.

.

Saturday, 19 July 2014

Ni mmea uliogeuka kuwa lulu nchini Tanzania na nchi jirani kusadikika kuwa ni dawa inayotibu virusi vya HIV.

Mmea unaojulikana kama chikanda uliopo katika hifadhi ya kitaifa ya Kitulo mkoani Njombe kusini Magharibi mwa Tanzania sasa unakabiliwa na hatari ya kuangamia.
Hi ni baada ya kuvamiwa na watu wanaoamini kuwa unatibu maradhi ya Ukimwi.
Biashara ya kuusafirisha na kuuza mmea huo imekuwa ikinoga kati ya eneo hilo na mataifa jirani ya Zambia na Malawi.

0 comments:

Post a Comment