambayo kwa sasa imepotea.
Jaji wa Mahakama Kuu, Rehema Kirefu, alisema uteuzi wa Rais wa majaji utasaidia haki kutendeka kwa haraka, kwani uchache wa majaji ulisababisha kesi nyingi kuchelewa kutokana na majaji waliopo kuzidiwa.
Jaji Salima Chikoyo alisema ana uzoefu wa muda mrefu na amefanikiwa kutumikia vitengo mbalimbali hivyo aliwataka wananchi wategemee kupata haki. Majaji wengine waliapishwa jana ni jaji wa Mahakama ya Rufani Richard Mziray na Majaji wa Mahakama Kuu ambao ni Lameck Mlacha, Wilfred Dysobera, Isaya Harufani, Julisu Malaba, Victoria Makani, Lucia Kairo, Benhaj Masoud, Issa Maige, Adam Mambi na Sirilius Matupa.

Rais Jakaya Kikwete akiwa na majaji wapya 13 wa Mahakama Kuu na mmoja wa Mahakama ya Rufaa baada ya kuwaapisha Ikulu, Dar es Salaam jana. Kutoka kulia (wenye suti nyeusi) ni Waziri wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro, Jaji Kiongozi, Shaban Lila, Jaji Mkuu, Mohamed Chande Othman na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue (kushoto). (Na Mpigapicha Wetu).
Rais Jakaya Kikwete akiwa na Majaji 13 wa Mahakama Kuu na mmoja wa Mahakama ya Rufaa  baada ya kuwaapisha Ikulu, Dar es Salaam jana. Kutoka kulia (wenye suti nyeusi) ni Waziri wa Sheria na Katiba, Dk Asha-Rose Migiro, Jaji Kiongozi, Shaban Lila, Jaji Mkuu, Mohamedi Chande Otman na Katibu Mkuu Kiongozi Omben Sefu.

JAJI Mkuu wa Tanzania, Mohammed Othman Chande amesema kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kufanya uteuzi wa mara kwa mara wa majaji nchini, kimeongezea kwa kiasi kikubwa utendaji wa Idara ya Mahakama na hadi sasa kuna Majaji takribani 100, jambo ambalo halijawahi kutokea miaka ya nyuma.
Aidha, ameahidi kutokana na wingi wao, sasa wana uhakika wa kuongeza uchapaji kazi na kwa kuanzia, wameweka lengo kwamba, kesi zote katika Mahakama Kuu na Mahakama ya Biashara zisiendeshwe zaidi ya miezi 10.
Jaji Chande alikuwa akizungumza na waandishi wa habari Ikulu, Dar es Salaam jana mara baada ya Rais Kikwete kuapisha Majaji wa Mahakama Kuu 13 na Jaji mmoja wa Mahakama ya Rufani. “Tunamshukuru Rais kwa ongezeko hili la majaji ambalo sasa linaifanya Tanzania kuwa na majaji 100, hawa ni wengi haijawahi kutokea,” alisisitiza.
Alisema ongezeko hilo, litasaidia sekta hiyo kushughulikia tatizo la mlundikano wa kesi hasa katika kanda za Mahakama Kuu, ambazo kwa muda mrefu zimekuwa zikielemewa na kesi nyingi.
Alitaja kanda ambazo zina mzigo wa kesi nyingi, ambazo sasa zitapunguziwa mzigo huo kutokana na ongezeko hilo la majaji kuwa ni Kanda ya Mahakama Kuu ya Bukoba, ambayo Jaji mmoja alikuwa akishughulikia kesi 3,000 na Mwanza jaji mmoja kesi 600.
Aidha, alisema ongezeko hilo litasaidia maeneo mengine yenye kesi nyingi pia, ambayo ni Tabora na vitengo vya Mahakama Kuu kama vile Idara ya kazi, Ardhi na Biashara. Alisema tayari sekta ya Mahakama ilishajiwekea mikakati ya kushughulikia changamoto zinazoikabili sekta hiyo, ikiwa ni pamoja na kubadilisha ratiba, ambapo kwa upande wa Majaji walipangiwa Jaji mmoja sasa kusikiliza kesi 220, Hakimu Mkazi wa wilaya na Mkoa kesi 250 na Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo kesi 260.
“Kila Mahakama pia imewekewa malengo yake na lengo kubwa ni kuhakikisha kesi hazichukui muda mrefu kusikilizwa, kwa mfano kwa mujibu wa mabadiliko haya kitengo cha Biashara cha Mahakama Kuu kesi zake hazitosikilizwa kwa muda wa zaidi ya miezi 10 hadi mwaka mmoja,” alisisitiza.
Aliwataka majaji walioteuliwa na kuapishwa jana kutambua kuwa waliteuliwa katika nyadhifa hizo, kutokana na utendaji, uzoefu na uadilifu wao, hivyo wanapaswa kuhakikisha wanadumisha sifa hizo katika utendaji wao.
Alisema kabla ya majaji hao hawajaanza rasmi kazi, wataandaliwa mafunzo maalum ili waweze kuendana na utaratibu wa kimahakama kwa kuwa kati ya majaji hao, watano walikuwa mawakili wa kujitegemea, watano mawakili wa Serikali na watano walikuwa mahakamani.
Akizungumzia suala la uchaguzi, Chande, alisema tayari wamejipanga kuhakikisha kuwa kesi za uchaguzi zinasikilizwa kwa haki na muda ambapo hazitosikilizwa kwa zaidi ya miezi sita.
Kuhusu Majaji waliotuhumiwa kupatiwa mgawo wa fedha za akaunti ya Escrow, alisema tume iliyoundwa kufanya uchunguzi na upelelezi, tayari imekamisha upelelezi wake wa awali na itakapokamilisha kuuandaa, itaukabidhi rasmi kwa mamlaka ya uteuzi (Rais) kwa hatua zaidi.
Majaji hao ni Profesa Eudes Ruhangisa anayedaiwa kupata Sh milioni 400.25 na Aloysius Mujulizi Sh milioni 40.4. Awali, akizungumza na gazeti hili kuhusu uteuzi wake, Jaji wa Mahakama Kuu Ignas Kitusi, alisema kuna mipango mingi ya kuboresha huduma za Mahakama, ambapo aliahidi pamoja na wenzake kutekeleza mipango hiyo ikiwemo kurejesha imani ya wananchi dhidi ya Mahakama ambayo kwa sasa imepotea.
Jaji wa Mahakama Kuu, Rehema Kirefu, alisema uteuzi wa Rais wa majaji utasaidia haki kutendeka kwa haraka, kwani uchache wa majaji ulisababisha kesi nyingi kuchelewa kutokana na majaji waliopo kuzidiwa.
Jaji Salima Chikoyo alisema ana uzoefu wa muda mrefu na amefanikiwa kutumikia vitengo mbalimbali hivyo aliwataka wananchi wategemee kupata haki. Majaji wengine waliapishwa jana ni jaji wa Mahakama ya Rufani Richard Mziray na Majaji wa Mahakama Kuu ambao ni Lameck Mlacha, Wilfred Dysobera, Isaya Harufani, Julisu Malaba, Victoria Makani, Lucia Kairo, Benhaj Masoud, Issa Maige, Adam Mambi na Sirilius Matupa.

Profesa Lipumba akizungumza na waandishi wa habari.
Profesa Lipumba akizungumza na waandishi wa habari.

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amejiuzulu rasmi wadhifa wake huo ndani ya chama kwa kikle alichokitaja kuwa ni kukiukwa kwa Katiba ya chama hicho.
Kujiuzulu huko kunahitimisha wasiwasi wa muda sasa ndani ya chama chake kuhusu hatima yake kutokana na sababu ambazo hazikujulikana mara moja.Profesa Lipumba alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama mwaka 1999 na kugombea urais katika vipindi viinne ambavyo vyote alishindwa.
Tutawaletea habari kamili hivi punde.

Profesa Lipumba akizungumza na waandishi wa habari.
Profesa Lipumba akizungumza na waandishi wa habari.

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi CUF, Profesa Ibrahim Lipumba amejiuzulu rasmi wadhifa wake huo ndani ya chama kwa kikle alichokitaja kuwa ni kukiukwa kwa Katiba ya chama hicho.
Kujiuzulu huko kunahitimisha wasiwasi wa muda sasa ndani ya chama chake kuhusu hatima yake kutokana na sababu ambazo hazikujulikana mara moja.Profesa Lipumba alichaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama mwaka 1999 na kugombea urais katika vipindi viinne ambavyo vyote alishindwa.
Tutawaletea habari kamili hivi punde.

Sunday, 2 August 2015

DR. SLAA WIFE IS A REASON FOR HIS RESIGNATION, Scholars described The rumors Saying Dr.. Slaa ... resignation in politics is allegedly his wife Pressure 
While rumors of resignation in title and left membership of the Party for Democracy and Development (Chadema), Dr. Wilbroad Slaa, having been circulating in social networks and newspapers, reports suggest that the reason to take such action is a pressure from his wife.

Information published by the newspaper quoting . Dr. Slaa himself, stated he left politics and left his post and will remain doing other activities.

. Dr. Slaa is alleged disagrees with the way his party welcomed a former Prime Minister Edward Lowassa.
Surely Infomation from our sources of information within Chadema claim, Dr. Dr. Slaa was involved in the process of welcoming and ratify Lowassa, stopped being a presidential candidate through the Citizens Constitutional Union (Ukawa).

However, another source of information claims to be the wife of . Dr. Slaa, Josephine Mashumbusi she pressured to resign after the husband of another candidate to allow the suspension (Lowassa).
"Josephine was sure her husband's presidential candidacy is one that stands on the side of Ukawa, the situation has changed, she was angry and told her husband either him or Chadema," the source added.

DR. SLAA WIFE IS A REASON FOR HIS RESIGNATION, Scholars described The rumors Saying Dr.. Slaa ... resignation in politics is allegedly his wife Pressure 
While rumors of resignation in title and left membership of the Party for Democracy and Development (Chadema), Dr. Wilbroad Slaa, having been circulating in social networks and newspapers, reports suggest that the reason to take such action is a pressure from his wife.

Information published by the newspaper quoting . Dr. Slaa himself, stated he left politics and left his post and will remain doing other activities.

. Dr. Slaa is alleged disagrees with the way his party welcomed a former Prime Minister Edward Lowassa.
Surely Infomation from our sources of information within Chadema claim, Dr. Dr. Slaa was involved in the process of welcoming and ratify Lowassa, stopped being a presidential candidate through the Citizens Constitutional Union (Ukawa).

However, another source of information claims to be the wife of . Dr. Slaa, Josephine Mashumbusi she pressured to resign after the husband of another candidate to allow the suspension (Lowassa).
"Josephine was sure her husband's presidential candidacy is one that stands on the side of Ukawa, the situation has changed, she was angry and told her husband either him or Chadema," the source added.

AZAM FC jana iliweka historia kwa kutwaa kwa mara ya kwanza taji la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Ubingwa huo wa Azam FC umemaliza ubabe wa Yanga na Simba kwa Tanzania kutwaa taji hilo, ambalo limechukuliwa na wekundu wa Msimbazi mara sita huku vijana wa Jangwani wakilitwaa mara tano.
Mbali na kumaliza ubabe wa vigogo hivyo, Azam FC pia imeweka historia nyingine baada ya kumaliza mashindano hayo bila ya kufungwa bao hata moja kuanzia mwanzo wa mashindano hayo hadi mwisho.
Pia, Azam imemaliza ukame wa taji hilo ililonusurika kulitwaa mwaka 2012 ilipofungwa na Yanga 2-0 katika fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa. Katika mchezo huo, Azam FC ndio walikuwa wa kwanza kulifikia lango la Gor Mahia mara mbili mwanzoni kabisa mwa mchezo, kabla wapinzani wao hawajajibu wakati Medieval Kagere alipotaka kufunga.
Dakika ya 15 John Bocco aliipatia Azam bao la kwanza akimalizia krosi ya Kipre Tchetche. Muda mfupi kabla ya mapumziko, Azam FC ilionekana kupungukia nguvu na kuifanya Gor Mahia kufanya mashambulizi ya mara kwa mara katika lango la wapinzani wake hao.
Dakika ya 51 Azam nusura wapige bao la pili baada ya Tchetche kupiga shuti kali lililogonga mwamba wa pembeni na mpira kurudi uwanjani kabla haojaokolewa. Juhudi za Azam zilizaa matunda wakati Tchetche alipoipatia timu yake bao la pili baada ya kupiga mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja wavuni ukimuacha kipa wa Gor Mahia Boniface Oluoch akidua bila la kufanya.
Mwamuzi alitoa adhabu hiyo baada ya Shomari Kapombe kuchezewa rafu na Aucho Khalid aliyeoneshwa kadi ya njano kwa mchezo huo mbaya. Azam FC wangeweza kufunga la tatu kama sio kukosa umakini kwa mchezaji wake, Didier Kavumbagu baada ya kukosa bao la wazi katika dakika ya 90 wakati alipopaisha mpira.
Vikosi: Azam FC: Aishi Manula, John Bocco, Aggrey Morris, Said Morad, Pascal Wawa, Jean Mugiraneza, Humid Mao, Farid Mussa/ Erasto Nyoni, Amme Ali/Frank Domayo, Shomari Kapombe na Kipre Tchetche. Gor Mahia: Boniface Oluoch, Mussa Mohamed, Sibomana Abouba, Harun Shakava, Karim Nizigayamana, Innocent Wafula, Such Khalid, Godfrey Walusimbi, Kagere Medie, Michael Olunga na Erick Ochieng.

AZAM FC jana iliweka historia kwa kutwaa kwa mara ya kwanza taji la Kagame baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Gor Mahia ya Kenya katika fainali iliyopigwa kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Ubingwa huo wa Azam FC umemaliza ubabe wa Yanga na Simba kwa Tanzania kutwaa taji hilo, ambalo limechukuliwa na wekundu wa Msimbazi mara sita huku vijana wa Jangwani wakilitwaa mara tano.
Mbali na kumaliza ubabe wa vigogo hivyo, Azam FC pia imeweka historia nyingine baada ya kumaliza mashindano hayo bila ya kufungwa bao hata moja kuanzia mwanzo wa mashindano hayo hadi mwisho.
Pia, Azam imemaliza ukame wa taji hilo ililonusurika kulitwaa mwaka 2012 ilipofungwa na Yanga 2-0 katika fainali iliyofanyika kwenye Uwanja wa Taifa. Katika mchezo huo, Azam FC ndio walikuwa wa kwanza kulifikia lango la Gor Mahia mara mbili mwanzoni kabisa mwa mchezo, kabla wapinzani wao hawajajibu wakati Medieval Kagere alipotaka kufunga.
Dakika ya 15 John Bocco aliipatia Azam bao la kwanza akimalizia krosi ya Kipre Tchetche. Muda mfupi kabla ya mapumziko, Azam FC ilionekana kupungukia nguvu na kuifanya Gor Mahia kufanya mashambulizi ya mara kwa mara katika lango la wapinzani wake hao.
Dakika ya 51 Azam nusura wapige bao la pili baada ya Tchetche kupiga shuti kali lililogonga mwamba wa pembeni na mpira kurudi uwanjani kabla haojaokolewa. Juhudi za Azam zilizaa matunda wakati Tchetche alipoipatia timu yake bao la pili baada ya kupiga mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja wavuni ukimuacha kipa wa Gor Mahia Boniface Oluoch akidua bila la kufanya.
Mwamuzi alitoa adhabu hiyo baada ya Shomari Kapombe kuchezewa rafu na Aucho Khalid aliyeoneshwa kadi ya njano kwa mchezo huo mbaya. Azam FC wangeweza kufunga la tatu kama sio kukosa umakini kwa mchezaji wake, Didier Kavumbagu baada ya kukosa bao la wazi katika dakika ya 90 wakati alipopaisha mpira.
Vikosi: Azam FC: Aishi Manula, John Bocco, Aggrey Morris, Said Morad, Pascal Wawa, Jean Mugiraneza, Humid Mao, Farid Mussa/ Erasto Nyoni, Amme Ali/Frank Domayo, Shomari Kapombe na Kipre Tchetche. Gor Mahia: Boniface Oluoch, Mussa Mohamed, Sibomana Abouba, Harun Shakava, Karim Nizigayamana, Innocent Wafula, Such Khalid, Godfrey Walusimbi, Kagere Medie, Michael Olunga na Erick Ochieng.

Mwenye kuelewa ataelewa habari ndo iyooo!

Mwenye kuelewa ataelewa habari ndo iyooo!

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira (pichani), ameshinda kura za maoni za CCM, baada ya kupata kura 6,429 na kumshinda mpinzani wake wa karibu ambaye ni mjasiriamali, Robert Maboto aliyepata kura 6,206.
Akitangaza matokeo hayo jana katika ofisi ya CCM ya Wilaya ya Bunda, Mkurugenzi wa uchaguzi katika wilaya hiyo, Magreth Mtatiro, alisema Wassira alishinda kwa zaidi ya kura 223 kati ya kura zote zilizopigwa 15, 262.
Mtatiro alimtangaza mshindi wa tatu kuwa ni Mwenyekiti wa CCM mkoani Mara, Christopher Sanya aliyepata kura 1,140, ambapo wengine ni pamoja na Exavery Lugina aliyepata kura 846, Simon Odunga (547), Magesa Mugeta (446), Peres Magiri (385) na Burian Bitaa (263).
Kutokana na matokeo hayo, Mtatiro alimtangaza Waziri Wasira ambaye anatetea tena nafasi hiyo, kuwa mshindi katika kinyang’anyiro hicho cha kura za maoni. Wakati huohuo, mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo la Mwibara Kangi Lugola (pichani kulia), ameshinda uchaguzi katika kura za maoni za chama hicho na kumshinda kwa kura nyingi mpinzani wake wa karibu, Charles Kajege aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo.

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira (pichani), ameshinda kura za maoni za CCM, baada ya kupata kura 6,429 na kumshinda mpinzani wake wa karibu ambaye ni mjasiriamali, Robert Maboto aliyepata kura 6,206.
Akitangaza matokeo hayo jana katika ofisi ya CCM ya Wilaya ya Bunda, Mkurugenzi wa uchaguzi katika wilaya hiyo, Magreth Mtatiro, alisema Wassira alishinda kwa zaidi ya kura 223 kati ya kura zote zilizopigwa 15, 262.
Mtatiro alimtangaza mshindi wa tatu kuwa ni Mwenyekiti wa CCM mkoani Mara, Christopher Sanya aliyepata kura 1,140, ambapo wengine ni pamoja na Exavery Lugina aliyepata kura 846, Simon Odunga (547), Magesa Mugeta (446), Peres Magiri (385) na Burian Bitaa (263).
Kutokana na matokeo hayo, Mtatiro alimtangaza Waziri Wasira ambaye anatetea tena nafasi hiyo, kuwa mshindi katika kinyang’anyiro hicho cha kura za maoni. Wakati huohuo, mbunge aliyemaliza muda wake katika jimbo la Mwibara Kangi Lugola (pichani kulia), ameshinda uchaguzi katika kura za maoni za chama hicho na kumshinda kwa kura nyingi mpinzani wake wa karibu, Charles Kajege aliyewahi kuwa mbunge wa jimbo hilo.

Jackson assesses each Reds player on the day.
HELSINKI, FINLAND - Friday, July 31, 2015: Liverpool's players line up for a team group photograph before a friendly match against HJK Helsinki at the Olympic Stadium. Back row L-R: James Milner, Joe Gomez, Dejan Lovren, Martin Skrtel, goalkeeper Simon Mignolet, Jordon Ibe. Front row L-R: Danny Ings, Adam Lallana, captain Jordan Henderson, Philippe Coutinho Correia, Nathaniel Clyne. (Pic by David Rawcliffe/Propaganda)
HJK Helsinki 0-2 Liverpool
Friendly – Olympic Stadium, Helsinki – Saturday, 1st August 2015
Goals: Origi (73), Coutinho (78)
Simon Mignolet — 6 (out of 10)
As has been the case so often this summer, the 27-year-old is barely worthy of a rating because he was barely called upon at any point. Six out of 10 seems fair though.
Nathaniel Clyne — 6
The former Southampton right-back has had a solid but unspectacular pre-season, and it was much of the same from the 24-year-old against Helsinki.
He was solid defensively, but didn’t offer a huge amount going forward.
Martin Skrtel — 6
Like Mignolet, Skrtel was never really tested at any point, but produced a reliable performance. Bigger tests will certainly come for the Slovakian.
Dejan Lovren — 6
The Croatian has taken plenty of flack lately, but he enjoyed a low-key and solid afternoon in Finland. The Britannia Stadium next Sunday will be a very different test, however, if he starts ahead of Mamadou Sakho.
Football - Liverpool FC Preseason Tour 2015 - HJK Helsinki v Liverpool FC
Joe Gomez — 6
The 18-year-old has had a fabulous summer, but he was less noticeable during a dull affair against Helsinki.
He didn’t get forward as effectively as in previous games, but never did anything wrong defensively at any point.
Jordan Henderson — 6.5
Liverpool’s new skipper was one of his side’s more energetic players, using the ball well and providing box-to-box running throughout. One of the best players at the club now.
James Milner — 7
The ex-Man City man was very impressive on the whole, offering typical industry in the middle of the park and playing a key role in Philippe Coutinho‘s goal.
He’s looking like a superb signing.
Philippe Coutinho — 7
It was great to see Coutinho back following an extended summer break, and unpredictably, he looked the most talented player on the pitch.
Although the 23-year-old didn’t necessarily produce huge amounts of note, he oozed class from start to finish. Scored the Reds’ second with a deflected shot.
Football - Liverpool FC Preseason Tour 2015 - HJK Helsinki v Liverpool FC
Jordon Ibe — 7
The exciting 19-year-old once again looked one of the Reds’ most formidable players, running at the Helsinki defence with pace, power and trickery.
He had the beating of the Helsinki left-back time and time again, and could have a massive 2015/16 season ahead of him.
Adam Lallana — 6
Lallana has been one of Liverpool’s most creative players this summer, but he was more subdued against Saturday’s opponents.
He flitted in and out of the game, without creating much of note.
Danny Ings — 6.5
The Englishman pressed very impressively throughout proceedings, and despite not looking a great threat, the 23-year-old looked a pest at all times.
Could prove to be be a very underrated signing.
Football - Liverpool FC Preseason Tour 2015 - HJK Helsinki v Liverpool FC
Substitutes
Divock Origi (on for Ings ’63) — 6.5
The Belgian was introduced midway through the second-half, and gave Liverpool the lead with a well-taken finish.
Joe Maguire (on for Gomez ’81) — n/a
No time to make an impact.
Pedro Chirivella (on for Coutinho ’81) — n/a
No time to make an impact.

Jackson assesses each Reds player on the day.
HELSINKI, FINLAND - Friday, July 31, 2015: Liverpool's players line up for a team group photograph before a friendly match against HJK Helsinki at the Olympic Stadium. Back row L-R: James Milner, Joe Gomez, Dejan Lovren, Martin Skrtel, goalkeeper Simon Mignolet, Jordon Ibe. Front row L-R: Danny Ings, Adam Lallana, captain Jordan Henderson, Philippe Coutinho Correia, Nathaniel Clyne. (Pic by David Rawcliffe/Propaganda)
HJK Helsinki 0-2 Liverpool
Friendly – Olympic Stadium, Helsinki – Saturday, 1st August 2015
Goals: Origi (73), Coutinho (78)
Simon Mignolet — 6 (out of 10)
As has been the case so often this summer, the 27-year-old is barely worthy of a rating because he was barely called upon at any point. Six out of 10 seems fair though.
Nathaniel Clyne — 6
The former Southampton right-back has had a solid but unspectacular pre-season, and it was much of the same from the 24-year-old against Helsinki.
He was solid defensively, but didn’t offer a huge amount going forward.
Martin Skrtel — 6
Like Mignolet, Skrtel was never really tested at any point, but produced a reliable performance. Bigger tests will certainly come for the Slovakian.
Dejan Lovren — 6
The Croatian has taken plenty of flack lately, but he enjoyed a low-key and solid afternoon in Finland. The Britannia Stadium next Sunday will be a very different test, however, if he starts ahead of Mamadou Sakho.
Football - Liverpool FC Preseason Tour 2015 - HJK Helsinki v Liverpool FC
Joe Gomez — 6
The 18-year-old has had a fabulous summer, but he was less noticeable during a dull affair against Helsinki.
He didn’t get forward as effectively as in previous games, but never did anything wrong defensively at any point.
Jordan Henderson — 6.5
Liverpool’s new skipper was one of his side’s more energetic players, using the ball well and providing box-to-box running throughout. One of the best players at the club now.
James Milner — 7
The ex-Man City man was very impressive on the whole, offering typical industry in the middle of the park and playing a key role in Philippe Coutinho‘s goal.
He’s looking like a superb signing.
Philippe Coutinho — 7
It was great to see Coutinho back following an extended summer break, and unpredictably, he looked the most talented player on the pitch.
Although the 23-year-old didn’t necessarily produce huge amounts of note, he oozed class from start to finish. Scored the Reds’ second with a deflected shot.
Football - Liverpool FC Preseason Tour 2015 - HJK Helsinki v Liverpool FC
Jordon Ibe — 7
The exciting 19-year-old once again looked one of the Reds’ most formidable players, running at the Helsinki defence with pace, power and trickery.
He had the beating of the Helsinki left-back time and time again, and could have a massive 2015/16 season ahead of him.
Adam Lallana — 6
Lallana has been one of Liverpool’s most creative players this summer, but he was more subdued against Saturday’s opponents.
He flitted in and out of the game, without creating much of note.
Danny Ings — 6.5
The Englishman pressed very impressively throughout proceedings, and despite not looking a great threat, the 23-year-old looked a pest at all times.
Could prove to be be a very underrated signing.
Football - Liverpool FC Preseason Tour 2015 - HJK Helsinki v Liverpool FC
Substitutes
Divock Origi (on for Ings ’63) — 6.5
The Belgian was introduced midway through the second-half, and gave Liverpool the lead with a well-taken finish.
Joe Maguire (on for Gomez ’81) — n/a
No time to make an impact.
Pedro Chirivella (on for Coutinho ’81) — n/a
No time to make an impact.

YAMETIMIA, YA LAUDIT MAVUGO YANAFANANA NA YA MBUYU TWITE
BAADA YA MANENO YA MDA MREFU KUHUSU UJIO WA MAVUGO KATIKA KLABU YA SIMBA, HATIMAYE MCHEZAJI HUYO KUTUA KATIKA KLABU YA YANGA,
KLABU YA YANGA IMEFANIKIWA KUIZIDI UJANJA KLABU YA SIMBA KATIKA USAJILI WA MAVUGO, HAPO AWALI SIMBA ILIKUBALI KUTOA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 110 KWA AJILI YA USAJILI WA MSHAMBULIAJI HUYO KUTOKA NCHINI BURUNDI, AMBAPO GEOFREY KABURU NDIYE ALIKUWA MFUATILIAJI WA SWALA ZIMA LA USAJILI WA MAVUGO, LAKINI KLABU YA YANGA KUPITIA KWA KIGOGO WAKE WA KAMATI YA USAJILI IMETIBUA DEAL HIYO YA KLABU YA SIMBA, AMBAPO IMEFANIKIWA KUMCHUKUA MAVUGO KWA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 140, AMBAPO PIA IMELAZIMIKA KUTOA SHILINGI MILIONI 30 KWA KLABU AMBAYO ILIMLEA LAUDIT, KLABU ANAYOICHEZEA MAVUGO HIVI SASA KWA LENGO LAKUKWAMISHA MAVUGO KWENDA SIMBA ILIIAMBIA KLABU YA SIMBA KAMA INAMTAKA MAVUGO BASI ITOE SHILINGI MILIONI 200 JAMBO AMBALO LIMEKUWA GUMU KWA KLABU YA SIMBA, HII NI MARA YA PILI KWA KLABU YA SIMBA KUZIDIWA KETE NA KLABU YA YANGA KATIKA USAJILI WA WACHEZAJI WA KIMATAIFA, MAVUGO KWA SASA NDIYE KINARA WA KUPACHIKA MABAO NCHINI BURUNDI, BAADA YAKUKAMILISHA VIPIMO VYA AFYA NDANI YA KLABU YA YANGA ATAUNGANA NA MRUNDI MWENZAKE AMIS TAMBWE PAMOJA NA MSHAMBULIAJI DONARD NGOMA KUTOKA ZIMBABWE KUUNDA SAFU YA USHAMBULIAJI, MAVUGO ANACHUKUA NAFASI YA MLIBERIA KPAH SHERMAN ALIYETIMKIA NCHINI AFRIKA KUSINI
YANGA PIA IPO KATIKA MPANGO WA KUACHANA NA ANDREW COUTINHO ILI NAFASI YAKE IZIBWE NA MCHEZAJI WA KIMATAIFA WA KIUNGO CHA CHINI MWENYE UWEZO WA JUU KATIKA UKABAJI, UCHEZESHAJI WA TIMU NA UPANDISHAJI WA MASHAMBULIZI
LAKINI PIA NDANI YA KLABU YA YANGA BADO KUNA MVUTANO MKUBWA KATI YA UONGOZI NA BENCHI LA UFUNDI JUU YA NAFASI ANAYOCHEZA NA UWEZO WA MGHANA JOSEPH ZUTAH TETEH

YAMETIMIA, YA LAUDIT MAVUGO YANAFANANA NA YA MBUYU TWITE
BAADA YA MANENO YA MDA MREFU KUHUSU UJIO WA MAVUGO KATIKA KLABU YA SIMBA, HATIMAYE MCHEZAJI HUYO KUTUA KATIKA KLABU YA YANGA,
KLABU YA YANGA IMEFANIKIWA KUIZIDI UJANJA KLABU YA SIMBA KATIKA USAJILI WA MAVUGO, HAPO AWALI SIMBA ILIKUBALI KUTOA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 110 KWA AJILI YA USAJILI WA MSHAMBULIAJI HUYO KUTOKA NCHINI BURUNDI, AMBAPO GEOFREY KABURU NDIYE ALIKUWA MFUATILIAJI WA SWALA ZIMA LA USAJILI WA MAVUGO, LAKINI KLABU YA YANGA KUPITIA KWA KIGOGO WAKE WA KAMATI YA USAJILI IMETIBUA DEAL HIYO YA KLABU YA SIMBA, AMBAPO IMEFANIKIWA KUMCHUKUA MAVUGO KWA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 140, AMBAPO PIA IMELAZIMIKA KUTOA SHILINGI MILIONI 30 KWA KLABU AMBAYO ILIMLEA LAUDIT, KLABU ANAYOICHEZEA MAVUGO HIVI SASA KWA LENGO LAKUKWAMISHA MAVUGO KWENDA SIMBA ILIIAMBIA KLABU YA SIMBA KAMA INAMTAKA MAVUGO BASI ITOE SHILINGI MILIONI 200 JAMBO AMBALO LIMEKUWA GUMU KWA KLABU YA SIMBA, HII NI MARA YA PILI KWA KLABU YA SIMBA KUZIDIWA KETE NA KLABU YA YANGA KATIKA USAJILI WA WACHEZAJI WA KIMATAIFA, MAVUGO KWA SASA NDIYE KINARA WA KUPACHIKA MABAO NCHINI BURUNDI, BAADA YAKUKAMILISHA VIPIMO VYA AFYA NDANI YA KLABU YA YANGA ATAUNGANA NA MRUNDI MWENZAKE AMIS TAMBWE PAMOJA NA MSHAMBULIAJI DONARD NGOMA KUTOKA ZIMBABWE KUUNDA SAFU YA USHAMBULIAJI, MAVUGO ANACHUKUA NAFASI YA MLIBERIA KPAH SHERMAN ALIYETIMKIA NCHINI AFRIKA KUSINI
YANGA PIA IPO KATIKA MPANGO WA KUACHANA NA ANDREW COUTINHO ILI NAFASI YAKE IZIBWE NA MCHEZAJI WA KIMATAIFA WA KIUNGO CHA CHINI MWENYE UWEZO WA JUU KATIKA UKABAJI, UCHEZESHAJI WA TIMU NA UPANDISHAJI WA MASHAMBULIZI
LAKINI PIA NDANI YA KLABU YA YANGA BADO KUNA MVUTANO MKUBWA KATI YA UONGOZI NA BENCHI LA UFUNDI JUU YA NAFASI ANAYOCHEZA NA UWEZO WA MGHANA JOSEPH ZUTAH TETEH

KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba
2. Nape - Mtama
3. Mwakasaka - Tabora Mjini
4. Mama Sitta - Urambo
5. Kadutu - Ulyankulu
6. Bashe - Nzega
7. Ngeleja - Sengerema
8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.
9. Masaburi - Ubungo
10. Patel - Ukonga
11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi
12. Kagasheki - 
13. Lukuvi - Isimani
14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini
16. Ndugai - Kongwa
17. Chumi - Mafinga
18. Kigola - Mufindi kusini
19. Mgimwa - Mufindi kaskazini
20. Filikunjombe - Ludewa
21. Mgimwa - Kalenga...
22. Lusinde - Mtera
23. Imani Moshi - Kaliua
24.Mwakasaka -Tabora mjini
25.Fenala Mkangara -Kibamba
26.Mapunda-Mbinga mjini
27.Masele -Kahama
28.Antony Mavunde-Dodoma hizi ndio data nilizopata
:

KURA ZA MAONI CCM
1. Mwigulu - Iramba
2. Nape - Mtama
3. Mwakasaka - Tabora Mjini
4. Mama Sitta - Urambo
5. Kadutu - Ulyankulu
6. Bashe - Nzega
7. Ngeleja - Sengerema
8. Seif - Igunga ktk jimbo jipya.
9. Masaburi - Ubungo
10. Patel - Ukonga
11. Prof Kamala - Nkenge, Misenyi
12. Kagasheki - 
13. Lukuvi - Isimani
14. January - Bumbuli
15. Muhongo - Musoma vijijini
16. Ndugai - Kongwa
17. Chumi - Mafinga
18. Kigola - Mufindi kusini
19. Mgimwa - Mufindi kaskazini
20. Filikunjombe - Ludewa
21. Mgimwa - Kalenga...
22. Lusinde - Mtera
23. Imani Moshi - Kaliua
24.Mwakasaka -Tabora mjini
25.Fenala Mkangara -Kibamba
26.Mapunda-Mbinga mjini
27.Masele -Kahama
28.Antony Mavunde-Dodoma hizi ndio data nilizopata
:

Saturday, 1 August 2015


Katika kile kilichotafsiriwa kama dongo kwa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kiongozi wa chama cha ACT Zitto Zuberi Kabwe, ameweka maneno yanayoonesha kushangazwa na hatua ya CHADEMA kumpokea aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa.
Picha lilianza juzi usiku baada ya Zitto kupitia ukurasa wake wa Twitter, kupost picha ya kwanza ya Lowassa akiwa na viongozi wa juu wa CHADEMA akiipa ‘caption’ ya “mambo yanaendelea kutokea tusubiri chochote kwenye uchaguzi mkuu Oktoba”.
Ikiwa ni masaa machache tangu Mbunge huyo wa Monduli, kukabidhiwa kadi ya CHADEMA zito ameandika kupitia Facebook “wekeni akiba ya maneno” akiwaacha followers wake zaidi ya 25,000, kwenye mataa wasielewe alikusudia nini hasa.
Mchambuzi wa masuala ya kisiasa, Bazil Mbekini ameitafsiri sentensi hiyo kama ‘makavu’ kwa CHADEMA kwa kusahau kile walichokuwa wakimuita Lowassa fisadi, na leo wamemkaribisha kwenye chama hicho.


Uchaguzi umetafsiriwa.
Ni chaguo kati wenye misingi dhidi ya wenye uchu wa madaraka. Kati ya Maadili dhidi ya wabadhirifu. Kati ya wenye msimamo dhidi ya wanaobebwa. Utakuwa uchaguzi wenye Hamasa zaidi kupata kutokea nchini Tanzania


Katika kile kilichotafsiriwa kama dongo kwa chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kiongozi wa chama cha ACT Zitto Zuberi Kabwe, ameweka maneno yanayoonesha kushangazwa na hatua ya CHADEMA kumpokea aliyekuwa waziri mkuu wa Tanzania Edward Lowassa.
Picha lilianza juzi usiku baada ya Zitto kupitia ukurasa wake wa Twitter, kupost picha ya kwanza ya Lowassa akiwa na viongozi wa juu wa CHADEMA akiipa ‘caption’ ya “mambo yanaendelea kutokea tusubiri chochote kwenye uchaguzi mkuu Oktoba”.
Ikiwa ni masaa machache tangu Mbunge huyo wa Monduli, kukabidhiwa kadi ya CHADEMA zito ameandika kupitia Facebook “wekeni akiba ya maneno” akiwaacha followers wake zaidi ya 25,000, kwenye mataa wasielewe alikusudia nini hasa.
Mchambuzi wa masuala ya kisiasa, Bazil Mbekini ameitafsiri sentensi hiyo kama ‘makavu’ kwa CHADEMA kwa kusahau kile walichokuwa wakimuita Lowassa fisadi, na leo wamemkaribisha kwenye chama hicho.


Uchaguzi umetafsiriwa.
Ni chaguo kati wenye misingi dhidi ya wenye uchu wa madaraka. Kati ya Maadili dhidi ya wabadhirifu. Kati ya wenye msimamo dhidi ya wanaobebwa. Utakuwa uchaguzi wenye Hamasa zaidi kupata kutokea nchini Tanzania