.

.

Friday, 11 July 2014

OLYMPUS DIGITAL CAMERA



Ni hali isiyomithirika nchini Zimbabwe kukumbwa na janga la njaa linalopelekea wanafunzi wa shule humo nchini. Wazazi wa watoto hao walisikika wakisema kuwa chanzo kikuu kinachopelekea hali hiyo ni hali ngumu ya maisha nchini humo, wazazi hao wamehofia kwa wanao kupata mimba za umri mdogo na kuambukizwa magonjwa ya zinaa.Watoto wanaodaiwa kukumbwa na tatizo hilo ni kati ya miaka 13 na 16. chanzo This is Africa

0 comments:

Post a Comment