.

.

Saturday, 12 July 2014




Kama mwana uchumi siungani na benki kuu (BOT) kufuta noti ya shilingi mia tano 500/= na kuifanya sarafu. hii kimtamo wa kifalsafa tunasema ni (the most unpleasant economic decision) kwa sababu zifuatazo.
Mosi: fedha yeyote inapobadilishwa kutoka shilingi kuwa salafu ni kuishusha thamani. Hii ni kwa  sababu kiuchumi inabadilika matumizi na kuanza kutumika katika zaidi katika sekta ya uchumi mdogo, mfano kwa wauza njugu, mama lishe na maeneo mengine yasiyozalisha kiuchumi, ( less productive sector).
Maeneo yenye uzalishaji mkubwa (lead productive sector) yanashindwa kuitumia  fedha hii kwa kuwa tu ni sarafu, tuchukulie matharani maeneo kama airport, migodini au supermarket  haitakuwa rahisi kukuta fedha hii, hiki ni kiashiria cha kushuka kwa thamani ya fedha hiyo. (Indicator for Currency Devaluation).
Hivi kwa nini hatujiulizi kwa nini Marekani hadi leo hii dolla moja ni ya noti? Sisi sh. 500/= tunaiweka kwenye sarafu??????????????? Dolla moja yenye single digit iko kwenye not, sisi tunalazimisha 500 yenye triple digit kwenye sarafu.
PILI: Unapotengeneza sarafu ya pesa kubwa ni kuandaa mazingira ya pesa nyingi kujiondoa katika mzunguko, kwani sarafu ni rahisi sana kupotea. Kwa mtazamo huo tutegemee sarafu ya shilingi 50/=, 100/= na 200/= kutoweka kabisaaaa.
Ikifikia hatua hii ujue nchi imeanza kuyumba kiuchumi na mfumko wa bei umevuka kiwango cha kawaida (extention from moderate infiation to galloping inflation),
Majirani zetu ambao hatuko nao mbali kiuchumi wanatumia sarafu y ash. 10/= ambayo utaona inatumika kama kawaida. Hapa kwetu sarafu za sh. 5, 10, 20, zimeondoka na viongozi wao tusubilie sarafu za sh.50, 100, na 200, Zitamfuata na ahera. 
TATU: BOT wamekuja na hoja mfirisi kwamba wamefuta noti ya shilingi 500/= kwa sababu noti hiyo inachakaa mapema na inadumu kwa mda mfupi kwenye mzunguko .
Hoja hii ni mfirisi kwa sababu jawabu la noti kuchakaa mapema si kureplace kwa sarafu, bali ni kuimarisha noti hiyo kwa kutengeneza kwa kutumia material imara. Hebu jiulize noti ya shilling  10000/= ikichakaa mapema wataleta sarafuuuu???????????????? Chonde chonde BOT. ninavyoelewa mimi  sifa mojawapo ya fedha ni kukaa kwenye mzunguko mda mrefu (durability) sasa pesa inapopoteza durability dawa siyo kubadili muundo wake. (changing of currency format is not a solution for impermanency)
Lakini hata hivyo BOT wameonesha hawakufanya utafiti wa kina kabla ya kuleta sarafu ya shilingi mia tano. Na hoja walizokuja nazo hata  mtu aliye na misingi saba anazitilia walakini. Prf  Ndullu tizama kwa jicho la tatu kwa hoja ulizotoa kama zina mashiko kwa watanzania.
Kiuhalisia ni kwamba kwa namna yeyote ile lazima noti ya shilingi 500/= iwahi kuchakaa kuliko noti ya shilingi 10000/=, sababu ni hii hapa noti ya shilling 500 inaweza kupita mikononi mwa watu 2000 ndani ya mwezi mmoja wakati noti ya 10000 au noti nyingine kubwa haitokuwa na mzunguko wa namna hiyo labda robo yake, hivyo kuchakaa ni sahihi cha kufanya ni kuiboresha na siyo replacement ya sarafu.
Ndo hayo tu wanauchumi kazi kwenu kwani mmesoma ili mtumike, watanzania wa chini tunaumia sana kuona Tanzania inateteleka kiasi hiki wakati ina makotena ya wasomi au ni wasomi wa mishahara?  I LOVE MY TANZANIA

 



Kama mwana uchumi siungani na benki kuu (BOT) kufuta noti ya shilingi mia tano 500/= na kuifanya sarafu. hii kimtamo wa kifalsafa tunasema ni (the most unpleasant economic decision) kwa sababu zifuatazo.
Mosi: fedha yeyote inapobadilishwa kutoka shilingi kuwa salafu ni kuishusha thamani. Hii ni kwa  sababu kiuchumi inabadilika matumizi na kuanza kutumika katika zaidi katika sekta ya uchumi mdogo, mfano kwa wauza njugu, mama lishe na maeneo mengine yasiyozalisha kiuchumi, ( less productive sector).
Maeneo yenye uzalishaji mkubwa (lead productive sector) yanashindwa kuitumia  fedha hii kwa kuwa tu ni sarafu, tuchukulie matharani maeneo kama airport, migodini au supermarket  haitakuwa rahisi kukuta fedha hii, hiki ni kiashiria cha kushuka kwa thamani ya fedha hiyo. (Indicator for Currency Devaluation).
Hivi kwa nini hatujiulizi kwa nini Marekani hadi leo hii dolla moja ni ya noti? Sisi sh. 500/= tunaiweka kwenye sarafu??????????????? Dolla moja yenye single digit iko kwenye not, sisi tunalazimisha 500 yenye triple digit kwenye sarafu.
PILI: Unapotengeneza sarafu ya pesa kubwa ni kuandaa mazingira ya pesa nyingi kujiondoa katika mzunguko, kwani sarafu ni rahisi sana kupotea. Kwa mtazamo huo tutegemee sarafu ya shilingi 50/=, 100/= na 200/= kutoweka kabisaaaa.
Ikifikia hatua hii ujue nchi imeanza kuyumba kiuchumi na mfumko wa bei umevuka kiwango cha kawaida (extention from moderate infiation to galloping inflation),
Majirani zetu ambao hatuko nao mbali kiuchumi wanatumia sarafu y ash. 10/= ambayo utaona inatumika kama kawaida. Hapa kwetu sarafu za sh. 5, 10, 20, zimeondoka na viongozi wao tusubilie sarafu za sh.50, 100, na 200, Zitamfuata na ahera. 
TATU: BOT wamekuja na hoja mfirisi kwamba wamefuta noti ya shilingi 500/= kwa sababu noti hiyo inachakaa mapema na inadumu kwa mda mfupi kwenye mzunguko .
Hoja hii ni mfirisi kwa sababu jawabu la noti kuchakaa mapema si kureplace kwa sarafu, bali ni kuimarisha noti hiyo kwa kutengeneza kwa kutumia material imara. Hebu jiulize noti ya shilling  10000/= ikichakaa mapema wataleta sarafuuuu???????????????? Chonde chonde BOT. ninavyoelewa mimi  sifa mojawapo ya fedha ni kukaa kwenye mzunguko mda mrefu (durability) sasa pesa inapopoteza durability dawa siyo kubadili muundo wake. (changing of currency format is not a solution for impermanency)
Lakini hata hivyo BOT wameonesha hawakufanya utafiti wa kina kabla ya kuleta sarafu ya shilingi mia tano. Na hoja walizokuja nazo hata  mtu aliye na misingi saba anazitilia walakini. Prf  Ndullu tizama kwa jicho la tatu kwa hoja ulizotoa kama zina mashiko kwa watanzania.
Kiuhalisia ni kwamba kwa namna yeyote ile lazima noti ya shilingi 500/= iwahi kuchakaa kuliko noti ya shilingi 10,000/=, sababu ni hii hapa noti ya shilling 500 inaweza kupita mikononi mwa watu 2000 ndani ya mwezi mmoja wakati noti ya 10,000 au noti nyingine kubwa haitokuwa na mzunguko wa namna hiyo labda robo yake, hivyo kuchakaa ni sahihi cha kufanya ni kuiboresha na siyo replacement ya sarafu.
Ndo hayo tu wanauchumi kazi kwenu kwani mmesoma ili mtumike, watanzania wa chini tunaumia sana kuona Tanzania inateteleka kiasi hiki wakati ina makotena ya wasomi au ni wasomi wa mishahara?  'I LOVE MY TANZANIA'

0 comments:

Post a Comment