Mwenyekiti wa ukawa Prf Ibrahim Lipumba amekaliliwa akisema 'UKAWA hatutapoteza MUDA kuzungumza na Msajili wa vyama Jaji Mutungi wala Mwenyekiti wa Bunge la katiba Samweil Sitta.
Kama mazungumzo yafanyike yafanywe na Rais Kikwette huyu ndiye aliyevuruga mchakato wa Katiba Mpya kwa MAKUSUDI.
CCM wanatambua kwanini UKAWA walitoka Bungeni HOJA ni kurejea kwenye
rasimu ya Warrioba yenye maoni ya wananchi na MJADARA uendelee vya
suluhu ni kuendeleza kupoteza pesa za walipa KODI masikini.
Mh: Rais awaombe radhi watanzania na apunguze usani kwa mambo mazito ya
nchi akifanya hivyo Katiba mpya inapatikana bila malumbano yoyote.
Sunday, 13 July 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment