.

.

Sunday, 13 July 2014

Katika fuatilia zangu nimegundua kuwa timu ya taifa ya Argetina hainaga kasumba ya kuita wachezaji weusi au Argentina ngo haina weusi wanaojua kusakata kabumbu niusidieni wadau wangu. Baada ya hapo nitakuletea makala ni kwa nini hawa jamaa hawana nafasi ya mtu mweusi kushiriki katika shughuri za kimataifa..... (usikose kufuatilia baada ya kuwa wamepewa kichapo n

a Ujerumani)


0 comments:

Post a Comment