James Rodrigues tayali kafik jijini Madrid kusaini kuichezea timu hiyo kwa uhamisho wa pound 63. mchezaji huyo wa Monaco na timu ya taifa ya Columbia aliyeng'ara katika mashindano ya fainali za kombe la dunia wiki mbili zilizopita alionesha furaha yake baada ya kuibuka mfungaji bora. Ameonesha furaha yake ndani ya Santiago Bernabeu. Mchezaji huyu pia aliitajika sana na Mashetani wekundu lakini walizidiwa kete na Real Madrid.
Sunday, 20 July 2014
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment